
Mwili wa Thomas Mashali ukizikwa katika makaburi ya Kinondoni
THOMAS Mashali, aliyekuwa bondia mashuhuri nchini Tanzania, amezikwa leo kwenye makaburi ya Kinondoni, jijini Dar es Salaam, anaandika Faki Sosi.
Mashabiki, wapenzi wa ndondi, wananchi na wanafamilia kwa pamoja leo wauaga mwili wa Mashali katika Ukumbi wa Diamon Jubilee kabla ya kwenda kuuzika Kinondoni.
Awali Mashali alitarajiwa kuzikwa jana lakini baadaye familia yake iliahirisha maziko hayo na kufanyika leo.
More Stories
Simba wamponza Meneja Uwanja wa Mkapa, ang’olewa
Sherehe zimekwisha sasa tukutane Agosti 13
Simba SC. yang’ara, yawakung’uta 2:0 wahabeshi