Friday , 29 March 2024

Tangulizi

MAIN STORY: Minimum – a picture, video, audio and pull-quote. It might also include a picture gallery, a text box (2 paragraphs – linking to a profile), a time line, a fact file (list of bullet points), Q&A, a map and embedded tweet(s).

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo wataka Askofu Mwamakula kuachiwa huru, asidhihakiwe

  CHAMA cha ACT-Wazalendo nchini Tanzania, kimelaani hatua ya jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam, kumkamata na kumshikilia Askofu Dk. Emmaus Mwamakula,...

Habari za SiasaTangulizi

Kikwete: Nimempoteza mtu wa karibu katika maisha yangu

  RAIS mstaafu wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete amesema, taifa limempoteza mzalendo wa dhati na mtetezi shupavu wa Mapinduzi ya Zanzibar, Dk....

AfyaTangulizi

Madaktari: Kuna ongezeko la wagonjwa, watahadharisha

  CHAMA cha Madaktari nchini (MAT), kimewataka wananchi kuwa makini kutokana na ongezeko la wagonjwa wenye matatizo ya kupumua. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari MchanganyikoTangulizi

Baba wa Profesa Mwandosya afariki dunia

  PROFESA Mark Mwandosya, waziri wa zamani katika utawala wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete, ameeleza kuumizwa na kifo cha baba yake mdogo,...

Habari za SiasaTangulizi

Pigo CCM, Mzee Seif Khatibu afariki

  DAKTARI Mohmmed Seif Katibu, aliyewahi kuwa Mkuu wa Oganizesheni wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na waziri katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano...

Habari MchanganyikoTangulizi

BAKWATA yatoa magizo kuikabili corona

  BARAZA Kuu la Waislam Tanzania (BAKWATA), limeelekeza misikiti yote kufanya maombi maalumu (kusoma dua) kwa ajili ya kumuomba Munga kuliepusha taifa na...

Habari MchanganyikoTangulizi

COVID-19: Sheikh Ponda aungana na KKKT, Katoliki

SHEIKH Ponda Issa Ponda, Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam nchini, amepongeza miongozo iliyotolewa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiinjiki la...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mil 5 zamtesa Joyce Kiria

JOYCE Kiria, Mwanaharakati wa masuala ya wanawake, anasaka Sh. 5 Mil ili kulipa faini baada ya kuweka maudhui mtandaoni bila kufuata sheria. Anaripoti...

Habari MchanganyikoTangulizi

Majaliwa awanyooshea kidole wanufaika mikopo elimu ya juu

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amewataka wanufaika wote wa mikopo ya elimu ya juu nchini humo, ambao bado hawajajitokeza na kuanza...

Tangulizi

Mahakama ya ICC yapata mwendesha mashtaka mpya

  NCHI wanachama wa mkataba wa Roma ulioanzisha Mahakama ya Kimataifa ya uhalifu dhidi ya binadamu (ICC), umemchagua mwanasheria kutoka Uingereza, Karim Khan...

MichezoTangulizi

Kushikiliwa kwa Namungo Angola, Majaliwa atoa neno

  SAA chache mara baada ya msafara wa Namungo kuzuiliwa kwenye Uwanja wa ndege wa Luanda Angola, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano...

MichezoTangulizi

Simba yaigeuzia kibao AS Vita, yachukua pointi tatu

  PENALTI ya dakika 60 ya mchezo iliwekwa kambani na Chriss Mugalu ilitosha kuipatia Simba pointi tatu kwenye mchezo wa ugenini dhidi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mwanasiasa mkongwe Bakari Mwapachu afariki dunia

  HARITH Bakari Mwapachu (81), waziri mwandamizi wa zamani amefariki dunia alfajiri ya kuamkia leo Ijumaa tarehe 12 Februari 2021, Hospitali ya Taifa...

HabariTangulizi

Serikali ya Tanzania: Hatujasema hatuna corona

  SERIKALI ya Tanzania imeeleza, haijawahi kusema haina maambukizi ya virusi vya corona (Covid-19). Anaripoti Regina Mkonde …(endelea). “Hatujawahi kusema, hatuna virusi vya...

Habari za SiasaTangulizi

Magufuli amsulubu hadharani mbunge Abood

  RAIS wa Tanzania, John Magufuli ameeleza kutamani mfanyabiashara Rostam Azizi kugombea Jimbo la Morogoro Mjini, ili kumng’oa Abdul-Aziz Abood, mbunge wa jimbo...

Habari za SiasaTangulizi

Mdee ‘apindua’ kauli ya Rais Magufuli

  WAKATI Rais wa Tanzania, John Magufuli akisisitiza kwa wananchi ataendelea kutoa elimu bure, Halim Mdee ambaye ni mbunge asiye na chama baada...

Habari za SiasaTangulizi

Katibu CCM asimamishwa kwa rushwa, Magufuli asema…

  KATIBU wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Morogoro, Shaka Hamidu Shaka, amesimamishwa kazi na chama hicho, kupisha uchunguzi wa tuhuma za...

Habari za SiasaTangulizi

Kisasi cha TRA: Gambo ahoji hatma St. Jude, Spika ataka majibu

  SAKATA la Shule ya St. Jude, iliyoko jijini Arusha, kukabiliwa na ukata uliosababishwa na fedha zake kuzuiliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania...

MichezoTangulizi

Kim Poulsen atua Bongo kuchukua mikoba ya Etienne, sababu za kufukuzwa zaelezwa

  INAELEZWA tayari Kim Poulsen kocha raia wa Denmark yupo nchini kwa ajili ya kukaimu kwa muda nafasi ya aliyekuwa kocha wa Timu...

MichezoTangulizi

Mtifuano Ligi Kuu raundi ya pili

  MZUNGUKO wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara utaanza kesho tarehe 11 Februari 2021, huku kukiwa na kitendawili kikubwa kwenye kumpata bingwa...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo ‘wamtesti’ Dk. Mwinyi

  CHAMA cha ACT- Wazalendo, kimemshauri Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi kuunda “tume ya maridhiano” ili kutibu vidonda vya uchaguzi mkuu uliyopita,...

Habari za SiasaTangulizi

Wapinzani washangaa wabunge CCM kujipendekeza kwa Magufuli

KASI ya “kujipendekeza” ya baadhi ya wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kwa Rais wa Tanzania, John Magufuli, imeshangaza waengi, wakiwamo viongozi wa...

Habari za SiasaTangulizi

Simulizi ya mwanasiasa mkongwe wa upinzani, Anthony Komu

  ANTHONY Calist Komu, mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania amesema, ndoto zake zilikuwa awe padre, lakini akajikuta anakuwa mwanasiasa. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...

Habari za SiasaTangulizi

Arcado Ntangazwa afariki dunia

  WAZIRI wa zamani katika serikali za awamu ya Kwanza, Pili na Tatu, Arcado Ntagazwa (75) na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mdee aivuruga serikali, waziri amvaa

  HALIMA Mdee, mbunge asiye na chama bungeni, amekosoa Mpango wa Maendeleo wa Serikali, kwamba ‘hakuna kitu.’ Anaripoti Mwandshi Wetu, Dodoma…(endelea). Akichangia mpango huo...

Habari za SiasaTangulizi

Moto Katiba Mpya wachipuka upinzani

  KASI ya kutaka Katiba Mpya kabla ya uchaguzi mkuu 2025, imevisukuma vyama vya upinzani kutaka kuungana. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam...

Habari za SiasaTangulizi

Ajenda 5 zimewapeleka ACT-Wazalendo bungeni

  CHAMA cha ACT-Wazalendo kimesema, kimewapeleka wanachama wake wanne bungeni ili wakasimamie ajenda tano za chama hicho. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Sakata la Mdee, wenzake: Prof. Safari, Lissu watofautiana

  WAKATI Tundu Lissu, Makamu mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), akieleza chama hicho ‘kujivuwa’ kuwapeleka mahakamani Halima Mdee na wenzake,...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Mwinyi atumia mbinu ya JPM kuwabana mafisadi Z’bar

  HATUA iliyochukuliwa na Rais John Magufuli kuanzisha Mahakama ya Mafisadi mwaka 2016, mahakama hiyo sasa inaanzishwa visiwani Zanzibar. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar...

MichezoTangulizi

Mwenyekiti Mpya Simba aanza na AS Vita, kutangulia DR Congo kesho

  MWENYEKITI mpya wa klabu ya Simba, Murtaza Mangungu ameanza kazi kwa kasi katika kuhakisha timu hiyo inafanya vizuri kwenye michuano kimataifa kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge CCM ‘aichana’ serikali

JOSEPH Msukuma, Mbunge wa Shinyanga Vijijini amesema, serikali imekuwa ikiwekeza mabilioni ya fedha katika miradi ambayo haina faida kwa Taifa. Anaripoti Mwamdishi Wetu,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Ebola yaibuka tena Congo

MLIPUKO wa Virusi vya Ebola, umeibuka tena Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea). Taarifa ya mlipuko huo, imetolewa na...

MichezoTangulizi

Nkamia aanguka uchaguzi Simba

  ALIYEKUWA Mbunge wa Chemba, Juma Nkamia ameangukia pua kwenye uchaguzi wa klabu ya Simba baada ya kushindwa na Murtaza Mangungu kwa tofauti...

Habari za SiasaTangulizi

Mjadala JPM kuongezewa muda uachwe huru – Butiku

  JOSEPH Butiku, Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, ametaka mjadala wa Rais John Magufuli kuongezewa muda wa kutawala, uachwe huru. Anaripoti Regina...

Habari za SiasaTangulizi

Katiba Mpya, Tume Huru,Masheikh Uamsho, vyatikisa Bunge

MALALAMIKO kuhusu katiba mpya, tume huru ya uchaguzi, muungano na masheikh wa Uamsho viliibuka bungeni wakati wa mjadala wa Hotuba ya Rais John...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu abadili mbinu kumng’oa Mdee, wenzake bungeni

  TUNDU Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amebadili mbinu ya kuwakabili Halima Mdee na wenzake 18 kuwazuia kuhudhuria...

Habari za SiasaTangulizi

Lema arusha dongo bungeni

  LICHA ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa na wabunge kutoka upinzani, Godbless Lemba ambaye alikuwa Mbunge wa Arusha Mjini...

MichezoTangulizi

Simba yajitolea kutangaza Utalii Tanzania

  UONGOZI wa klabu ya Simba umekubaliana na Wizara ya Maliasili na Utalii kutangaza nchi kupitia jezi zao watakazotumia kwenye michuano ya Ligi...

Habari za SiasaTangulizi

Ndugai aeleza kinachowaangusha wabunge kurejea bungeni

  JOB Ndugai, Spika wa Bunge la Tanzania, ametahadharisha wabunge, wasikae kimya vinginevyo watashindwa kurudi bungeni mwaka 2025. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …...

MichezoTangulizi

Yanga kujipima nguvu na African Sports

  KIKOSI cha Yanga kitashuka dimbani kuikabili African Sports kwenye mchezo wa kupima nguvu utakaochezwa majira ya saa 1 usiku kwenye dimba la...

MichezoTangulizi

Simba yala kiporo, yaisogelea Yanga

  USHINDI wa mabao 2-1, dhidi ya Dodoma jiji FC, umeifanya Simba kuondoka na pointi tatu muhimu kwenye Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma,...

HabariTangulizi

Maalim Seif afikisha siku ya tisa hospitalini

  MAKAMO wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Shariff Hamad, bado anaendelea kupata matibabu katika hospitali kuu ya Mnazi Mmoja, Visiwani Unguja....

Makala & UchambuziTangulizi

Katiba Mpya: Tuanzie pale alipoishia Jaji Warioba

  PROFESA Ibrahim Haruma Lipumba, mwenyekiti wa taifa wa Chama cha Wananchi (CUF), ametonesha kidonda kilichoanza kusahauliwa na pengine kutotaka kuguswa. Anaandika Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Safari afurahia Kiswahili kutumika mahakamani, atahadharisha

  PROF.  Abdallah Safari, wakili wa Mahakama Kuu nchini Tanzania na gwiji wa sheria za jinai katika Afrika Mashariki anasema, ni uamuzi sahihi...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kupangua wakurugenzi makao makuu

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimefanyia mabadiliko makubwa muundo wake wa sektarieti ya Kamati Kuu (CC), kwa lengo la kujipanga ili...

HabariTangulizi

Katibu Tawala Arusha afariki ajalini

  KATIBU Tawala Mkoa wa Arusha (RAS), Richard Kwitega, amefariki dunia leo Jumatano saa 9:30 alasiri, tarehe 3 Februari 2021, katika ajali ya...

MichezoTangulizi

Uhondo wa Ligi Kuu Bara kurejea kesho

  LIGI Kuu Tanzania Bara inarejea tena kesho kwa kupigwa michezo miwili, ambapo Simba itakuwa Ugenini kuikabili Dodoma Jiji FC kwenye Uwanja wa...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya North Mara: Kiswahili champandisha cheo Jaji

  RAIS wa Tanzania, John Magufuli amempandisha cheo Jaji Zepharine Galeba, Jaji wa Mahakama Kuu, Kanda ya Musoma kuwa Jaji wa Mahakama ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba aibua mjadala Katiba mpya mbele ya Magufuli

  PROFESA Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), amemkumbusa Rais wa Tanzania, John Magufuli kutekeleza ahadi yake aliyoitoa Mwaka 2015 ya...

Habari za SiasaTangulizi

Makamo wa  Kwanza wa Rais Zanzibar, athibitika kuugua Corona

  MAKAMO wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, amepata maambukizi ya virusi hatari vya Corona (Covid 19). Anaripoti Mwandishi...

error: Content is protected !!