Friday , 29 March 2024
Habari za Siasa

CAG apekua BoT

Benki Kuu ya Tanzania (BoT)
Spread the love

 

FEDHA zilizotolewa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na kutumika kati ya Januari na Machi mwaka huu, zimeanza kuchunguzwa. Anaripoi Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Hatua hiyo inatokana na agizo la Rais Samia Suluhu Hassan, kuagiza Ofisi ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takururu) pia Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kupitia mafaili ya matumizi ya fedha hizo.

Rais Samia alitoa maagizo hayo tarehe 28 Machi 2021, wakati akipokea taarifa ya CAG na ya utendaji wa Takukuru kwa mwaka 2019/2020.

Charles Kichere, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG)

Akizungumza na gazeti moja la kila siki nchini, CAG Charles Kichere amesema, tayari wameanza uchunguzi BoT ikiwa ni kutekeleza agizo la Rais Samia.

“Tunaendelea na ukaguzi. Siwezi kusema kilichofanyika hadi sasa tupo site (eneo la tukio), tunaendelea na ukaguzi,” CAG Kichere amelieleza gazeti hilo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Chadema yamtaka Rais Samia aunde tume kuchunguza mauaji mgodi wa Barick

Spread the loveRAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ameombwa aunde tume huru kwa...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

error: Content is protected !!