Tuesday , 23 April 2024

Tangulizi

MAIN STORY: Minimum – a picture, video, audio and pull-quote. It might also include a picture gallery, a text box (2 paragraphs – linking to a profile), a time line, a fact file (list of bullet points), Q&A, a map and embedded tweet(s).

Habari MchanganyikoTangulizi

Saa 24 za kilichojiri Ukara  

WAKATI harakati mbalimbali zikiendelea kufanywa na serikali kuhakikisha shughuli za wakazi wa Kisiwa cha Ukara zinaendelea, hatua mbalimbali zimeendelea kuchukuliwa. Anaripoti Mwandishi wetu…(endelea)....

Makala & UchambuziTangulizi

Mafia inasubiri ya MV Nyerere?

NAWAKUMBUSHA tu wale mahodari wa kutuma salaam za rambirambi, na wakukataza majanga ya ajali yasigeuzwe mtaji wa kisiasa,  wakumbuke na Kisiwa cha Mafia...

Habari za SiasaTangulizi

Leo kila mwathirika MV Nyerere kulamba Mil 1

RAIS John Magufuli anatarajiwa kutoa kiasi cha Shiling milioni moja kwa kila mwathirika wa ajali ya MV Nyerere iliyotokea tarehe 20 Septemba 2018....

Habari MchanganyikoTangulizi

Shaffih Dauda atoka kwa dhamana, Soudy Brown aendelea kusota

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imewaachilia kwa dhamana watangazaji Sudi Kadio maarufu kama Soudy Brown na Shaffih Dauda na wengine wanne. Anaripoti Faki...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mahakama yaamuru Maua Sama, Sudi Brown kufikishwa mahamakani, Serikali yaufyata

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeridhia ombi la Serikali kujibu kwa kiapo shauri la maombi ya dhamana kwa Msanii wa Bongo Fleva, Maua...

KimataifaTangulizi

Museveni kung’oka madarakani?

RAIS wa Jamhuri ya Uganda, Yoweri Kaguta Museveni, aweza kung’oka madarakani ndani ya kipindi cha miaka miwili kutoka sasa. Anaripoti Mwandishi Wetu …...

Habari za SiasaTangulizi

MV Nyerere yazidi kuondoka na Vigogo, JPM atumbua wengine

RAIS John Magufuli ameivunja Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchikavu na Majini (SUMATRA) ikiwa ni muendelezo wa hatua...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli avunja Bodi ya Ushauri TEMESA

RAIS John Pombe Magufuli ameivunja bodi ya Ushauri ya Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA). Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Taarifa iliyotolewa na...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mil 180 zachangwa leo kusaidia waathirika ajali MV Nyerere

MPAKA kufikia saa 12:00 jioni ya leo tarehe 23 Septemba 2018, jumla ya Sh. Mil 180 zimechangwa kwa ajili ya kusaidia walioathirika kwenye...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kuzama MV. Nyerere: Nimeachiwa mtoto anayenyonya

SIMULIZI za Merry Mgowe, mkazi wa Kisiwa cha Ukara zinaumiza ngoma za masikio hasa baada ya kubaini kuwa, sasa yeye ndiyo mlezi kamili...

Habari MchanganyikoTangulizi

Oil yaokoa maisha ya Mhandisi kivuko cha MV Nyerere

OIL imetajwa kuwa miongoni mwa sababu zilizookoa maisha ya Mhandisi wa Kivuko cha MV Nyerere, Alphonce Charahani, aliyeokolewa akiwa hai baada ya kupita...

Habari MchanganyikoTangulizi

Falsafa ya Askofu Bagonza kuzama kwa MV Nyerere

ANAANDIKA Baba Askofu Dk. Benson Bagonza (PHD), Daktari wa Falsafa na Mkuu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe. MAPENZI YA MUNGU NA MAPENZI YETU...

Habari MchanganyikoTangulizi

Serikali kugharamia mazishi waliofariki MV Nyerere

SERIKALI imesema itagharamia shughuli za mazishi ya miili ya watu waliopoteza maisha katika ajali ya MV Nyerere iliyotokea juzi tarehe 20 Septemba 2018....

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli: Waliozamisha MV Nyerere wakamatwe, maombelezo siku nne

SERIKALI imeagiza vyombo vya dola kuwakamata na kuwahoji wahusika katika uendeshaji safari za kivuko cha MV Nyerere kuhusu ajali ya kivuko hicho iliyotokea...

Habari MchanganyikoTangulizi

Waliofariki MV Nyerere wafikia 136, Sirro kufanya uchunguzi

IDADI ya miili ya watu waliopoteza maisha katika ajali ya Kivuko cha MV Nyerere iliyotokea jana tarehe 20 Septemba 2018 imeongezeka kutoka watu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Waliofariki MV Nyerere wafika 94

IDADI ya watu waliofariki dunia katika ajali ya kivuko cha MV. Nyerere katika Ziwa Victoria jana. Anaripoti Mwandishi Maalum … (endelea). Mpaka kufika...

MichezoTangulizi

Huwezi kujua kesho ya mpinzani wako

SITAKI kumtetea Patrick Aussems na wala sitaki kusimama upande wa Masoud Djuma lakini najisikia kusema jambo dogo tu baada ya dakika 90 pale...

Habari MchanganyikoTangulizi

Meli ya MV Nyerere yazama Ziwa Victoria

KIVUKO cha MV. Nyerere kinachotoa huduma kati ya Ukara na Bugorola wilayani Ukerewe mkoa wa Mwanza kimezama mchana wa leo tarehe 20 Septemba...

KimataifaTangulizi

Bobi Wine akamatwa tena, apelekwa pasipojulikana

MBUNGE wa Kyadondo Mashariki nchini Uganda, Robert Kyagulanyi maarufu kama ‘Bobi Wine’ amekamatwa na Jeshi la Polisi alipowasilisi katika Uwanja wa Ndege wa...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema wagoma mpaka 2020

KAMATI Kuu ya Chadema imeazimia kususia chaguzi ndogo zinazotarajiwa kufanyika hivi karibuni kutokana na kutoridhishwa na uendeshwaji wa chaguzi ndogo zilizopita. Anaripoti Regina...

Habari za SiasaTangulizi

Polepole ajikanyaga Uchaguzi Ukonga

HUMPHREY Polepole, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) amedai kwamba, mahudhurio hafifu ya wapiga kura kwenye uchaguzi mdogo wa...

Habari za SiasaTangulizi

Kalanga ashinda Monduli, aahidi makubwa

MBUNGE mteule katika jimbo la Monduli aliyeshinda kwenye uchaguzi mdogo uliofanyika jana tarehe 16 Septemba 2018 kwa kura asilimia 95, Julius Kalanga ameahidi...

Habari za SiasaTangulizi

Gari la mbunge Chadema lashambuliwa kwa risasi Monduli

ANNA Gidarya, Mbunge wa Viti Maalum Chadema, Manyara ameeleza kuwa, gari lake limeshambuliwa kwa risasi leo tarehe 16 Septemba 2018. Anaripoti Mwandishi Wetu...

Habari za SiasaTangulizi

Makontena ya Makonda kugaiwa kwa umma

IWAPO Makontena 20 ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda yanayopigwa mnada na Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) kupitia Kampuni...

Habari za SiasaTangulizi

Maskini Mbowe! Yamemkuta tena

SHIRIKA la Ugavi wa Umeme nchini (Tanesco) mkoani Kilimanjaro limekata umeme kwenye hoteli inayomilikiwa na Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema Taifa. Anaripoti Faki...

Habari za SiasaTangulizi

Kubenea awaibua Tundu Lissu, Ben Saanane, Ulimboka bungeni

MBUNGE wa Ubungo, Saed Kubenea ameibua bungeni tukio la kushambuliwa kwa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, Mwanahabari Absalom Kibanda, Ben Saanane na...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe, Lowassa wala kiapo Monduli

FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema Taifa na Edward Lowassa, Waziri Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho wameapa hadharani kumkabili...

Habari za SiasaTangulizi

Bendera ya Chadema yawazuzua CCM Ukonga

NI kama maneno ya kumnadi Mwita Waitara yamewaishia makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) baada ya kwanza kushambulia rangi za bendera ya Chadema....

Makala & UchambuziTangulizi

Urais Zanzibar si rahisi (3)

ZANZIBAR katika maisha yake, imepigwa mapigo ya aina kwa aina. Imepigwa kwenye pande zote za kimaendeleo; pembe zote – Kaskazini, Kusini, Mashariki na...

Habari za SiasaTangulizi

Bashe: Naweza kuhama CCM kama Lowassa

KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Hussein Bashe anaweza kuondoka kwenye chama hicho pale kitakapoboronga. Anaandika Faki Sosi … (endelea). Amesema kuwa, anaweza...

Habari za SiasaTangulizi

Ziara ya Rais Magufuli yawaibua Chadema

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kimepinga kauli za Rais John Magufuli alizozitoa alipokuwa kwenye ziara yake Kanda ya Ziwa. Anaripoti Faki Sosi …...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yamwinda Maalim Seif, CUF yang’aka

VITA vya kisiasa ndani ya Chama cha Wananchi (CUF) vinawasogeza karibu viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na sasa wanampigia hesabu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kamishna wa TRA anusurika ajalini Dodoma

KAMISHNA wa Mamlaka ya Mapato nchini (TRA), Charles Kichere amepata ajali asubuhi ya leo tarehe 11 Septemba 2018 mkoani Dodoma baada ya gari...

Habari za SiasaTangulizi

Kumtetea mkandarasi kwamponza Waziri, JPM amtolea uvivu

RAIS John Magufuli amemchimba mkwara Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwele kwamba atamfukuza kazi endapo mkandarasi wa ujenzi wa daraja...

Habari za SiasaTangulizi

Kucha na kope bandia marufuku bungeni

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, Job Ndugai, amepiga marufuku wabunge wanawake kuingia bungeni wakiwa wamebandika kucha na kope za...

Habari za SiasaTangulizi

Wananchi wa Chato wamkera JPM, awapa adhabu kali

RAIS John Magufuli amesema hatoipa kipaumbele wilaya ya Chato iliyoko mkoani Geita, katika utekelezaji wa miradi ya maji, kutokana na baadhi ya wakazi...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli aikalia kooni Acacia

RAIS John Magufuli ameapa kuibana kampuni ya uchimbaji madini ya Acacia ili ikamilishe ujenzi wa  mradi wa maji unaojengwa wilayani Tarime mkoa wa...

Habari za SiasaTangulizi

JPM ambana mbunge wa Chadema, atamani kuhamia CCM

MBUNGE wa Serengeti kupitia Chadema, Marwa Lyoba amejikuta katika wakati mgumu baada ya kuzomewa na wafuasi wa CCM alipobanwa na Rais John Magufuli...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli awatega wakuu wa wilaya, mikoa

RAIS John Magufuli amewaweka mtegoni Wakuu wa Wilaya na Mikoa walioko katika maeneo yenye migogoro sugu  ya ardhi, akiwataka kusema iwapo wameshindwa kuitatua...

KimataifaTangulizi

Bobi Wine alazwa ICU, madaktari wasema alipewa sumu

MBUNGE wa Kyadondo Mashariki nchini Uganda, Robert Kyagulanyi hali yake kiafya ni tete, amelazwa katika chumba cha uangalizi maalumu (ICU) nchini Marekani alikokwenda...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli: Nitamkaba Lukuvi alipe pesa zangu

RAIS John Magufuli amesema, atamkaba Waziri wa Ardhi, William Lukuvi ili amlipe Sh. 1 milioni fedha alizowapa wazee wawili ambao mmoja wao alidhulumiwa...

Makala & UchambuziTangulizi

Serikali imebeba dhambi ya milele

WACHINA walilia hata kufikia hatua ya kukufuru kuwa aliyeaga dunia ni mungu wao. Walikuwa wakiomboleza msiba wa muasisi wa taifa lao, Mao Tse...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema Karatu mbioni kupasuka  

NGOME pekee ya Chama cha Demokrasia naMaendeleo (Chadema), iliyokuwa imesalia – halmashauri ya wilaya ya Karatu – iko hatarini kuvunjika muda wowote kutoka...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli kuwalipa Wafanyakazi wa meli Bil 3.7

RAIS John Magufuli ameahidi kutoa kiasi cha Sh. 3.7 bilioni ndani ya wiki mbili, kwa ajili ya kulipa malimbikizo ya mishahara ya miezi...

Habari za SiasaTangulizi

Laana ya Makonda yagonga mwamba, makontena yauzwa

BAADHI ya samani zilizokuwemo kwenye makontena yaliyoingizwa nchini na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda na kukwama bandarini kutokana na...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli hapendi hamahama za wabunge, madiwani

WIMBI la hamahama ya madiwani na wabunge wa upinzani nchini limelalamikiwa kuwa linaipeleka nchi kwenye giza la uchumi kutokana na kuingia kwenye gharama...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli ammaliza kabisa Makonda

RAIS  John Magufuli amefunga mjadala kuhusu makontena 20 yenye samani ikiwemo meza na viti yaliyoingizwa nchini na Mkuu wa Mkoa wa Dar es...

Habari za SiasaTangulizi

ATCL yaanza kutikisa anga za kimataifa

KAMPUNI ya ndege ya taifa (ATCL), leo Alhamisi ya tarehe 30 Agosti 2018, inatarajiwa kuzindua safari yake ya tatu ya kimataifa, itakayoanzia Dar...

MichezoTangulizi

Amunike awatimua wachezaji wa Simba Taifa Stars

KOCHA wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars,’ Emmanuel Amunike amewaondoa wachezaji sita wa klabu ya Simba waliokuwa wameitwa kwenye timu hiyo...

AfyaTangulizi

Viongozi wadini wapewa kazi kudhibiti Ebola

VIONGOZI wa dini zote wametakiwa kushirikishwa kwenye maandalizi ya mapambano ya ugonjwa wa ebola ambao umetaatifiwa upo nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia...

error: Content is protected !!