MWANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) nchini Tanzania, Manawa Horera (22) amefariki dunia baada ya kujirusha kutoka ghorofani. Anaripoti...
By Mwandishi WetuJanuary 12, 2022LEO Jumanne tarehe 12 Januari 2022, Zanzibar inasherekea miaka 58 ya Mapinduzi Matukufu yaliyotokea mwaka 1994. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Rais wa Zanzibar,...
By Mwandishi WetuJanuary 12, 2022ALIYEWAHI kuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania, Sophia Simba amekuwa miongoni mwa. Wanachama 17 wa chama...
By Mwandishi WetuJanuary 11, 2022Bodi ya Ligi imefanya marekebisho kwa michezo 12 ya Ligi Kuu Tanzania Bara, ukiwemo mchezo ulioahirishwa kati ya Kagera Sugar dhidi ya...
By Mwandishi WetuJanuary 11, 2022MBUNGE wa Viti Maalum wa Mkoa wa Dodoma, Mariam Ditopile amempongeza Rais wa Tanzania, Samia Suluhu kwa kuteuwa mawaziri, manaibu mawaziri na...
By Mwandishi WetuJanuary 11, 2022Mfanyabiashara Ramadhan Hamis Ntunzwe wa Dar es Salaam amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kumsaidia kuiagiza Wizara ya Fedha na Mipango pamoja na...
By Mwandishi WetuJanuary 11, 2022MWANAUME raia wa Marekani amekuwa mtu wa kwanza duniani kupandikizwa moyo wa nguruwe aliyebadilishwa vinasaba (GMO). Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea) Kwa mujibu...
By Mwandishi WetuJanuary 11, 2022MWENYEKITI wa Bunge la Tanzania ambaye pia ni Mbunge wa Ilala, Mussa Zungu amechukua fomu ya kuwania uspika wa Bunge hilo la Tanzania....
By Mwandishi WetuJanuary 11, 2022WATU 14 wamefariki dunia wakiwemo waandishi wa habari sita wa Mkoa wa Mwanza baada ya gari waliokuwa wakisafiri kwenda Ukerewe mkoani humo kugongana...
By Mwandishi WetuJanuary 11, 2022KLABU ya Soka ya Yanga imevuliwa rasmi ubingwa wa kombe la Mapinduzi mara baada ya kuondolewa na Azam Fc katika mchezo wa...
By Mwandishi WetuJanuary 10, 2022WATOTO wawili wamefariki dunia jana Jumapili, tarehe 9 Januari 2022, baada ya kujifungia ndani ya gari huku wakiwa wamefunga vioo na kukosa...
By Mwandishi WetuJanuary 10, 2022ALIYEKUWA Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai ambaye alilazimika kujiuzulu wiki iliyopita, atavuna mamilioni ya shilingi kila mwezi, kama malipo yake...
By Mwandishi WetuJanuary 10, 2022NAIBU Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan sio tu kiongozi wa...
By Mwandishi WetuJanuary 10, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan amesema Profesa Palamagamba Kabudi na William Lukuvi ambao amewaweka kando katika mabadiliko ya Baraza la Mawaziri, anawapa kazi...
By Mwandishi WetuJanuary 10, 2022Rais Samia leo tarehe 10 Januari, 2022 amemuapisha Jaji Jacob Mwambegele kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC). Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuJanuary 10, 2022WENYEJI wa mashindano ya Kombel la Mataifa ya Afrika, Cameroon jana usiku walitoka nyuma na kuwalaza Burkina Faso bao 2-1 katika mechi...
By Mwandishi WetuJanuary 10, 2022MAAFISA wa Benki ya NMB Kanda ya Kaskazini nchini Tanzania, wamesisitiza dhamira ya benki hiyo kuendelea kusaidia kuweka mazingira rafiki ya kujifunzia...
By Mwandishi WetuJanuary 10, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Jumatatu, tarehe 10 Januari 2022, analiapisha Baraza lake la mawaziri aliloliteua mwishoni mwa wiki iliyopita....
By Mwandishi WetuJanuary 10, 2022IDADI ya wanawake katika baraza jipya la mwaziri nchini Tanzania litakaloapishwa leo Jumatatu, tarehe 10 Januari 2022, Ikulu ya Chamwino jijini...
By Mwandishi WetuJanuary 10, 2022KESI inayomkabili Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, itaendelea leo Jumatatu, tarehe 10...
By Mwandishi WetuJanuary 10, 2022WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewataka viongozi na watendaji wanaosimamia miradi ya ujenzi waongeze kasi ili miradi hiyo ikamilike kwa wakati...
By Mwandishi WetuJanuary 9, 2022MKOA wa Pwani nchini Tanzania, ‘umepiga bao’ mikoa mingine nchini humo kwa kutoa mawaziri na naibu mawaziri watano katiba Baraza la Mawaziri....
By Mwandishi WetuJanuary 9, 2022WAKATI Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akisema ndani ya CCM kuna ‘homa ya urais’...
By Mwandishi WetuJanuary 9, 2022CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza kuanza mchakato wa kumsaka mrithi wa nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job...
By Mwandishi WetuJanuary 9, 2022Mwenyekiti wa Chama cha ODM nchini Kenya, Elgeyo Marakwet Micah Kigen amemkosoa kiongozi wake na mgombea urais wa chama hicho Raila Odinga...
By Mwandishi WetuJanuary 9, 2022DABI ya watani wa jadi kwa upande wa akina dada, Simba Queens na Yanga Princess imemaliza kwa wekundu hao wa Msimbazi kuwaadabisha...
By Mwandishi WetuJanuary 8, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan leo tarehe 8 Januari, 2022 amefanya mabadiliko madogo ya baraza la mawaziri na nafasi za makatibu wakuu na...
By Mwandishi WetuJanuary 8, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan leo tarehe 8 Januari, 2022 amefanya mabadiliko madogo ya baraza la mawaziri na nafasi za makatibu wakuu na...
By Mwandishi WetuJanuary 8, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan leo tarehe 8 Januari, 2022 amefanya mabadiliko madogo ya baraza la mawaziri na nafasi za makatibu wakuu na...
By Mwandishi WetuJanuary 8, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan leo tarehe 8 Januari, 2022 amefanya mabadiliko madogo ya baraza la mawaziri na nafasi za makatibu wakuu na...
By Mwandishi WetuJanuary 8, 2022RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amepongeza mafanikio yaliyopatikana katika vikao vya Muungano ikiwa ni...
By Mwandishi WetuJanuary 8, 2022WAHENGA husema kipendacho roho hula nyama mbichi na miaka si chochote wala lolote mbele ya mapenzi, miaka ni namba tu. Hilo limejitokeza...
By Mwandishi WetuJanuary 8, 2022Musah Noah Kamara, mchezaji kandanda wa Sierra Leone, ameagwa kwa mapenzi na bashasha la kipekee kutoka kwa mkewe wakati akijiandaa kuelekea katika...
By Mwandishi WetuJanuary 8, 2022POLISI nchini Liberia wamemkamata na kumfungulia mashtaka mwanamume mmoja raia wa Sierra Leone mwenye umri wa miaka 29 kwa madai ya kujaribu...
By Mwandishi WetuJanuary 8, 2022CHAMA cha Kutetea Haki za Abiria nchini Tanzania (CHAKUA), kimemlalamikia Meneja wa Kituo cha mabasi cha Magufuli, Mbezi jijini Dar es Salaam,...
By Mwandishi WetuJanuary 7, 2022JESHI la Polisi, Kanda Maalum ya Dar es Salaam nchini Tanzania, linamshikilia Isaya Mzava (59), Mkazi wa Bunju Beach, Kinondoni kwa tuhuma...
By Mwandishi WetuJanuary 7, 2022MWENYEKITI wa chama tawala nchini Tanzania, Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan amewaonya vijana wa chama hicho, kuacha kudhalilishana wakati...
By Mwandishi WetuJanuary 7, 2022BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, linatarajiwa kusukwa upya, baada ya kung’oka mamlakani kwa Spika wake, Job Ndugai. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Mwandishi WetuJanuary 7, 2022HOMA imeanza kupanda kwa baadhi ya mawaziri, naibu mawaziri na wabunge, kutokana na kauli ya Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kuwa...
By Mwandishi WetuJanuary 7, 2022MWENYEKITI wa chama cha upinzani Tanzania- NCCR-Mageuzi, James Mbatia anazungumza na waandishi wa habari kuhusu masuala mbalimbali ikiwemo kujiuzulu kwa Job Ndugai...
By Mwandishi WetuJanuary 7, 2022MWENYEKITI wa chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan anashiriki kilele cha matembezi ya miaka 58 ya...
By Mwandishi WetuJanuary 7, 2022KATIBU wa Bunge la Tanzania, Nenelwa Mwihambi ametangaza kusitisha shughuli zote za Bunge ikiwemo kamati za Bunge zilizokuwa zikutane kuanzia tarehe 10...
By Mwandishi WetuJanuary 7, 2022MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani Tanzania- Chadema, Tundu Lissu anazungumza na umma kwa njia ya mtandao. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...
By Mwandishi WetuJanuary 7, 2022WATEJA 100 wa kwanza wa kampeni ya NMB MastaBata-Kivyako Vyako wamepatikana na kujinyakulia Sh.100,000 kila mmoja. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...
By Mwandishi WetuJanuary 7, 2022JOB Ndugai, Spika wa Bunge la Tanzania, amejizulu nafasi hiyo leo Alhamisi 6 Januari 2022. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Ndugai...
By Mwandishi WetuJanuary 6, 2022SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco), limetangaza bei mpya ya kuunganisha umeme mijini na vijijini kuanzia leo Jumatano tarehe 5 Januari 2022. Anaripoti...
By Mwandishi WetuJanuary 6, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa agizo la kufutwa kwa kiasi cha awali cha Sh.27,000, kilichokuwa kinatozwa na Shirika la Umeme...
By Mwandishi WetuJanuary 5, 2022WAKATI joto la kuachia madaraka kwa Spika wa Bunge, Job Ndugai likiendelea kushika kasi, Kanuni za Kudumu za Bunge, Toleo la Juni...
By Mwandishi WetuJanuary 5, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan amesema kutokana na ‘stress’ za madeni ya nchi siku moja Waziri wa Fedha na Uchumi, Dk. Mwigulu Nchemba...
By Mwandishi WetuJanuary 4, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan ameutangazia umma wa Watanzania kuwa hivi karibuni atafanya mabadiliko ya nafasi za viongozi mbalimbali wa Serikali anayoiongoza kuanzia...
By Mwandishi WetuJanuary 4, 2022