Wednesday , 24 April 2024

Tangulizi

MAIN STORY: Minimum – a picture, video, audio and pull-quote. It might also include a picture gallery, a text box (2 paragraphs – linking to a profile), a time line, a fact file (list of bullet points), Q&A, a map and embedded tweet(s).

Habari za SiasaTangulizi

Kubenea ashinda rufaa, kurejea kwa kushindo

KAMATI ya Maadili ya Kitaifa ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania, imetengua uamuzi wa kamati ya maadili Jimbo la Kinondoni...

Habari za SiasaTangulizi

LISSU: Tutashinda kwa asilimia 65 hadi 75

TUNDU Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chadema amesema, wamefanya utafiti wa kuangalia mwitikio wa wananchi kwenye mikutano yao, upigaji kura na kubaini...

Habari za SiasaTangulizi

JPM aeleza alivyoteswa na Mbowe

MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, ameeleza namna Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe alivyomtesa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Kilimanjaro …...

Habari za SiasaTangulizi

NEC yaongeza siku mbili kuapisha mawakala

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania, imeongeza siku mbili zaidi za kuapisha mawakala wa vyama vya siasa watakaosimamia Uchaguzi Mkuu utakaofanyika...

Habari za SiasaTangulizi

Hivi ndivyo Membe alivyomuunga mkono Lissu

BERNARD Kamilius Membe, mgombea urais Tanzania kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, ni miongoni mwa wajumbe wa Kamati ya Uongozi ya chama hicho, waliobariki kumuunga...

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif amkacha Membe, amuunga Lissu

MWENYEKITI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad ameweka bayana msimamo wake wa kumuunga mkono Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha...

Habari za SiasaTangulizi

Membe: Mimi ni mgombea halali, awajibu Zitto na Maalim Seif

BERNARD Kamilius Membe amesema, yeye bado ni mgombea halali wa urais kupitia ACT-Wazalendo katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu, Mbowe, Sheikh Ponda, Maalim Seif kumfuata Lowassa

JIMBO la Monduli, Arusha lililokuwa likiongozwa na Edward Lowassa, mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mwaka 2015, linatarajia kuwa na...

Habari za SiasaTangulizi

Sheikh Ponda amfuata Lissu jukwaani

SHEIKH Ponda Issa Ponda, Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam nchini, amempigia kampeni Tundu Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto: Nitampigia kura Lissu, ubunge…

ZITTO Zuberi Kabwe, Kiongozi wa ACT-Wazalendo, ametangaza kumpigia kura Tundu Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chadema katika Uchaguzi Mkuu wa 28 Oktoba...

Habari za SiasaTangulizi

NEC yapigwa ‘stop’ kufanya haya

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania haipaswi kufanya mambo makuu manne wakati wa mchakato wa Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28...

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif afungiwa kufanya kampeni

KAMATI ya Maadili ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), imemfungia siku tano kutofanya kampeni, Maalim Seif Sharif Hamad, mgombea urais wa Zanzibar kuanzia...

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif: Wanataka kuni – Lissu

MAALIM Seif Sharif Hamadi, mgombea urais visiwani Zanzibar amesema, Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) inataka kumfungia kama Tundu Lissu, mgombea urais Tanzania kupitia...

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif: Vijana wapo tayari

MAALIM Seif Shariff Hamad, mgombea urais visiwani Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, amesema safari hii vijana wapo tayari. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar…(endelea). “Tunapambana na...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Gwajima ‘ambeba’ Mdee mbele ya JPM

ASKOFU Josephat Gwajima, mgombea ubunge wa Kawe kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), amesifu miradi iliyotekelezwa jimboni humo kwa mwaka 2015 – 2020. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu: Rais Magufuli amebakiza siku 14 Ikulu

MGOMBEA Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amesema, Rais John Pombe Magufuli amebakisha siku 14 kubaki Ikulu, kwa kuwa...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu atumia mtumbwi kuwafikia wapigakura

MSAFARA wa Tundu Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chadema umelazimika kutumia mtubwi kutoka Kisorya mkoani Mara kwenda Ukerewe Mkoa wa Mwanza. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Msafara wa Lissu warushiwa mawe Chato

MSAFARA wa mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu umepigwa mawe na watu wasiojulikana Chato mkoani wa...

Habari za SiasaTangulizi

NEC yaijibu Chadema ‘tangazeni sera’

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania imesema, zabuni ya kumpata mchapishaji wa karatasi za kupigia kura ilitangaza kwa mujibu wa Sheria...

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif akwepa kitanzi cha NEC

MAALIM Seif Sharif Hamad, mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, ameshindwa kumnadi kwa jina Tundu Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia...

Habari za SiasaTangulizi

NEC yaweka masharti matumizi ya simu vituoni Oktoba 28

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania imeweka masharti ya matumizi ya simu katika vituo vya kuhesabu, kupigia na kujumulishia kura katika...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yaihoji NEC ‘karatasi za kura, mfumo wa kujumlisha matokeo

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania, imetakiwa kuweka wazi mambo mbalimbali yahusuyo Uchaguzi Mkuu wa tarehe 28 Oktoba 2020 ikiwemo kampuni...

Habari za SiasaTangulizi

Magufuli awageuzia kibao wakandarasi, RC Dar ‘badilika’

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufulki ameagiza kampuni iliyopewa zabuni ya kujenga Kituo Kikuu cha Mabasi ya Mikoani Mbezi-Luis jijini Dar es Salaam,...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu atinga Kariakoo kwa mwendokasi

TUNDU Lissu, Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ameahidi kuliboresha Jiji la Dar es Salaam, endapo atashinda Uchaguzi...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli amfariji Zitto

RAIS John Magufuli amempa pole Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe aliyepata ajali ya gari jana tarehe 6 Oktoba 2020. Anaripoti Regina...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu abadilishiwa majukumu, NEC kufikishwa kortini

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema, kitambadilishia majukumu Tundu Lissu, Mgombea wake wa Urais wa Tanzania wakati akiitumikia adhabu ya kutofanya kampeni...

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif: Lissu atakuwa Rais wa Tanzania

MAALIM Seif Sharif Hamad, mgombea urais wa Zanizbar kupitia ACT-Wazalendo amesema, ana matumaini Tundu Lissu ataibuka mshindi wa urais wa Tanzania kupitia Chadema...

Habari za SiasaTangulizi

NEC yamshusha Lissu jukwaani siku 7

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemsimamisha Tundu Lissu, mgombea urais kupitia Chadema kufanya kampeni kwa siku saba kuanzia kesho Jumamosi hadi 9...

Habari za SiasaTangulizi

Polisi ‘waitikia’ msimamo wa Lissu

HATUA ya Jeshi la Polisi kufuta wito uliomtaka Tundu Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kujipeleka katika...

Habari za SiasaTangulizi

Marekani yamkana Lissu, JPM

LICHA ya Dk. John Magufuli, mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM na Tundu Lissu, mgombea urais kupitia Chadema kutawala siasa ngazi ya urais,...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu aijibu NEC ‘ngoma hii hawaiwezi’

TUNDU Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ameeleza kupuuza kauli iliyotolewa na Dk. Wilson Mahera, Mkurugenzi wa...

Tangulizi

Lema, Gambo wakutana mgahawani

WAGOMBEA Ubunge Arusha Mjini, Mrisho Gambo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Godbless Lema wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wamekutana katika...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu aijia juu NEC, asema ‘siendi Dodoma’

TUNDU Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokraisa na Maendeleo (Chadema) amesema, kesho Jumanne tarehe 29 Septemba 2020 hatokwenda mbele ya...

Habari za SiasaTangulizi

Bosi NEC amvaa Lissu ‘Watanzania hawataki bla bla’

DAKTARI Wilson Mahera, Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania, ameonesha kukasirishwa na kile alichoita wanasiasa kudanganya na kutoa...

Habari za SiasaTangulizi

Kubenea: Sitanii, hili nitafanya Kinondoni

SAED Kubenea, mgombea ubunge katika Jimbo la Kinondoni, jijini Dar es Salaam mesema miongoni mwa mambo ambayo atayasimamaia hadi kufanikiwa kwake ni suala...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe amwelezea Lissu anavyowachanganya CCM

FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania, Chadema amesema, mwitikio wa wananchi katika mikutano ya kampeni za Mgombea Urais wa...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu anavyojitofautisha na Lowassa, Dk. Slaa

TUNDU Lissu, Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amesema katika Uchaguzi Mkuu wa tarehe 28 Oktoba 2020, chama...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu: 28 Oktoba siku ya ukombozi, tutashinda kwa kimbunga

TUNDU Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) amewaomba Watanzania kujitokeza kwa wingi Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020...

Habari za SiasaTangulizi

Vyama, wagombea waonywa kutofanya haya

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania imebainisha mambo mbalimbali ambayo hayapaswi kufanywa na vyama vya siasa na wagombea katika kipindi cha...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu, Membe mambo magumu

USHIRIKIANO kati ya Tundu Lissu, mgombea urais wa Tanzania Bara kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Bernard Membe wa Chama cha...

Habari za SiasaTangulizi

Kumwachia Lissu: Zitto amaliza utata

KAULI aliyoitoa Zitto Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo leo tarehe 22 Septemba 2020, imemaliza utata kwamba, chama hicho hakina jinsi ispokuwa kuungana...

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif amuunga mkono Lissu, Membe na Zitto wasema…

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimetangaza kumuunga mkono Tundu Lissu, Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chadema katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020....

Habari MchanganyikoTangulizi

Fatma Karume: Nimefukuzwa

FATMA Karume, mwanasheria na mwanaharakati wa haki za binadamu nchini, amefukuzwa katika Kampuni ya Uanasheria ya IMMMA aliyoshiriki kuianzisha. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu apata kigugumizi Kigoma Mjini, kisa Zitto

TUNDU Lissu, mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amewaacha njia panda wanachama wa chama hicho Jimbo la Kigoma Mjini. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

ZEC yawaengua wagombea 15 Uwakilishi, 11 wa ACT-Wazalendo

TUME ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imewaengua wagombea 15 wa uwakilishi na saba wa udiwani, kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kukiuka masharti ya ujazaji...

Habari za SiasaTangulizi

NEC yaamua rufaa 616, CCM yakusanya majimbo 20

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania, imetoa mchanganuo wa rufaa 616 za Ubunge, Udiwani na malalamiko jinsi walivyozishughulikia huku wagombea ubunge...

Habari za SiasaTangulizi

Uchaguzi Mkuu 2020: Serikali haipaswi kufanya haya

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania, imebainisha mambo matatu yasiyopaswa kufanywa na Serikali wakati wa Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28...

Habari za SiasaTangulizi

Membe: Tumekimbiwa

BERNARD Membe, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha ACT-Wazalendo amesema, mazingira magumu ya siasa kwa sasa, yamesababisha marafiki na wafanyabiashara kushindwa kuwasaidia. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Jino kwa jino CCM vs Chadema

NI jino kwa jino, ndivyo unavyoweza kusema baada ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo kwa pamoja kupiga yole...

Habari za SiasaTangulizi

Mgombea Ubunge CCM afariki dunia

SALIM Abdullah Turky (57), mbunge anayemaliza muda wake katika jimbo la Mpendae, Unguja, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), amefariki dunia. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....

error: Content is protected !!