WATUHUMIWA 467 wa uhujumu wameomba toba, na kukubali kurejesha serikalini fedha walizotafuna zaidi ya Sh. 107.1 bilioni. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Hayo...
By Regina MkondeSeptember 30, 2019KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe aeleza mbinu zitakazotumiwa na chama hicho kukiondoa madarakani Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia uchaguzi wa serikali...
By Faki SosiSeptember 29, 2019MZEE Joseph Butiku, Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, amevitaka vyama vya siasa kufuata misingi ya Katiba, ili kuirudisha nchi kwenye mstari...
By Faki SosiSeptember 28, 2019ASASI za Kiraia nchini (AZAKI) zimeipongeza Serikali ya Awamu ya Tano, chini ya Rais John Pombe Magufuli kwa kuboresha huduma za kijamii na...
By Regina MkondeSeptember 28, 2019KAPTENI Mstaafu, Alhaji Mohammed Ligora aliyewahi kuwa Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, amewashukia makada wa Umoja wa...
By Mwandishi WetuSeptember 28, 2019ASASI za Kiraia nchini, zimeikumbusha serikali kutimiza ahadi yake ya upatikanaji wa Katiba Mpya ya Jamhuri ya Muungano, kabla ya mwaka 2021. Anaripoti Regina...
By Regina MkondeSeptember 28, 2019ASASI za Kiraia nchini (AZAKI), kesho tarehe 28 Septemba 2019, zimepanga kuzindua ilani ya uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu na uchaguzi...
By Mwandishi WetuSeptember 27, 2019MAJINA ya watuhumiwa wa kesi ya uhujumu uchumi nchini, waliomwandikia Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP), Biswalo Mganga yameanza kutajwa. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Tayari Dk...
By Faki SosiSeptember 27, 2019WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, amesema Serikali itaendelea kutoa ushirikiano kwa kituo cha msaada wa Kisheria na haki za...
By Danson KaijageSeptember 27, 2019KASSIM Majaliwa, Waziri Mkuu amewataka viongozi wa umma wanaojiona hawatoshi katika nafasi walizopo, waachie ngazi. Anaripoti Martin Kamote…(endelea). Majaliwa ametoa kauli hiyo leo tarehe...
By Mwandishi WetuSeptember 26, 2019PAUL Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam amebanwa mbavu, na sasa ameamua kulipiza kisasa. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). “Mnapiga majungu yenu, sasa...
By Mwandishi WetuSeptember 26, 2019CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimempa mtihani mzito Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea)....
By Regina MkondeSeptember 25, 2019RAIS John Magufuli amemteua Alhaji Ali Hassan Mwinyi, Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi...
By Regina MkondeSeptember 25, 2019OMBI la kusafiri nje ya nchi la Dk. Vincent Mashinji, Katibu Mkuu Chadema na Ester Matiko, Mbunge wa Tarime Mjini, limekataliwa. Anaripoti Faki Sosi...
By Faki SosiSeptember 25, 2019KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu nchini (LHRC), kimetoa wito kwa mamlaka husika kuhakikisha dhana ya makubaliano ya kukiri kosa, inatumika kwa...
By Regina MkondeSeptember 25, 2019RAIS John Magufuli amemteua Dk. Amina Msengwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS). Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Taarifa ya...
By Regina MkondeSeptember 25, 2019IDADI ya barua za kuomba msamaha kutoka kwa watuhumiwa wa uhujumi uchumi, zinaingia kwa kasi katika ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP). Anaripoti...
By Mwandishi WetuSeptember 25, 2019UPANDE utetezi kwenye kesi ya uchochezi namba 112/2018, inayowakabili viongozi tisa wa Chadema, umepanga kwenda mahakamani na mashahidi waliojeruhiwa kwa risasi. Anaripoti Faki Sosi...
By Faki SosiSeptember 24, 2019JAJI Joseph Sinde Warioba, Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania amesema, kuna dalili za uwepo wa matukio yanayodhoofisha umoja, uzalendo na mshikamano wa Taifa....
By Hamisi MgutaSeptember 24, 2019ZITTO Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo ameendesha maombi ‘maalum,’ kuliombea taifa kupitia ukurasa wake wa twitter. Anaripoti Hamis Mguta…(endelea). Katika maombi...
By Hamisi MgutaSeptember 24, 2019USHAURI wa Rais John Magufuli, uliyomtaka Biswalo Maganga, Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DPP), kuangalia namna ya kuzungumza na watuhumiwa wa uhujumu uchumi...
By Hamisi MgutaSeptember 24, 2019ZITTO Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, amezungumzia tukio la kutimuliwa kwake ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kwamba lilimpa...
By Regina MkondeSeptember 24, 2019IMECHUKUA siku saba tu kutekelezwa kauli ya Rais John Magufuli, ya kushughulikia tatizo la maji kwenye jimbo la Singida Mashariki lililokuwa likiongozwa na...
By Regina MkondeSeptember 23, 2019RAIS John Magufuli ameshauri wafungwa walioko mahabusu kwa tuhuma za uhujumu uchumi, kama wako tayari kuomba radhi na kuzirudisha fedha walizotafuna, watolewe. Anaripoti...
By Regina MkondeSeptember 22, 2019VIONGOZI tisa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wanatarajiwa kuanza kujitetea kwa siku nane mfululizo. Anaandika Faki Sosi … (endelea). Ni katika...
By Faki SosiSeptember 22, 2019MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amewataka askari polisi kutekeleza majukumu yao kwa mujibu wa sheria, na kukwepa kujihusisha na...
By Faki SosiSeptember 21, 2019WAKILI Fatma Karume amemueleza Rais John Magufuli kwamba, yuko tayari kukaa jela miaka 30, ili kuboresha demokrasia na utawala wa sheria nchini. Anaripoti...
By Mwandishi WetuSeptember 21, 2019DAKTARI Modestus Kipilimba, aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS), ameteuliwa kuwa balozi. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Rais Magufuli alimfuta kazi Dk....
By Regina MkondeSeptember 20, 2019SERIKALI imeeleza, bado inadaiwa kiasi cha Sh. 50 bilioni na wakulima wa zao za korosho. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Akizungumza na wanahabari leo...
By Regina MkondeSeptember 20, 2019EDWARD Lowassa, Waziri Mkuu aliyejiuzulu katika serikali ya awamu ya nne, amenadi kazi zinazofanya na Dk. John Magufuli, Rais wa Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu...
By Mwandishi WetuSeptember 20, 2019DAKTARI Phillip Mpango, Waziri wa Fedha na Mipango ameeleza kwamba, sasa hivi hasikii tena malalamiko ya ‘vyuma kukaza’ kutokana na benki za biashara...
By Kelvin MwaipunguSeptember 19, 2019NCHI haiwezi kustawi bila ya uhuru wa vyombo vya habari. Kukosekana kwa uhuru huo, kunadumaza maendeleo ya nchi. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Huo...
By Faki SosiSeptember 19, 2019ZITTO Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo ameonya mkakati wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), kutenganisha wapiga kura visiwani Zanzibar. Anaripoti Faki Sosi...
By Faki SosiSeptember 19, 2019AYUBU Sikagonamo, Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la Chadema (BAVICHA), Mkoa wa Songwe amefutiwa kesi ya kukutwa na silaha, na kufunguliwa kesi ya...
By Mwandishi WetuSeptember 18, 2019KASSIMU Majaliwa, Waziri Mkuu amehoji sababu za Kiwanda cha Sukari cha Kilombero chenye uzalishaji mkubwa kuliko viwanda vingine vya sukari nchini, kutoa gawio...
By Mwandishi WetuSeptember 18, 2019IKIWA ni siku ya kwanza ya kujitetea kwa viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika kesi ya uchochezi namba 112/2018 kwenye...
By Faki SosiSeptember 17, 2019PAUL Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam amesema, kama isingekuwa njaa, basi angefanya uamuzi wa kujiuzulu nafasi hiyo baada ya kukosolewa...
By Kelvin MwaipunguSeptember 17, 2019RAIS John Magufuli amesema, Jimbo la Singida Mashariki limechelewa kupata maendeleo, kutokana na kutelekezwa na aliyekuwa mbunge wake, Tundu Lissu. Anaripoti Faki Sosi...
By Faki SosiSeptember 16, 2019RAIS John Mgaufuli amesema, kelele zilizoibuka baada ya ndege ya Shirika la ndege la Tanzania (ATCL), kushikiliwa nchini Afrika Kusini kwa amri ya...
By Regina MkondeSeptember 16, 2019JINA la Tundu Lissu, ndani na nje ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020, linakua. Anaripoti Mwandishi Wetu...
By Mwandishi WetuSeptember 16, 2019ADO Shaibu, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha ACT Wazalendo, na viongozi wa chama hicho Mkoa wa Dar es Salaam,...
By Regina MkondeSeptember 14, 2019BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limehailishwa hadi tarehe 6 Novemba, 2019, baada ya wabunge kufanya shughuli mbalimbali ikiwa ni pamoja na...
By Danson KaijageSeptember 13, 2019MUDA mchache baada ya Kangi Lugola, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi kumtaka Cyprian Musiba, anayejitambulisha kuwa mwanaharakati na mtetezi wa Rais...
By Danson KaijageSeptember 13, 2019SERIKALI imesema, moja ya jukumu la Jeshi la Magereza ni kuwapokea na kuwaifadhi waharifu wa aina zote, wanaopelekwa kwa mujibu wa sheria. Anaripoti Danson...
By Danson KaijageSeptember 13, 2019RAIS wa Jamhuri, Dk. John Pombe Magufuli, amemfuta kazi aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS), Dk. Modestus Kipilimba. Anaripoti...
By Kelvin MwaipunguSeptember 12, 2019UPANDE wa serikali umeieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kuwa wapo katika hatua za mwisho kufunga ushahidi wao kwenye kesi ya uchochezi inayomkabili...
By Faki SosiSeptember 12, 2019FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema Taifa na wenzake, wamekutwa na kesi ya kujibu katika kesi ya jinai namba 112/2018, inayowakabili kwenye Mahakama ya...
By Regina MkondeSeptember 12, 2019MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam leo tarehe 12 Septemba 2019, imeombwa kulielekeza Jeshi la Magereza kuruhusu Mwandishi wa Habari...
By Regina MkondeSeptember 12, 2019BERNALD Nyambari, aliyekuwa Msaidizi wa Upepeli Mkoa wa Kipolisi Kinondoni na shahidi namba nane wa Jamhuri katika kesi ya uchochezi namba 112/2018, inayomkabili...
By Faki SosiSeptember 11, 2019NAPE Nnauye, Mbunge wa Mtama, leo tarehe 10 Agosti 2019 amekwenda kuungama kwa Dk. John Magufuli, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti Kelvin...
By Kelvin MwaipunguSeptember 10, 2019