Thursday , 18 April 2024
Home sosi
808 Articles18 Comments
Habari za Siasa

Bulaya hoi Agha Khan, kesi yasimama

UPANDE wa utetezi kwenye kesi inayowakabili viongozi tisa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), umeieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kuwa mshtakiwa...

Habari za Siasa

Zitto akwama, mahakama yakwama

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo tarehe 7 Oktoba 2019, imekwama kuendelea na kesi ya uchochezi inayomkabili Zitto Kabwe, Mbunge wa Kigoma Mjini...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kwatibuka, Mbowe aambiwa ‘inatosha’

JOTO la uchaguzi wa viongozi ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), tayari Cecil Mwambe ambaye ni Mbunge wa Ndanda ameanza kumtingisha...

Habari za Siasa

Mbowe, wenzake kujitetea siku tano mfululizo

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga kuanza kusikiliza utetezi wa viongozi tisa  wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), siku tano mfululizo kuanzia...

Afya

Ebola: Tanzania yaishangaa WHO

SERIKALI ya Tanzania imeeleza kushangazwa na kauli ya Shirika la Afya Duniani (WHO) kwamba ilikugoma kutoa taarifa kuhusu kuwepo kwa ugonjwa wa Ebola. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Kikatiba: Zitto, serikali waungana

ZITTO Kabwe, Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo ameungana na serikali dhidi ya Dezydelius Mgoya (mkulima), aliyefungua kesi ya kikatiba kupinga ibara ya 40 (2)....

Habari za Siasa

Uhujumu uchumi: Kigogo mwingine ajitosa kwa DPP

KULUTHUM Mansoor, aliyekuwa Mkurugenzi wa Mipango, Ufuatiliaji na Tathimini wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), amekiri kosa na kutaka yaishe. Anaripoti...

Habari za Siasa

Rais Magufuli ‘aisuka’ NEC

RAIS John Magufuli, amemteua Wilson Charles kuwa Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC). Anaripoti Faki Sosi…(endelea). Charles amechukua nachukua nafasi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto aibuka na mbinu ya kuing’oa CCM

KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe aeleza mbinu zitakazotumiwa na chama hicho kukiondoa madarakani  Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia uchaguzi wa serikali...

Habari za SiasaTangulizi

Butiku: Tuko kwenye wakati mgumu

MZEE Joseph Butiku, Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, amevitaka vyama vya siasa kufuata misingi ya Katiba, ili kuirudisha nchi kwenye mstari...

Habari za SiasaTangulizi

Uhujumu uchumi: Waliotuma maombi kwa DPP watajwa

MAJINA ya watuhumiwa wa kesi ya uhujumu uchumi nchini, waliomwandikia Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP), Biswalo Mganga yameanza kutajwa. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Tayari Dk...

Habari za SiasaTangulizi

Hakimu amtolea nje Dk. Mashinji, Matiko

OMBI la kusafiri nje ya nchi la Dk. Vincent Mashinji, Katibu Mkuu Chadema na Ester Matiko, Mbunge wa Tarime Mjini, limekataliwa. Anaripoti Faki Sosi...

Habari za Siasa

Chadema kwenda na majeruhi wa risasi kortini

UPANDE utetezi kwenye kesi ya uchochezi namba 112/2018, inayowakabili viongozi tisa wa Chadema, umepanga kwenda mahakamani na mashahidi waliojeruhiwa kwa risasi. Anaripoti Faki Sosi...

Habari Mchanganyiko

Hatma ya Aveva na mwenzake Ijumaa

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga kutolea uamuzi juu hatma ya dhamana ya aliyekuwa Rais wa klabu ya Simba, Evance Aveva na Makamu...

Habari Mchanganyiko

Kuachwa wahujumu uchumi: DPP amjibu JPM

OMBI alilolitoa Rais John Magufuli la kuwaacha huru wahujumu uchumi iwapo watakuwa tayari kurudisha fedha, limeambatana na masharti. Anaripoti Martin Kamote…(endelea). Biswalo Mganga,...

Habari za SiasaTangulizi

Siku nane za Mbowe, wenzake kujinasau kizimban

VIONGOZI tisa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wanatarajiwa kuanza kujitetea kwa siku nane mfululizo. Anaandika Faki Sosi … (endelea). Ni katika...

Habari za Siasa

IGP Sirro aonya Polisi kujihusisha na siasa

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amewataka askari polisi kutekeleza majukumu yao kwa mujibu wa sheria, na kukwepa kujihusisha na...

Habari Mchanganyiko

DPP amng’ang’ania Aveva, wenzake

MKURUGENZI wa Makosa ya Jinai (DPP), amekata rufaa kupinga kufutwa kwa makosa ya utakatishaji fedha katika kesi inayowakabili aliyekuwa Rais wa Klabu ya...

Habari Mchanganyiko

Afisa Usalama wa Taifa feki akifikishwa kizimbani

THOMAS Mgoli (37) amepandishwa kizimbani kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa kosa la kujifanya Ofisa wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS)...

Habari Mchanganyiko

Dilunga aagwa: CCM, Chadema ACT-Wazalendo watoa ujumbe 

KIFO cha Godfrey Dilunga, aliyekuwa Mhariri wa Gazeti la Jamhuri kilichotokea alfajiri ya tarehe 17 Septemba 2019, kimeunganisha wanasiasa wa upinzani na chama...

Habari za SiasaTangulizi

Membe apenyeza ujumbe Ikulu

NCHI haiwezi kustawi bila ya uhuru wa vyombo vya habari. Kukosekana kwa uhuru huo, kunadumaza maendeleo ya nchi. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Huo...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe, Zitto: Tulionya, tunaonya tena

ZITTO Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo ameonya mkakati wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), kutenganisha wapiga kura visiwani Zanzibar. Anaripoti Faki Sosi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Vipimo vya Kabendera vyabaini ugonjwa

MWANAHABARI Erick Kabendera, anayekabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, amefanyiwa vipimo vya X-Ray na damu katika Hospitali...

Habari za Siasa

Mbowe, wenzake hakijaeleweka

IKIWA ni siku ya kwanza ya kujitetea kwa viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika kesi ya uchochezi namba 112/2018 kwenye...

Habari Mchanganyiko

Askofu Ruwai’chi atolewa ICU

MHASHAMU Yuda Thadeus Ruwai’chi, Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Dar es Salaam, ametolewa katika chumba cha uangalizi maalumu (ICU). Anaripoti Faki...

Habari za SiasaTangulizi

JPM ampiga kijembe Lissu

RAIS John Magufuli amesema, Jimbo la Singida Mashariki limechelewa kupata maendeleo, kutokana na kutelekezwa na aliyekuwa mbunge wake, Tundu Lissu. Anaripoti Faki Sosi...

Habari za Siasa

Zitto azidi kusota Kisutu 

UPANDE wa serikali umeieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kuwa wapo katika hatua za mwisho kufunga ushahidi wao kwenye kesi ya uchochezi inayomkabili...

Habari za SiasaTangulizi

Wakili wa Mbowe, shahidi Jamhuri walivyotoana jasho 

BERNALD Nyambari, aliyekuwa Msaidizi wa Upepeli Mkoa wa Kipolisi Kinondoni na shahidi namba nane wa Jamhuri katika kesi ya uchochezi namba 112/2018, inayomkabili...

Tangulizi

Kesi ya Mbowe: Shahidi Jamhuri aibuka na Akwelina

SHAHIDI wa nane katika kesi ya uchochezi namba 112/2018, inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake wanane, ametoa ushahidi wake leo. Anaripoti Faki Sosi…(endelea). Kwenye kesi...

Tangulizi

Mbowe aishiwa uvumilivu kortini

IDADI kubwa ya mashahidi wa upande wa Jamhuri kwenye kesi ya uchochezi namba 112/2018, inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake, imeibua mjadala. Anaripoti Faki Sosi…(endelea)....

Tangulizi

Ubunge wa Lissu: Hoja kuu 2 za mahakama, Mbowe ajitosa

MAHAKAAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imetupilia mbali maombi ya Tundu Lissu, aliyekuwa mbunge wa jimbo la Singida Mashariki kutaka kufungua kesi...

Habari za SiasaTangulizi

BREAKING NEWS: Kesi ya Ubunge: Mahakama yamzima Lissu

MAHAKAMA Kuu ya Dar es Salaam leo tarehe 9 Septemba 2019, imetupilia mbali maombi ya Tundu Lissu, aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki, likiwemo...

Habari Mchanganyiko

TLS yalaani utawala wa mabavu

CHAMA cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimelaani kauli zinazotolewa na baadhi ya viongozi wa umma, zinazochochea watu kuchukua sheria mikononi dhidi ya watuhumiwa. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Mahakama yamweka Lissu njia panda

MAHAKAMA Kuu nchini Kanda ya Dar es Salaam, imesitisha kutoa uamuzi wa kuapishwa ama kutoapishwa kwa Mbunge Mteule wa Singida Mashariki, Miraji Mtaturu....

Habari za Siasa

Kibatala amkwamisha mteja wake Mbowe

WAKILI wa utetezi, Peter Kibatala amekwamisha kesi ya uchochezi inayomkabili Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema Taifa na wenzake. Anaripoti Faki Sosi…(endelea). Wakili huyo hakutokea...

Tangulizi

Masikini! Mwandishi Kabendera apooza mguu

ERICK Kabendera, mwandishi wa habari za uchunguzi ndani nje ya nchi, amepatwa na tatizo la kupooza mguu akiwa gerezani. Anaripoti Faki Sosi…(endelea). Taarifa ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mawakili waandamizi 15 wa Serikali wahenya kumzuia Lissu

SAA karibu 12 zilizoandamana na vipindi viwili vya mapumziko vilivyochukua jumla ya dakika kumi hivi, zilimtosha Jaji Sillius Matupa wa Mahakama Kuu kutamka...

Habari za SiasaTangulizi

Wakili wa Mbowe alivyombana kwenye ‘kona’ shahidi wa Jamhuri

BAADA ya shahidi namba saba wa Jamhuri, Victoria Wihenge kumaliza kutoa ushidi wake kwenye kesi ya uchochezi namba 112/2018 inayomuhusu Freeman Mbowe, Mwenyekiti...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Kitimtim kortini, Hakimu ‘nitaita polisi’  

MVUTANO umeibuka kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kati ya upande wa Jamhuri na ule wa utetezi kwenye kesi ya uchochezi namba 112/2018...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Shahidi wa Jamhuri afungua ‘darasa’ kortini

SHAHIDI wa saba katika kesi ya uchochezi inayowakabili viongozi tisa wa Chadema,Victoria Wihenge amefungua ‘darsa’ kortini kwa kueleza hatua mbalimbali zinazochukuliwa kuelekea kwenye chaguzi....

Habari Mchanganyiko

Mkurugenzi TPDC, wenzake wafutiwa kesi

JAMES Mataragio, Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petrol (TPDC), ameachwa huru na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo tarehe 19 Agosti 2019. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Video ya Mbowe, wenzake sasa kuoneshwa kortini

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam imeridhia kuoneshwa video inayodaiwa kubeba matukio yanayomuhusisha Freeman Mbowe na wenzake wakati wa kampeni...

Habari MchanganyikoTangulizi

Hakimu, Serikali wakwamisha kesi ya Kabendera

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imehairisha kesi namba 75 ya mwaka 2019 inayomkabili mwandishi wa kujitegemea wa habari za uchunguzi nchini, Erick Kabendera...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Lissu & Ndugai sasa yaanza kuiva

MAHAKAMA Kuu, Kanda ya Dar es Salaam, imepanga kuanza kusikiliza shauri la madai lililofunguliwa na Alute Mughwai, kupinga kuvuliwa ubunge kwa Tundu Lissu,...

Habari za SiasaTangulizi

Video ya Mbowe: Ni kusuka au kunyoa

SWALI ni je, video iliyopokewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, ikidaiwa kuonesha matukio yanayomuhusu Freeman Mbowe na wenzake kwenye mkutano wa kufunga...

Habari MchanganyikoTangulizi

Sheikh Ponda ‘watu wasiojulikana’ wanaichafua nchi

SHEIKH Issa Ponda, Katibu Mkuu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, amesema kuwa vitendo vya utekaji vinavyodaiwa kufanywa na watu wasiojulikana vinaichafua...

Habari Mchanganyiko

Mufti Zubeir: Tunachonganishwa

SHEIKH Abubakar Zubeir, Mufti Mkuu wa Tanzania ‘amelalamikia’ kuchongwanishwa kwa Baraza Kuu la Waislam Tanzania (Bakwata) na serikali. Anaripoti Faki Sosi … (endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Shahidi wa Sita kumzamisha Zitto?

ZITTO Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, anayetuhumiwa na tuhuma za uchochezi, kesho shahidi wa sita anatarajiwa kutoa ushahidi dhidi yake. Anaandika...

Habari Mchanganyiko

Kukamatwa kwa Kabendera utata mtupu

KUKAMATWA na kushtakiwa kwa Mwandishi wa Habari za uchunguzi Erick Kabendera kumedaiwa kuwa kuna mashaka. Anaaripoti Faki Sosi … (endelea). Tamko la wadau wa...

Habari za Siasa

Zitto aeleza ndoto ya ACT-Wazalendo 2020-2025

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimeanza kueleza mikakati yake, iwapo kitapewa mamlaka ya kuiongoza Tanzania baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020. Anaripoti Faki Sosi …...

error: Content is protected !!