Thursday , 30 March 2023

Tangulizi

MAIN STORY: Minimum – a picture, video, audio and pull-quote. It might also include a picture gallery, a text box (2 paragraphs – linking to a profile), a time line, a fact file (list of bullet points), Q&A, a map and embedded tweet(s).

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kuanza kuunguruma Mwanza, Mara

MWENYEKITI wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe anatarajiwa kuongozi jopo la viongozi wa chama hicho katika uzinduzi rasmi wa mikutano ya hadhara itakayofanyika jijini...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema wamvaa Nape, “asiturudishe zama za giza”

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimemtaka Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia na Habari, Nape Nnauye aviache vyombo vya habari vitimize wajibu...

Habari za SiasaTangulizi

CCM yapangua sekretarieti, Sophia Mjema amrithi Shaka

  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza safu mpya уа Wajumbe Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa (CC) na Wajumbe wa Sekretarieti ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Nauli mabasi ya mwendokasi kupanda Januari 16

  WAKALA wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART), umetangaza nauli mpya kwa watumiaji wa mabasi yaendayo haraka, zitakazoanza kutumika kuanzia tarehe 16 Januari 2023....

Habari za SiasaTangulizi

Lissu kurejea rasmi nchini Januari 25 baada ya miaka mitano uhamishoni

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu ametangaza kurejea nchi rasmi tarehe 25, Januari, 2023 ikiwa ni zaidi ya miaka mitano ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mvua yasababisha maafa Morogoro

MVUA mkubwa iliyoanza kunyesha usiku wa kuamkia leo Ijumaa, tarehe 13 Januari 2023 mkoani Morogoro, imesababisha maafa kwa wananchi wa baadhi ya maeneo...

Tangulizi

Kundi la 17 lenye wananchi 179 lahama Ngorongoro

  KUNDI la 17 la wananchi wanaohama kwa hiari kutoka eneo la Hifadhi ya Ngorongoro kwenda Kijiji cha Msomera na maeneo mengine limeondoka...

Habari za SiasaTangulizi

Miaka 59 ya mapinduzi Z’bar: ACT-Wazalendo yampa kibarua Rais Mwinyi

  CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimemtaka Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi, atimize ahadi yake ya kuondoa siasa za uhasama visiwani humo, kwa kuwa...

Habari za SiasaTangulizi

Walipa kodi wafikia milioni 4.4 nchini Tanzania

  SERIKALI imesema kwa kipindi cha miaka saba kumekuwepo na ongezeko kubwa la walipa kodi kutoka milioni 2.2 mwaka 2015/16 hadi milioni 4.4...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia awatolea uvivu vijana kuhusu ajira

  RAIS Samia Suluhu Hassan, amewataka vijana watumie mazingira mazuri ya kibiashara na uwekezaji yaliyopo nchini kujiajiri kwa kuwa Serikali kazi yake siyo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mtanzania aishiye Ujerumani aomba msaada kwa Rais Samia

MTANZANIA aishiye Ujerumani, Lucy Koble aliyeomba msaada kwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezidi kuomba msaada kwa kiongozi huyo mkuu wa nchi kwani...

Habari za SiasaTangulizi

CCM yajitabiria ushindi wa kishindo 2025

  CHAMA cha Mapinduzi (CCM), kimejitabiria kupata ushindi wa kishindo katika Uchaguzi Mkuu wa 2025. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba amtaka Rais Samia awe jasiri “Kuna watu hawapendi demokrasia”

MWENYEKITI wa Chama Cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba amemtaka Rais Samia Suluhu Hassan, kuwa jasiri akidai kwamba kuna baadhi ya watu hawapendi...

MichezoTangulizi

TFF: Fei Toto mchezaji halali wa Yanga

  KAMATI ya Sheria na Hadhi za Wachezaji wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imeamua kuwa Feisal Salum bado ni mchezaji...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mbatia nao kufanya mikutano ya hadhara

  WAFUASI wa Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, anayedaiwa kufukuzwa James Mbatia, wamepanga kufanya mikutano ya hadhara Januari 2023. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Makala & UchambuziTangulizi

Hawatatukana watafufua makaburi

  VYAMA vya siasa nchini Tanzania vimefunguliwa kutoka katika kifungo cha takribani miaka sita baada ya katazo lisilo la kikatiba wala kisheria la...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kuzindua mikutano ya hadhara kitaifa Januari 21

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kitazindua rasmi mikutano ya hadhara kitaifa tarehe 21 Januari 2023, ikifuatiwa na uzinduzi wa mikutano hiyo...

MichezoTangulizi

Kesi ya Fei Toto kusikilizwa kwa saa 3 TFF

  KESI ya kimkataba kati ya Feisal Salum (Fei Toto) dhidi ya klabu ya Yanga itasikilizwa kwa saa 3 na kamati ya Sheria...

Habari za SiasaTangulizi

CUF yatangaza kufanya mikutano ya hadhara, Prof. Lipumba kuunguruma Manzese kesho

  CHAMA cha Wananchi (CUF), kimetangaza kuanza mikutano ya hadhara huku kikiagiza matawi yake kuandaa mikutano hiyo. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam...

Habari za SiasaMakala & UchambuziTangulizi

Panda, shuka ya Diwani Athuman kabla na baada ya kung’olewa Ikulu

  HUENDA tarehe 5 Januari 2023, ikawa ni siku chungu kwa Kamishna Diwani Athuman, baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kutengua uteuzi wake...

Habari za SiasaTangulizi

Diwani Athuman ang’olewa Ikulu kabla ya kuapishwa

  RAIS Samia Suluhu Hassan, ametengua uteuzi wa Kamishna Diwani Athumani, katika nafasi ya Katibu Mkuu Ikulu, na kumteua Mululi Majula Mahendeka, kushika...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mwenyekiti UVCCM auawa kwenye fumanizi

MWENYEKITI wa Umoja wa Vijana  wa CCM (UVCCM) kata ya Kaselya Wilaya ya Iramba  mkoani Singida, Ramadhani Hamisi (30) ameuawa kwa kuchomwa na...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bei ya dizeli yazidi kupaa, ruzuku yawekwa kando

MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini huku mafuta...

ElimuHabariTangulizi

Tazama matokeo ya kidato cha pili hapa

BARAZA la Mitihani Tanzania (Necta) leo tarehe 4 Januari, 2023 limetangaza matokeo ya kidato cha pili na darasa la nne mwaka 2022. https://matokeo.necta.go.tz/ftna2022/ftna.htm

Habari za SiasaTangulizi

Samia amtumbua Balozi wa Tanzania UN, apangua safu TISS, Ikulu

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Balozi Hussein Katanga kuwa Balozi wa Kudumu wa Umoja wa Mataifa Mjini New York akichukua...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe: Haikuwa kazi nyepesi, tumeirudisha CCM kwenye reli

  MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe amesema haikuwa kazi nyepesi kufikia makubaliano ambayo yametangazwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwamba sasa mkwamo wa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia aondoa zuio la mikutano hadhara ya vyama vya siasa

  RAIS Samia Suluhu Hassan, ameondoa zuio la mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa, lililowekwa na mtangulizi wake, Hayati John Magufuli, kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ataja sababu za Chadema kurudi kundini

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimekubali kushiriki mkutano wa pamoja wa vyama vya siasa Tanzania,...

Habari MchanganyikoTangulizi

TRA yavunja rekodi, makusanyo yakua kwa 12.2%

  MAMLAKA ya mapato Tanzania (TRA), imevunja rekodi ya makusanyo ya mapato Kwa mwezi baada ya kukusanya Sh. 2.77 trilioni kati ya lengo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Salamu za Rais Samia kuuaga mwaka 2022 na kuukaribisha mwaka mpya 2023

Ndugu Wananchi na Watanzania wenzangu; NAWASALIMU KWA JINA LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA! Nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu Mtukufu, Mwingi wa Rehema...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ateta na Mbowe, Kinana Ikulu Dar

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amepokea taarifa ya Maendeleo ya mazungumzo ya mchakato wa maridhiano ya kisiasa, Ikulu Jijini Dar es Salaam...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mazishi ya Papa Benedict XVI kufanyika Alhamisi

MAZISHI ya Baba Mtakatifu Mstaafu Benedikto XVI aliyefariki dunia leoJumamosi saa 3: 34 Asubuhi tarehe 31 Desemba 2022 akiwa na umri wa miaka...

Makala & UchambuziTangulizi

Vifo vilivyotikisa dunia 2022

WAKATI ikiwa imesalia  siku moja kwa 2022 kufika tamati, dunia haitosahau vifo vya watu mashughuri vilivyotikisa ndani ya mwaka huo. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Aliyekuwa Papa – Benedict XVI afariki dunia

PAPA wa zamani Benedict XVI amefariki dunia katika makazi yake Vatican, akiwa na umri wa miaka 95, karibu muongo mmoja baada ya kujiuzulu...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema: Kikosi kazi ilikuwa mbinu kuchelewesha Katiba Mpya

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), imesema Kikosi Kazi cha kuratibu maoni ya kuimarisha demokrasia ya vyama vingi cha Rais Samia Suluhu, ilikuwa...

MichezoTangulizi

Barack Obama alilia Pele

RAIS wa mstaafu wa Marekani, Barack Obama  ameeleza namna alivyoguswa na kifo cha Mfalme wa Soka duniani, Edson Arantes do Nascimento maarufu kama...

MichezoTangulizi

Mfalme wa Soka duniani – Pele afariki dunia

GWIJI wa soka raia wa Brazil – Edson Arantes do Nascimento maarufu kama Pele amefariki dunia leo tarehe 29 Disemba, 2022 akiwa na...

Habari za SiasaTangulizi

CUF yaitaka Serikali ije na mikakati kuondoa ukata kwa wananchi 2023

  CHAMA cha Wananchi (CUF), kimeitaka Serikali ifikapo 2023 kuja na mkakati wa kitaifa wa kukuza uchumi, kuongeza ajira na kutoa huduma bora...

Habari za SiasaTangulizi

Lowassa alazwa Afrika Kusini, Majaliwa amjulia hali

  WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amemuwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan kumjulia hali Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa anayeendelea na matibabu Afrika Kusini. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo: 2022 mchungu kwa wanyonge, raha kwa vibonge

  IKIWA zimesalia siku tatu kufika tamati ya mwaka 2022, Chama cha ACT-Wazalendo kimeutaja mwaka huo kuwa wa misukosuko, “mchungu kwa wanyonge na...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yaitangazia kiama CCM 2025

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetangaza nia ya kukiondoa madarakani Chama Cha Mapinduzi (CCM), ifikapo 2025 kupitia Uchaguzi Mkuu. Anaripoti Mwandishi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mtambo wa kuzalisha umeme kupigwa mnada

MTAMBO wenye uwezo wa kuzalisha Megawati 45 za umeme  mali ya Kampuni ya uzalishaji na usambazaji umeme nchini – Aqua Power Tanzania Limited...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia: JNHPP ulipitia vikwazo vingi lakini hatukurudi nyuma

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema mradi wa Bwawa la Umeme la Julius Nyerere (JNHPP)ni ushahidi tosha kuwa Tanzania inaweza kufanya mambo...

ElimuTangulizi

Haya hapa majina wanafunzi waliochaguliwa kujiunga VETA

  VYUO vya Mafunzo ya Ufundi Stadi nchini (VETA) vimetoa orodha ya majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na mafunzo ya ufundi stadi kwa...

HabariTangulizi

Mamlaka za Mabonde ya maji zaagizwa kubomoa matuta yanayochepusha mito

MAMLAKA za Mabonde ya Maji nchini, zimeagizwa kuanza mara moja ubomoaji wa matuta yaliyojengwa kwaajili ya kuchepusha maji ya mito kwenda kwenye mashamba...

HabariTangulizi

Mahakama yaamuru mwili wa aliyefariki mahabusu, ufukuliwe

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kivukoni/Kinondoni imetoa amri ya kufukuliwa mwili wa Stella Moses ili ufanyiwe uchunguzi kujua chanzo cha kifo chake baada ya...

MichezoTangulizi

Argentina bingwa wa dunia, Messi aweka historia

  TIMU ya Taifa ya Argetina imevunja rekodi ya miaka 36 iliyopita baada ya kuinyuka Ufaransa jumla ya penalti 4 – 3 na...

Habari MchanganyikoTangulizi

DIASPORA wamtwisha Kibatala zigo la uraia pacha, watinga mahakamani

WATANZANIA sita waishio nje ya nchi (DIASPORA), wamefungua kesi ya kikatiba Na. 18/2022 katika Mahakama Kuu, Masjala Kuu, ya Dar es Salaam, kupinga...

Habari za SiasaTangulizi

ACT Wazalendo: Tutazuia hujuma yoyote itakayolenga kuvuruga uchaguzi jimbo la Amani

CHAMA cha ACT Wazalendo kimehitimisha kampeni ya mgombea wake jimbo la Amani leo kwa kuonya kuwa kitazuia hujuma yoyote ya kuvuruga uchaguzi mdogo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Askofu Ruwa’ichi kuongoza vijana 30,000 kuliombea Taifa

VIJANA zaidi ya 30,000 wanatarajia kukutana tarehe 17 Disemba, 2022 kwa ajili ya kuliombea taifa wakiongozwa na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la...

error: Content is protected !!