Thursday , 28 March 2024

Habari za Siasa

Habari za Siasa

Mama Samia kumwakilisha JPM uzinduzi wa mkutano wa AALCO

MAMA Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Rais, anatarajia kumwakilisha Rais John Magufuli kwenye uzinduzi wa mkutano wa 58 wa Shirika la Mashauriano ya...

Habari za Siasa

Jafo: Uandikishaji wapiga kura Serikali za Mitaa, wavunja rekodi

ZOEZI la uandikishaji wa daftari la wa wapiga kura wa uchaguzi wa serikali za mitaa kwa mwaka 2019 umevunja rekodi tofauti na miaka...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yatoa jipya wizi wa kompyuta za DPP

SERIKALI imekanusha madai ya Kompyuta za Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka Tanzania (DPP), zenye taarifa za watuhumiwa wa uhujumu uchumi, kuibiwa na watu...

Habari za Siasa

Kubenea awapa pole waliopatwa na maafa ya mvua

MBUNGE wa Ubungo, Saed Kubenea, jana aliungana na mamia ya wananchi wa Kata za Kimara na Makuburi, kutoa pole kufuatia msiba wa mwanafunzi...

ElimuHabari za Siasa

Majina ya waliopata mikopo ya elimu ya juu 2019/20 haya hapa

BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), imetoa majina 30,675 ya wanafunzi watakaopata mikopo kwa mwaka 2019/20. Anaripoti Faki Sosi …...

Habari za SiasaTangulizi

‘Mbowe, Zitto, Lissu lazima watengeneze ‘kemistri’ kali 2020’

NI lazima Freeman Mbowe, Tundu Lissu na Zitto Kabwe watengeneze ‘kemistri’ kali ili kumkabili Rais John Magufuli, iwapo atateuliwa na chama chake (CCM)...

Habari za Siasa

Mawakili Chadema, Jamhuri wavutana mbele ya hakimu

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam imepanga kesho tarehe 18 Oktoba 2019, kutoa uamuzi mdogo kwenye kesi ya uchochezi inayowahusu...

Habari za SiasaTangulizi

Usaliti Chadema watibua uchaguzi Meya

HOFU ya usaliti ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), mkoani Iringa imekwaza kufanyika kwa uchaguzi wa Naibu Meya wa Halmashauri ya...

Habari za Siasa

Bunge kuanza, taarifa ya CAG kuchambuliwa

VIKAO vya Kamati 14 za Kudumu za Bunge, vinatarajia kuanza tarehe 21 Oktoba 2019 hadi Novemba Mosi mwaka huu. Anaripoti Hamisi Mguta…(endelea). Taarifa...

Habari za Siasa

Uma, puliza uandikishaji serikali za mitaa

UANDIKISHAJI wa daftari la wapiga kura kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa tarehe 24 Novemba 2019, umegubikwa na mitazamo mbalimba. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea)....

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo: Tumekwama

SERIKALI imekwama kushawishi wananchi kujitokeza kujiandikisha katika daftari la wapiga kura, jambo ambalo linaleta taswira hasi kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa baadaye...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe: Hatususi, haibiwi kura mtu

FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ameapa wagombea wake kutoibiwa kura katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika...

Habari za Siasa

Jaji Warioba: Muwapishe wengine madarakani

JAJI Joseph Warioba, Waziri Mkuu Mstaafu amewashauri viongozi wa umma kutokaa madarakani muda mrefu, akisema kwamba kitendo hicho hakina tija kwa masilahi ya...

Habari za Siasa

Uandikishaji: Serikali ya JPM yabebeshwa lawama

MWITIKIO hafifu wa watu kujitokeza katika uandikishaji kwa ajili ya kupiga kura, kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa baadaye mwaka huu, umehusishwa na...

Habari za SiasaTangulizi

Wampuuza Makonda: Tujiandikishe ili iweje?

BAADHI ya wafanyabiashara wamepuuza agizo la Paul Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam la kufungua maduka yao kuanzia saa tano asubuhi...

Habari za Siasa

‘Hii ni haki yake Lissu’

OMBI la aliyekuwa mbunge wa Singida Mashariki na Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chaadema), Tundu Lissu kwamba serikali imlinde, limetiliwa...

Habari za Siasa

Serikali yaongeza siku 3, uandikishaji wapiga kura

SERIKALI yaongeza siku tatu katika zoezi la uandikishaji wapiga kura kwenye Daftari la Orodha ya Wapiga Kura. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Zoezi hilo lililoanza...

Habari za Siasa

Makonda ‘ahaha’ kukwepa kitanzi cha JPM

PAUL Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, amewaagiza wafanyabiashara mkoani humo, kesho tarehe 14 Oktoba 2019 kuchelewa kufungua maduka, ili wakajiandikishe...

Habari za Siasa

Rais Magufuli ahamia rasmi Dodoma

RAIS John Magufuli ametangaza kuhamia rasmi kwenye Ikulu ya Chamwino, jijini Dodoma. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Taarifa hiyo imetolewa na Gerson Msigwa,...

Habari za Siasa

Askofu Kakobe aombea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

ZACHARY Kakobe, Askofu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF) ameongoza sala ya kuombea uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa mwaka 2019...

Habari za SiasaTangulizi

Uchaguzi Serikali za Mitaa: JPM aonya, Zitto amjibu

RAIS John Magufuli ameonya viongozi wa mikoa na wilaya, watakayofanya vibaya kwenye zoezi la uandikishaji wapiga kura, katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa...

Habari za Siasa

Kabendera kukutana na DPP

ERICK Kabendera, mwandishi wa habari za uchunguzi ndani na nje ya nchi, ameomba kukutana na Mkurugenzi Mkuu wa Mashtaka nchini (DPP). Anaripoti Faki Sosi…(endelea). Mbele...

Habari za Siasa

ZLSC yaipeleka ZEC kortini Z’bar

KITUO cha Huduma za Sheria Zanzibar (ZLSC), kimefungua kesi ya Kikatiba katika Mahakama Kuu ya Zanzibar, kupinga Sheria ya Uchaguzi. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Kwa...

Habari za Siasa

Seth asalim amri kwa DPP

MFANYABIASHARA bilionea na Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya PAP, Habinder Seth amesalimu amri kwa Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP). Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Seth...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu aiweka serikali mtegoni

ALIYEKUWA mbunge wa Singida Mashariki na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Tundu Lissu, ameapa kutorejea nchini mwake, hadi hapo serikali ya...

Habari za Siasa

Kada Chadema aagwa, paroko akemea ubaguzi

PADRI Paul Sabuni, Paroko Msaidizi wa Parokia ya Moyo Mtakatifu wa Yesu, Manzese, Jijini Dar es Salaam amewataka Wakristo na Watanzania kwa ujumla kutobaguana. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

JPM apanga matumizi mabilioni ya wahujumu uchumi 

RAIS John Magufuli, ameanza kupanga matumizi ya mabilioni ya fedha zinazorudishwa na watuhumiwa wa uhujumu uchumi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Akizungumza katika ziara...

Habari za Siasa

Maalim Seif ajitosa Serikali za Mitaa

MABADILIKO kamili katika siasa, uchumi na kijamii hayawezi kufikia iwapo wananchi watasita kwenda kujiandikisha ili kupiga kura. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Kauli...

Habari za SiasaTangulizi

Selasini akoleza moto uenyekiti Chadema

MBUNGE wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika jimbo la Rombo, mkoani Kilimanjaro, Joseph Selasini, ameonya kuwa hatua yeyote ya kuminya demokrasia...

Habari za Siasa

JPM amaliza utata wa JKT, Uyole na wananchi

RAIS John Magufuli amemaliza mvutano wa ardhi uliokuwepo kati ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), wananchi na Kituo cha Utafiti wa Kilimo (Uyole)...

Habari za Siasa

Bulaya hoi Agha Khan, kesi yasimama

UPANDE wa utetezi kwenye kesi inayowakabili viongozi tisa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), umeieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kuwa mshtakiwa...

Habari za Siasa

Waitara ‘ahaha’ Ukonga, alia rafu

KUELEKEA Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020, Mwita Waitara ambaye ni Mbunge wa Ukonga pia Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais Tamisemi, ameanza kupiga...

Habari za Siasa

Zitto akwama, mahakama yakwama

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo tarehe 7 Oktoba 2019, imekwama kuendelea na kesi ya uchochezi inayomkabili Zitto Kabwe, Mbunge wa Kigoma Mjini...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kwatibuka, Mbowe aambiwa ‘inatosha’

JOTO la uchaguzi wa viongozi ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), tayari Cecil Mwambe ambaye ni Mbunge wa Ndanda ameanza kumtingisha...

Habari za Siasa

Chadema: Tumemjibu msajili

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Vincent Mashinji amesema, ‘tayari tumemjibu msajili.’ Anaandika Regina Mkonde…(endelea). Amesema, chama hicho kimejibu...

Habari za Siasa

Mbowe, wenzake kujitetea siku tano mfululizo

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga kuanza kusikiliza utetezi wa viongozi tisa  wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), siku tano mfululizo kuanzia...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Mwele amjibu JPM ‘situmiki’

DAKTARI Mwele Malecela, Mkurugenzi wa Vituo vya Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa Afrika vya Shirika la Afya Duniani (WHO), amesema ‘hatumiki’. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

JPM ampuuza mbunge CCM

RAIS John Magufuli amepuuza tuhuma zilizotolewa na Janeth Mbene, Mbunge wa Ileje kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) dhidi ya Haji Mnasi, Mkurugenzi Mtendaji...

Habari za Siasa

JPM apongeza bakora za Chalamila

HATUA ya Albert Chalamila, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya kuchapa viboko wanafunzi 14 wa Shule ya Sekondari ya Kiwanja na kurudisha nyumbani wanafunzi...

Habari za Siasa

JPM ‘amchomea utambi’ Mbunge Chadema

RAIS John Magufuli amewambia wananchi wa Kata ya Mahenge wilayani Mbozi, Songwe kwamba angekuwa mbunge wao, asingeruhusu kuwachangishwa. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Amewaambia wananchi hao...

Habari za Siasa

Mbunge Chadema amkabili JPM mkutanoni

PASCHAL Haonga, Mbunge wa Mbozi (Chadema), amemweleza Rais John Magufuli namna matumizi ya fedha za mfuko wa jimbo zinavyofanya kazi katika kutekeleza shughuli...

Habari za SiasaTangulizi

RC Chalamila atibua nchi, ajitetea

KITENDO cha Albert Chalamila, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya kuingilia majukumu ya walimu wa Shule ya Sekondari Kiwanja, Chunya kwa kuchapa viboko vitatu...

Habari za SiasaTangulizi

Tundu Lissu ‘kujinoa’ Marekani, Ulaya

TUNDU Lissu, Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amekwenda Marekani na baadaye Ulaya. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Nchini Marekani, Lissu...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Kikatiba: Zitto, serikali waungana

ZITTO Kabwe, Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo ameungana na serikali dhidi ya Dezydelius Mgoya (mkulima), aliyefungua kesi ya kikatiba kupinga ibara ya 40 (2)....

Habari za Siasa

Uhujumu uchumi: Kigogo mwingine ajitosa kwa DPP

KULUTHUM Mansoor, aliyekuwa Mkurugenzi wa Mipango, Ufuatiliaji na Tathimini wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), amekiri kosa na kutaka yaishe. Anaripoti...

Habari za Siasa

Mama Samia: Kazi ipo

MAKAMU wa Rais, Mama Samia Suluhu Hassan amewapongeza viongozi mbalimbali walioteuliwa na Rais John Magufuli, na kuwatahadharisha kwamba kazi ipo. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

JPM asaini sheria nne mpya

RAIS John Magufuli amesaini sheria nne zilizopitishwa katika mkutano wa 16 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea)....

Habari za Siasa

Rais Magufuli ‘aisuka’ NEC

RAIS John Magufuli, amemteua Wilson Charles kuwa Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC). Anaripoti Faki Sosi…(endelea). Charles amechukua nachukua nafasi ya...

Habari za Siasa

Mbowe apata ulinzi wa Polisi

JESHI la Polisi wilayani Hai mkoa wa Kilimanjaro, limevamia mkutano wa ndani wa Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema Taifa, kwa kile kilichoelezwa kuwa...

Habari za Siasa

CUF yaibua kasoro uandikishaji daftari la wapiga kura

CHAMA cha Wananchi (CUF) kimelalamikia zoezi la uandikishaji wa Daftari la Wapiga kura, kikieleza kwamba lina kasoro. Anaripoti Hamis Mguta… (endelea). Malalamiko hayo...

error: Content is protected !!