Friday , 19 April 2024
Home mwandishi
8670 Articles1241 Comments
Habari Mchanganyiko

Tanroads, Polisi wapewa rungu kudhibitini uhalifu Kimara, Kibaha

  NAIBU Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi nchini Tanzania, Mhandisi Godfrey Kasekenya, ameitaka Wakala ya Barabara Tanzania (Tanroads), mkoa wa Dar es Salaam...

Michezo

Msemaji mpya Simba aanza vijembe

  MKUU mpya wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa timu ya Simba nchini Tanzania, Ahmed Ally ameanza majukumu yake kwa ‘kuwazodoa’ watani...

Habari za SiasaTangulizi

Mabadiliko yaja baraza la mawaziri Tanzania

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, anaweza muda wowote kuanzia sasa, akafanyika mabadiliko makubwa ndani ya Baraza lake la Mawaziri. Anaripoti Mwandishi...

Kimataifa

Maandamano Sudan yamng’oa waziri mkuu aliyewekwa na jeshi

  WAZIRI Mkuu wa Sudan, Abdalla Hamdok, aliyewekwa madarakani na jeshi la nchi hiyo Novemba 2021, amejiuzulu kufuatia maandamano ya wananchi, wanaoshinikiza utawala...

Michezo

Simba yamtambulisha mrithi wa Haji Manara

  AHMED Ally, aliyekuwa mtangazaji wa Azam Media ametambulishwa rasmi kuwa msemaji wa timu ya Simba. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …...

Habari za Siasa

Majaliwa awapongeza Ma RC na DC, awapa maagizo

  WAZIRI Mkuu wa Tanzani, Kassim Majaliwa amewapongeza wakuu wote wa mikoa (RC) na wakuu wote wa Wilaya (DC) nchini kwa kazi nzuri...

Habari Mchanganyiko

Apigwa risasi akiamulia ugomvi wa mke na mume

  JESHI la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, linamshikilia mfanyabiashara Issack Ngowi (29), kwa tuhuma za kumjeruhi kwa risasi Bakari Stambuli (40), aliyekuwa anaamua...

Habari za Siasa

Waziri Majaliwa aonya watengeneza migogoro serikalini 

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amewataka watu wanaotengeneza migogoro dhidi ya viongozi wa Serikali, waache mara moja. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Michezo

Denis Nkane atua Yanga

  HATIMAYE mabingwa wa kihistoria wa soka nchini Tanzania, Yanga ya jijini Dar es Salaam, imemtambulisha Danis Nkane. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...

Habari Mchanganyiko

Uhamiaji Tanzania watangaza ajira 470

  KAMISHNA Jenerali wa Jeshi la Uhamiaji Tanzania, Dk. Anna Makakala ametangaza nafasi za ajira 470 za Konstebo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...

HabariTangulizi

Hotuba ya Rais Samia ya kuuaga mwaka 2021, kuukaribisha 2022

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Ijumaa tarehe 30 Desemba 2021, ametoa hotuba ya kuufunga mwaka 2021 na kuukaribisha mwaka mpya...

Kimataifa

Afrika Kusini yaondoa marufuku ya kutembea usiku

SERIKALI ya Afrika Kusini ambako ndiko aina mpya ya kirusi cha Corona (Omicron) ilianzia, imesema huenda wimbi la sasa la maambukizi limeshapita kilele...

Habari

Rais Samia atangaza neema 2022

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema, Serikali anayoingoza itautizama kwa umakini mwaka 2022 ili kutatua changamoto zinazowakabili wananchi. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....

Tangulizi

Rais Samia azungumzia janga la UVIKO-19, chanjo

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewasihi wananchi kuendelea kuchukua tahadhari ya virusi vya korona (UVIKO-19) na kujitokeza kupata chanjo. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu, Lema kurejea Tanzania Machi 202

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu na Mwenyekiti wa chama hicho Kanda ya Kaskazini, Gobless Lema, wanatarajia kurudi nchini Tanzania kati...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu amweka mtegoni Rais Samia kuhusu miradi ya JPM

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, amemshauri Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, aipige chini miradi ya...

Habari za Siasa

Lissu amuunga mkono Spika Ndugai

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, amedai kuwa, Spika wa Bunge, Job Ndugai, alikosea kusema kuna siku...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Mwinyi awakabidhi zigo la uchumi wa bluu Diaspora

  RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi, amewaomba Wazanzibar wanaoishi nje ya nchi ‘Diaspora’, washirikiane na Serikali yake katika kuimarisha uchumi wa visiwa...

Habari za Siasa

Hashim Rungwe afunga mwaka na kilio cha katiba mpya

  MWENYEKITI wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Hashim Rungwe, amesema mwaka 2021 unaisha pasina kilio cha wananchi juu ya upatikanaji katiba...

Habari za SiasaTangulizi

UVCCM yamkaanga Spika Ndugai

  UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), umehoji kwa nini makelele juu ya Serikali kukopa fedha za utekelezaji miradi ya maendeleo,...

Habari Mchanganyiko

Polisi Tanzania: Tunaendelea kuchunguza tuhuma za Nabii Mwingira

  JESHI la Polisi Tanzania limesema, Kiongozi wa Kanisa la Efatha, Mtume na Nabii Josephat Mwingira alikwisha kufika na kuandika maelezo juu ya...

Habari za Siasa

CCM Mwanza: Kauli ya Ndugai ni ya kihuni

  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Mwanza, kimesema kauli iliyotolewa na Spika wa Bunge, Spika Job Ndugai, ya kuwa kuna siku nchi...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu ajipanga upya, kurejea Tanzania

  MAKAMU mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Tundu Lissu, leo Ijumaa tarehe 31 Desemba 2021, anatarajiwa kuhutubia Taifa,...

Tangulizi

‘Hausiboi’ adaiwa kuua bosi wake

  JESHI la Polisi Mkoani wa Arusha, linamsaka mfanyakazi wa ndani (jina linahifadhiwa), akituhumiwa kuua mwajiri wake, Janerose Dewasi (66) mkazi wa Njiro...

Habari za Siasa

Spika Job Ndugai ‘kutimuliwa,’ wabunge CCM wanoa makucha

  NAFASI ya Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai kuendelea kukalia kiti hicho Bungeni iko shakani. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...

Habari za Siasa

Kesi ya Makonda yatinga kwa Jaji Mfawidhi

  MALALAMIKO dhidi ya Hakimu Mkazi wa Mahakama za Kinondoni na Kisutu, kugoma kufungua shauri la jinai dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Sakata la Nabii Mwingira pasua kichwa, Polisi yasema…

  SAKATA la Kiongozi wa Kanisa la Efatha nchini Tanzania, Mtume na Nabii Josephat Mwingira limechukua sura mpya baada ya Jeshi la Polisi...

Tangulizi

Charles Hilary ateuliwa Ikulu Z’bar

  RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi amemteua mtangazaji mkongwe nchini, Charles Hilary kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Mawasiliano Ikulu. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

CCM wamkalia ‘kooni’ Spika Ndugai

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai ameendelea kukaliwa ‘koo’ na chama chake baada ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Singida...

Habari Mchanganyiko

Dk. Biteko: Msitishwe na wapiga dili migodini

  WAZIRI wa Madini, Dk. Dotto Biteko amewataka wachimbaji wadogo wa dhahabu wasitishwe na vyeo vya watu wanaofika katika maeneo yao ya migodi...

Habari Mchanganyiko

Bodi ya DIT-ICB yazinduliwa, wahadhiri wanaotaka kustaafu…

  MWENYEKITI wa Baraza la Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT), Mhandisi Richard Masika ameruhusu wakufunzi waliofikia umri wa kustaafu kuendelea kufanya...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu kuanika mikakati ya Chadema 2022

  MAKAMU mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Tundu Lissu, ataitaja mikakati ya chama hicho kuelekea 2022, kesho tarehe...

MichezoTangulizi

Kagere, Wawa, Banda wavunjiwa mikataba Simba

  KLABU ya soka ya Simba imevunja mikataba ya nyota wake wanne wa kigeni wakiwemo mastaa wao aliokuwa tegemeo katika kikosi hicho kwa...

HabariTangulizi

Polisi yazungumzia sakata la Nabii Mwingira

  JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam nchini Tanzania limesema, linaendele na uchunguzi dhidi ya tuhuma mbalimbali zilizotolewa na Kiongozi...

Habari Mchanganyiko

RC Dar awashukia watumishi Tanroads wanaoficha taarifa za miradi

  MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla, amewataka watumishi wa Wakala wa Barabara nchini (Tanroads), kuacha tabia ya kuficha taarifa...

Habari za Siasa

Askofu Bagonza azichambua kauli za Rais Samia, Spika Ndugai

  ASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la Kulutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe mkoani Kagera, Dk. Benson Bagonza amezungumzia kauli za viongozi wawili,...

Habari za Siasa

Majaliwa akoshwa ujenzi wa madarasa Lindi, mamilioni yabaki

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameridhishwa na hatua iliyofikiwa kwenye ujenzi wa madarasa yanayotokana na fedha za maendeleo mkoani Lindi. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Serukamba amvaa Spika Ndugai

  MBUNGE wa zamani wa Kigoma Kaskazini (CCM), Peter Serukamba amemtaka Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai kuacha kupotisha umma kuhusu mkopo...

Kimataifa

Askofu Desmond Tutu kuzikwa Januari Mosi

  Mazishi ya Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana nchini Afrika Kusini na mwanaharakati wa muda mrefu dhidi ya ubaguzi wa rangi nchini...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia: Tutaendelea kukopa, tumalize miradi yote

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema, Serikali anayoingoza itaendelea kukopa mikopo ya masharti nafuu ili kuendeleza na kuanzisha miradi mingine mipya...

Habari za Siasa

Rais Samia aitangazia neema TOT

  MWENYEKITI wa chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Samia Suluhu Hassan, ameelekeza kutatuliwa kwa changamoto zinazoikabili Bendi ya Tanzania...

KimataifaMichezo

Defao afariki dunia

  Nguli wa muziki wa Rhumba kutoka Congo, Général Defao (63) amefariki dunia nchini Cameroon alikokwenda kutumbuiza. Anaripoti Mwandishi Wetu  … (endelea). Defao...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ateua mwenyekiti mpya NEC

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameteua viongozi mbalimbali, akiwemo Jaji Jacob Casthom Mwambegele, aliyemteua kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya...

Kimataifa

Rais wa Somalia amtimua waziri mkuu wake akimtuhumu kutaka kumpinuda

  RAIS wa Somalia, anayemaliza muda wake, Mohamed Abdullahi Farmajo, amemsimamisha kazi Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Mohamed Hussein Roble, ili kupisha uchunguzi...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yawachongea wateule wa Rais

  CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimemuomba Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mohamed Mchengerwa, kufuatilia kwa...

Kimataifa

Askofu Tutu kuzikwa Jumamosi, kuombolezwa wiki nzima

  MWILI wa aliyekuwa Askofu Mkuu mstaafu Afrika Kusini, Desmond Tutu, unatarajiwa kuzikwa Jumamosi, tarehe 1 Januari 2022, mjini Cape Town, nchini humo....

Kimataifa

Askofu Desmond Tutu afariki dunia, Rais Ramaphosa amlilia

  ASKOFU mkuu mstaafu nchini Afrika Kusini, Desmond Tutu amefariki dunia leo Jumapili, tarehe 26 Desemba 2021. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Tutu...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo kuja kivingine 2022 kuibana Serikali nje ya Bunge

  BAADA ya Bunge la  12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kukosa idadi kubwa ya wabunge wa upinzani, Chama cha ACT-Wazalendo, kinatarajia...

Habari Mchanganyiko

34 wazaliwa mkesha Krismasi Dodoma

  WATOTO 34 wamezaliwa mkesha wa kuamkia Sikukuu ya Krismasi katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma, leo Jumamosi tarehe 25 Desemba 2021. Anaripoti...

Habari za Siasa

Polepole atoa salamu za mwaka mpya “tukatae wahuni”

  MBUNGE wa Kuteuliwa (CCM), Humphrey Polepole amewaonya wale wote wanaoghushi mitandaoni na kuwaomba wananchi kwa mwaka 2022 “kazi moja ni kukataa wahuni...

error: Content is protected !!