Saturday , 25 March 2023
Home Gazeti Habari za Siasa BAVICHA kumuombea Tundu Lissu
Habari za Siasa

BAVICHA kumuombea Tundu Lissu

Patrick Ole Sosopi, Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chadema (Bavicha) akiwa jukwaani
Spread the love

IKIWA ni wiki moja tangu kupigwa risasi za moto mbunge wa  Singida Mashariki Tundu Lissu Chadema), Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), linatarajia kufanya maombi maalumu ya kitaifa, anaandika Faki Sosi.

Akizungumza na waandishi wa habari leo makamu  mwenyekiti wa BAVICHA,   Patrick Ole Sosopi amesema  maombi hayo yatajumuisha madhehebu ya dini zote na yatafanyika jumapili ijayo Septemba  17 , mwaka huu.

Amesema maombi hayo yatafanyika katika viwanja vya TP Sinza darajani jijini Dar es Salaam na kuwa hatarajii Jeshi la Polisi kuzuia maombi hayo na badala yake kufika kwa ajili ya kuimarisha ulinzi.

Hata hivyo, ameeleza kuwa tayari jeshi hilo wameshalipelekea taarifa ya kutekelezwa kwa maombi hayo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Rais Samia aagiza iundwe kamati ya pamoja ya Mawaziri mradi wa BBT

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amewaagiza mawaziri kuunda kamati...

Habari za Siasa

Rais Samia apangua makatibu tawala mikoa, ateua Kamishna DCEA

Spread the loveALIYEKUWA Kamishna wa Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya, Gerald...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

M/kiti bodi ya wadhamini Chadema afariki dunia

Spread the loveMWENYEKITI wa Bodi ya Wadhamini ya Chama cha Demokrasia na...

Habari za Siasa

Zitto: Nikifa Ado atavaa viatu vyangu

Spread the love  KIONGOZI Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe...

error: Content is protected !!