Friday , 19 April 2024

Tangulizi

MAIN STORY: Minimum – a picture, video, audio and pull-quote. It might also include a picture gallery, a text box (2 paragraphs – linking to a profile), a time line, a fact file (list of bullet points), Q&A, a map and embedded tweet(s).

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli amsifu Jakaya Kikwete

RAIS John Magufuli amemshukuru Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dk. Jakaya Kikwete kwa kuanzisha ujenzi wa Jengo la Tatu la Abiria katika...

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif, Mzee Moyo, wakinukisha Zanzibar

MAKAMU wa Rais Mstaafu wa Zanzibar, Maalim Seif Shariff Hamad, amemtuhumu Dk. Ali Mohamed Shein, rais wa sasa wa Zanzibar, kuwa anavivuruga visiwa...

Habari za SiasaTangulizi

BREAKING NEWS: Maalim Seif akamatwa

MAALIM Seif Sharif Hamad, mshauri mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, amekamatwa na Jeshi la Polisi visiwani Zanzibar. Anaandika Kelvin Mwaipungu, Zanzibar … (endelea). Kiongozi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mwandishi wa habari, swahiba wa January Makamba, ahojiwa uraia wake 

JESHI la Polisi, Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limekiri kwa mara ya kwanza hadharani kuwa linamshikilia mwandishi wa habari za uchunguzi, Erick...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Munga amvaa Musiba, adai anavuruga nchi

ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheli Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Stephen Munga, ameonya kuwa kitendo cha Cyprian Musiba, kukashifu...

Habari za SiasaTangulizi

Musiba sasa ahamia kwa marais wastaafu

CYPRIAN Musiba, mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), aliyejipambanua kuwa mtetezi mkuu wa Rais John Magufuli, amewatuhumu watangulizi wa rais huyo wa sasa,...

Habari za SiasaTangulizi

Kibatala apinga Sinema ya Mbowe kuoneshwa Mahakamani

UPANDE wa utetezi kwenye kesi namba 112 ya uchochezi inayowakabili viongozi waandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) umepinga kuoneshwa kwa video...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Mahakama yakubali ushahidi wa Jamhuri 

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam leo tarehe 25 Julai 2019, imepokea kielelezo cha kamera ya kurekodi video na tepu...

Habari za SiasaTangulizi

JPM aumiza kichwa

RAIS John Magufuli, ameibua maswali yanayomuumiza kichwa kuhusu tukio la kukamatwa kwa dhahabu ya Tanzania nchini Kenya, bila watuhumiwa kukamatwa. Anaripoti Regina Mkonde...

Habari za SiasaTangulizi

Pinda ajitosa, akoleza mbio za urais CCM 2020

KASI ya kusaka nafasi ya kuteuliwa na kugombea kiti cha urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), imedhihiri. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Kauli za...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Bashiru: Wapuuzeni hao wapumbavu

LUGHA kali na zenye ukakasi, zimeanza kutolewa na viongozi wakuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), juu ya barua iliyoandikwa na viongozi wastaafu wa...

Habari za SiasaTangulizi

Timu JPM washusha nyundo tena

KIKUNDI ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kinachomtetea Dk. John Magufuli, mwenyekiti wa chama hicho, kinaendeleza mashambulizi. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Kubenea amuasa Rais Magufuli

SAED Kubenea, Mbunge wa Ubungo jijini Dar es Salaam kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), amemtahadharisha Rais John Magufuli kuwa kuitekeleza sheria...

Habari za SiasaTangulizi

Kilichomkera JPM kwa Makamba hiki hapa

MIONGONI mwa sababu za January Makamba, aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira kung’olewa kwenye nafasi hiyo, zimetajwa....

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli amtimua uwaziri January Makamba

RAIS John Magufuli ametengua uteuzi wa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, January Makamba. Anaripoti Regina Mkonde …...

Habari za SiasaTangulizi

Siri za Serikali ya JPM na Acacia zafichuka 

KAMPUNI ya madini ya ACACIA Mining (PLC), imeuzwa rasmi kwa kampuni ya Barrick Gold Corporation zote kutoka nchini Canada. Mauzo hayo yamefanyika, huku...

Habari za SiasaTangulizi

SAKATA LA WARAKA: Lusinde amgwaya Membe 

MBUNGE wa Mtera (CCM), Livingstone Lusinde, maarufu kwa jina la Kibajaji, “ameshindwa” kufanya kazi aliyotumwa. Anadaiwa alipangwa kumshambulia kwa njia ya kumvunjia heshima,...

Habari za SiasaTangulizi

Kinana, Makamba watakiwa kufukuzwa CCM 

JOSEPH Msukuma, mbunge wa Geita Vijijini, amewatuhumu makatibu wakuu wawili wastaafu wa chama Chama Cha Mapinuduzi, Kanal Abdulrahaman Kinana na Luteni Yusuf Makamba,...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Lissu dhidi ya Ndugai, sasa yaiva

MKAKATI wa Tundu Antipas Lissu, kumburuza mahakamani Spika wa Bunge la Jamhuri, Job Ndugai, kufuatia uamuzi wake wa “kumvua ubunge wa Singida Mashariki...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto ajitosa sakata la Kinana, Makamba 

MBUNGE wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe, amedai kuwa kilichoelezwa kwenye waraka uliyotolewa na viongozi wakuu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Magunia  ya mkaa, yageuka jeneza la Naomi

NAOMI Orest Marijani (36), mkazi wa Gezaulole, wilayani Kigamboni, jijini Dar es Salaam, aliyeripotiwa kutoweka nyumbani kwake, tokea tarehe 15 Mei mwaka huu,...

Habari za SiasaTangulizi

Kumekucha CCM: Barua ya Kinana, Makamba, siri nzito

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeanza kupata ufa mwingine, kufuatia waliopata kuwa makatibu wakuu wake, Abdulrahaman Kinana na Yusuf Makamba, kumtuhumu Rais John Magufuli,...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Rushwa, vitisho vyatawala malipo ya korosho 

MALALAMIKO ya rushwa na vitisho kwa wakulima na wafanyabiashara wa korosho, vimetawala kwenye madai ya malipo ya biashara hiyo, mkoani Mtwara. Anaripoti Regina Mkonde...

Habari za SiasaTangulizi

Waliojitokeza kumrithi Lissu hawa hapa

WAGOMBEA kutoka vyama 12 vya siasa nchini, wamejitokeza kuchukua fomu ya kuwania ubunge katika Jimbo la Singida Mashariki. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Ni...

Habari za SiasaTangulizi

Makamba, Kinana watinga Ikulu

YUSUF Makamba na Abdulrahman Kinana, makatibu wakuu wastaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wamebisha hodi kwa Rais John Magufuli. Anatipoti Mwandishi Wetu …...

Habari za SiasaTangulizi

Hatuogopi uchaguzi Singida, tunakataa uharamu – Chadema  

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema, “kushiriki uchaguzi mdogo katika jimbo la Singida Mashariki, ni sawa na kutenda uovu.” Anaripoti Hamis Mguta…(endelea). Uchaguzi...

Habari za SiasaTangulizi

Mtetezi wa JPM awavuruga Kinana, Makamba

KIGUGUMIZI cha Serikali ya Awamu ya Tano kumchukulia hatua Cyprian Musiba, anayejitambulisha kuwa mwanaharakati na mtetezi wa Rais John Magufuli, sasa kinahojiwa. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Kabudi azidi kung’ang’aniwa

KAMPUNI ya Hali Halisi Publishers Limited (HHPL), wachapishaji wa magazeti ya MwanaHALISI, MSETO na MAWIO, imemshukia Prof. Palamagamba Kabudi, kufuatia kauli yake, kwamba...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu mbioni kumshitaki Ndugai

TUNDU Lissu, aliyetangazwa na Spika wa Bunge la Jamhuri, Job Ndugai, kuvuliwa wadhifa wake wa ubunge katika jimbo la Singida Mashariki, yuko mbioni...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Bashiru: Kamateni hao CCM

KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. Bashiru Ally amesema, mgombea yeyote wa chama hicho atakayejihusisha na vitendo vya rushwa, Taasisi ya...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo kuwa ‘Kanani ya Siasa’ 2020?

CHAMA cha ACT-Wazalendo kinaweza kuwa nchi ya Kanani kwa wanasiasa kutoka kwa vyama mbalimbali vya nchini Tanzania kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2020. Anaandika...

Habari MchanganyikoTangulizi

Prof. Kabudi: Wameninukuu vibaya, sijasema Azory amefariki

PROFESA Palamagamba Kabudi, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, amekanusha kauli inayosambaa katika mitandao ya kijamii ya kwamba amethibitisha...

Habari MchanganyikoTangulizi

Afisa Madini mbaroni kwa wizi wa dhahabu ya Mil.507

DONALD  Njonjo, Meneja wa Maabara katika Tume ya Madini anashikiliwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam kwa tuhuma za...

Habari za SiasaTangulizi

Afisa Usalama (feki) aliyetaka kumtapeli DC Jokate mbaroni

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (Takukuru) inamshikilia Omary Chuma (55) Mkazi wa Chamazi, Temeke Dar es Salaam, aliyejifanya kuwa ni...

Habari MchanganyikoTangulizi

Msiba wa wafanyakazi Azam watikisa, mwendokasi wapigiwa kelele

VIONGOZI  mbalimbali wa kisiasa na watu mashughuli wametao neno la pole kwenye msiba wa wafanyakazi watano wa Azam TV  waliofariki jana kwenye ajali ...

Habari MchanganyikoTangulizi

Wafanyakazi Azam wafariki ajalini

WAFANYAKAZI watano wa Azam Televishen kati ya saba leo tarehe 8 Julai 2019, wamepoteza maisha kwenye ajali iliyotokea katika eneo la Malendi, Wilaya...

SiasaTangulizi

Sakata la Lissu: Wabunge CCM wamlalamika Ndugai

BAADHI ya wabunge kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), wameeleza kutofurahishwa na kitendo cha Job Ndugai, Spika wa Bunge kumvua ubunge Tundu Lissu. Anaripoti Mwandishi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mali za Mbowe zapigwa mnada kufidia deni la Bil. 1

BAADHI ya vifaa vya Kampuni ya Mbowe Limited (Bilicanas) vimepigwa mnada leo tarehe 6 Julai 2019 na Kampuni ya Udalali ya Fosters Auctioneers...

Habari za SiasaTangulizi

Wazee Chadema ‘wabisha hodi’ kwa Spika Ndugai, Rais Magufuli

BARAZA la Wazee la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wameeleza wasiwasi kuhusu gharama za matibabu ya Job Ndugai, Spika wa Bunge nchini...

Habari MchanganyikoTangulizi

Sheikh Ponda gizani tena

MAHAKAMA ya Rufaa, jijini Dar es Salaam leo tarehe 4 Julai 2019 imefuta hukumu ya Sheikh Ponda Issa Ponda, Katibu wa Jumuiya na...

Habari za SiasaTangulizi

Kibatala apinga ushahidi wa kamera Mahakamani kesi ya Mbowe

WAKILI upande wa utetezi Peter Kibatala amepinga kupokelewa kwa kielelezo cha kamera na tape mbili za kurekodia video (Min-Dv) zilizotolewa kwenye ushahidi kwa...

MichezoTangulizi

Waziri Mwakyembe asiturudishe nyuma

WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe ametangaza rasmi, kupunguza idadi ya wachezaji wa kigeni kutumika katika mchezo mmoja. Anaandika...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe Vs Jamhuri: Neno kwa neno

SHAHIDI wa tano kwenye kesi namba 112 ya mwaka 2018 ya uchochezi inayowakabili viongozi wa Chadema, ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa, hajui...

Habari za SiasaSiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe, wenzake:Shahidi aibua mapya

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeendelea kusikiliza kesi namba 112 ya mwaka 2018 ya viongozi wa Chadema leo tarehe 1 Julai 2019.Anaripoti Faki Sosi...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto amsaka Ongangi, ataka Kenya iingilie

ZITTO Kabwe, Mbunge wa Kigoma Mjini ameitaka serikali ya Tanzania kulipa uzito suala la kutekwa kwa Raphael Ongangi, Rais wa Kenya ambaye ni...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu kuvuliwa Ubunge: Chadema yabadili gia angani

HATUA ya Job Ndugai, Spika wa Bunge kumvua ubunge Tundu Lissu, Mbunge wa Singida Mashariki siku mbili zilizopita, kumejibiwa vikali na Chama cha...

Habari za SiasaTangulizi

Nyalandu, Lema, Mch. Msigwa watoa neno Lissu kuvuliwa ubunge

HATUA ya Job Ndugai, Spika wa Bunge kumvua Tundu Lissu Ubunge wa Jimbo la Singida Mashariki kwa kile alichoeleza kwamba hajatoa taarifa ya...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu avuliwa ubunge

SPIKA wa Bunge la Jamhuri, Job Ndugai, ametangaza kumvua ubunge, mbunge wa jimbo la Singida Mashariki (CHADEMA), Tundu Lissu, Anaripoti Saed Kubenea…(endelea). Akizungumza...

Habari za SiasaTangulizi

Viongozi wa Serikali wawalazikisha wapinzani kurudisha kadi

WANACHAMA wa vyama vya upinzani katika kata mbalimbali wilayani Chemba, Dodoma wamelalamikia vitendo vya watendaji wa kata kuwalazimisha kurudisha kadi za vyama vyao...

Habari za SiasaMakala & UchambuziTangulizi

Msajili ana ugomvi gani na Azaki?

TAREHE 9 Agosti 2017, msajili wa asasi za kiraia alitoa maagizo kwa asasi za kiraia nchini kufanya kuhakiki wa uwepo wao. Uhakiki ulihusu...

error: Content is protected !!