Tuesday , 23 April 2024

Tangulizi

MAIN STORY: Minimum – a picture, video, audio and pull-quote. It might also include a picture gallery, a text box (2 paragraphs – linking to a profile), a time line, a fact file (list of bullet points), Q&A, a map and embedded tweet(s).

Habari za SiasaTangulizi

ZEC yamteua Maalim Seif kugombea urais

TUME ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), imemteua Maalim Seif Sharif Hamad kuwa mgombea urais wa Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika 27 na...

Habari za SiasaTangulizi

Kubenea apata dhamana, kuendelea na kampeni Kinondoni

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha nchini Tanzania, imemwachia kwa dhamana mgombea ubunge wa Kinondoni kupitia ACT-Wazalendo, Saed Ahmed Kubenea. Anaripoti Mwandishi Wetu, Arusha...

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif awekewa pingamizi, 16 wateuliwa

TUME ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imeshindwa kumteua Maalim Seif Sharif Hamad kugombea urais wa Zanzibar kupitia chama cha ACT-Wazalendo baada ya kuwekewa pingamizi....

Habari za SiasaTangulizi

19 warejeshwa kugombea ubunge, 26 udiwani

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania, imewarejesha wagombea ubunge 19 baada ya kuzifanyia kazi rufaa 22. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma …...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu atikiswa, chopa yake yagomewa

HELKOPTA (chopa) iliyotarajiwa kumbeba Tundu Lissu, mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kuelekea Bagamoyo mkoani Pwani, imegomewa kuruka. Anaripoti Regina...

Habari za SiasaTangulizi

Wewe umetumwa na mabeberu? Swali lililomchefua Lissu

TUNDU Lissu, mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ameeleza kukerwa na fikra za ‘ubeberu’ zinazopandwa kwake. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...

Habari za SiasaTangulizi

13 washinda rufaa za ubunge, 21 watoswa

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania imechambua rufaa zingine 34 za ubunge kati ya hizo, 13 imewarejesha kugombea ubunge, 21 imezikataa....

Habari za SiasaTangulizi

NEC yaweka wazi rufaa 55  

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzani, imeweka wazi rufaa 55 zilizowasilishwa na wagombea ubunge katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28...

Habari za SiasaTangulizi

15 warejeshwa kugombea ubunge, 15 watupwa

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzani, imekubali rufaa 15 kati ya 55 za wagombea ubunge katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe...

Habari za SiasaTangulizi

‘Dili’ la Membe, Lissu, Maalim Seif hadharani

KAULI kwamba ‘tutashirikiana’ kati ya Chama cha ACT-Wazalendo na Chama  cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), imeanza kudhihiri kwa vitendo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Unguja...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Wagombea 62 ACT-Wazalendo wang’olewa

JUMLA ya wagombea 62 wa Chama cha ACT-Wazalendo, wameng’olewa kwenye kinyang’anyoro cha ubunge Tanzania Bara na visiwani Zanzibar. Anaripoti Faki Sosi, Dar es...

Habari za SiasaTangulizi

Kanisa Katoliki latoa tamko uchaguzi mkuu Tanzania

KANISA Katoliki nchini Tanzania, limevitaka vyombo vyote vinavyosimamia Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020 kutenda haki ili kutoivuruga amani iliyopo. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Mnyika: NEC turudishieni wagombea ili tupimane ubavu

JOHN Mnyika, Katibu Mkuu wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania Chadema, ameitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuwarejesha wagombea wao wa...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu: Utawala huu umenifikisha hapa

TUNDU Lissu, mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ameeleza kwamba, utawala wa awamu ya tano chini ya Rais John Magufuli,...

Habari za SiasaTangulizi

JPM aitibua Chadema, ‘Sisi waongo, matapeli?’

JOHN Mnyika, Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ameeleza kukerwa na kauli kwamba ‘wapinzani waongo, matapeli.’ Anaripoti Mwandishi Wetu, Tabora…(endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

JPM: Nataka niwe kama Kikwete

DAKTARI John Magufuli, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), amesema anataka kukaa Ikulu kwa miaka 10 kama Rais Mstaafu, Jakaya...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu amwachia swali Magufuli 

TUNDU Lissu, Mgombea Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu wa Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020 kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amemtaka...

Habari za SiasaTangulizi

Membe ataja mambo 4 yaliyomfukuzisha CCM

BERNARD Membe, mgombea urais wa Tanzania kupitia ACT-Wazalendo, ameweka hadharani mambo manne yaliyosababisha kufukuzwa Chama Cha Mapindu (CCM). Anaripoti Faki Sosi, Lindi (endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Kinana ahofia CCM kuanguka

ABDULRAHMAN Kinana, Katibu Mkuu Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameonesha hofu ya kuanguka kwa chama hicho endapo wanachama wake watapuuza kupiga kura. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Membe afichua kitakachoiua CCM

BERNARD Membe, mgomeba urais wa Tanzania kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, ametaja kitachoiua Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam …...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu aeleza atakayofanya 2020-2025

TUNDU Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) amesema, misingi ya Ilani ya Uchaguzi ya chama hicho 2020/25...

Habari za SiasaTangulizi

Ahadi ya CCM 2020 – 2025

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeahidi kupunguza pengo la wenye nacho na wasiokuwa nacho, endapo kitafanikiwa kushinda Uchaguzi Mkuu wa tarehe 28 Oktoba 2020. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Shein: Tutahakikisha Dk. Mwinyi anashinda Z’bar

RAIS wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein amesema, Chama Cha Mapinduzi (CCM), kitahakikisha mgombea wake Dk. Hussein Mwinyi anashinda urais visiwani Zanzibar. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Wamimilika uzinduzi kampeni za urais Chadema

MAMIA ya wananchi wanaendelea kujitokeza katika uzinduzi wa kampeni za urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) zinazofanyika leo Ijumaa...

Habari za SiasaTangulizi

Tundu Lissu kuzindua kampeni leo Dar

MGOMBEA urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, atazindua kampeni zake za uchaguzi mkuu kesho Ijumaa 28 Agosti...

Habari MchanganyikoTangulizi

TCRA yaifungia Clouds siku 7 

MAMLAKA  ya Mwasiliano Tanzania (TCRA) imeagiza Clouds TV na Redio kusitisha matangazo yao kwa muda wa siku saba kuanzia kesho Ijumaa 28 Agosti...

Habari za SiasaTangulizi

NEC yatupa mapingamizi ya Tundu Lissu

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeyatupilia mbali mapingamizi yaliyowekwa na Tundu Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chadema dhidi ya wagombea wenzake...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu awawekea pingamizi Rais Magufuli, Prof. Lipumba 

TUNDU Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chadema, amewawekea pingamizi wagombea wawili wa urais akidai wamekiuka Sheria za Uchaguzi katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu kuwawekea pingamizi wagombea urais

TUNDU Lissu, Mgombea urais wa Tanzania, amewasilisha mapingamizi dhidi ya wagombea wengine wa urais walioteuliuwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) jijini....

Habari za SiasaTangulizi

Majimbo 20 wapinzani njia panda

TAKRIBANI majimbo 20 ya ubunge Tanzania Bara, yapo njia panda baada ya wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutajwa kupita bila kupingwa. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Tundu Lissu ateuliwa kugombea urais Tanzania

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imemteua Tundu Lisuu kuwa mgombea urais wa Tanzania kupitia Chadema na mgombea mwenza, Salum Mwalimu katika Uchaguzi...

Habari za SiasaTangulizi

Nani kupenya kugombea urais, ubunge Tanzania?

MACHO na masikio ya Watanzania wengine yanaelekezwa Jiji la Dodoma kutakakofanyika uteuzi wa wagombea urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe...

Habari za SiasaTangulizi

Warioba ainyooshea kidole Takukuru, Rais Magufuli…

WAZIRI Mkuu mstaafu wa Tanzania, Joseph Sinde Warioba amesema, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) inapaswa kuachwaa ili itekeleze wajibu wake...

Habari MchanganyikoTangulizi

Butiku awaonya wapinzani, wasimamizi wa uchaguzi

JOSEPH Butiku, Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, amevita vyama vya upinzani nchini Tanzania, kuacha kuipinga Serikali kwa kutumia maneno ya matusi na...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu awajibu wanaosema ameanza kampeni mapema

TUNDU Lissu, Mgombe urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) amesema, madai yanayotolewa kuwa atapingwa kwa kufanya kampeni kabla ya...

Habari za SiasaTangulizi

Wabunge 90 CCM wafyekwa 

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, ‘kimewakata’ wabunge wake zaidi ya 90 waliokuwa wakitetea nafasi zao ndani ya chama hicho katika Uchaguzi Mkuu...

ElimuTangulizi

Matokeo kidato cha sita haya hapa

BARAZA la Mitihani la Taifa (Necta) nchini Tanzania, limesema watahiniwa 82,440 sawa na asilimia 98.35 ya watahiniwa 84,212 waliofanya mtihani kidato cha sita...

Habari za SiasaTangulizi

Panga la CCM lafyeka vigogo 75

WABUNGE takribani 75 kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambao walijitosa kutetea nafasi zao katika uchaguzi mkuu wa 28 Oktoba mwaka huu, wameangukia pua. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Wagombea ubunge CCM hawa hapa

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimetangaza majina ya wagombea ubunge wa majimbo na viti maalum katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020....

Habari za SiasaTangulizi

Magufuli aeleza walivyochambua, kujadili wagombea ubunge

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, Rais John Pombe Magufuli, imewataka wajumbe wa Halmashauri Kuu ya chama hicho, kumtanguliza Mungu na...

Habari za SiasaTangulizi

Kamati Kuu CCM yamaliza kazi, wagombea ubunge kusuka au kunyoa kesho

JOTO la wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), waliojitosa katika kinyang’anyiro cha kuwania ubunge wa majimbo na wale wa Viti Maalum, linazidi kupanda,...

KimataifaTangulizi

Maandamano yamng’oa Rais wa Mali

RAIS wa Mali, Ibrahim Boubacar Keita ametangaza kujiuzulu pamoja na Waziri Mkuu wake, Boubou Cissé muda mfupi baada ya wanajeshi waasi kuwakamata na...

Habari za SiasaTangulizi

‘Mafaili’ wagombea ubunge mikononi mwa Magufuli

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais John Magufuli ameongoza kikao cha kamati kuu ya chama hicho Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Ni hofu, woga THRDC?

MTANDAO wa Utetezi wa Watetezi wa Haki za Binadamu nchini Tanzania (Tanzania Human Rights Defenders Coalition -THRDC), hatimaye umetangaza kusitisha shughuli zake kwa...

Habari MchanganyikoTangulizi

THRDC yasitisha shughuli zake

MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) imetangaza kusitisha shughuli zake nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea) Taarifa...

Habari za SiasaTangulizi

Wiki ya vilio, vicheko CCM

SAFARI ya kuwania ubunge, uwakilishi (Zanzibar) na udiwani ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kwenye uchaguzi mkuu wa tarehe 28 Oktoba 2020, itahitimishwa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli aelezea mafanikio, changamoto uenyekiti SADC

DAKTARI John Magufuli, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) na Rais wa Tanzania amesema, katika miaka 40 tangu kuanzishwa kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Orodha ya wagombea ACT- Wazalendo, hii hapa

CHAMA cha ACT-Wazalendo. kimetangaza orodha ya wagombea 198 wa ubunge na uwakilishi, Tanzania Bara na Zanzibar.  Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam…(endelea). Akitangaza...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu atashinda?

HARAKATI za kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu wa tarehe 28 Oktoba 2020 zinashika kasi. Tayari wagombea ngazi ya urais bara na visiwani wanajulikana. Anaandika Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Mkuu TAG ataka kura uchaguzi mkuu zihesabiwa hadharani

ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), Dk. Barnabas Mtokambali ameiomba Serikali nchini humo kuhakikisha Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe...

error: Content is protected !!