MUUNGANO wa vyama Nane vya upinzani nchini, umetuhumu Tume ya taifa ya uchaguzi (NEC), kuvunja katiba na sheria za nchi, kwa kuendelea kung’ang’ania...
By Faki SosiJune 2, 2019MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeendelea kusikiliza ushahidi wa shahidi wa nne kwenye kesi inayowakabili viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendelea (Chadema),...
By Faki SosiJune 1, 2019MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeendelea kusikiliza ushahidi kwenye kesi ya Uchochezi nambari 112 ya mwaka 2018, inayowakabili viongozi wa Chama cha Demokrasia...
By Faki SosiJune 1, 2019LAZARO Nyalandu, aliyewahi kuwa Mbunga wa Singida Kaskazini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameeleza kufedheheshwa na kadhia ya kwenda kuripoti Kituo cha Polisi...
By Hamisi MgutaMay 31, 2019MBUNGE Viti Maalum Mkoa wa Dar es Salaam, Mariam Kisangi ameishauri serikali kuongeza idadi ya shule za watoto wenye mahitaji maalumu, akisema wengi wao...
By Hamisi MgutaMay 31, 2019PROFESA Palamagamba Kabudi, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki amejigamba kwamba, kwenye nchi hii amefanya kazi ya kutukuka na...
By Mwandishi WetuMay 31, 2019ZITTO Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo na Maalim Seif Sharif Hamad, mwanachama namba moja wa chama hicho, walilivaa Jimbo la Ukonga...
By Faki SosiMay 31, 2019MAALIM Seif Sharif Hamad, mwanachama wa Chama cha ACT-Wazalendo, amekula kiapo hadharani kwamba, hatolala mpaka ahakikishe kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimekaa kando....
By Faki SosiMay 31, 2019HATUA ya Roeland van de Geer, aliyekuwa Balozi wa Umoja wa Ulaya (EU) nchini Tanzania kuondoka na kurejea kwao kwa shinikizo, sasa imehojiwa...
By Masalu ErastoMay 30, 2019WIZARA ya Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki imeomba bajeti ya ya Sh. 166.92 bilioni kwa Mwaka wa Fedha 2019/20. Anaripoti Mwandishi Wetu...
By Mwandishi WetuMay 30, 2019TATIZO la ndege za Shirika la Ndege nchini (ATCL) kuchelewa kuanza safari zake, leo tarehe 30 Mei 2019 bungeni limeibuliwa na Nape Nnauye,...
By Mwandishi WetuMay 30, 2019WABUNGE wa Zanzibar, wameonesha kukerwa na vikwazo vya ushuru wanavyopitia wafanyabiashara wanaoingiza na kusafirisha bidhaa zao nje ya nchi kupitia Tanzania Bara. Anaripoti...
By Regina MkondeMay 30, 2019BENKI ya Dunia (WB), yaweza kuhamisha ofisi yake ya Mkurugenzi Mkazi kutoka jijini Dar es Salaam na kuipeleka nchini Afrika Kusini. Anaandika Mwandishi Wetu...
By Mwandishi WetuMay 29, 2019LUDOVICK Utouh, Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) Mstaafu, ameungana na Prof. Mussa Assad, CAG wa sasa kwamba, Bunge linashindwa kusimamia...
By Mwandishi WetuMay 29, 2019RAIS John Magufuli ametembelea eneo la kumbukumbu ya mashujaa waliopigania ukombozi wa nchi ya Namibia, lililopo nje kidogo ya Jiji la Windhoek nchini...
By Mwandishi WetuMay 28, 2019JESHI la Polisi mkoani Singida limewatoa mahabusu Lazaro Nyalandu na wenzake wawili, David Jumbe na mmoja aliyetajwa kwa jina la Samson, kwa dhamana...
By Mwandishi WetuMay 28, 2019MIKATABA mingi inayoingiwa na wizara, taasisi za umma na wadau mbalimbali nchini, imekuwa na udanganyifu mkubwa na kusababisha taifa kupata hasara. Anaripoti Regina Mkonde...
By Regina MkondeMay 28, 2019JESHI la Polisi Singida Mjini limemnyika dhamana Mbunge wa zamani wa Jimbo la Singida Kaskazini na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu...
By Mwandishi WetuMay 27, 2019CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo Chadema), kimeeleza kutojua alipo Lazaro Nyalandu, aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii katika Serikali ya Awamu ya Nne....
By Faki SosiMay 27, 2019RAIS John Magufuli leo Jumamosi Mei 25, 2019, amekuwa kivutio nchini Afrika Kusini baada ya kugeuki fani ya kupiga picha katika hafla ya...
By Mwandishi WetuMay 25, 2019RAIS John Magufuli anatarajiwa kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais Mteule wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa zinazotarajiwa kufanyika kesho tarehe 25 Mei 2019. Anaripoti...
By Regina MkondeMay 24, 2019WANAWAKE mkoani Morogoro wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika kuchukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi wa Serikali za mitaa unaotarajiwa...
By Christina HauleMay 23, 2019TAARIFA za ujio wa Tundu Lissu, Mbunge wa Singida Mashariki zimekolezwa na Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Anaripoti...
By Bupe MwakitelekoMay 23, 2019VYAMA vinane vya upinzani nchini, vimedhamiria mambo mawili makubwa kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa baadaye mwaka huu na uchaguzi mkuu mwakani. Anaripoti Hamisi...
By Masalu ErastoMay 22, 2019MBUNGE wa Jimbo la Bumbwini, Muhammed Amour Mohammed (CUF), amesema kuwa serikali imekuwa ikitoa majibu mepesi kwa maswali yanayoulizwa na serikali. Anaripoti Danson Kaijage,...
By Danson KaijageMay 22, 2019KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Bashiru Ally amesema kuwa, chama hicho kitaendelea kuongoza dola kwa zaidi ya miaka 100 ijayo. Anaripoti...
By Mwandishi WetuMay 22, 2019MBUNGE wa Ulanga, Goodluck Mlinga ameeleza kushangazwa na hatua ya serikali kugawa mipira ya kiume ya kujamii (kondom) kwa wazinifu bure, huku ikishindwa kugawa...
By Danson KaijageMay 22, 2019MRITHI wa Joshua Nassari katika Jimbo la Arumeru Mashariki, Dk. John Pallangyo, ameapishwa leo tarehe 22 Mei 2019 kuwa mbunge wa jimbo hilo...
By Danson KaijageMay 22, 2019MBUNGE wa Kigoma Mjini (ACT- Wazalendo), Zitto Zuberi Kabwe, ameituhumu serikali kwa kile alichokiita, “kushindwa au kunyamazia,” vitendo vya ubakaji wanavyofanyiwa wapigakura wake....
By Danson KaijageMay 21, 2019SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limekinzana na madai kwamba, linatoa gawio kwa serikalini licha ya kujiendesha kwa hasara. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Katika...
By Mwandishi WetuMay 21, 2019WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi ameteua wajumbe saba wa Bodi ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), akiwemo...
By Masalu ErastoMay 21, 2019STEPHEN Masele, Mbunge wa Shinyanga Mjini (CCM) amesema, hajawahi kukurupuka katika kusimamia jambo lolote. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Alitoa kauli hiyo muda mfupi...
By Mwandishi WetuMay 21, 2019MWANAHARAKATI Mdude Nyagali, amehusisha kutekwa kwake na sababu za kisiasa huku akisisitiza kwamba, hatorudi nyuma. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). “Ninachojua ni kuwa, nilitekwa kwa...
By Faki SosiMay 20, 2019MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam imeendelea kusikiliza kesi Na. 237/2018 ya uchochezi inayomkabili Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama...
By Faki SosiMay 17, 2019BENARD Membe, waziri wa zamani wa mambo ya nje na uhusiano wa kimataifa, “amemshutumu” mfanyabiashara na mmoja wa wanasiasa mashuhuri nchini, Rostam Aziz,...
By Regina MkondeMay 17, 2019MBUNGE wa Mgogoni, Dk. Suleiman Ally Yusuph amehoji kwa nini ripoti za Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Tanzania (THBUB) haziwekwi...
By Mwandishi WetuMay 17, 2019MASHAKA Juma, shahidi wa pili kwenye kesi inayomkabili Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo ameieleza mahakama kuwa, wakili anambana kwenye maswali....
By Faki SosiMay 17, 2019RAIS John Magufuli ametengua uteuzi wa Wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe na Uyui mkoani Tabora. Anaripoti Regina Mkonde …...
By Regina MkondeMay 17, 2019SHAHIDI wa tatu, Shabani Hamis (40) kwenye kesi Na. 327/2018 ya uchochezi inayomkabili Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe ameieleza mahakama kwamba,...
By Faki SosiMay 16, 2019SHAHIDI wapili kwenye kesi ya uchochezi inayomkabili Zitto Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa, analichukia...
By Faki SosiMay 16, 2019STEPHEN Masele, Makamu wa Rais wa Bunge la Afrika (PAP), ambaye pia ni Mbunge wa Shinyanga Mjini (CCM) amesema, hana tabia ya kueleza...
By Regina MkondeMay 16, 2019MNYUKANO kati ya Job Ndugai, Spika wa Bunge na Profesa Mussa Assad, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), bado unaendelea. Anaripoti...
By Danson KaijageMay 16, 2019BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limesimamisha uwakilishi wa Mbunge wa Bunge la Afrika (PAP), Stephen Masele hadi Kamati ya Haki, Maadili...
By Danson KaijageMay 16, 2019MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, imeahairisha kusikiliza ushahidi wa shahdi wa tatu wa upande wa mashitaka katika kesi inayowakabili...
By Faki SosiMay 16, 2019MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam imeendelea kusikiliza kesi namba 112 ya uchochezi, inayowakabili viongozi wa Chama cha Demokrasia na...
By Faki SosiMay 15, 2019PROFESA Paramagamba Kabudi, aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria, ametakiwa kujiuzulu kwa madai ya kushindwa kumshauri vizuri Rais John Magufuli. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma...
By Danson KaijageMay 15, 2019SHABANI Hassani Shahidi kwenye kesi namba 112 ya mwaka 2018 inayowakabali viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ameweka wazi kuwa hana...
By Faki SosiMay 15, 2019MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Prof. Mussa Assad amesema, maofisa wanatakiwa kufanya kazi kwa kujiamini pia kujibu hoja kwa...
By Danson KaijageMay 14, 2019LEO tarehe 14 Mei 2019, shahidi wa pili upande wa serikali kwenye kesi ya uchochezi inayowakabili viongozi wa Chadema, ametoa ushahidi wake. Jopo...
By Faki SosiMay 14, 2019CHAMA cha ACT-Wazalendo kimeshangazwa na hatua ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) kupinga hukumu ya Mahakama Kuu iliyobatilisha wakurugenzi kusimamia uchaguzi. Anaripoti Regina...
By Regina MkondeMay 14, 2019