Monday , 5 June 2023
Home sijari
67 Articles8 Comments
Habari Mchanganyiko

Rais Samia ateta na bosi AfDB, wakubaliana haya

  RAIS wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Dk. Adesina Akinumwi amemhakikishia, Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kuwa benki hiyo itaendelea...

Habari za Siasa

Rais wa Botswana aondoka Tanzania, Balozi Mulamula atoa neno

  RAIS wa Botswana, Mokgweetsi Masisi, amehitimisha ziara ya kikazi ya siku mbili nchini Tanzania na kuondoka kurejea nchini mwake. Anaripoti Nasra Bakari,...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Mwigulu awachambua Kikwete, Hayati Magufuli na Samia

  WAZIRI wa Fedha na Mipango wa Tanzania, Dk. Mwigulu Nchemba, amewafananisha waliokuwa marais wa Taifa hilo, Jakaya Mrisho Kikwete na Hayati John...

Habari za SiasaTangulizi

Katiba mpya: Mbowe atangaza J’mosi kuvaa sare za Chadema

  FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani, Tanzania- Chadema amesema, Jumamosi zote kuanzia kesho, tarehe 12 Juni 2021, atakuwa akivaa sare...

Habari Mchanganyiko

Maumivu watumiaji wa simu, miamala ya fedha

WAZIRI wa Fedha na Mipango wa Tanzania, Dk. Mwigulu Nchemba, amependekeza kuongeza gharama za kufanya mialama ya simu pamoja na gharama za laini....

Habari za Siasa

Rais wa Botswana awasili Tanzania

  RAIS wa Botswana, Dk. Mokgweets Masisi amewasilia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Julius Nyerere, Dar es Salaam nchini Tanzania. Anaripoti Nasra Bakari,...

Habari za Siasa

Dk. Mwigulu abainisha mkakati kupunguza foleni Dar, barabara mikoani

  WAZIRI wa Fedha na Mipango nchini Tanzania, Dk. Mwigulu Nchemba, amebainisha mikakati mbalimbali ya kupunguza msongamano jijini Dar es Salaam ni ukarabati...

Habari Mchanganyiko

Sheikh Ponda adaiwa kuvamiwa

  KATIBU wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda, anadaiwa kuvamiwa na mtu asiyejulikana, ofisini kwake katika Msikiti wa...

Habari za SiasaKimataifa

Samia kuzungumza na Rais wa Botswana

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kesho tarehe 10 Juni 2021, anatarajia kuzungumza na Rais wa Botswana, Mokgweetsi Masisi, katika Ikulu ya...

Habari Mchanganyiko

IGP Sirro atangaza operesheni kusaka wahalifu nchi nzima

  INSPEKTA Jenerali wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP), Simon Sirro, ametangaza operesheni ya mwezi mmoja ya kusaka wahalifu nchini. Anaripoti Nasra Bakari,...

Habari Mchanganyiko

Halmashauri zapewa angalizo

  SAMIA Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania, amepiga marufuku vitendo vya ubaguzi vinavyofanyika katika utolewaji fedha za mikopo ya halmashauri nchini, kwa makundi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia atoa utaratibu mpya maiti kutokuzuiwa

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemuagiza Waziri wa Afya, Dk. Dorothy Gwajima, aandae utaratibu mpya wa malipo ya madeni ya gharama...

Habari za Siasa

Mbunge ang’aka wananchi Kigoma kuitwa wakimbizi, serikali yajibu

  MBUNGE wa Kigoma Kaskazini (CCM), Assa Makanika, ameiomba Serikali ya Tanzania, kuwasaidia wananchi wa jimbo hilo, ambao wamekuwa wakikamatwa kwa kuitwa wakimbizi...

Habari za SiasaTangulizi

Sakata la makinikia laibuka bungeni

  MBUNGE wa Msalala mkoani Geita (CCM), Idd Kassim, amesema usafirishaji makontena ya makinikia kutoka Mgodi wa Bulyanhulu, umezua taharuki kwa wananchi ,...

Michezo

Mbunge ataka bei bidhaa sokoni kushuka, serikali yajibu

  MBUNGE wa Viti Maalum asiye na chama bungeni, Cecilia Daniel Paresso, ameiomba serikali kudhibiti mfumo wa bei kubwa za bidhaa sokoni ili...

Habari za Siasa

Rais Samia awataka wananchi wapige kelele changamoto za afya

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewataka wananchi kupaza sauti zao wanapokutana na changamoto za huduma ya afya, ili Serikali yake izifanyie...

Habari za Siasa

Uteuzi wahadhiri serikalini waibua mjadala bungeni

  ANATROPIA Theonest, Mbunge Viti Maalum asiye na chama bungeni, amehoji mkakati wa Serikali, katika kuziba pengo la wahadhiri wa vyuo vikuu, wanaoteuliwa...

Habari Mchanganyiko

Bil. 40 kupunguza uhaba wa mbegu

  SERIKALI ya Tanzania, imepanga kutumia Sh. 40 bilioni, kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya umwagiliaji, kwenye mashamba ya uzalishaji wa mbegu...

Habari Mchanganyiko

Bulaya alilia mradi wa maji uliokwama miaka 13

  MBUNGE Viti Maalum asiye na chama bungeni, Ester Bulaya, amehoji lini Serikali itapeleka maji katika vijiji vilivyopitwa na Mradi wa Maji wa...

Afya

Zahanati zachelewa kufunguliwa kisa uhaba wa watumishi

  MBUNGE wa Kilwa Kaskazini (CCM), Francis Ndulane, amesema uhaba wa watumishi wa umma, unasababisha baadhi ya zahanati jimboni humo, kuchelewa kufunguliwa. Anaripoti...

Habari za Siasa

Siku 14 za Wambura kufikia U-DCI, Rais Samia…

  NYOTA ya Camilius Wambura, ndani ya Jeshi la Polisi Tanzania, imeendelea kung’aa, baada ya Amri Jeshi Mkuu, Rais Samia Suluhu Hassan, kumpandisha...

Habari Mchanganyiko

Spika ashangaa vijiji kukosa umeme

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, ameshangazwa na kitendo cha Tarafa ya Mungaa, iliyoko katika Jimbo la Singida Mashariki, mkoani Singida,...

Habari za Siasa

Rais Samia ateta na mjumbe wa UN

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya mazungumzo na Msaidizi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Dk. Phumzile Mlambo-Ngouka, kuhusu...

Elimu

Majaliwa atoa maagizo NACTE

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ameliagiza Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE), liongeze juhudi katika usimamizi wa taasisi na...

Habari Mchanganyiko

Kigogo Bandari aliyetoroka, apandishwa kizimbani kwa utakatishaji fedha

  ALIYEKUWA Mhasibu katika Bandari ya Kigoma, Madaraka Robert Madaraka, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kigoma, kwa tuhuma za utakatishaji fedha na...

Habari Mchanganyiko

Tuhuma za rushwa: Mwenyekiti CCM akwepa jela, alipa faini

  MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tawi la Maisaka mkoani Manyara, Bakari Yangu, amekwepa kifungo cha miaka miwili gerezani, kwa kulipa faini...

Habari za SiasaTangulizi

Ubadhirifu wa Bil 1.67, wang’oa vigogo 11 wizara ya fedha

  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, amewasimamisha kazi vigogo 11 wa Wizara ya Fedha na Mipango, ili kupisha uchunguzi wa tuhuma zinazowakabili, za matumizi...

Elimu

Kilio darasa la saba kunyimwa ajira serikalini chafikishwa bungeni

MBUNGE Viti Maalum asiye na chama bungeni, Nusrat Hanje, amefikisha bungeni kilio cha wahitimu wa darasa la saba, wanaosoma katika Vyuo vya Ufundi...

Habari za Siasa

Ujambazi waibuliwa bungeni, Majaliwa atoa kauli

  MBUNGE wa Makete mkoani Njombe (CCM), Festo Sanga, amehoji kauli ya Serikali kuhusu kukithiri vitendo vya ujambazi katika majiji nchini. Anaripoti Nasra...

Tangulizi

Chadema yabadili upepo, Mbowe ataja mikakati mipya

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeamua kuachana na siasa za kiharakati, badala yake kinakuja na siasa shirikishi. Anaripoti Nasra Bakari, DMC…(endelea...

Habari Mchanganyiko

Bajeti ya ardhi 2021/22 yapungua kwa 64.2%

  KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii, imesema bajeti ya maendeleo katika Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya...

Habari Mchanganyiko

AfDB yatoa Bil. 323.4 mradi wa umeme Malagarasi

  BENKI ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), imeikopesha Serikali ya Tanzania Dola za Marekani 140 (Sh. 323.4 bilioni), kwa ajili ya utekelezaji mradi...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge ataka walioporwa fedha na TRA warejeshewe

  MBUNGE wa Vunjo mkoani Kilimanjaro (CCM), Dk. Charles Kimei, ameiomba Serikali irudishe fedha za kodi zilizokusanywa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa ataka utafiti mabadiliko ya teknolojia

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ametoa wito kwa taasisi za elimu nchini, kufanya utafiti juu ya mabadiliko ya teknolojia, ili kubaini...

Habari Mchanganyiko

Bunge laishauri Serikali imalizie viporo fedha za korosho

  KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji, imeishauri Serikali imalize kulipa madeni ya fedha za korosho, ilizonunua kwenye msimu...

Habari za Siasa

Ripoti CAG yabaini ubadhirifu Wizara ya Kilimo Z’bar

  MDHIBITI na Mkaguzi wa Fedha za Serikali Visiwani Zanzibar (CAG), Dk. Othman Abbas Ali, amemefichua ubadhirifu wa mabilioni ya shilingi katika wizara...

Habari Mchanganyiko

Mlima Nkongore kumaliza mgogoro wa wananchi, Magereza

  SERIKALI iko katika hatua za mwisho kulifanya eneo la Mlima Nkongore mkoani Mara, kuwa hifadhi ya Taifa. Anaripoti Nasra Bakari, DMC …...

Habari Mchanganyiko

Vigogo Soko la Feri kitanzini

  NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega, amesema Vyombo vya Ulinzi na Usalama vinawachunguza baadhi ya viongozi wa Soko la Kimataifa...

Habari za Siasa

Dk. Mpango ataja sifa za kiongozi bora

  MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Dk. Philip Mpango amesema, kiongozi yoyote ili aweze kutekeleza majukumu yake ipasavyo lazima awe hodari wa kazi...

Habari Mchanganyiko

Maegesho Kayenzi na Kanyinya Kagera kujengwa

  WIZARA ya Ujenzi na Uchukuzi nchini Tanania, imetenga fedha kwa ajili ya kujenga maegesho ya Kayenzi na Kanyinya. Anaripoti Nasra Bakari, DMC...

Habari Mchanganyiko

Serikali yarejesha ununuzi wa mazao kwa vyama vya ushirika

  SERIKALI ya Tanzania imerejesha mfumo wa zamani wa ununuzi wa mazao ya kimkakati, ili kuondoa changamoto za mfumo wa soko huria. Anaripoti...

AfyaHabari za Siasa

Mambo 19 yoliyopendekezwa kuhusu corona Tanzania

  LEO Jumatatu, tarehe 17 Mei 2021, Kamati iliyoundwa na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kufanya tathimini ya ugonjwa wa corona (COVID-19),...

Habari Mchanganyiko

Ulaya yafadhili kiwanja cha ndege Sumbawanga

  SERIKALI ya Tanzania, imejikita katika kukamilisha ujenzi wa kiwanja cha ndege cha Sumbawanga kilichopo mkoani Rukwa. Anaripoti Nasra Bakari, DMC … (endelea)....

Habari Mchanganyiko

Wamiliki wa nyumba, ardhi ‘wakaidi’ kukiona

  WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, imeielekeza Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga kuanza kuchukua hatua za kisheria ikiwa ni pamoja...

Habari Mchanganyiko

Polisi Dar yapiga ‘stop’ disko toto

  JESHI la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, limepiga marufuku disko toto katika kumbi zote za starehe mkoani humo, wakati wa sherehe...

Habari za Siasa

Mwanasheria Bawacha: Spika atimize wajibu wake

  MHAZINI wa Baraza la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA), katika jimbo la Kawe, Esther Dafi amesema, amesikitishwa na upotoshaji...

Habari Mchanganyiko

Serikali yaanza kukamilisha mfumo wa gesi asilia

  SERIKALI ya Tanzania, kupitia Shirika la Petroli Tanzania (TPDC) linaendelea na kazi ya ujenzi wa miundombinu ya kusambaza gesi asilia katika mikoa...

AfyaHabari Mchanganyiko

Bilioni 9.8 kujenga Hospitali ya Rufaa mkoa wa Katavi

  SERIKALI ya Tanzania, imetenga kiasi cha Sh. 57 bilioni kwa ajili ya ukamilishaji wa miundombinu ya hospitali za rufaa za mikoa ukiwemo...

Habari Mchanganyiko

‘Serikali inatengeneza mazingira wezeshi’

  SERIKALI ya Tanzania, imeendelea kuweka mazingira rafiki na wezeshi kwa sekta binafsi ili iweze kuanzisha na kuendeleza shughuli za viwanda nchini. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Serikali yaunda kikosi kukabili wanyamapori waharibifu

  SERIKALI ya Tanzania, imeunda kikosi maalum kitachoshirikiana na wadau mbalimbali, kwa ajili ya kudhibiti wanyamapori wakali na wahalibifu katika maeneo yanayozunguka hifadhi....

error: Content is protected !!