Friday , 29 March 2024

Habari za Siasa

Habari za Siasa

Benki ya Dunia yampa ‘saluti’ JPM

BENKI ya Dunia (WB) imeridhishwa na utekelezaji wa miradi mbalimbali inayofadhili hapa nchini, unaofanmywa na serikali ya Rais John Magufuli. Anaripoti Mwandishi Wetu...

Habari za Siasa

Kabudi, Kigwangala wateta na balozi wa Uingereza

WAZIRI wa Katiba na Sheria Prof. Palamagamba Kabudi na Waziri wa Maliasili na Utalii Dk. Hamisi Kigwangala wamekutana na Balozi wa Uingereza Nchini,...

Habari za Siasa

Prof. Lipumba alalamika rafu Uchaguzi Liwale

PROFESA Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa CUF anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, anadai kuna uwepo wa rafu katika uchaguzi...

Habari za SiasaTangulizi

Skendo za kuhamia CCM, Kubenea afura, ashambulia Mwananchi

Taarifa kwa umma NIMEONA picha yangu kwenye gazeti la leo Jumanne la MWANANCHI likinihusisha mimi na kutaka kuhama chama changu na kujiunga na...

Habari za SiasaTangulizi

Mch. Msigwa apigwa ‘stop’ kufanya mikutano Iringa

JESHI la Polisi mkoani Iringa limempiga marufuku Mbunge wa Iringa Mjini, Peter Msigwa kufanya mikutano ya hadhara kwa madai ya kutoa lugha za...

Habari za SiasaTangulizi

Lugola achemka, JPM atumbua

LICHA ya maelezo na maelekezo ya mara kwa mara yanayotolewa na Kangi Lugola, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi kwa Jeshi la...

Habari za Siasa

Shahidi akwamisha kesi ya Halima Mdee

KESI inayomkabili Mbunge wa Kawe, Halima Mdee katika Mahakama Hakimu Mkazi Kisutu,  ya kutoa lugha chafu dhidi ya Rais John Magufuli imekwama kusikilizwa...

Habari za SiasaTangulizi

Utabiri wa Lema haukufika kwa Millya?

KATIKA siku za hivi karibuni, mbunge wa Arusha Mjini (CHADEMA), Gobless Lema, alijizolea umaarufu wa kutabiria wabunge wenzake, kuondoka chama hicho na kujiunga...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge mwingine Chadema aachia ngazi

ALIYEKUWA mbunge wa Simanjiro (CHADEMA), James Millya, ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Katika barua yake kwa Spika wa Bunge,...

Habari za SiasaTangulizi

Balozi CCM akamatwa na bangi

BALOZI wa nyumba kumi mkazi wa Kasumulu wilayani Kyela mkoa wa Mbeya, Andende Smoke Mbalwa (35) pamoja na Rose Charles (40) wanashikiliwa na...

Habari za Siasa

Mahakama Kuu yawatosa Mbowe, vigogo wa Chadema

MAOMBI ya Rufaa ya viongozi wa chama cha Chadema yametupiliwa mbali na Mahakama ya Rufaa kutokana na hati ya taarifa ya kusudio la...

Habari za SiasaTangulizi

CUF Z’bar washtukia faulo uchaguzi 2020

MBUNGE wa Malindi Visiwani Zanzibar, Ali Salehe (CUF) amedai kuwa, kuna mkakati wa kuzuia baadhi ya wananchi katika kujiandikisha kwenye usajili wa vitambulisho...

Habari za Siasa

Rais Magufuli apokea hati ya mabalozi

RAIS John Magufuli leo tarehe 4 Oktoba 2018 amepokea hati za utambulisho wa mabalozi watano watakaowakilisha nchi zao hapa nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema, CCM watangwana makonde Umeya Dar

MADIWANI wa vyama viwili, Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wale Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wamezichapa wakati wa uchaguzi wa Naibu Meya...

Habari za Siasa

Rais Mwinyi: Namhusudu sana Magufuli

RAIS Mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaji Ali Hassan Mwinyi amesema anamhusudu Rais John Magufuli kutokana na mambo mazuri anayofanya kwa ajili ya...

Habari za Siasa

Skauti sasa kutua Vyuo Vikuu

BAADA ya kuteuliwa na kuapishwa kuwa Skauti Mkuu wa Chama cha Maskauti Tanzania, Mwantumu Mahiza ameahidi kuieneza skauti katika vyuo vya kati na...

Habari za SiasaTangulizi

Wizara ya Mambo ya Nje kutifuana

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Faraji Mnyepe amemtoa wasiwasi Rais John Magufuli kuhusu kibarua...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli amteuwa Mkurugenzi mpya NIDA

RAIS John Magufuli leo tarehe 3 Oktoba 2018 amemteua Dk. Arnold Mathias Kihaule kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA)....

Habari za Siasa

Kambi ya Maalim Seif yatikiswa

KAMBI ya Maalim Seif Shariff Hamad, Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) imeendelea kutikiswa na utawala wa Rais John Magufuli baada ya...

Habari za SiasaTangulizi

Benki ya Dunia kuondoa kwa serikali 112 bilioni  

SERIKALI ya Tanzania, huenda ikakosa msaada wa dola za Kimarekani 50 milioni (zaidi ya Sh.112 bilioni), kufuatia hatua yake ya kupitisha sheria  ya...

Habari za Siasa

Job Ndugai ailima barua NEC

SPIKA wa Bunge, Job Ndugai amemuandikia barua Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Semistocles Kaijage ya kumfahamisha kuwa Jimbo la...

Habari za Siasa

Wazee Chadema wataka mwakilishi bungeni

IKIWA leo tarehe 1 Oktoba 2018, ni kilele cha siku ya maazimisho ya Wazee Duniani, wazee wameitumia siku hii kuiomba serikali kuhakikisha kundi...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema: Fedha za kurudia uchaguzi zikatibie wazee

BARAZA la Wazee la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), limetaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kubadilisha utaratibu wa kuwapata wabunge, katikati...

Habari za Siasa

Mwakyembe atoa sababu 10 za kuhamia CCM

ALIYEKUWA Diwani wa Mtoni kwa tiketi ya CHADEMA, Bernard Mwakyembe, ametoa sababu 10 zilizomfanya aondoke Chadema na kuhamia CCM. Anaripoti Gerva Lyenda …...

Habari za Siasa

Lugola, Polisi watoke mafichoni kujibu maswali haya  

TUKIO la dereva wa basi la daladala maarufu Hiace, Andrew Kiwia, limeibua maswali yasiyo na majibu hasa baada ya kauli ya kamanda wa...

Habari za Siasa

Mabalozi watakaoacha kazi na kunywa wine, watakiona cha moto

RAIS John Magufuli amewataka mabalozi wa Tanzania katika nchi za nje ambao hawajatumia vyema madaraka yao katika kuiletea nchi maendeleo, kujiandaa kurudi nyumbani....

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli amuapisha Dk. Ndumbalo huku akimuhurumia

RAIS John Magufuli amesema anamuonea huruma Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Damas Ndumbaro, kwa kuwa anakwenda...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge aliyetishia kuhamia CCM, ahamia kweli

MBUNGE wa Serengeti (Chadema), Marwa Chacha amejiuzulu uanachama wa chama hicho kikuu cha upinzani nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Akizungumza leo Septemba...

Habari za Siasa

Makonda awachongea Kubenea, Mnyika, Mdee kwa Rais Magufuli

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amelitumia Jukwaa la Uzinduzi wa Daraja la Juu (Mfugale Flyover) kumweleza Rais John Magufuli...

Habari za Siasa

Rais Magufuli: Dar mtaipenda tu

RAIS John Magufuli amesema serikali yake itabadilisha muonekano wa Jiji la Dar es Salaam kupitia miradi mbalimbali ya ujenzi wa miundombinu hasa ya...

Habari za SiasaTangulizi

JPM: Wapinzani njooni niwatue mzigo

RAIS John Magufuli amewakaribisha wabunge na madiwani wa upinzani wanaosumbuka na mizigo katika vyama vyao, kuingia CCM. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea). Rais...

Habari za Siasa

MV Kigamboni, MV Kazi kusitishwa huduma zake

IWAPO Wakala wa Ufundi na Umeme (Temesa) pia Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra) watashindwa kuboresha usafiri wa...

Habari za Siasa

Kangi Lugola atengua uamuzi wake mwenyewe

SERIKALI imefuta utaratibu wa utoaji vibali kwa wananchi wanaolima jirani na kambi za wakimbizi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Katazo hilo limetolewa jana...

Habari za SiasaTangulizi

Ndumbalo ateuliwa kuwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje

RAIS John Magufuli amemteua Mbunge wa Songea Mjini, Dk. Damas Ndumbaro kuwa Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...

Habari za Siasa

Chadema yazindua Sera mbadala ya maendeleo ya Taifa

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimezindua sera mbadala ya Taifa leo Jumanne tarehe 25 Septemba, 2018. Akizungumza wakati wa uzinduzi, Mwenyekiti wa...

Habari za SiasaTangulizi

Fredrick Sumaye aviponda viwanda vya Magufuli

WAZIRI Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano, Fredrick Sumaye amesema, nchi kwa sasa inaendeshwa “kiholela,” na kudai kuwa ikiwa chama chake kitafanikiwa kushika madaraka,...

Habari za Siasa

Prof. Lipumba: Nipo tayari kung’oka CUF

PROFESA Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), amefungua milango kwa mwanachama mwenye uwezo kujitokeza na kugombea nafasi aliyonayo sasa. Anaripoti Regina...

Habari za SiasaTangulizi

Leo kila mwathirika MV Nyerere kulamba Mil 1

RAIS John Magufuli anatarajiwa kutoa kiasi cha Shiling milioni moja kwa kila mwathirika wa ajali ya MV Nyerere iliyotokea tarehe 20 Septemba 2018....

Habari za Siasa

Jenerali Waitara kuongoza uchunguzi ajali MV Nyerere

JENERALI Mstaafu, George Waitara kuongoza jopo la wajumbe saba wa Tume ya kuchunguza ajali ya kivuko cha MV Nyerere iliyotokea tarehe 20 Septemba...

Habari za Siasa

Nape Nnauye apata ajali leo asubuhi Liwale

NAPE Nnauye, Mbunge wa jimbo la Mtama,  amepata ajali asubuhi ya  leo tarehe 24 Septemba 2018  akiwa safarini kuelekea wilaya ya Liwale mkoani...

Habari za SiasaTangulizi

MV Nyerere yazidi kuondoka na Vigogo, JPM atumbua wengine

RAIS John Magufuli ameivunja Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchikavu na Majini (SUMATRA) ikiwa ni muendelezo wa hatua...

Habari za Siasa

Zitto awataka mawaziri wa JPM wajiuzulu, kisa MV Nyerere

Anaandika Zitto Kabwe Ajali ya Mv Nyerere: Kangi, Jenista na Kamwelwe Bado mawaziri? Ni masikitiko makubwa kwamba, Serikali ya wanyonge imeokoa mtu mmoja,...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli avunja Bodi ya Ushauri TEMESA

RAIS John Pombe Magufuli ameivunja bodi ya Ushauri ya Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA). Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Taarifa iliyotolewa na...

Habari za Siasa

Kubenea: Michango ya MV Nyerere iwafikie waathirika

MBUNGE wa Ubungo, Saed Kubenea, ameitaka serikali ifikishe kwa waathirika michango inayokusanya. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea). Kubenea ameyasema hayo kwenye mahojiano maalum...

Habari za Siasa

Kangi: Wanaotumia ajali MV Nyerere kisiasa, watashughulikiwa

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amewaonya baadhi ya watu wanaotumia ajali ya kivuko cha MV Nyerere kuichonganisha serikali na...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli: Waliozamisha MV Nyerere wakamatwe, maombelezo siku nne

SERIKALI imeagiza vyombo vya dola kuwakamata na kuwahoji wahusika katika uendeshaji safari za kivuko cha MV Nyerere kuhusu ajali ya kivuko hicho iliyotokea...

Habari za Siasa

Kuzama MV Nyerere: Lowassa, Mbatia, Maalim Seif wamvaa JPM

JAMES Mbatia, Mbunge wa Vunjo na Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi-Taifa amesema, ajali ya MV. Nyerere iliyotokea jana katika Ziwa Victoria ni ya...

Habari za Siasa

Rais Magufuli afanya uteuzi mpya NSSF

RAIS John Magufuli amemteua Balozi Mstaafu, Ali Idi Siwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema wagoma mpaka 2020

KAMATI Kuu ya Chadema imeazimia kususia chaguzi ndogo zinazotarajiwa kufanyika hivi karibuni kutokana na kutoridhishwa na uendeshwaji wa chaguzi ndogo zilizopita. Anaripoti Regina...

Habari za SiasaTangulizi

Polepole ajikanyaga Uchaguzi Ukonga

HUMPHREY Polepole, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) amedai kwamba, mahudhurio hafifu ya wapiga kura kwenye uchaguzi mdogo wa...

error: Content is protected !!