UPANDE wa utetezi kwenye kesi inayowakabili viongozi tisa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), umeieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kuwa mshtakiwa...
By Faki SosiOctober 7, 2019MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo tarehe 7 Oktoba 2019, imekwama kuendelea na kesi ya uchochezi inayomkabili Zitto Kabwe, Mbunge wa Kigoma Mjini...
By Faki SosiOctober 7, 2019JOTO la uchaguzi wa viongozi ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), tayari Cecil Mwambe ambaye ni Mbunge wa Ndanda ameanza kumtingisha...
By Faki SosiOctober 7, 2019MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga kuanza kusikiliza utetezi wa viongozi tisa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), siku tano mfululizo kuanzia...
By Faki SosiOctober 6, 2019SERIKALI ya Tanzania imeeleza kushangazwa na kauli ya Shirika la Afya Duniani (WHO) kwamba ilikugoma kutoa taarifa kuhusu kuwepo kwa ugonjwa wa Ebola. Anaripoti...
By Faki SosiOctober 3, 2019ZITTO Kabwe, Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo ameungana na serikali dhidi ya Dezydelius Mgoya (mkulima), aliyefungua kesi ya kikatiba kupinga ibara ya 40 (2)....
By Faki SosiOctober 2, 2019KULUTHUM Mansoor, aliyekuwa Mkurugenzi wa Mipango, Ufuatiliaji na Tathimini wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), amekiri kosa na kutaka yaishe. Anaripoti...
By Faki SosiOctober 2, 2019RAIS John Magufuli, amemteua Wilson Charles kuwa Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC). Anaripoti Faki Sosi…(endelea). Charles amechukua nachukua nafasi ya...
By Faki SosiOctober 1, 2019KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe aeleza mbinu zitakazotumiwa na chama hicho kukiondoa madarakani Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia uchaguzi wa serikali...
By Faki SosiSeptember 29, 2019MZEE Joseph Butiku, Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, amevitaka vyama vya siasa kufuata misingi ya Katiba, ili kuirudisha nchi kwenye mstari...
By Faki SosiSeptember 28, 2019MAJINA ya watuhumiwa wa kesi ya uhujumu uchumi nchini, waliomwandikia Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP), Biswalo Mganga yameanza kutajwa. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Tayari Dk...
By Faki SosiSeptember 27, 2019OMBI la kusafiri nje ya nchi la Dk. Vincent Mashinji, Katibu Mkuu Chadema na Ester Matiko, Mbunge wa Tarime Mjini, limekataliwa. Anaripoti Faki Sosi...
By Faki SosiSeptember 25, 2019UPANDE utetezi kwenye kesi ya uchochezi namba 112/2018, inayowakabili viongozi tisa wa Chadema, umepanga kwenda mahakamani na mashahidi waliojeruhiwa kwa risasi. Anaripoti Faki Sosi...
By Faki SosiSeptember 24, 2019MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga kutolea uamuzi juu hatma ya dhamana ya aliyekuwa Rais wa klabu ya Simba, Evance Aveva na Makamu...
By Faki SosiSeptember 23, 2019OMBI alilolitoa Rais John Magufuli la kuwaacha huru wahujumu uchumi iwapo watakuwa tayari kurudisha fedha, limeambatana na masharti. Anaripoti Martin Kamote…(endelea). Biswalo Mganga,...
By Faki SosiSeptember 23, 2019VIONGOZI tisa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wanatarajiwa kuanza kujitetea kwa siku nane mfululizo. Anaandika Faki Sosi … (endelea). Ni katika...
By Faki SosiSeptember 22, 2019MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amewataka askari polisi kutekeleza majukumu yao kwa mujibu wa sheria, na kukwepa kujihusisha na...
By Faki SosiSeptember 21, 2019MKURUGENZI wa Makosa ya Jinai (DPP), amekata rufaa kupinga kufutwa kwa makosa ya utakatishaji fedha katika kesi inayowakabili aliyekuwa Rais wa Klabu ya...
By Faki SosiSeptember 20, 2019THOMAS Mgoli (37) amepandishwa kizimbani kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa kosa la kujifanya Ofisa wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS)...
By Faki SosiSeptember 20, 2019KIFO cha Godfrey Dilunga, aliyekuwa Mhariri wa Gazeti la Jamhuri kilichotokea alfajiri ya tarehe 17 Septemba 2019, kimeunganisha wanasiasa wa upinzani na chama...
By Faki SosiSeptember 19, 2019NCHI haiwezi kustawi bila ya uhuru wa vyombo vya habari. Kukosekana kwa uhuru huo, kunadumaza maendeleo ya nchi. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Huo...
By Faki SosiSeptember 19, 2019ZITTO Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo ameonya mkakati wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), kutenganisha wapiga kura visiwani Zanzibar. Anaripoti Faki Sosi...
By Faki SosiSeptember 19, 2019MWANAHABARI Erick Kabendera, anayekabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, amefanyiwa vipimo vya X-Ray na damu katika Hospitali...
By Faki SosiSeptember 18, 2019IKIWA ni siku ya kwanza ya kujitetea kwa viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika kesi ya uchochezi namba 112/2018 kwenye...
By Faki SosiSeptember 17, 2019MHASHAMU Yuda Thadeus Ruwai’chi, Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Dar es Salaam, ametolewa katika chumba cha uangalizi maalumu (ICU). Anaripoti Faki...
By Faki SosiSeptember 16, 2019RAIS John Magufuli amesema, Jimbo la Singida Mashariki limechelewa kupata maendeleo, kutokana na kutelekezwa na aliyekuwa mbunge wake, Tundu Lissu. Anaripoti Faki Sosi...
By Faki SosiSeptember 16, 2019UPANDE wa serikali umeieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kuwa wapo katika hatua za mwisho kufunga ushahidi wao kwenye kesi ya uchochezi inayomkabili...
By Faki SosiSeptember 12, 2019BERNALD Nyambari, aliyekuwa Msaidizi wa Upepeli Mkoa wa Kipolisi Kinondoni na shahidi namba nane wa Jamhuri katika kesi ya uchochezi namba 112/2018, inayomkabili...
By Faki SosiSeptember 11, 2019SHAHIDI wa nane katika kesi ya uchochezi namba 112/2018, inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake wanane, ametoa ushahidi wake leo. Anaripoti Faki Sosi…(endelea). Kwenye kesi...
By Faki SosiSeptember 11, 2019IDADI kubwa ya mashahidi wa upande wa Jamhuri kwenye kesi ya uchochezi namba 112/2018, inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake, imeibua mjadala. Anaripoti Faki Sosi…(endelea)....
By Faki SosiSeptember 10, 2019MAHAKAAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imetupilia mbali maombi ya Tundu Lissu, aliyekuwa mbunge wa jimbo la Singida Mashariki kutaka kufungua kesi...
By Faki SosiSeptember 9, 2019MAHAKAMA Kuu ya Dar es Salaam leo tarehe 9 Septemba 2019, imetupilia mbali maombi ya Tundu Lissu, aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki, likiwemo...
By Faki SosiSeptember 9, 2019CHAMA cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimelaani kauli zinazotolewa na baadhi ya viongozi wa umma, zinazochochea watu kuchukua sheria mikononi dhidi ya watuhumiwa. Anaripoti...
By Faki SosiSeptember 7, 2019MAHAKAMA Kuu nchini Kanda ya Dar es Salaam, imesitisha kutoa uamuzi wa kuapishwa ama kutoapishwa kwa Mbunge Mteule wa Singida Mashariki, Miraji Mtaturu....
By Faki SosiSeptember 2, 2019WAKILI wa utetezi, Peter Kibatala amekwamisha kesi ya uchochezi inayomkabili Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema Taifa na wenzake. Anaripoti Faki Sosi…(endelea). Wakili huyo hakutokea...
By Faki SosiAugust 30, 2019ERICK Kabendera, mwandishi wa habari za uchunguzi ndani nje ya nchi, amepatwa na tatizo la kupooza mguu akiwa gerezani. Anaripoti Faki Sosi…(endelea). Taarifa ya...
By Faki SosiAugust 30, 2019SAA karibu 12 zilizoandamana na vipindi viwili vya mapumziko vilivyochukua jumla ya dakika kumi hivi, zilimtosha Jaji Sillius Matupa wa Mahakama Kuu kutamka...
By Faki SosiAugust 24, 2019BAADA ya shahidi namba saba wa Jamhuri, Victoria Wihenge kumaliza kutoa ushidi wake kwenye kesi ya uchochezi namba 112/2018 inayomuhusu Freeman Mbowe, Mwenyekiti...
By Faki SosiAugust 22, 2019MVUTANO umeibuka kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kati ya upande wa Jamhuri na ule wa utetezi kwenye kesi ya uchochezi namba 112/2018...
By Faki SosiAugust 22, 2019SHAHIDI wa saba katika kesi ya uchochezi inayowakabili viongozi tisa wa Chadema,Victoria Wihenge amefungua ‘darsa’ kortini kwa kueleza hatua mbalimbali zinazochukuliwa kuelekea kwenye chaguzi....
By Faki SosiAugust 21, 2019JAMES Mataragio, Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petrol (TPDC), ameachwa huru na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo tarehe 19 Agosti 2019. Anaripoti...
By Faki SosiAugust 19, 2019MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam imeridhia kuoneshwa video inayodaiwa kubeba matukio yanayomuhusisha Freeman Mbowe na wenzake wakati wa kampeni...
By Faki SosiAugust 19, 2019MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imehairisha kesi namba 75 ya mwaka 2019 inayomkabili mwandishi wa kujitegemea wa habari za uchunguzi nchini, Erick Kabendera...
By Faki SosiAugust 19, 2019MAHAKAMA Kuu, Kanda ya Dar es Salaam, imepanga kuanza kusikiliza shauri la madai lililofunguliwa na Alute Mughwai, kupinga kuvuliwa ubunge kwa Tundu Lissu,...
By Faki SosiAugust 15, 2019SWALI ni je, video iliyopokewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, ikidaiwa kuonesha matukio yanayomuhusu Freeman Mbowe na wenzake kwenye mkutano wa kufunga...
By Faki SosiAugust 14, 2019SHEIKH Issa Ponda, Katibu Mkuu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, amesema kuwa vitendo vya utekaji vinavyodaiwa kufanywa na watu wasiojulikana vinaichafua...
By Faki SosiAugust 13, 2019SHEIKH Abubakar Zubeir, Mufti Mkuu wa Tanzania ‘amelalamikia’ kuchongwanishwa kwa Baraza Kuu la Waislam Tanzania (Bakwata) na serikali. Anaripoti Faki Sosi … (endelea)....
By Faki SosiAugust 13, 2019ZITTO Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, anayetuhumiwa na tuhuma za uchochezi, kesho shahidi wa sita anatarajiwa kutoa ushahidi dhidi yake. Anaandika...
By Faki SosiAugust 12, 2019KUKAMATWA na kushtakiwa kwa Mwandishi wa Habari za uchunguzi Erick Kabendera kumedaiwa kuwa kuna mashaka. Anaaripoti Faki Sosi … (endelea). Tamko la wadau wa...
By Faki SosiAugust 12, 2019CHAMA cha ACT-Wazalendo kimeanza kueleza mikakati yake, iwapo kitapewa mamlaka ya kuiongoza Tanzania baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020. Anaripoti Faki Sosi …...
By Faki SosiAugust 8, 2019