Thursday , 30 March 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Bajeti miradi ya maendeleo ujenzi yatekelezwa kwa asilimia 96.5
Habari za Siasa

Bajeti miradi ya maendeleo ujenzi yatekelezwa kwa asilimia 96.5

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa
Spread the love

SERIKALI imetekeleza bajeti ya miradi ya maendeleo sekta ya ujenzi kwa asilimia 96.5 kwa yenye gharama ya Sh. 1.532 trilioni. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Hayo yamebainishwa leo Jumatatu tarehe 23 Mei, 2022 na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa akiwasilisha bajeti yam waka 2022/23.

Mbarawa amesema hadi Aprili, 2022 fedha zilizopokelewa ni Sh. 1.532 sawa na asilimia 96.48 ya fedha zilizoidhinishwa kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa mwaka wa fedha 2021/22. Sekta ya Ujenzi ilitengewa Sh 1.588 trilioni ikijumuisha Sh 1.288 fedha za ndani na Sh 300 milioni fedha za nje.

Amesema kati ya fedha zilizopokelewa Sh 1.232 trilioni ni fedha za ndani zinajumuisha Sh 691.1 milioni kutoka Mfuko Mkuu wa Serikali na Sh. 541.6 milioni kutoka Mfuko wa Barabara na Sh 299.9 milioni ni fedha za nje.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

TEMESA iliyokarabati Kivuko kwa Bil 7.5 yapata hati chafu

Spread the love  MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG),...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yakusanya Mil 8.5/- kodi ya zuio na kutokomea nazo

Spread the love  MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG),...

Habari za Siasa

DC Kasilda Mgeni ahamasisha chakula shuleni

Spread the love  MKUU wa Wilaya ya Same, mkoani Kilimanjaro, Kasilda Mgeni...

Habari za Siasa

Bilioni 223.9 zapelekwa Tunduru ndani ya miaka 2 ya SSH

Spread the love  ZAIDI ya Sh. bilioni 223.9 zimepelekwa Wilaya ya Tunduru...

error: Content is protected !!