Sunday , 2 April 2023
Home Kitengo Michezo Bodi ya Ligi yaupiga ‘Stop’ Uwanja wa Jamhuri
Michezo

Bodi ya Ligi yaupiga ‘Stop’ Uwanja wa Jamhuri

Spread the love

MARA baada ya kumalizika kwa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Mtibwa Sugar dhidi ya Yanga, Bodi ya Ligi imepiga marufuku kutumika kwa Uwanja wa Jamhuri uliopo mkoani Morogoro kutumika katika michezo yote ya kimashindano. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Morogoro … (endelea).

Bodi ya Ligi imewataka wahusika wa uwanja huo kufanya marekebisho katika eneo la kuchezea (pitch), vyumba vya kubadilishia nguo na sehemu za kukaa wachezaji wa akiba.

Kiwanja hicho ambacho leo kimechezwa mchezo wa ligi na kushuhudia Yanga ikiibuka na pointi tatu kwa ushindi wa bao 1-0.

Mpaka sasa bodi hiyo imefungia jumla ya viwanja vimne kutumika katika michezo ya kimashindano ambavyo ni Ushirika Moshi, Mabatini Pwani, Highland Estates uliokuwa ukitumiwa na Klabu ya Ihefu uliopo Mbalizi, Mbeya na Uwanja wa Gwambina

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

TANROADS wawataka watumishi wazingatie michezo kazini

Spread the love  WAKALA wa barabara Tanzania (TANROADS) imesema michezo inapaswa kuzingatiwa...

Michezo

Yanga: Fedha za Rais Samia zinaleta ari kubwa

Spread the loveUONGOZI wa klabu ya Yanga, umesema fedha zinazotolewa na Rais...

Michezo

Simba Sc. yamvulia kofia Rais Samia, yamuahidi makubwa dhidi ya Horoya

Spread the loveWAKATI timu ya Simba ikiibuka na ushindi wa bao 3-0...

Michezo

Taasisi ya TKO na TFF yawapiga msasa makocha wa kike 54

Spread the love WAKATI Soka la wasichana likichipua kwa kasi Taasisi ya...

error: Content is protected !!