Saturday , 25 March 2023

Tangulizi

MAIN STORY: Minimum – a picture, video, audio and pull-quote. It might also include a picture gallery, a text box (2 paragraphs – linking to a profile), a time line, a fact file (list of bullet points), Q&A, a map and embedded tweet(s).

HabariTangulizi

Rais Samia amlilia balozi aliyefariki ajalini

RAIS Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Balozi wa Tanzania nchini Austria, Celestine Mushy, kilichotokea katika ajali ya gari...

HabariHabari MchanganyikoTangulizi

Uhamiaji yaonya utapeli nafasi za ajira mpya

  IDARA ya Uhamiaji nchini Tanzania, imewataka Watanzania kuwa makini dhidi ya vitendo vya utapeli vilivyoibua katika mchakato wa maombi ya nafasi za...

PoliticsTangulizi

Mjadala deni ya Taifa: Chadema wataka mikataba ya mikopo iweke wazi

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeitaka Serikali iweke wazi mikataba ya mikopo inayokopa katika taasisi za kimataifa, ili kujua masharti yake na...

Habari za SiasaTangulizi

Sabaya aweka pingamizi rufaa ya Jamhuri

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Arusha kesho tarehe 14 Disemba, 2022 inatarajiwa kutoa uamuzi mdogo juu ya mapingamizi mawili yaliyowasilishwa na mawakili wa aliyekuwa...

HabariTangulizi

Dk. Samia atua Marekani, aridhia kuwa mwenyeji wa mkutano wa kilimo

RAIS Samia Suluhu Hassan ameridhia Tanzania kuwa mwenyeji wa mkutano mkubwa wa kilimo utakaohusisha viongozi, watu mashuhuri na wadau wapya 3,000. Uamuzi huo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Ukivaa kimini, mlegezo Rungwe faini Sh. 15,000

MKUU wa Machifu wilayani Rungwe mkoani Mbeya, Joel Mwakatumbula amewataka vijana kuacha tabia ya kuvaa suruali chini ya kiuno ‘mlegezo’ na wasichana kuacha...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe: Chadema haitafuti vyeo mazungumzo na Samia

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema mazungumzo ambayo chama hicho inafanya na Serikali ni ya wazi na wala...

MichezoTangulizi

Morocco yatinga nusu fainali, Ronaldo amwaga chozi

TIMU ya Taifa ya Morocco imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya mashindano ya Kombe la Dunia baada ya kuiondoa timu ya Taifa...

HabariTangulizi

Maadhimisho miaka 61 Uhuru: Rais Samia atuma ujumbe kwa Watanzania

  RAIS Samia Suluhu Hassan, amewataka Watanzania kuitumia siku ya maadhimisho ya miaka 61 ya uhuru wa Tanzania Bara, kutafakari namna ya kuongeza...

Habari za SiasaTangulizi

Kikwete amtaka Samia kuwa mkali ‘usivumilie upuuzi’

RAIS mstaafu Dk. Jakaya Kikwete ameushauri uongozi mpya wa CCM unaongozwa na Mwenyekiti Dk Samia Suluhu Hassan kuwa wakali na kutovumilia maneno yanayokigawa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Forbes yamtaja tena Dk. Samia miongoni mwa wanawake 100 wenye uwezo mkubwa duniani

  RAIS Samia Suluhu Hassan ametajwa na jarida la Forbes kwa mwaka wa pili mfululizo kuwa miongoni mwa wanawake 100 wenye ushawishi, nguvu...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Samia aomba radhi kauli ya Mzee Makamba ‘wazuri hawafi’

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan ambaye pia ni mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), amesema Katibu Mkuu mstaafu wa chama hicho, Yusuph...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Samia, Kinana na Dk. Mwinyi wapenya CCM

  MSIMAMIZI wa uchaguzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Ali Mohamed Shein ambaye ni Rais mstaafu wa Zanzibar leo tarehe 7 Disemba,...

Habari za SiasaTangulizi

CCM yaongeza wajumbe NEC kutoka 15-20

  NAFASI za idadi ya wajumbe wa Halmashauri Kuu (NEC), imeongezwa kutoka wajumbe 15 hadi 20 Tanzania Bara vivyo hivyo kwa upande wa...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mdee, wenzake yapigwa kalenda hadi Machi 2023

  KESI ya kupinga kuvuliwa uanachama wa Chama cha Chadema, iliyofunguliwa na wabunge viti maalum 19 katika Mahakama Kuu, Masjala Kuu, jijini Dar...

Tangulizi

Rita yataka wananchi kuandika mirathi, kutunza na kuhifadhi wosia

  WAKALA wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA), umewataka wananchi kuchangamkia huduma zinazotolewa na taasisi hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Akizungumza na...

Habari za SiasaTangulizi

Mahakama Kuu: Magufuli alivunja katiba kumuondoa ofisini Prof Assad kama CAG

MAHAKAMA Kuu Tanzania leo tarehe 5 Disemba, 2022 imetoa uamuzi kuwa Rais wa Awamu ya Tano, Dk. John Magufuli alivunja Katiba alipomwondoa Prof....

KimataifaTangulizi

Madaktari Uganda wapiga magoti kumuomba Museveni agombea muhula wa saba

KUNDI la madaktari nchini Uganda limezua mjadala mwishoni mwa wiki baada ya kupiga magoti mbele ya Rais wa muda mrefu wan chi hiyo,...

ElimuTangulizi

Tazama hapa matokeo ya Darasa la Saba 2022

  BARAZA la Mitihani la Tanzania (NECTA) leo Alhamisi limetangaza matokeo ya darasa la saba ambapo jumla ya watahiniwa 1,730,402 kati ya watahiniwa...

MichezoTangulizi

Ihefu yavunja rekodi ya Yanga, yaipiga 2-1

  WAKULIMA wa mpunga kutoka wilayani Mbarali mkoani Mbeya, Ihefu FC wameivunja rekodi ya Mabingwa wa Ligi Kuu Bara, Yanga SC. ya kutofungwa...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto Kabwe: Hatujafunga ndoa na CCM

  KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, ameeleza kuwa chama hicho ni tofauti na Chama Cha Mapinduzi (CCM), pamoja na vyama vingine...

Habari za SiasaTangulizi

Watunza kumbukumbu za umma sasa kula kiapo

  WATUNZA kumbukumbu na nyaraka za Serikali sasa watalazimika kula kiapo cha maadili ya kazi yao kutokana na kile kilichoelezwa ni unyeti wa...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu awavaa CCM

  MWENYEKITI wa Kamati ya Kitaifa ya Maaskofu na Mashekhe ya Maadili Amani na Haki za Binadamu kwa Jamii ya Madhehebu ya Dini...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yatinga Ulaya kudai katiba mpya, tume huru 

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kinafanya ziara barani Ulaya kwa ajili ya kutafuta uungwaji mkono na Jumuiya za Kimataifa katika msuala...

Habari za SiasaTangulizi

Uchaguzi huru na haki ni msingi wa demokrasia: Dk. Jingu

  KATIBU Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu, Dk. John Jingu, amefunga warsha ya siku nne kwa makamishna na maafisa...

Habari za SiasaTangulizi

Waziri Mbarawa atoa ripoti ajali ya ndege hadharani, “mhudumu ndiye aliyefungua mlango”

  SERIKALI ya Tanzania, imetoa taarifa rasmi kuhusu ripoti ya awali ya uchunguzi wa ajali ya ndege ya Precision Air, ikisema ilitumbukia ziwani...

Tangulizi

Bashe asema Tanzania haina njaa, akiri bei juu ya mazao

  WAZIRI wa Kilimo nchini Tanzania, Hussein Bashe, amekanusha uwepo wa baa la njaa nchini humo lakini amekiri kupanda kwa bei za mazao....

Habari MchanganyikoTangulizi

Mgawo wa umeme kuisha Disemba

  SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco) limesema ifikapo mwishoni mwa Disemba 2022, linategemea kupata megawati 65 kupitia Kinyerezi l, megawati 45 na Ubungo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Ripoti ya ajali ya ndege Bukoba: Vikosi vya uokoaji vilichelewa kufika

TAARIFA ya awali ya ripoti ya ajali ya ndege ya shirika la Precision iliyotokea katika eneo la Ziwa Victoria Tanzania, imetolewa leo Jumanne...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kocha wa Simba, Cambiasso wafikishwa mahakamani kwa dawa za kulevya

MWALAMI Sultan, aliyekuwa Kocha wa makipa wa Klabu ya Simba na mmiliki wa Kituo cha Soka cha Kambiasso Sports Academy, Kambi Seif na...

Habari za SiasaTangulizi

Rushwa yasababisha chaguzi 3 CCM kusimamishwa

  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesimamisha chaguzi tatu kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali ikiwemo za rushwa zilizoibuliwa, ili kuchukua hatua kwa ajili ya...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia awafunda mabalozi, awapa mwelekeo mpya

  RAIS Samia Suluhu Hassan amewataka mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania nje ya nchi kuangalia vipaumbele vya Taifa ikiwemo kufanya mapitio ya sera ya mambo...

Tangulizi

Dawa za kulevya zaibua viongozi wa dini

  MWENYEKITI wa Kamati ya Kitaifa ya Maaskofu na Mashekhe ya Maadili Amani na Haki za Binadamu kwa Jamii ya Madhehebu ya Dini...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mkurugenzi TAA ataja sababu ndege ATCL kushindwa kutua Bukoba

  MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Mussa Mbura amesema sababu ya ndege ya ATCL kushindwa kutua katika Uwanja...

Habari za SiasaTangulizi

ACT hatarini kujiondoa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar

  KAMATI maalum ya Kamati Kuu ya ACT-Wazalendo upande wa Zanzibar, imeagiza Sekretarieti ya chama hicho kuratibu vikao vya viongozi na wanachama kwa...

Tangulizi

Mbunge ajiuzulu kwa kuendesha gari akiwa amelewa

  MBUNGE wa Rwanda, Gamariel Mbonimana ambaye alijiuzulu ubunge juzi tarehe 14 Novemba, 2022, ameomba msamaha kwa kuendesha gari akiwa mlevi. Inaripoti Mitandao...

Habari MchanganyikoMichezoTangulizi

Kocha Simba, Cambiasso, Matola mbaroni kwa dawa za kulevya

  JUMLA ya watuhimiwa 11 wamekamatwa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) ikiwamo Kocha wa makipa wa Klabu ya...

Habari za SiasaTangulizi

Baraza la Mawaziri latoa maelekezo ajali ya Precision

BARAZA la Mawaziri nchini Tanzania limeelekeza vitengo vyote vinavyohusika na kukabiliana na majanga viimarishwe ili kuongeza uwezo wa kukabiliana na majanga. Anaripoti Mwandishi...

MichezoTangulizi

Yanga waikamua Kagera Sugar, warejea kileleni

KLABU ya Soka la Yanga imeibuka na ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya Kagera Sugar na kurejea kileleni mwa Ligi Kuu Bara...

ElimuTangulizi

566,840 kidato cha IV kuanza mitihani ya Taifa kesho

WATAHINIWA 566,840 wa kidato cha nne nchini Tanzania wanatarajia kuanza mitihani yao ya Taifa kesho Jumatatu tarehe 14, Novemba, 2022. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia, Dk. Mwinyi kukutana na mabalozi 45 wa Tanzania

    JUMLA ya mabalozi 45 wanaoiwakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali duniani wanatarajiwa kukutana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia...

ElimuHabariTangulizi

Waziri Ndalichako aitaka CBE kujitanua zaidi mikoani

SERIKALI imevitaka vyuo kuzingatia mafunzo ya vitendo kwa wanafunzi vyuoni ili kuondoa malalamiko kutoka kwa waajiri kwamba wahitimu wengi wanahitimu bila kuwa na...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema waigomea Tume ya marekebisho ya Sheria, wataja sababu saba

CHAMA cha Demokrasis na Maendelea (Chadema) kimewaagiza viongozi wake ngazi kanda, mikoa na majimbo kutoshiriki vikao vinavyotarajiwa kuanza kesho na kuratibwa na Tume...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu: Tudai uwajibikaji ajali ya ndege Bukoba

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)- Bara, Tundu Lissu amesema kutokana na ajali ya ndege ya Precision Air iliyotokea Novemba...

Habari za SiasaTangulizi

Profesa Muhongo:Tumeshuka kutoka uchumi wa kati

MBUNGE wa Musoma Vijijini, Profesa Sospeter Muhongo, amesema Tanzania haipo tena miongoni mwa nchi za uchumi wa kati kwa vigezo vilivyotolewa na Benki...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mdee waendelea kuing’ang’ania Chadema mahakamani

  BAADHI ya wabunge viti maalum wameendelea kudai katika Mahakama Kuu, Masjala Kuu jijini Dar es Salaam, kwamba Chama cha Chadema kiliwateua kushika...

HabariTangulizi

Samia aagiza kijana aliyeokoa 24 aingizwe jeshini, aoga mamilioni

  RAIS Samia Suluhu Hassan leo Jumatatu ameagiza kijana Jackson Majaliwa, mvuvi wa Bukoba aliyewezesha uokozi wa abiria 24 wa ndege ya Precision...

HabariKitaifaTangulizi

Rais Samia atoa salamu za rambirambi kufuatia ajali ya ndege Bukoba

  RAIS wa Tanzania Samia Suluhu ametoa pole kwa wafiwa na majeruhi wa ajali ya ndege iliyotokea Jumapili huko Bukoba, Kagera. Watu 19...

Habari MchanganyikoTangulizi

Majina 19 waliofariki ajali ya ndege Bukoba yatajwa, wamo Rubani na msaidizi wake

  MAJINA ya watu 18 kati ya 19 waliofariki katika ajali ya ndege ya Precision Air iliyotokea leo Jumapili asubuhi katika Ziwa Victoria...

Habari MchanganyikoTangulizi

19 wafariki dunia ajali ya ndege Bukoba

WATU 19 wakiwemo abiria na wahudumu wamefariki dunia katika ajali ya ndege ya shirika la Ndege la Precision Air iliyotokea asubuhi ya leo...

error: Content is protected !!