Wednesday , 17 April 2024
Home Kitengo Michezo Azam FC kuivaa Mamelodi leo
Michezo

Azam FC kuivaa Mamelodi leo

Kikosi cha Memelodi Sundown
Spread the love

KLABU ya Azam FC leo itashuka dimbani dhidi ya mabingwa Klabu Bingwa Afrika, Mamelodi Sundown katika mchezo wa kirafiki utakaopigwa  majira ya saa moja jioni, kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, anaandika Kelvin Mwaipungu.

Mamelodi ambao wameingia nchini siku ya Jumatatu kwa ajili ya ziara maalumu, sambamba na kufanya maandalizi ya mchezo wao dhidi ya TP Mazembe ambao ni mabingwa wa Kombe la Shirikisho  Afrika utakaopigwa Febuari 18 mwaka huu.

Licha ya kucheza na Azam FC leo, klabu hiyo pia itacheza mchezo mwengine siku ya Ijumaa dhidi ya African Lyon ya jijini Dar es Salaam kabla ya kurudi nchini Afrika Kusini kwa ajili ya maandalizi ya michezo ya CAF.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Leo ni leo nani kutinga nusu fainali UEFA?

Spread the love HATIMAYE Jumanne ya UEFA imefika ambapo leo hii michezo...

Michezo

Anza Jumatatu yako na Meridianbet

Spread the love  IKIWA ni siku nyingine mpya kabisa ya Jumatatu baadhi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC, Yanga wazindua kadi  za kimataifa za uanachama

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kushirikiana na Klabu...

Michezo

TFF, Amrouche ngoma nzito

Spread the loveVIPENGELE vya mkataba wa kazi aliotia saini Kocha Mkuu wa...

error: Content is protected !!