Friday , 29 March 2024
Home upendo
1837 Articles232 Comments
Habari za SiasaTangulizi

Zitto kufuata nyayo za Tundu Lissu

KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amefuata nyayo za Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, kufanya ziara nchini Ujerumani. Anaripoti Regina Mkonde...

Habari za Siasa

Barrick kulipa kiporo cha dola 300 mil

RAIS John Magufuli amefanya mazungumzo na Afisa Mwendeshaji Mkuu wa Kampuni ya Barrick Gold anayeshughulikia Afrika na Mashariki ya Kati, Dk. Willem Jacobs...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba aanza kupotea

KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Shariff Hamad, amemzidi kete, Prof. Ibrahim Lipumba, mwenyekiti wa chama hicho anayetambuliwa na Msajili...

Habari za Siasa

Kesi kupinga matokeo ya urais: Tanzania yapewa siku 45 kujitetea  

SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepewa siku 45 na Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu  (ACHPR) kupeleka majibu yake katika...

Habari Mchanganyiko

Makontena ya Congo yaliyozuiwa yaachiwa

SERIKALI imetatua changamoto ya kukwama kwa makontena ya wafanyabiashara wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) katika Bandari ya Dar es Salaam. Anaripoti...

Habari za Siasa

Lipumba chali, Maalim Seif aanza kumpekua

PROFESA Ibrahimu Lupumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa ameangukia pua. Anaripoti Regina Mkonde...

Habari za Siasa

Chadema yaibua maswali tata kauli ya Lugola

MSUGUANO kati ya Serikali ya Jamhuri na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuhusu Tundu Lissu unaendelea ambapo sasa Chadema inahoji maswali matatu...

Habari za Siasa

Chadema: Tundu Lissu ana baraka zetu

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kinakubaliana na ziara anazofanya Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu nje ya nchi. Anaripoti Regina Mkonde...

Habari Mchanganyiko

Amber Ruth akana kufanya ngono kinyume cha maumbile

SERIKALI imekamilisha upelelezi wa kesi ya kufanya ngono kinyume na maumbile inayomkabili msanii Rutyfiya Aboubakary ‘Amber Ruth’ na mumewe Said Mtopali kwenye Mahakama...

Michezo

Serikali: ZFA inapokea fedha kutoka TFF si FIFA, CAF

NAIBU Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo, Juliana Shonza amesema, Shirikisho la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFA) haliwezi kupokea moja kwa moja fedha...

Habari Mchanganyiko

Sheria zote za nchi sasa kuwekwa mtandaoni

OFISI ya Mpiga Chapa Mkuu wa Serikali imetakiwa kuweka sheria za nchi mitandaoni ili wananchi waweze kuzisoma na kuzielewa kwa urahisi. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea)....

Habari za Siasa

Rais Magufuli azindua mahakama inayotembea

RAIS John Magufuli amezindua huduma ya mpya ya mahakama inayotembea barabarani ili kurahisisha huduma ya upatikanaji wa haki. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea)....

Habari za Siasa

Wananchi walazimishwa kuchukua fedha zao

SERIKALI imetoa wiki moja kwa wananchi wa Nyamongo mkoani Mara waliohamishiwa makazi yao kwa ajili ya kupisha shughuli za uchimbaji madini katika mgodi...

Habari za SiasaTangulizi

Kuelekea 2020: Ndugai aanza kumpigia chapuo Rais Magufuli

SPIKA wa Bunge, Job Ndugai, ameanza kampeni ya kumnadi Rais John Magufuli. Ameagiza kuandaliwa muswada wa Bima ya Afya kwa wote, kabla ya...

Afya

Wananchi watakiwa kupima afya zao mara kwa mara

IKIWA leo tarehe 4 Februari 2019 dunia inaadhimisha siku ya saratani, serikali imeendelea kusisitiza wananchi kupima afya zao ili kukabiliana na ugonjwa huo....

Habari za SiasaTangulizi

Spika Ndugai: Nilimchapa viboko mpinzani wangu

SPIKA wa Bunge la Jamhuri, Job Ndugai, amekiri kumshambulia kwa fimbo Dk. Joseph Chilongani, ambaye aliyekuwa mmoja wa washindani wake wenye nguvu wakati...

Habari za Siasa

Sugu amshauri Rais Magufuli kumhamisha RC wa Mbeya

MBUNGE wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ amesema kama angepata nafasi ya kumshauri Rais John Magufuli, angemshauri kumteua aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya...

Habari Mchanganyiko

Mufti wa Tanzania afiwa na mkewe

MUFTI wa Tanzania, Aboubakar Zubeir amefiwa na mke wake mkubwa anayefahamika kwa jina la Mama Shafi. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Taarifa ya...

Habari za Siasa

DC, RC wamkera Rais Magufuli

RAIS John Magufuli amevunja ukimya kuhusu vitendo vya baadhi ya wakuu wa wilaya na mikoa kuwaweka rumande raia. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea)....

Habari za Siasa

Viongozi wa dini wavutana mbele ya Rais Magufuli

ASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Mchungaji Amani Lyimo amevutana na Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat...

Habari za Siasa

Askofu: Mivutano ya dini na serikali iangaliwe

KUMEKUWEPO na mifutano baridi kati ya taasisi za dini na serikali hasa katika utoaji wa huduma za kijamii jambo ambalo linasababisha kuwepo kwa...

Habari za Siasa

Kilio uvunjwaji msikiti UDOM chafikishwa JPM

KILIO kinachotokana na uongozi wa Chuo Kikuu cha Dodoma kuamuru kuvunjwa kwa msikiti uliokuwa ukijengwa kwa ajili ya ibada ya waumini wa Dini...

Habari za Siasa

Askofu Gwajima amfananisha Rais Magufuli na Nabii

ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Dk. Josephat Gwajima amemfananisha Rais John Magufuli na Nabii. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Akichangia...

Habari za SiasaTangulizi

Kigogo CUF asota rumande

MJUMBE wa Baraza Kuu la Uongozi la CUF Taifa, Abdallah Khatau leo amefikisha siku ya tano akiwa rumande huku polisi wakigoma kumpa dhamana....

Habari za Siasa

JPM akabidhiwa mfumo wa kusimamia mawasiliano, atoa maagizo

RAIS John Magufuli leo tarehe 18 Januari 2019 amekabidhiwa rasmi Mfumo wa Usimamizi wa Mawasiliano ya Simu (TTMS) unaosimamiwa na Mamlaka ya Mawasiliano...

Habari za Siasa

Spika Ndugai alia na Zitto

ZITTO Kabwe, Mbunge wa Kigoma Mjini ni mwanasiasa anayemsumbua Spika wa Bunge la Jamhuri, Job Ndugai. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Kauli hiyo imetolewa na...

Habari za SiasaTangulizi

Sera za Lissu Ulaya hizi hapa

TUNDU Lissu, Mbunge wa Singida Mashariki yupo ziarani Ulaya na sasa ameanza kueleza sera zake pale atakapochaguliwa na Watanzania kuwa rais wao. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Rais Magufuli atuma salamu za rambirambi kwa Kenyatta

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli ametuma salamu za pole kwa Rais wa Jamhuri ya Kenya, Uhuru Kenyatta kufuatia...

Kimataifa

Tanzania, Kenya zaungana kulinda rasilimali za mipakani

SERIKALI ya Kenya na Tanzania zimeungana kwa pamoja kulinda rasilimali za asili zilizoko katika mipaka ya nchi hizo. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Rais Shein ajigamba kupunguza utegemezi Z’bar

RAIS wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk. Ali Shein amesema utegemezi wa fedha katika bajeti ya serikali yake umepungua kutoka asilimia  30...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli agoma kuzungumza na wapinzani

RAIS wa Jamhuri, Dk. John Pombe Magufuli, “amegoma” kuzungumza na vingozi wenzake wa vyama vya siasa, akidai kwamba “waweza kumteketeza.” Anaripori Regina Mkonde...

Habari za Siasa

Rais Magufuli akabidhi ndege zake kwa ATCL

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli ameagiza ndege mbili kati ya tatu zilizo chini yake, kukabidhiwa kwa Shirika la...

Habari za Siasa

Kada BAVICHA atoweka, Chadema wahaha kumsaka

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetoa wito kwa Jeshi la Polisi, vyombo vya dola na wananchi kumtafuta Mwenyekiti wa Baraza la Vijana...

Habari za SiasaTangulizi

JPM atema nyongo, asema ‘sitoacha kutumbua’

SIKU moja baada ya kufanya mabadiliko madogo serikalini, Rais John Magufuli amesema kuwa, hatokoma kuteua viongozi wapya na au kutengua uteuzi wa viongozi...

Habari za SiasaTangulizi

Spika Ndugai awaombea likizo mawaziri, JPM amgomea

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amewaombea likizo mawaziri na manaibu waziri kwa Rais John Magufuli. Anaripoti Regina...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli apangua tena serikali yake

RAIS wa Jamhuri, Dk. John Pombe Magufuli, amefanya mabadiliko madogo katika serikali yake. Ameteuwa waziri mmoja mpya; amehamisha mwingine na ameteuwa makatibu wakuu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Tanzania wasaka soko la korosho Algeria

SERIKALI imefanya mazungumzo na Algeria kuhusu masuala ya diplomasia ya kiuchumi, ambapo nchi hiyo imeonyesha nia ya kutaka kununua korosho za Tanzania. Anaripoti...

Habari za Siasa

Spika Ndugai, ang’ang’aniwa mithili ya mpira wa kona

RAIS wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Fatma Karume na Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), wamekosoa kauli ya Spika wa Bunge, Job Ndugai,...

ElimuHabari Mchanganyiko

Abdul Nondo arudishwa rasmi UDSM

CHUO Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimemrudishia hadhi ya uanafunzi Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi (TSNP), Abdul Nondo baada ya kuondolewa chuoni...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Safari aongoza jopo la mawakili kuikoa Chadema

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tanzania Bara, Prof. Abdallah Safari, sasa atakuwa amejitosa rasmi kuokoa chama chake. Anaripoti Regina...

Habari za SiasaTangulizi

Bulaya amvaa tena Rais Magufuli, amwambia hajamaliza kazi

BAADA Ya Rais John Magufuli kufuta kanuni mpya ya kikokotoo cha mafao ya watumishi wa umma iliyotokana na Sheria ya Mifuko ya Hifadhi...

Habari za SiasaTangulizi

Ester Bulaya amtaka ‘waziri wa kikokotoo ang’oke’

MBUNGE wa Bunda Mjini, Ester Bulaya amemtaka Rais John Magufuli kumfukuza kazi Waziri wa Sera, Bunge, Ajira, Vijana, na Walemavu, Jenista Mhagama, kwa...

Habari za Siasa

Jicho la Rais Magufuli lahamia kwa wastaafu hewa

RAIS John Magufuli amewataka watendaji katika mifuko ya hifadhi ya jamii kuboresha daftari la orodha ya majina ya wastaafu, ili kuondoa mapungufu yaliyopo...

Habari za SiasaTangulizi

Magufuli asalimu amri kwa wafanyakazi

HATIMAYE Rais John Pombe Magufuli, amesikia kilio cha wafanyakazi nchini. Amefuta angalau kwa muda, matumizi ya kanuni mpya ya kikokotoo cha mafao ya...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli kukata mzizi wa fitina kikokotoo cha mafao

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli leo tarehe 28 Desemba 2018 atakutana na viongozi wa vyama vya wafanyakazi nchini,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Fastjet, serikali sasa hapatoshi

SIRI kuu juu ya kampuni ya ndege ya Fastjet, kusitisha shughuli zake za usafirishaji wa abiria nchini, imefichuka. Anaripoti Regina Mkonde …. (endelea)....

Habari MchanganyikoTangulizi

Makonda: Bila Neno la Mungu, Magereza, polisi hawatatosha

PAUL Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam amesema, Magereza na Polisi hawatatosha iwapo Neno la Mungu halitafanya kazi. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea)....

Habari MchanganyikoTangulizi

Ujumbe wa manung’uniko, kilio kusomwa makanisani

LEO si Sikukuu ya Krismasi ambapo waumini Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) zaidi Mil 6.5 wanatarajia kusomewa waraka huo uliobeba manung’uniko,...

Habari za SiasaTangulizi

Mahakama yamzua Lipumba kukomba ruzuku

PROF. Ibrahim Haruna Lipumba, mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), anayetambuliwa na Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi, amegonga mwamba...

Habari za SiasaTangulizi

Sumaye: Muswada wa siasa ukiachwa utawatafuna mpaka CCM

BARAZA Kuu la Chadema Kanda ya Pwani limetaka serikali kuuondoa muswada wa vyama vya siasa uliowasilishwa bungeni, kwa sababu unakiuka katiba kwa kuwa...

error: Content is protected !!