MAIN STORY: Minimum – a picture, video, audio and pull-quote. It might also include a picture gallery, a text box (2 paragraphs – linking to a profile), a time line, a fact file (list of bullet points), Q&A, a map and embedded tweet(s).
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, amewataka viongozi wa chama hicho na watu wanaojaribu kumtenganisha Rais Dk....
By Regina MkondeMarch 26, 2024NANI aliyetaka kupindisha Katiba, ili aliyekuwa Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan, asiapishwe kurithi kiti cha urais baada ya John Magufuli, kufariki dunia,...
By Saed KubeneaMarch 25, 2024Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo) na Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema Tanzania imeendelea kuwa katika kundi la nchi zenye uchumi...
By Mwandishi WetuMarch 24, 2024Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ya Chama cha ACT-Wazalendo Abdul Nondo na wenzake wanne huenda wakafikishwa mahakamani tarehe 25 Machi kwa tuhuma za...
By Faki SosiMarch 23, 2024BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limekanusha madai ya taarifa kwamba mwaka jana wabunge wamejiongezea mishahara kutoka Sh 13 milioni hadi Sh...
By Mwandishi WetuMarch 23, 2024MAKAMU wa Rais, Dk. Phillip Mpango ametishia kujiuzulu endapo Wizara ya Maji, itashindwa kukamilisha ujenzi wa mradi wa maji wilayani Same, Mkoa wa...
By Mwandishi WetuMarch 21, 2024MTANZANIA aliyefahamika kwa jina Michael (Mike), anadaiwa kuuawa na rafiki yake aliyemfuata Afrika Kusini, kumdai pesa zake. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea)....
By Mwandishi WetuMarch 20, 2024TIMU ya wanasayansi kutoka Chuo Kikuu cha Amsterdam cha nchini Uholanzi imesema imefanikiwa kuondoa Virusi Vya Ukimwi (VVU) kutoka kwa chembechembe seli zilizoambukizwa...
By Mwandishi WetuMarch 20, 2024MJADALA kuhusu safari ya mwisho ya maisha ya Hayati Rais John Magufuli umeendelea kupamba moto baada ya Askofu Dk. Benson Bagonza wa Kanisa...
By Gabriel MushiMarch 19, 2024ALIYEKUWA Mkuu wa Majeshi nchini (CDF), Jenerali Venance Mabeyo, amesema Hayati Dk. John Magufuli, alijua kama siku zake za kuishi duniani zimekisha....
By Mwandishi WetuMarch 17, 2024SERIKALI imesema imeondoa dawa 178 katika kitita cha Mfuko wa Taifa wa Bima (NHIF), ili kupisha dawa bora zaidi zinazoendana na wakati wa...
By Mwandishi WetuMarch 16, 2024RAIS Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na utenguzi wa viongozi mbalimbali ikiwamo utenguzi Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo...
By Mwandishi WetuMarch 16, 2024WATU watano wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kwa tuhuma za kuandika uchochezi dhidi ya viongozi wakuu serikalini,...
By Mwandishi WetuMarch 14, 2024MKUU wa Mkoa mpya wa Songwe, Daniel Chongolo, amekabidhiwa jukumu la kudhibiti uhalifu wa kiuchumi unaotokea ndani ya mkoa huo hususan mpaka...
By Mwandishi WetuMarch 13, 2024RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ameonesha kutoridhishwa na baadhi ya wakuu wa mikoa na wilaya ambao wanashindwa kutatua changamoto za wananchi zilizokuwa...
By Mwandishi WetuMarch 13, 2024MWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Dk. Wilbroad Slaa, amekataa ombi la Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, kurejea katika chama...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2024Mahakama Kuu Divisheni ya Kazi kesho inatarajia kutoa uamuzi wa kukubali ama kuyakataa maombi ya Freeman Mbowe ya kutaka waandishi wa habari wanaodai...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2024RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi na kuwahamisha viongozi 12, ikiwa ni siku chache tangu alivyofanya mabadiliko ya baadhi ya viongozi wa...
By Regina MkondeMarch 12, 2024RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi na kuwahamisha vituo wakuu wa mikoa na wilaya, wakurugenzi pamoja na makatibu tawala. Anaripoti Regina Mkonde,...
By Regina MkondeMarch 9, 2024Rais Samia Suluhu Hassan amemteua aliyekuwa Katibu mkuu wa CCM, Daniel Godfrey Chongolo kuwa mkuu wa mkoa wa Songwe. Chongolo amechukua nafasi ya...
By Gabriel MushiMarch 9, 2024CHAMA cha ACT Wazalendo kimetangaza nia ya kujitoa kwenye Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam …...
By Faki SosiMarch 8, 2024Mtuhumiwa wa kutapeli na kudhulumu viwanja vya watu na kujimilikisha kinyume na utaratibu jijini Dar es salaam ajulikanae kama Paul Mushi leo Ijumaa...
By Mwandishi WetuMarch 8, 2024Mfanyabiashara Ramadhani Ntuzwe ‘Babu Rama’ aliyekuwa akipaza sauti katika vyombo mbalimbali vya habari kwa takribani miaka saba kwamba anaidai fidia ya Sh 987...
By Mwandishi WetuMarch 6, 2024RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi amesema baba yake hayati Ali Hassan Mwinyi, hakuacha wosia kwamba akifa azikwe Mkuranga mkoani Pwani na kwamba...
By Mwandishi WetuMarch 5, 2024KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, amesema kuna shuthuma nyingi zinaelekezwa kwake, lakini ameamua kukaa kimya kwa...
By Mwandishi WetuMarch 5, 2024KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo anayemaliza muda wake, Zitto Kabwe amesema hofu ndizo zinazowafanya baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa vya upinzani...
By Mwandishi WetuMarch 4, 2024Mtoto wa Hayati mzee Mwinyi, Abdullah Ali Hassan Mwinyi ameshindwa kujizuia na kumwaga machozi mbele ya waombolezaji wakati akitoa shukrani katika uwanja wa...
By Gabriel MushiMarch 2, 2024Mtoto wa Hayati Ali Hassan Mwinyi, Abdullah Ali Hassan Mwinyi amesema baba yao alikuwa mwanademokrasia wa kweli lakini pia hakuwa akitishika na mawazo...
By Gabriel MushiMarch 2, 2024Rais Samia Suluhu hassan amesema Hayati rais mstaafu, Ali Hassan Mwinyi alikuwa ni maktaba inayotembea na iliyosheheni vitabu vyenye mafunzo ya uadilifu, uzalendo,...
By Mwandishi WetuMarch 2, 2024RAIS Mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete amesema atamkumbuka na kumshukuru Hayati Ali Hassan Mwinyi kwakuwa ndiye aliyemuanzishia safari yake ya kisiasa...
By Gabriel MushiMarch 1, 2024WAZIRI Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba, amesema Hayati Mzee Ali Hassan Mwinyi, aliikuta nchi katika kipindi kigumu cha kiuchumi na kisiasa, lakini alifanikiwa...
By Regina MkondeMarch 1, 2024MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia, Freeman Mbowe amesema huwezi kuliacha jina la Ally Hassan Mwinyi unapotaja mageuzi nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)....
By Mwandishi WetuMarch 1, 2024RAIS Mstaafu, Dk. Jakaya Kikwete, amesema amepokea kwa mshtuko kifo cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi, kwa kuwa alikuwa...
By Regina MkondeMarch 1, 2024MWILI wa Rais Mstaafu, Ali Hassan Mwinyi unatarajiwa kuagwa kuanza leo Ijumaa saa nane katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. Anaripoti...
By Mwandishi WetuMarch 1, 2024MWILI wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili wa Tanzania, Ali Hassan Mwinyi, unatarajiwa kuzikwa tarehe 2 Machi 2024, mjini Unguja. Anaripoti Regina...
By Regina MkondeFebruary 29, 2024Rais Mstaafu wa awamu ya pili wa Tanzania, Ally Hassan Mwinyi amefariki dunia leo tarehe 29 Februri 2024 saa 11 jioni katika Hospitali...
By Mwandishi WetuFebruary 29, 2024RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali itaendelea kuruhusu vyama vya siasa vya upinzani kufanya shughuli zake kwa uhuru, ikiwemo kuandamana na kufanya...
By Mwandishi WetuFebruary 29, 2024MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umetangaza kuanza kutumika kwa maboresho mapya ya Kitita cha Mafao kwa wanachama ambapo yatataanza...
By Mwandishi WetuFebruary 28, 2024WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemwagiza Kamanda wa Polisi mkoa wa Mara, ACP Salum Morcase amkamate Mkuu wa Kitengo cha Fedha na Uhasibu wa...
By Mwandishi WetuFebruary 27, 2024WAGOMBEA Uenyekiti wa Ngome ya Vijana ya Chama cha ACT-Wazalendo, wamenadi sera zao katika mdahalo wa uchaguzi, wakiwaomba wajumbe wawachague kwenye uchaguzi utakaofanyika...
By Mwandishi WetuFebruary 27, 2024MIILI ya watu 25 waliofariki dunia katika ajali iliyohusisha lori la mizigo na magari matatu, iliyotokea katika Barabara Kuu ya Arusha-Namanga Ngaramtoni Kibaoni,...
By Mwandishi WetuFebruary 26, 2024MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), imeitaka Serikali kupiga marufuku malori ya mizigo kutembea barabarani wakati wa mchana ili kulinda...
By Mwandishi WetuFebruary 26, 2024Rais Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella kufuatia vifo vya watu 25 na majeruhi 21...
By Mwandishi WetuFebruary 25, 2024Watu 25 wamefariki dunia papo hapo mkoani Arusha katika ajali ya barabarani iliyohusisha magari matatu. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Kwa mujibu wa...
By Mwandishi WetuFebruary 24, 2024Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dk. Doto Biteko amekataza watendaji wa TANESCO kwenda likizo kipindi hiki cha changamoto za umeme...
By Mwandishi WetuFebruary 23, 2024Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Said Mussa Shaib amesema sanamu ya Baba wa Taifa...
By Mwandishi WetuFebruary 22, 2024Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Felchesmi Mramba amesema tatizo kubwa la mgawo wa umeme unaondelea sasa halitokani na udhaifu katika miundombinu ya...
By Mwandishi WetuFebruary 22, 2024WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe amesema hadi kufikia Juni mwaka huu amepanga kupeleka muswada wa sheria ili kuruhusu kampuni binafsi kutoka nje kuingiza...
By Mwandishi WetuFebruary 22, 2024Mkurugenzi Mkuu, Bodi ya Sukari Tanzania Prof. Kenneth Bengesi ameonja joto la jiwe kutoka kwa wahariri mbalimbali wa vyombo vya habari baada ya...
By Mwandishi WetuFebruary 22, 2024MKUTANO wa hadhara wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), uliokuwa unafanyika kwenye Viwanja vya Ruanda Nzovwe, umeahirishwa baada ya mvua kubwa kunyesha....
By Mwandishi WetuFebruary 20, 2024