Wednesday , 24 April 2024

Tangulizi

MAIN STORY: Minimum – a picture, video, audio and pull-quote. It might also include a picture gallery, a text box (2 paragraphs – linking to a profile), a time line, a fact file (list of bullet points), Q&A, a map and embedded tweet(s).

Habari za SiasaTangulizi

Sakata la DP World na bandari lafufuka upya

SAKATA la mkataba wa kiserikali kati ya Tanzania na Imarati ya Dubai, juu ya ushirikiano wa uwekezaji kwenye baadhi ya maeneo ya Bandari...

Habari za SiasaTangulizi

Maelfu waitikia maandamano ya Chadema Mbeya

MAELFU ya wafuasi na wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamejitokeza katika maandamano ya amani ya kudai katiba mpya na  tume...

Habari za SiasaTangulizi

Uvumilivu wamshinda Mbowe, aivaa familia ya Lowassa

  MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe ameeleza kusikitishwa na hatua ya familia ya Hayati Edward Lowassa kuandika historia ya waziri mkuu huyo mstaafu...

Habari za SiasaTangulizi

Mgawo wa umeme kuisha Machi, Bunge laongezea muda

  MGAWO wa umeme nchini unatarajiwa kumalizika Machi 2024, baada ya mtambo namba tisa wa Bwawa la Kuzalisha Umeme la Mwalimu Julius Nyerere,...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe awakaribisha Dk. Slaa, Mwabukusi Chadema

  MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, Freeman Mbowe, amemkaribisha aliyekuwa katibu mkuu wa chama hicho, Dk. Wilbroad Slaa, arejee...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Slaa: Sina doa na Lowassa

  MWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Dk. Wilbroad Slaa, ambaye alikuwa kinara kumtuhumu kwa ufisadi aliyekuwa Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa, amesema hana doa...

Habari za SiasaTangulizi

Mahakama yaamuru nyumba ya Mbowe ipigwe mnada

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Divisheni ya Kazi imetoa amri na kumteua dalali wa kukamata nyumba ya mtoto wa Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe,...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Chegeni adai ajali za kisiasa zimefupisha maisha ya Lowassa

Mbunge wa zamani wa Busega na rafiki wa karibu aliyekuwa Waziri Mkuu mstaafu, Hayati Edward Lowassa, Dk. Raphael Chegeni (CCM) amesema huenda mwanasiasa...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe kumuenzi Lowassa kwa maandamano

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amesema ataongoza maandamano ya amani ya kudai katiba mpya, ili kumuenzi aliyekuwa mgombea...

Habari za SiasaTangulizi

Familia ya Lowassa yafunguka, yamtaja Rais Samia

FAMILIA ya aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania, Hayati Edward Lowassa, imesema kiongozi huyo mstaafu alipigania uhai wake kabla ya mauti kumkuta. Anaripoti Regina...

Habari za SiasaTangulizi

CCM: Tumejifunza kwa Lowassa

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema yapo baadhi ya masuala kimejifunza kutoka kwa aliyekuwa kada wake na waziri Mkuu mstaafu, Hayati Edward Lowassa. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Kikwete: Lowassa ameacha alama

RAIS Mstaafu, Dk. Jakaya Kikwete, amesema Lowassa alikuwa na mchango mkubwa kwa maendeleo ya nchi na ameacha alama. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...

Habari za SiasaTangulizi

Jaji Warioba aeleza alivyomtuliza Lowassa baada ya kukatwa CCM

WAZIRI Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Warioba, amesema Hayati Edward Lowassa alikuwa kiongozi mwenye hekima na mvumilivu na kwamba hata alipokejeliwa na kuchafuliwa hakurudisha...

Habari za SiasaTangulizi

Mamia wajitokeza kumuaga Lowassa Karimjee

MAMIA ya watu wamejitokeza katika Viwanja vya Karimejee jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kuuaga mwili wa aliyekuwa Waziri Mkuu wa zamani,...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yaitega CCM kuhusu Lowassa

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeitaka Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kumuenzi Hayati Edward Lowassa, kwa kukamilisha mchakato wa upatikanaji katiba...

Habari za SiasaTangulizi

Mnyika ataja sababu kumpinga Lowassa Chadema

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mnyika, amesema sababu ya kupinga chama chake kumsimamisha Hayati Edward Lowassa kugombea urais...

Habari za SiasaTangulizi

Kikwete akwepa kuzungumzia alivyomuengua Lowassa 2015

RAIS mstaafu, Jakaya Kikwete ambaye alikuwa swahiba mkubwa wa Hayati Edward Lowassa kiasi cha kupewa jina la ‘Boys II Men,’ amekwepa kuzungumzia namna...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia kuongoza mazishi ya Lowassa Februari 17

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Rais Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuongoza mazishi ya Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Edward Lowassa yanayotarajiwa kufanyika Wilayani Monduli...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe: Nimempoteza rafiki hodari wa mabadiliko

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadem), Freeman Mbowe ameeleza kupokea kwa mshtuko na majonzi makubwa taarifa za kifo cha Waziri Mkuu...

Habari za SiasaTangulizi

Lowassa afariki dunia, magonjwa 3 yatajwa

Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Edward Lowassa (70) amefariki Dunia leo tarehe 10 Februari 2024 katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete Jijini...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yasogeza mbele maandamano Mwanza

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesogeza mbele maandamano ya amani ya kupinga miswada ya sheria za uchaguzi na kudai katiba mpya, hadi...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto aukacha Urais, ataka kurudi bungeni

KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo anayemaliza muda wake, Zitto Kabwe amesema hatogombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama chake kwenye...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kigogo Bakwata akatwa mkono, mtuhumiwa auawa

KATIBU wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA), Wilaya ya Bukoba Mjini, Hamza Zacharia Abdallah, amenusurika kifo baada ya kucharangwa mapanga yaliyomsababishia kupoteza...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu amjibu Kinana

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Bara, Tundu Lissu, amesema mazungumzo ya maridhiano kati ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na...

Habari za SiasaTangulizi

Wabunge wacharuka bungeni sakata la umeme

SAKATA la uhaba wa umeme limeteka mjadala wa taarifa ya  Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini kwa 2023, baada ya...

Habari za SiasaTangulizi

Samia amlilia Rais Namibia

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameeleza kusikitishwa na kifo cha Rais wa Jamhuri ya Namibia, Dk. Hage Gottfried Geingob kilichotokea leo Jumapili...

KimataifaTangulizi

Rais wa Namibia amefariki dunia

HAGE Gengob, Rais wa Namibia, amefariki dunia wakati akipokea matibabu hospitalini katika mji mkuu, Windhoek. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Makamu wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mzee Mwinyi alazwa hospitali

Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mzee Ali Hassan Mwinyi amepelekwa hospitali akiugua maradhi ya kifua. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Simai amjibu Rais Mwinyi “Nilisema ukweli”

NI ‘majibizano’! Ndivyo uanavyoweza kutafsiri kile kinachoendelea kati ya Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi na aliyekuwa Waziri wa Utalii na Mambo ya...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Dk. Mwinyi amgusa Simai, “atakayejiuzulu aseme ukweli”

RAIS Dk. Hussein Mwinyi ameapisha mawaziri wapya aliowateua hivi karibuni huku akiasa kwa anayeamua kujiuzulu “aseme ukweli.” Anaripoti Jabir Idrissa, Zanzibar…(endelea). “Kujiuzulu si...

AfyaTangulizi

Wanawake walalamikia ukubwa kondomu za kike, waomba zipunguzwe

Wataalamu wa afya wilayani Ileje mkoani Songwe wameagizwa kuanza kutoa elimu ya matumizi sahihi ya kondomu za kike ambazo zimelalamikiwa na  baadhi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yabanwa mgawo wa umeme, yaomba uvumilivu hadi Feb. 16

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amewaomba Watanzania waendelee kuvumilia makali ya mgawo umeme hadi tarehe 16 Februari mwaka huu ambapo majaribio ya...

Tangulizi

Serikali kufanya tathmini athari za kimazingira

Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais kwa kushirikiana na wizara za kisekta imeanza kufanya tathmini nchi nzima kubainisha maeneo yanayohitaji kufanyiwa maboresho...

Habari za SiasaTangulizi

Kamati: Isiwe lazima wakurugenzi kusimamia uchaguzi

Kamati ya kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria imependekeza kwamba sheria ya uchaguzi wa rais, wabunge na madiwani isiweke ulazima kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Bunge kuanza na miswada 3 ya uchaguzi

Mkutano wa 14 wa Bunge la 12 uliopangwa kufanyika kwa muda wa wiki tatu kuanzia kesho tarehe 30 Januari hadi tarehe 16 Februari...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Mwinyi apangua baraza la mawaziri

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amefanya mabadiliko ya Baraza la Mapinduzi kwa kuteua mawaziri wapya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Shule za serikali zang’ara matokeo kidato cha nne, 102 wafutiwa matokeo

BARAZA la Mitihani la Tanzania (NECTA), limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne uliofanyika Novemba 2023, ambapo watahiniwa 484,823 (87.65%) wamefaulu. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema watinga UN, RPC Dar ampa maelekezo Lissu

HATIMAYE Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetinga katika ofisi za Umoja wa Mataifa (UN), jijini Dar es Salaam, baada ya kuandamana Kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yaisimamisha Buguruni

Chama cha Chadema kimeibua shangwe kwa baadhi ya wananchi waliokuwa maeneo ya Buguruni jijini Dar es Salaam, huku Mwenyekiti wake Freeman Mbowe akiteka...

Habari za SiasaTangulizi

Mamia wajitokeza maandamano ya Chadema, Mbowe afunguka

MAMIA ya watu wamewasili katika maeneo ya Buguruni Sheli jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kushiriki maandamano ya amani yaliyoratibiwa na Chama...

Habari za SiasaTangulizi

RC Chalamila: Samia ameruhusu maandamano Chadema

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewataka wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kufanya maandamano yao kwa amani...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema wamuonya Chalamila

CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimemuonya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, asivuruge maandamano yao ya amani wanayofanya kupinga...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema waanza kuwasili vituo vya maandamano, Mbowe kuongoza Buguruni

BAADHI ya viongozi na wafuasi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wameanza kuwasili maeneo ya Buguruni Sheli jijini Dar es Salaam, kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Polisi yaruhusu maandamano ya Chadema

MAANDAMANO yasiyo na kikomo yaliyoandaliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kwa ajili ya kupinga miswada ya marekebisho ya sheria za uchaguzi...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge wa zamani Chadema atimkia CCM

MBUNGE wa zamani wa viti maalum kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Upendo Peneza, amejiunga rasmi na Cha Mapinduzi (CCM), akidai chama...

Habari za SiasaTangulizi

Samia aipa kibarua JWTZ kuelekea chaguzi, aeleza ilivyomweka madarakani

AMIRI Jeshi Mkuu wa nchi na Rais, Dk. Samia Suluhu Hassan, amelitaka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na vikosi vingine vya ulinzi...

Habari za SiasaTangulizi

Papa Francis amualika Rais Samia Vatican

Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani, Baba Mtakatifu – Papa Francis amemualika Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kuitembelea...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Malasusa asimikwa rasmi mkuu KKKT, aweka msimamo ukaribu wake na Serikali

HATIMAYE  Mkuu wa Kanisa la Kiinjili  na Kilutheri Tanzani (KKKT) Askofu Dk. Alex Malasusa amesimikwa rasmi leo Jumapili na kubainisha msimamo wake kwamba...

Habari MchanganyikoTangulizi

TMA yatoa ufafanuzi wa mvua wa kubwa zinazoendelea kunyesha

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inapenda kutoa taarifa ya vipindi vya mvua kubwa vilivyojitokeza katika baadhi ya maeneo nchini. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu: Nitakuwepo Dar kushiriki maandamano ya amani

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) – Bara, Tundu Lissu ametangaza kushiriki maandamano ya amani yaliyoitishwa hivi karibuni na mwenyekiti...

error: Content is protected !!