Saturday , 20 April 2024
Home Kitengo Maisha Elimu Bosi ya Mikopo yafungua dirisha la rufaa
Elimu

Bosi ya Mikopo yafungua dirisha la rufaa

Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu
Spread the love

BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) leo tarehe 21 Novemba 2018 imeanza kupokea rufaa za mikopo kwa mwaka wa masomo wa 2018/19 kwa njia ya mtandao. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo na HESLB, inaeleza kuwa, dirisha la kuwasilisha rufaa hizo liko wazi kwa muda wa siku tano hadi Novemba 25 mwaka huu, ambapo wanafunzi wenye malalamiko wanatakiwa kutumia fursa hiyo.

“HESLB imefungua dirisha hili ili kutoa fursa kwa wanafunzi wahitaji ambao hadi sasa hawajapa mkopo au hawajaridhika na kiwango cha mkopo walichopangiwa, kuwasilisha maelezo na nyaraka kuthibitisha uhitaji wao,” inaeleza sehemu ya taarifa hiyo.

Taarifa hiyo imeongeza kuwa, baada ya rufaa hizo kuwasilishwa na kupitiwa, wanafunzi watakaobainika kutimiza masharti na sifa watapangiwa mikopo kabla ya mwisho wa mwezi huu wa Novemba.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

ElimuHabari za Siasa

Walimu 52,551 kupandishwa madaraja mwaka huu

Spread the loveNaibu Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais (Utumishi na Utawala...

BiasharaElimu

NMB yatoa vifaa vya ujenzi kwa shule sita Nyasa  

Spread the loveBENKI ya NMB imetoa msaada wa vifaa mbalimbali vya ujenzi...

ElimuHabari Mchanganyiko

GGML yawapa mbinu wanafunzi Geita Boys kufikia malengo ya kitaaluma

Spread the loveKampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa mafunzo maalumu...

ElimuHabari Mchanganyiko

Wanawake GGML wawanoa wanafunzi Kalangalala Sec. kujitambua

Spread the loveKATIKA kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani, Umoja wa...

error: Content is protected !!