Friday , 29 March 2024
Home upendo
1837 Articles232 Comments
Habari za SiasaTangulizi

Magufuli kuvunja Jiji la Dar es Salaam

  JIJI la Dar es Salaam nchini Tanzania, linatarajiwa kuvunjwa ili kuokoa fedha zinazotumika kuendesha jiji hilo wakati halina miradi ya maendeleo na...

Habari Mchanganyiko

LSF, NGO’s zajadili mfumo upatikanaji haki Tanzania

  SHIRIKA linalofanya kazi ya kukuza upatikanaji wa haki nchini Tanzania, kupitia uwezeshaji wa kisheria (LSF), linaendesha mkutano wa siku mbili kwa ajili...

Habari za Siasa

Dorothy ‘akabidhiwa’ kiti cha Maalim Seif

  KAMAMU Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Bara, Dorothy Semu amekaimu rasmi kiti cha uenyekiti wa chama hicho, kilichokuwa kikishikiliwa na Hayati Maalim...

Habari za SiasaTangulizi

Mchakato kumtafuta mrithi Maalim Seif kuanza Alhamisi

  CHAMA cha ACT-Wazalendo nchini Tanzania, kitaanza mchakato wa kumpata mrithi wa Maalim Seif Sharif Hamad (77), kwenye nafasi ya Makamu wa Kwanza...

Habari

Mama Samia atoa wito uibuaaji fursa

  WAWEKEZAJI na wafanyabiashara nchini wameshauri wa kuibua fursa zinazofungamana na sekta ya madini ili ajili kukuza uchumi wa Taifa. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari za SiasaTangulizi

Gavana mstaafu BoT, Profesa Ndulu hatunaye

  ALIYEWAHI kuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndulu (71), amefariki dunia leo Jumatatu tarehe 22 Februari 2021, katika...

Habari Mchanganyiko

Padre Katoliki afariki dunia

  PADRE wa Parokia ya Kristo Mfalme Kibaoni, Jimbo Katoliki la Singida, Parick Njiku, amefariki dunia jana Ijumaa, tarehe 19 Februari 2021, katika...

Habari MchanganyikoTangulizi

Dk. Likwelile afariki dunia

  ALIYEWAHI kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango nchini Tanzania, Dk. Servacius Likwelile, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumamosi,...

Habari za SiasaTangulizi

Magufuli asema Maalim Seif alifitinishwa

  RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amesema, aligoma kukubali wito wa kukutana na aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif...

Habari za SiasaTangulizi

Magufuli atangaza siku tatu za maombi

  RAIS wa Tanzania, John Magufuli, ametangaza siku tatu za maombi kuanzia leo Ijumaa hadi Jumapili tarehe 21 Februari 2021, ili Mungu atokomeze...

Habari za SiasaTangulizi

Magufuli aongoza Watanzania kumuaga Balozi Kijazi

  RAIS wa Tanzania, John Magufuli, amewaongoza waombolezaji, kuuaga mwili wa aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi (64), aliyefariki dunia tarehe 17...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Kikwete aongoza maelfu ya wananchi kumuaga Maalim Seif

RAIS mstaafu wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, ameongoza maelfu ya wananchi jijini Dar es Salaam, katika ibada ya swala ya maiti ya mwanasiasa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Maaskofu Katoliki: Siasa za ubinafsi zinaleta manung’uniko

  BARAZA la Maaskofu wa Kanisa Katoliki nchini Tanzania (TEC), limewataka Watanzania kuacha siasa za upendeleo na ubinafsi, kwa kuwa zinasababisha mfarakano katika...

Habari Mchanganyiko

Bangi yamueka matatani mkulima

  AZIZ Rashid Abdallah (39), mkulima na mkazi wa Mbande Rufu, Mbagala jijini Dar es Salaam anashikiliwa na Jeshi la Polisi, Mkoa wa...

Habari Mchanganyiko

Askofu Ruwa’ichi amlilia Padri Boyo

PAROKO Msaidizi wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Parokia ya Chang’ombe, Padri Ernest Donald Boyo, amefariki dunia usiku wa jana...

ElimuHabari za Siasa

Waraka wa corona wamponza Prof. Bisanda wa Chuo Kikuu

WARAKA kuhusu tahadhari ya maambukizi ya virusi vya corona (COVID-19), uliotolewa na Profesa Elifas Bisanda, Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo ‘wamtesti’ Dk. Mwinyi

  CHAMA cha ACT- Wazalendo, kimemshauri Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi kuunda “tume ya maridhiano” ili kutibu vidonda vya uchaguzi mkuu uliyopita,...

Habari za SiasaTangulizi

Wapinzani washangaa wabunge CCM kujipendekeza kwa Magufuli

KASI ya “kujipendekeza” ya baadhi ya wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kwa Rais wa Tanzania, John Magufuli, imeshangaza waengi, wakiwamo viongozi wa...

Habari za SiasaTangulizi

Ajenda 5 zimewapeleka ACT-Wazalendo bungeni

  CHAMA cha ACT-Wazalendo kimesema, kimewapeleka wanachama wake wanne bungeni ili wakasimamie ajenda tano za chama hicho. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Mjadala JPM kuongezewa muda uachwe huru – Butiku

  JOSEPH Butiku, Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, ametaka mjadala wa Rais John Magufuli kuongezewa muda wa kutawala, uachwe huru. Anaripoti Regina...

Habari za Siasa

Bunge lazidi kuwakingia kifua waliofukuzwa Chadema

  TUHUMA kwamba Bunge la Tanzania nidhaifu zilizotolewa na Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), zimepingwa. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

HabariTangulizi

Maalim Seif afikisha siku ya tisa hospitalini

  MAKAMO wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Shariff Hamad, bado anaendelea kupata matibabu katika hospitali kuu ya Mnazi Mmoja, Visiwani Unguja....

Habari Mchanganyiko

Mama wa miaka 47 afungwa miaka 30 kwa kusafirisha dawa za kulevya

  LINNA Romani Maro (47), amehukumiwa kifungo cha miaka 30 gerezani na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, baada ya...

Habari za Siasa

Safari matumizi ya Kiswahili mahakamani yaanza

  WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk. Mwigulu Nchemba amesema, wizara yake imezungumza na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), kwa ajili...

Habari za Siasa

Ni mbwembwe, ‘wabunge wa Chadema’ wakitinga bungeni

  WABUNGE wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wamewakaribisha wabunge kutoka Chama cha ACT-Wazalendo na wale waliotimuliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),...

Habari za Siasa

COVID-19: Serikali ‘hatuwezi kuepuka’

  SERIKALI imeeleza kwamba, kutokana na muingiliano na mataifa mengine duniani, haiwezi kuepuka tahadhari juu ya maambukizi ya virusi vya corona (COVID-19). Anaripoti...

Habari MchanganyikoTangulizi

Askofu Shoo azungumzia corona “tusimjaribu Mungu”

  MKUU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Dk. Frederick Shoo, amewataka viongozi wa kanisa hilo, kuwaelimisha waamini wake, kuchukua...

Habari za Siasa

Chadema: Hatujapokea hata senti moja ya ruzuku

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania, kimekana taarifa kuwa kimekuwa kikipokea ruzuku ya mamilioni ya shilingi kutoka serikalini, tangu kumalizika kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Kampuni ya LZ Nickel yafuatayo nyayo za Barrick

KAMPUNI ya LZ Nickel Limited ya nchini Uingereza, imefuata nyayo za Kampuni ya Madini ya Barrick Gold Corparation, kwa kuingia ubia na Serikali...

Elimu

Wanafunzi 215 wafutiwa matokeo, 252… 

BARAZA Mitihani la Tanzania (Necta), limefuta matokeo yote ya watahiniwa 215, waliofanya udanganyifu katika mitihani yao ya Taifa mwaka 2020. Anaripoti Regina Mkonde,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bosi Takukuru atangaza mabadiliko ya viongozi

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (Takukuru), imefanya mabadiliko ya uongozi, sambamba na kuanzisha huduma inayotembea (Mobile PCCB), kwa ajili ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Waziri Mwambe asema corona imepandisha bei ya mafuta ya kula

WAZIRI wa Viwanda na Biashara nchini Tanzania, Geofrey Mwambe amesema, kupanda kwa bei ya mafuta ya kula, kumesababishwa na mfumuko wa bei ya...

Tangulizi

Rais Kikwete afuata nyayo za Mkapa

RAIS mstaafu wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, ameanza kujiandikia kitabu kitakachoeleza historia ya maisha yake. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam …...

Habari za Siasa

Vigogo hospitali za serikali kikaangoni, Waziri Gwajima…

SERIKALI ya Tanzania, imeagiza mamlaka husika kuzifanyia uchunguzi hospitali zote za umma, ili kubaini sababu za kukwama kwa mfumo wa utoaji huduma za...

Habari Mchanganyiko

Wadaiwa pango la ardhi kukiona

WATU wanaomiliki ardhi mijini, mashambani na vijijini, wametakiwa kulipa kodi ya ardhi kabla ya Januari 2021, vinginevyo watafikishwa kortini. Anaripoti Regina mkonde, Dar...

Habari Mchanganyiko

Serikali yataka majibu ya corona kwa saa 24

SERIKALI ya Tanzania imeagiza utoaji wa majibu ya vipimo vya ugonjwa wa corona ndani ya saa 24 badala ya saa 72. Anaandika Regina...

Habari Mchanganyiko

Wanafunzi 32, Walimu 2 mbaroni kwa tuhuma za kuchoma moto shule

WATU 41 wakiwemo wanafunzi 32 na walimu wawili,  wamekamatwa na Jeshi la Polisi nchini Tanzania kwa tuhuma za kuhusika katika matukio ya shule...

Habari Mchanganyiko

Mauaji wivu wa mapenzi yatikisa 2020

MATUKIO ya mauaji yanayotokana na wivu wa mapenzi, yameongoza katika mwaka 2020. Anaripoti Regina Mkonde, Dar Es Salaam…(endelea). Taarifa hiyo imetolewa leo tarehe...

Habari Mchanganyiko

Mawakili wapotoshaji kukiona – Jaji Mkuu

PROFESA Ibrahim Juma, Jaji Mkuu wa Tanzania, ameahidi kuwachukulia hatua mawakili wanaopotosha maamuzi ya mahakama. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea)....

Habari za Siasa

Mdee, wenzake 18 wapigwa ‘kitanzi’

BARAZA la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha), limemtaka aliyekuwa mwenyekiti wake, Halima James Mdee na wenzake 18, “kuacha kutumia jina...

ElimuHabari MchanganyikoTangulizi

WhatsApp yatumika udanganyifu wa mitihani, 65 mbaroni

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Kagera, inawashikilia wanafunzi 38 wa Chuo cha Ufundi (VETA) Wilaya ya Bukoba mkoani...

Habari za Siasa

Wabunge ACT-Wazalendo waapishwa, Spika Ndugai asema…

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amewaapisha wabunge wanne wa chama cha ACT-Wazalendo huku akisema, akidi ya muhimili...

Habari za Siasa

Spika Ndugai kuwaapisha wabunge ACT-Wazalendo

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai leo Jumanne tarehe 15 Desemba 2020, atawaapisha wabunge wanne wa ACT-Wazalendo. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...

Habari za Siasa

Rais Mwinyi amtumbua aliyemwapisha siku 37 zilizopita

Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi, ametengua uteuzi wa Katibu wake, Suleiman Ahmed Saleh. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Taarifa iliyotolewa leo Jumatatu tarehe 14...

Habari

Magufuli aagiza mishahara ‘watumishi’ TMAA ipunguzwe

RAIS wa Tanzania, John Magufuli ameagiza waliokuwa watumishi wa Wakala wa Ukauzi wa Madini Tanzania (TMAA) kisha kuhamishiwa Tume ya Madini wapunguziwe mishahara...

Habari za Siasa

Magufuli akataa kunyonga 256, wafungwe maisha

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli, amewapunguzia adhabu wafungwa 256  waliohukumiwa kunyongwa na kuagiza wapewe kifungo cha maisha gerezani. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif akubali yaishe, akumbusha machungu ya uchaguzi 

HATIMAYE Maalim Seif Hamad, mwenyekiti wa Chama cha ACT- Wazalendo, amekubali yaishe. Ameapishwa kuwa Makamo wa Rais wa Kwanza, katika serikali ya Umoja...

Habari za Siasa

Bawacha wawananga Mdee na wenzake

BARAZA la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha) limesema, kuondoka kwa mwenyekiti wake, Halima Mdee na wenzake 18, hawatarudisha nyuma jitihada...

Habari za SiasaTangulizi

Hatma Mdee na wenzake leo, wanachama wajitokea makao makuu

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) leo Ijumaa tarehe 27 Novemba 2020, kinafanya kikao maalum cha kamati kuu kuwajadili wanachama wake 19 wanaodaiwa...

Habari za Siasa

Askofu Bagonza awazungumzia Mdee na wenzake, aishauri Chadema 

SAKATA la wanachama 19 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kwenda kinyume na msimamo wa chama hicho kwa kukubali uteuzi wa wabunge...

error: Content is protected !!