Thursday , 28 March 2024

Tangulizi

MAIN STORY: Minimum – a picture, video, audio and pull-quote. It might also include a picture gallery, a text box (2 paragraphs – linking to a profile), a time line, a fact file (list of bullet points), Q&A, a map and embedded tweet(s).

KimataifaTangulizi

Mchungaji afungwa miaka 140 jela, amlaumu shetani

BONIFACE Amani Gichina, Mchungaji wa Kanisa la Living Faith Church maarufu Winners’ Chapel International, nchini Kenya amefungwa jela miaka 140 kwa kuwapa mimba...

KimataifaTangulizi

Facebook wamnyoosha Museveni, ajibu mapigo

MTANDAO wa kijamii wa Facebook umefungia akaundi zinazoshabikia Chama Tawala cha Uganda, NRM kinachoongozwa na rais wa nchi hiyo, Yoweri Museveni. Inaripoti mitandao...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bosi Takukuru atangaza mabadiliko ya viongozi

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (Takukuru), imefanya mabadiliko ya uongozi, sambamba na kuanzisha huduma inayotembea (Mobile PCCB), kwa ajili ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Waziri Mwambe asema corona imepandisha bei ya mafuta ya kula

WAZIRI wa Viwanda na Biashara nchini Tanzania, Geofrey Mwambe amesema, kupanda kwa bei ya mafuta ya kula, kumesababishwa na mfumuko wa bei ya...

Habari za SiasaTangulizi

Alichokisema Rais Mwinyi miaka 57 ya Mapinduzi

RAIS wa Zanzibar, Hussein Mwinyi, amewaomba Wazanzibar kushirikiana na Serikali yake kufanya mageuzi ya kiuchumi, ili kuyaenzi mapinduzi matukufu ya tarehe 12 Januari...

Tangulizi

Rais Kikwete afuata nyayo za Mkapa

RAIS mstaafu wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, ameanza kujiandikia kitabu kitakachoeleza historia ya maisha yake. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam …...

Habari za SiasaTangulizi

Magufuli aizungumzia Chato

RAIS wa Tanzania, John Magufuli amesema Wilaya ya Chato iliyoko mkoani Geita, ilianza kujengwa na Baba wa Taifa, Hayati Julius Nyerere. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Magufuli, Nyusi waweka jiwe la msingi hospitali ya Kanda Chato

MARAIS John Magufuli wa Tanzania na Filipe Nyusi wa Msumbiji, wametoa maagizo kwa watendaji wanaosimamia ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Chato...

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif aripoti ofisini kwake, atoa maagizo

MAALIM Seif Sharif Hamad, Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar, amewataka watumishi wa ofisi yake, wanakuwa nadhifu kuanzia mavazi mpaka maeneo yao...

KimataifaTangulizi

Ndege yenye abiria 62, yapotea

NDEGE ya Kampuni ya Sriwijaya Air, aina ya Boeing 737 imepoteza mawasiliano na haijulikani ilipo. Inaripoti mitandao ya kimataifa…(endelea). Taarifa zinaeleza, ndege hiyo...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Bashiru ‘amshambulia’ Mbowe

DAKTARI Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), amekinzana na kauli aliyoitoa Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

Tangulizi

Elon Musk: Mtu tajiri zaidi duniani

KWA mujibu wa taasisi ya Bloomberg Billionaires Index na Forbes Real Time Billionaires, Elon Musk ambaye ni Mmiliki wa Kampuni ya Tesla na...

Habari za SiasaTangulizi

SUK ni ‘sherehe’ Z’bar

UAMUZI wa Chama cha ACT-Wazalendo kushiriki katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa visiwani Zanzibar (SUK), unaonekana kuwa wa busara. Anaandika Mwandishi Wetu, Zanzibar…(endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Upinzani una faida kubwa kwa Nchi – Aman Karume

DK. Aman Abeid Karume, rais mstaafu wa Zanzibar amesema, kukosekana kwa wawakilishi wa vyama vya upinzani bungeni na  Baraza la Wawakilishi, kunachochea Serikali...

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif aeleza tiba ajira za ubaguzi Z’bar

MAALIM Seif Sharif Hamad, Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, ameeleza kuanzishwa kwa mfumo mpya wa ajira ikiwa ni hatua za kutibu ubaguzi...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Karume, azungumzia muungano wa Maalim Seif na Dk. Mwinyi

RAIS mstaafu wa Zanzibar, Aman Abeid Karume, amesifu hatua ya Maalim Seif Sharif Hamad, kukubali kujiunga katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa visiwani...

MichezoTangulizi

Hawa ndio wababe 16 watakaokutana na Simba hatua ya makundi

BAADA ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya FC Platinum kwenye mchezo wa raundi ya kwanza ya Kombe la Ligi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe: Msiogope

FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amewataka Watanzania waliosimama na upinzani katika uchaguzi mkuu uliopita mwaka 2020, wasiogope. Anaripoti Mwamdishi...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo: Membe ametupa funzo  

HATUA ya Bernard Membe, aliyekuwa mshauri mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, kukitelekeza chama hicho, imekera viongozi wake. Anaripoti Brigthness Boaz, Dar es Salaam...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mvua yaelezwa chanzo ajali ya treni iliyoua, kujeruhi

WATU watatu, wamefariki dunia na wengine 66, kujeruhiwa katika ajali ya treni iliotokea jana Jumamosi jioni tarehe 02 Januari 2021, maeneo ya Kigwe...

Habari za SiasaTangulizi

Membe aimwaga ACT-Wazalendo

ALIYEKUWA mgombea urais kupitia chama cha ACT Wazalendo, Bernard Membe ametangaza rasmi kujiuzulu uanachama na na nafasi ya mshauri mkuu wa chama hicho....

Habari za SiasaTangulizi

TRA yaweka historia, yakusanya Trilioni 2 Desemba

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imeweka historia ya makusanyo ya mapato kwa Desemba 2020, kwa kukusanya Sh.2.088 trilioni. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...

Habari za SiasaTangulizi

Masharti yatolewa kuuaga mwaka 2020, mwisho saa 6:30 usiku

WAZIRI wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, George Simbachawene amepiga marufuku, makongamano ya dini au mikutano ya mikesha inayofanyikia viwanja vya wazi usiku...

Habari za SiasaTangulizi

Takukuru yaiokoa Tanesco, yawaonya wakandarasi 16

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) nchini Tanzania, imerejesha vifaa ghafi vya umeme vya zaidi ya Sh.1.2 bilioni kwa Shirika la...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Mwinyi abaini ufisadi taasisi za umma ‘tutawagusa wote’

RAIS wa Zanzibar, Hussein Mwinyi amesema, katika kipindi kifupi alichokaa madarakani, amebaini ubadhirifu wa fedha za umma katika taasisi za Serikali. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Magufuli asimulia alivyonusurika kifo, atua Chato

RAIS wa Tanzania, John Magufuli, amekagua maendeleo ya ujenzi wa daraja la Kigongo – Busisi, lililopo jijini Mwanza, litakalokuwa na urefu wa 3.2...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mdee waanzisha vita mpya Chadema

HATUA ya Halima James Mdee na wenzake 18, kushitaki Kamati Kuu (CC) ya (Chadema, mbele ya Baraza Kuu la taifa (BKT), yaweza kuwa...

Habari za SiasaTangulizi

Vigogo TPA wasimamishwa, bandari tano kuchunguzwa na CAG

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amemuagiza Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kufanya ukaguzi maalum Bandari za Dar es Salaam, Mwanza,...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yaibwaga CCM, ACT-Wazalendo

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeshinda Tuzo ya Watu, Taasisi na Chapa, zinazoongoza mtandaoni (Tanzania Digital Awards), kwenye kipengele cha chama bora cha...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Bagonza: Amani hailetwi kwa majeshi

ASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania  (KKKT), Dayosisi ya Karagwe mkoani Kagera, Dk. Benson Bagonza, amani hailetwi kwa majeshi, itikadi yoyote...

Habari za SiasaTangulizi

Tundu Lissu: Kazi ya kudai haki inaendelea vizuri

TUNDU Antipas Lissu, aliyekuwa mgombea urais wa Tanzania katika uchaguzi mkuu uliyopita, bado yuko kwenye makazi yake nchini Ubelgiji na anasema, “mapambano yanaendelea.”...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ampa mtihani mzito JPM

PROFESA Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), amekitaka Chama Cha Mapinduzi (CCM), kufuta mfumo wa vyama vingi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari za SiasaTangulizi

Mwaka 2020: Vigogo wengi wameanguka

HAUKUWA mwaka mzuri kwa baadhi ya wanasiasa nchini Tanzania na ulimwenguni kwa ujumla, kufuatia wanasiasa na watu wengine mashuhuri, kufariki dunia.  Anaripoti Saed...

ElimuHabari MchanganyikoTangulizi

Majina ya wanafunzi waliochaguliwa kidato cha kwanza haya hapa

ORODHA ya majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza Tanzania Bara kwa mwaka 2021 yametangazwa. Anaripoti Mwaindishi Wetu, Dodoma … (endelea)....

Habari MchanganyikoTangulizi

Gavana Sonko ang’olewa rasmi madarakani

BUNGE la Seneti nchini Kenya, limepiga kura kumuondoa malakani aliyekuwa Gavana wa Nairobi, Mike Mubuvi Sonko, kufutia kupatikana na matumizi mabaya ya ofisi. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Mwaka 2020 mchungu kwa Mangula

  PHILIP Japhet Mangula, Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), alichungulia kaburi katika mwaka huu wa 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea)....

Habari MchanganyikoTangulizi

Jafo atangaza waliochaguliwa kidato cha kwanza 2021

SERIKALI ya Tanzania imesema, wanafunzi 759,706 sawa na asilimia 91.1 ya wanafunzi waliofaulu mtihani wa darasa la saba 2020, wamechaguliwa kujiunga na masomo ya...

ElimuHabari MchanganyikoTangulizi

WhatsApp yatumika udanganyifu wa mitihani, 65 mbaroni

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Kagera, inawashikilia wanafunzi 38 wa Chuo cha Ufundi (VETA) Wilaya ya Bukoba mkoani...

Habari za SiasaMakala & UchambuziTangulizi

Maumivu ya wapinzani, vigogo 2020

SAFARI ya kuhitimisha siku 365 za mwaka 2020 inaelekea ukingoni huku ikiwa imeshuhudia machozi na damu kwa wanasiasa hususan wa upinzani, wanaharakati pamoja...

Habari za SiasaTangulizi

Madiwani ACT-Wazalendo waapishwa, wabunge wamfuata Ndugai

MADIWANI wa Chama cha ACT-Wazalendo, wameanza kuapishwa leo Jumatatu tarehe 14 Desemba 2020 huku wabunge wateule wakiwa kwenye maandalizi ya kuelekea Dodoma kwa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Askofu Bagonza: Niko salama, nitawashtaki kwa Mungu

ASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe mkoani Kagera amesema, “mimi niko salama, naendelea na majukumu yangu kama...

Habari za SiasaTangulizi

Aliyeshindwa kuapa, aombewa kazi kwa JPM

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewaomba Watanzania kumwombea Mbunge wa Kilwa Kaskazini Mkoa wa Lindi, Francis Ndulane aliyeshindwa kuapa kuwa Naibu Waziri...

Habari za SiasaMakala & UchambuziTangulizi

Makamu wa Kwanza wa Rais Z’bar, ‘mweupeee’

MAKAMO wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seiff Sharif Hamad, hana mamlaka ya “kutumbua, kuteua; na au kushika kiti cha urais, ikiwa...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema wamshangaa Ndugai, wahoji ‘tunakwendaje mahakamani?’ 

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeshangazwa na kauli ya Spika wa Bunge, Job Ndugai, kuwa hana mamlaka ya kuwafukuza bungeni, Halima Mdee...

Habari za SiasaTangulizi

Lema apata hifadhi ya ukimbizi Canada

ALIYEKUWA Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema amepata hifadhi ya ukimbizi ya kisiasa nchini Canada. Anaripoti Mwandishi Wetu, Nairobi … (endelea). Lema...

Habari za SiasaTangulizi

Magufuli aapisha timu yake ya mawaziri 

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amewaapisha mawaziri na manaibu waziri aliowateua tarehe 5 Desemba 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Uapisho...

Habari za SiasaTangulizi

Spika Ndugai awapiga ‘stop’ Chadema ‘nendeni NEC au mahakamani’              

JOB Ndugai, Spika wa Bunge la Tanzania, amekitaka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kwenda Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) au mahakamani,...

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif akubali yaishe, akumbusha machungu ya uchaguzi 

HATIMAYE Maalim Seif Hamad, mwenyekiti wa Chama cha ACT- Wazalendo, amekubali yaishe. Ameapishwa kuwa Makamo wa Rais wa Kwanza, katika serikali ya Umoja...

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif kurejea tena Ikulu leo

RAIS wa Zanzibar, Hussein Ali Mwinyi leo Jumanne tarehe 8 Desemba 2020, atamwapisha Maalim Seif Sharif Hamad kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo wakubali kuingia Ikulu Z’bar

CHAMA cha ACT – Wazalendo, kimekubali kuungana na Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi kuunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK), visiwani Zanzibar. Anaripoti...

error: Content is protected !!