MAIN STORY: Minimum – a picture, video, audio and pull-quote. It might also include a picture gallery, a text box (2 paragraphs – linking to a profile), a time line, a fact file (list of bullet points), Q&A, a map and embedded tweet(s).
RAIS John Magufuli amefanya mabadiliko madogo ya baraza la mawaziri na kumteua Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Kangi...
By Mwandishi WetuJuly 1, 2018BUNGE jana lililazimika kuendelea na kikao chake hadi saa 3:27 usiku baada ya wabunge kutokana na wabunge kupinga marekebisho ya sheria mbalimbali ikiwamo...
By Danson KaijageJune 29, 2018WATU wasiojulikana wamevamia ofisi za gazeti la Capital Gazette na kufyatua risasi na kuua watu watano na kuwajeruhi wengine, katika jiji la Maryland,...
By Mwandishi WetuJune 29, 2018KOMBE Dunia linaingia katika hatua ya mtoano bila kuwa na timu kutoka Bara la Afrika, baada timu zote tano kutolewa hatua ya makundi....
By Mwandishi WetuJune 29, 2018JUMUIYA ya Wazazi Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Morogoro imewasimamisha kazi mwalimu mkuu wa shule ya sekondari Mkono wa Mara, Rajabu Vindili...
By Christina HauleJune 26, 2018MBUNGE wa Mtama kwa tiketi ya CCM, Nape Nnauye ameitabiria mabaya chama chake, kuwa kisipokuwa makini kitakufa na kupotea kabisa katika mikoa ya Kusini kama...
By Mwandishi WetuJune 25, 2018CHAMA cha Wananchi CUF kimechambua bajeti ya serikali ya mwaka 2018/19 kuwa ni bajeti hiyo ni hewa na haina muafaka kwenye kuinua uchumi...
By Faki SosiJune 24, 2018MTANDAO wa MwanaHALISI unaopatikana kupitia www.mwanahalisionline.com umererejea tena mtaani kwa wasomaji wake. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Hii ni baada ya kukamilisha taratibu zote...
By Mwandishi WetuJune 22, 2018BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro limeunda Kamati maalum ya kuchunguza upotevu wa kiasi cha Sh. 353 milioni ambazo hazikuingizwa...
By Christina HauleJune 10, 2018HAWA Mushi, diwani wa Chadema katika kata ya Mawenzi, katika halmashauri ya Manispaa ya Moshi, hatimaye amezikwa mchana huu, nyumbani kwake Mawenzi. Anaripoti...
By Mwandishi WetuJune 9, 2018UJENZI wa barabara, ujenzi wa vyoo, shule na uchimbaji visima umeimarisha taswira ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika Halmashauri ya Mji...
By Mwandishi WetuJune 9, 2018MWIGULU Nchemba, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, amekanusha kuwa barua iliyoandikwa na wizara hiyo ya kulitaka Kanisa la Kiinjili la Kilutheri...
By Mwandishi WetuJune 8, 2018WATOTO nchini wametakiwa kujenga ujasiri kwa kupaza sauti pindi wanapoona kuna viashiria vya unyanyasaji na vitendo vya ukatili dhidi yao kutoka kwa baadhi...
By Christina HauleJune 8, 2018TUNDU Lissu mbunge wa Singida Mashariki (Chadema) amefanyiwa operesheni ya mwisho na imemalizika salama. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Lissu ambaye alifanyiwa operesheni...
By Mwandishi WetuJune 5, 2018JOSEPH Mbilinyi ‘Sugu’ Mbunge wa jimbo la Mbeya Mjini (Chadema) ameing’ang’ania serikali kwenye suala la mustakabali wa mafao ya askari Magereza. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuJune 4, 2018SPIKA wa Bunge la Jamhuri, Job Ndugai, amekituhumu Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kufuatia hatua yake ya kulizuia Bunge, kumzika mbunge wa...
By Mwandishi WetuJune 1, 2018From Tundu Lissu in Belgium Kuhusu hoja ya Thadei Ole Mushi juu ya mabadiliko ya CCM Mimi sio mwanachama wa CCM lakini kwa...
By Mwandishi WetuMay 30, 2018JANA serikali ilpitisha bajeti ya Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi ya mwaka wa fedha 2018/19 kiasi cha Sh. 73,071,273,638. Anaripoti...
By Danson KaijageMay 30, 2018GOGORO kubwa limeibuka kati ya ofisi ya Spika wa Bunge la Jamhuri kwa upande mmoja na familia ya aliyekuwa mbunge wa Buyungu, Mwalimu Kasuku...
By Mwandishi WetuMay 29, 2018Anaandika Tundu Lissu Sheria ya Uendeshaji wa Bunge, 2008, inasema Bunge litagharamia matibabu ya mbunge ndani na nje ya nchi. Aidha, Bunge litaweka...
By Mwandishi WetuMay 29, 2018SHIRIKA la Ugavi wa Umeme Tanzania (Tanesco) linatuhumiwa kuwalipisha wananchi malipo ya kuingiziwa umeme majunbani mwao bila kuwapa huduma husika kama ilivyo ahidi....
By Faki SosiMay 28, 2018MWALIMU Kasuku Bilago, mbunge wa Buyungu, wilayani Kakonko, mkoani Kigoma (Chadema), amefariki dunia. Anaripoti Saed Kubenea kutoka Dodoma…(endelea). Mwalimu Bilago amekutwa na mauti...
By Mwandishi WetuMay 26, 2018ZITTO Kabwe, Mbunge wa Kigoma Mjini amefichua siri nzito iliyijifichika katika ununuzi wa ndege mpya ya Dreamliner 787-8. Anaripoti Mwandushi Wetu … (endelea)....
By Mwandishi WetuMay 24, 2018BAADA ya kupiga kambi hapa wilayani Kakonko, kwa wiki mbili sasa, uchunguzi wangu umebaini pasipo shaka, kwamba, Idara ya Uhamiaji, Dar-Es-Salaam; imewatuma maafisa...
By Mwandishi WetuMay 23, 2018MBUNGE wa Chadema katika jimbo la Moshi Vijijini, Anthony Bahati Komu, ametinga nchini Ubelgiji ili kumjulia hali mbunge mwenzake wa Singida Mashariki, Tundu Lissu....
By Mwandishi WetuMay 23, 2018MBUNGE wa Chadema katika jimbo la Buyungu, mkoani Kigoma, Mwalimu Kasulu Bilango, yuko mahututi. Anasumbuliwa na tatizo la kujikunja kwa utumbo wake. Anaripoti...
By Mwandishi WetuMay 22, 2018KISHINDO cha Joseph Mbilinyi (Sugu) Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema), kimesimamisha shughuli za Bunge kwa muda wa takribani dakika sita ikiwa ni mapokezi yake...
By Danson KaijageMay 21, 2018MBUNGE wa Ubungo (Chadema), Saed Kubenea, ameweka rehani mshahara wake wa mwezi huu, ikiwa Leo jioni wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wataweza...
By Mwandishi WetuMay 18, 2018MBUNGE wa Monduli (CHADEMA), Julius Karanga, ametuhumu serikali kuwanyonya wafugaji nchini na kusema, “wakati wengine (Chama Cha Mapinduzi), wakifikiri mifugo ni chakula, wao...
By Mwandishi WetuMay 17, 2018BAJETI ya Wizara ya Kilimo iliyowasilishwa bungeni mjini Dodoma jana Jumanne, ni mzigo kwa wananchi na imelenga kuwanyonya wakulima. Anaripoti Faki Sosi … (endelea)....
By Faki SosiMay 16, 2018MBUNGE wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe ameishika vibaya Serikari ya Rais John Magufuli kwa kuichambua bajeti ya Wizara ya Kilimo ambayo imeonyesha imekuwa...
By Mwandishi WetuMay 15, 2018MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imembadilishia kifungo Msanii wa Filamu, Elizabeth Micheal ‘Lulu’ kutoka kwenye kifungo cha Magereza na kutumikia kifungo...
By Mwandishi WetuMay 14, 2018BADO nasisitiza, Sugu ametoka gerezani kwa msamaha wa rais. Lakini nakana kuwa Sugu amesamehewa na rais. Anaandika Saed Kubenea … (endelea). Kuna tofauti...
By Saed KubeneaMay 11, 2018MBUNGE wa Ubungo (CHADEMA), Saed Kubenea, amehoji hatua ya serikali ya kulipa mamlaka ya mwisho ya kupeleka mahujaji nchini Saudia, Baraza Kuu la...
By Mwandishi WetuMay 7, 2018MVUA kubwa zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam, zimesababisha madhara makubwa katika baadhi ya maeneo, ikiwamo watu kupoteza maisha na kutokuwa na makazi....
By Mwandishi WetuMay 5, 2018HOTUBA YA KAIMU MWENYEKITI WA JUKWAA LA WAHARIRI TANZANIA (TEF), DEODATUS BALILE KATIKA SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI (WPFD) ILIYOADHIMISHWA...
By Mwandishi WetuMay 3, 2018MKURUGENZI wa mashitaka ya jinai nchini (DPP), amemfutia mashitaka yaliyokuwa yanamkabili mahakamani, mbunge wa Ubungo (Chadema), Saed Kubenea. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Akiwasilisha...
By Mwandishi WetuMay 2, 2018KWA mara nyingine Mahakama imehoji sababu ya Mwendesha Mashtaka wa Serikali kutoa kauli nyepesi za kushawishi kutoendelea kwa kesi ya tuhuma za uchochezi...
By Danson KaijageApril 30, 2018MWENYEKITI wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zakaria Hans Pope, ameongezwa katika kesi ya tuhuma za kughushi nyaraka na kujipatia fedha inayowakabili Rais...
By Jabir IdrissaApril 30, 2018CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoa wa Iringa kimemvua uanachama Dady Igogo aliyekuwa diwani wa Kata ya Gangilonga na Naibu Meya wa...
By Mwandishi WetuApril 28, 2018MDOGO wa Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche aitwaye Chacha Heche Suguta, adaiwa kuuwawa akiwa chini ya Jeshi la Polisi baada ya kukutwa...
By Mwandishi WetuApril 27, 2018JESHI la Polisi Mkoani Arusha limemkamata Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema kwa kile kinachodaiwa “uchochezi” dhidi ya Rais kuhusiana na ndoto aliyowahi...
By Mwandishi WetuApril 27, 2018RAIS John Magufuli jana katika sherehe za Muungano, ametumia sherehe hizo kutangaza Dodoma kuwa jiji badala ya kuwa Manispaa na kumtangaza aliyekuwa Mkurugenzi...
By Danson KaijageApril 27, 2018JULIUS Mtatiro, Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya CUF ameandika ujumbe mzito wenye kufikirisha wengi juu ya msiba wa Agnes Gerrald “Masogange.’ Mtatiro...
By Mwandishi WetuApril 23, 2018MBUNGE wa Chadema katika jimbo la Rombo, Joseph Selasini, naye ameanza kuonja “machungu ya utawala wa Rais John Magufuli.” Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …...
By Mwandishi WetuApril 22, 2018SERIKALI imewataka wawekezadi na wadau mbalimbali kuachana na tabia ya kulalamika serikali na badala yake watoe ushauri kwa serikali ni jinsi gani ya...
By Danson KaijageApril 20, 2018CHAMA cha ACT-Wazalendo kimeeleza kuwa uchambuzi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) juu ya ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kimepotosha...
By Faki SosiApril 19, 2018VIJANA sita wa kijiji cha Mtambwe Mtambuuni, wilayani Wete Pemba, waliokuwa wametekwa mapema mwezi huu na watu wanaodhaniwa ni wa dola, wamepatikana. Anaripoti...
By Jabir IdrissaApril 18, 2018JANUARY Makamba, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia Muungano na Mazingira ametoa madai mazito kwa chama chake, kuwa Chama cha Mapinduzi...
By Mwandishi WetuApril 16, 2018MBUNGE wa Bunda Mjini, Ester Bulaya (Chadema) ameshikiliwa katika Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam (Central) kwa madai amebakishwa kwa ajili ya...
By Mwandishi WetuApril 13, 2018