MAMA Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Rais, anatarajia kumwakilisha Rais John Magufuli kwenye uzinduzi wa mkutano wa 58 wa Shirika la Mashauriano ya...
By Faki SosiOctober 19, 2019ZOEZI la uandikishaji wa daftari la wa wapiga kura wa uchaguzi wa serikali za mitaa kwa mwaka 2019 umevunja rekodi tofauti na miaka...
By Danson KaijageOctober 19, 2019SERIKALI imekanusha madai ya Kompyuta za Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka Tanzania (DPP), zenye taarifa za watuhumiwa wa uhujumu uchumi, kuibiwa na watu...
By Regina MkondeOctober 19, 2019MBUNGE wa Ubungo, Saed Kubenea, jana aliungana na mamia ya wananchi wa Kata za Kimara na Makuburi, kutoa pole kufuatia msiba wa mwanafunzi...
By Mwandishi WetuOctober 18, 2019BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), imetoa majina 30,675 ya wanafunzi watakaopata mikopo kwa mwaka 2019/20. Anaripoti Faki Sosi …...
By Faki SosiOctober 18, 2019NI lazima Freeman Mbowe, Tundu Lissu na Zitto Kabwe watengeneze ‘kemistri’ kali ili kumkabili Rais John Magufuli, iwapo atateuliwa na chama chake (CCM)...
By Faki SosiOctober 18, 2019MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam imepanga kesho tarehe 18 Oktoba 2019, kutoa uamuzi mdogo kwenye kesi ya uchochezi inayowahusu...
By Faki SosiOctober 17, 2019HOFU ya usaliti ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), mkoani Iringa imekwaza kufanyika kwa uchaguzi wa Naibu Meya wa Halmashauri ya...
By Mwandishi WetuOctober 17, 2019VIKAO vya Kamati 14 za Kudumu za Bunge, vinatarajia kuanza tarehe 21 Oktoba 2019 hadi Novemba Mosi mwaka huu. Anaripoti Hamisi Mguta…(endelea). Taarifa...
By Hamisi MgutaOctober 16, 2019UANDIKISHAJI wa daftari la wapiga kura kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa tarehe 24 Novemba 2019, umegubikwa na mitazamo mbalimba. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea)....
By Regina MkondeOctober 16, 2019SERIKALI imekwama kushawishi wananchi kujitokeza kujiandikisha katika daftari la wapiga kura, jambo ambalo linaleta taswira hasi kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa baadaye...
By Kelvin MwaipunguOctober 15, 2019FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ameapa wagombea wake kutoibiwa kura katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika...
By Regina MkondeOctober 15, 2019JAJI Joseph Warioba, Waziri Mkuu Mstaafu amewashauri viongozi wa umma kutokaa madarakani muda mrefu, akisema kwamba kitendo hicho hakina tija kwa masilahi ya...
By Mwandishi WetuOctober 14, 2019MWITIKIO hafifu wa watu kujitokeza katika uandikishaji kwa ajili ya kupiga kura, kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa baadaye mwaka huu, umehusishwa na...
By Hamisi MgutaOctober 14, 2019BAADHI ya wafanyabiashara wamepuuza agizo la Paul Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam la kufungua maduka yao kuanzia saa tano asubuhi...
By Kelvin MwaipunguOctober 14, 2019OMBI la aliyekuwa mbunge wa Singida Mashariki na Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chaadema), Tundu Lissu kwamba serikali imlinde, limetiliwa...
By Mwandishi WetuOctober 14, 2019SERIKALI yaongeza siku tatu katika zoezi la uandikishaji wapiga kura kwenye Daftari la Orodha ya Wapiga Kura. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Zoezi hilo lililoanza...
By Regina MkondeOctober 13, 2019PAUL Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, amewaagiza wafanyabiashara mkoani humo, kesho tarehe 14 Oktoba 2019 kuchelewa kufungua maduka, ili wakajiandikishe...
By Mwandishi WetuOctober 13, 2019RAIS John Magufuli ametangaza kuhamia rasmi kwenye Ikulu ya Chamwino, jijini Dodoma. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Taarifa hiyo imetolewa na Gerson Msigwa,...
By Regina MkondeOctober 12, 2019ZACHARY Kakobe, Askofu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF) ameongoza sala ya kuombea uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa mwaka 2019...
By Regina MkondeOctober 12, 2019RAIS John Magufuli ameonya viongozi wa mikoa na wilaya, watakayofanya vibaya kwenye zoezi la uandikishaji wapiga kura, katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa...
By Mwandishi WetuOctober 12, 2019ERICK Kabendera, mwandishi wa habari za uchunguzi ndani na nje ya nchi, ameomba kukutana na Mkurugenzi Mkuu wa Mashtaka nchini (DPP). Anaripoti Faki Sosi…(endelea). Mbele...
By Faki SosiOctober 11, 2019KITUO cha Huduma za Sheria Zanzibar (ZLSC), kimefungua kesi ya Kikatiba katika Mahakama Kuu ya Zanzibar, kupinga Sheria ya Uchaguzi. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Kwa...
By Mwandishi WetuOctober 11, 2019MFANYABIASHARA bilionea na Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya PAP, Habinder Seth amesalimu amri kwa Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP). Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Seth...
By Regina MkondeOctober 10, 2019ALIYEKUWA mbunge wa Singida Mashariki na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Tundu Lissu, ameapa kutorejea nchini mwake, hadi hapo serikali ya...
By Hamisi MgutaOctober 10, 2019PADRI Paul Sabuni, Paroko Msaidizi wa Parokia ya Moyo Mtakatifu wa Yesu, Manzese, Jijini Dar es Salaam amewataka Wakristo na Watanzania kwa ujumla kutobaguana. Anaripoti...
By Mwandishi WetuOctober 9, 2019RAIS John Magufuli, ameanza kupanga matumizi ya mabilioni ya fedha zinazorudishwa na watuhumiwa wa uhujumu uchumi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Akizungumza katika ziara...
By Mwandishi WetuOctober 9, 2019MABADILIKO kamili katika siasa, uchumi na kijamii hayawezi kufikia iwapo wananchi watasita kwenda kujiandikisha ili kupiga kura. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Kauli...
By Regina MkondeOctober 9, 2019MBUNGE wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika jimbo la Rombo, mkoani Kilimanjaro, Joseph Selasini, ameonya kuwa hatua yeyote ya kuminya demokrasia...
By Yusuph KatimbaOctober 8, 2019RAIS John Magufuli amemaliza mvutano wa ardhi uliokuwepo kati ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), wananchi na Kituo cha Utafiti wa Kilimo (Uyole)...
By Mwandishi WetuOctober 8, 2019UPANDE wa utetezi kwenye kesi inayowakabili viongozi tisa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), umeieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kuwa mshtakiwa...
By Faki SosiOctober 7, 2019KUELEKEA Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020, Mwita Waitara ambaye ni Mbunge wa Ukonga pia Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais Tamisemi, ameanza kupiga...
By Regina MkondeOctober 7, 2019MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo tarehe 7 Oktoba 2019, imekwama kuendelea na kesi ya uchochezi inayomkabili Zitto Kabwe, Mbunge wa Kigoma Mjini...
By Faki SosiOctober 7, 2019JOTO la uchaguzi wa viongozi ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), tayari Cecil Mwambe ambaye ni Mbunge wa Ndanda ameanza kumtingisha...
By Faki SosiOctober 7, 2019KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Vincent Mashinji amesema, ‘tayari tumemjibu msajili.’ Anaandika Regina Mkonde…(endelea). Amesema, chama hicho kimejibu...
By Regina MkondeOctober 7, 2019MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga kuanza kusikiliza utetezi wa viongozi tisa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), siku tano mfululizo kuanzia...
By Faki SosiOctober 6, 2019DAKTARI Mwele Malecela, Mkurugenzi wa Vituo vya Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa Afrika vya Shirika la Afya Duniani (WHO), amesema ‘hatumiki’. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....
By Mwandishi WetuOctober 5, 2019RAIS John Magufuli amepuuza tuhuma zilizotolewa na Janeth Mbene, Mbunge wa Ileje kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) dhidi ya Haji Mnasi, Mkurugenzi Mtendaji...
By Mwandishi WetuOctober 5, 2019HATUA ya Albert Chalamila, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya kuchapa viboko wanafunzi 14 wa Shule ya Sekondari ya Kiwanja na kurudisha nyumbani wanafunzi...
By Mwandishi WetuOctober 4, 2019RAIS John Magufuli amewambia wananchi wa Kata ya Mahenge wilayani Mbozi, Songwe kwamba angekuwa mbunge wao, asingeruhusu kuwachangishwa. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Amewaambia wananchi hao...
By Mwandishi WetuOctober 4, 2019PASCHAL Haonga, Mbunge wa Mbozi (Chadema), amemweleza Rais John Magufuli namna matumizi ya fedha za mfuko wa jimbo zinavyofanya kazi katika kutekeleza shughuli...
By Mwandishi WetuOctober 4, 2019KITENDO cha Albert Chalamila, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya kuingilia majukumu ya walimu wa Shule ya Sekondari Kiwanja, Chunya kwa kuchapa viboko vitatu...
By Mwandishi WetuOctober 4, 2019TUNDU Lissu, Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amekwenda Marekani na baadaye Ulaya. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Nchini Marekani, Lissu...
By Mwandishi WetuOctober 3, 2019ZITTO Kabwe, Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo ameungana na serikali dhidi ya Dezydelius Mgoya (mkulima), aliyefungua kesi ya kikatiba kupinga ibara ya 40 (2)....
By Faki SosiOctober 2, 2019KULUTHUM Mansoor, aliyekuwa Mkurugenzi wa Mipango, Ufuatiliaji na Tathimini wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), amekiri kosa na kutaka yaishe. Anaripoti...
By Faki SosiOctober 2, 2019MAKAMU wa Rais, Mama Samia Suluhu Hassan amewapongeza viongozi mbalimbali walioteuliwa na Rais John Magufuli, na kuwatahadharisha kwamba kazi ipo. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea)....
By Regina MkondeOctober 1, 2019RAIS John Magufuli amesaini sheria nne zilizopitishwa katika mkutano wa 16 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea)....
By Regina MkondeOctober 1, 2019RAIS John Magufuli, amemteua Wilson Charles kuwa Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC). Anaripoti Faki Sosi…(endelea). Charles amechukua nachukua nafasi ya...
By Faki SosiOctober 1, 2019JESHI la Polisi wilayani Hai mkoa wa Kilimanjaro, limevamia mkutano wa ndani wa Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema Taifa, kwa kile kilichoelezwa kuwa...
By Mwandishi WetuSeptember 30, 2019CHAMA cha Wananchi (CUF) kimelalamikia zoezi la uandikishaji wa Daftari la Wapiga kura, kikieleza kwamba lina kasoro. Anaripoti Hamis Mguta… (endelea). Malalamiko hayo...
By Hamisi MgutaSeptember 30, 2019