Thursday , 25 April 2024
Home mwandishi
8716 Articles1250 Comments
Afya

ACT-Wazalendo chalaani uzembe Serikali kusimamia utoaji huduma za afya

  CHAMA cha ACT-Wazalendo kimelaani hatua “rahisirahisi” zilizochukuliwa na Serikali dhidi ya mwenendo mbovu wa utoaji huduma za Afya katika Hospitali ya Taifa...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia ashiriki kumbukizi ya Karume Zanzibar

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, pamoja na Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi, wameshiriki kumbukizi ya miaka 50 ya kifo cha...

Habari za SiasaTangulizi

Shabiby atoa mwarobaini kupanda bei mafuta

MBUNGE wa Gairo Mohammed Shabib ameitaka Serikali kuruhusu kampuni binafsi kuagiza mafuta wenyewe bila kutumia uagizaji wa pamoja. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …...

Habari za Siasa

Serikali yaja na mpango hifadhi ya mafuta ya kitaifa

  WAZIRI wa Nishati, January Makamba, amesema wizara yake imeandaa waraka wa uanzishwaji kanuni zitakazowezesha uundwaji wa hifadhi ya kimkakati ya kitaifa ya...

Habari za Siasa

Samia: Kamilisheni Sheria kulinda taarifa binafsi za watu

  RAIS Samia Suluhu Hassan ameielekeza Wizara ya Habari na Teknolojia ya Mawasiliano ya Habari kuhakikisha inakamilsha Sheria ya kulinda taarifa binafsi za...

Habari za Siasa

Siku za bosi MSD zahesabika

  SIKU za Mkurugenzi Mkuu wa Bohari Kuu ya Dawa (MSD) zinahesabika. Ndivyo unavyoweza kusema, baada ya Rais Samia Suluhu leo Jumatano tarehe...

Habari za Siasa

Bajeti Ofisi ya Waziri Mkuu 2022/23 yaongezeka bilioni 32

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewasilisha Bajeti ya Ofisi yake na Mfuko wa Bunge kwa mwaka wa fedha 2022/23 zote zikiwa...

Habari za Siasa

Serikali yaagiza magari ya wagonjwa 258

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema katika kuboresha huduma za afya nchini Serikali imeagiza magari ya wagonjwa 258 yakiwemo 233 ya kawaida na...

Habari Mchanganyiko

IGP Sirro apangua makamanda wa Polisi

  INSPEKTA Jenerali wa Polisi Tanzania (IGP), Simon Sirro leo Jumatano tarehe 6 Aprili 2022, ametangaza mabadiliko na uhamisho wa makamanda wa Polisi...

Habari Mchanganyiko

Mwalimu Benki yazindua ‘Ada Chap Chap’ kwa wanafunzi

KATIKA jitihada za kuboresha elimu Benki ya Mwalimu imeingia mikataba na wamiliki wa shule na vyuo mbalimbali nchini ili kutoa mikopo ya masharti...

Habari Mchanganyiko

Watanzania kupata mikopo kupitia wingi wa miamala

  WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, amesema kutokana na kukua kwa huduma za kifedha kupitia simu za mkononi,...

Habari Mchanganyiko

Wajawazito 1,000,0000 kunufaika mfumo M-Mama mikoa 14

  ZAIDI ya wajawazito milioni moja wanatarajiwa kunufaika na mfumo wa usafirishaji wa dharura wa wajawazito na watoto wachanga (M-Mama) katika mikoa 14...

Tangulizi

Majaliwa aonya wapandishaji bidhaa, atoa maagizo

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara kuunda jopo la wataalamu ili kufuatilia upandaji wa bei...

Habari

ACT Wazalendo wakosoa Agenda ya Kilimo 10/30, watoa mapendekezo 4

  CHAMA cha ACT Wazalendo kimetoa mapendekezo manne kwa Serikali ili kuimarisha sekta ya kilimo nchini na kuwakomboa wakulima katika wingu la umasikini....

Habari

Hizi hapa sababu wabunge kuikataa ripoti uchafuzi Mto Mara

  BAADHI ya wabunge wameomba uchunguzi huru ufanyike dhidi ya sakata la uchafuzi wa maji ya Mto Mara, baada ya kutoridhishwa na ripoti...

HabariTangulizi

Tanzania kufikisha ndege 16, ATCL yajitanua

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema, hadi kufikia Februari 2022 Serikali imekwisha kulipa malipo ya awali ya ununuzi wa ndege mpya...

Habari

Majaliwa abainika mikakati upatikanaji wa maji

SERIKALI ya Tanzania imesema, itaendelea kutoa kipaumbele katika kusimamia na kuendeleza rasilimali za maji na usafi wa mazingira vijijini na mijini unakwenda kwa...

Habari

Majaliwa alieleza Bunge hali ya UVIKO-19

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema, Serikali imeendelea kudhibiti maambukizi ya ugonjwa wa korona (UVIKO- 19) kwa kuanzisha rasmi utekelezaji wa...

Habari

Serikali kutangaza ajira 32,000

  Serikali imesema wiki ijayo itatangaza nafasi za ajira 32,000 katika sekta ambazo zina upungufu mkubwa wa watumishi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)...

Habari za Siasa

Kinana, Duni wajadili mkwamo upatikanaji katiba mpya

  WANASIASA wakongwe nchini Tanzania, wamejadili sababu za kukwama kwa mchakato wa upatikanaji Katiba mpya na namna ya kuukwamua. Anaripoti Mwandishi Dodoma, Dodoma...

Elimu

Profesa Mkenda awapa somo wadhibiti ubora wa elimu

  WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia nchini Tanzania, Profesa Adlof Mkenda amewataka wadhibiti ubora wa elimu nchini kutumia vifaa vya kisasa kuboresha...

Habari za SiasaTangulizi

Jaji Warioba aonya wanasiasa kutumia madhabahu

  WAZIRI Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Warioba ameonya vitendo vya viongozi wa kisiasa kukaribishwa katika madhabahu ya nyumba za ibada, kutoa salamu za...

Habari Mchanganyiko

Wakazi Ngorongoro waunda kamati, wamkaribisha Waziri mpya kwa mambo matano

  WANANCHI wa Wilaya ya Ngorongoro, mkoani Arusha, wameunda kamati ya watu 60, kwa ajili ya kushughulikia mgogoro wa ardhi katika Hifadhi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Kinana atuma ujumbe kwa Chadema, NCCR-Mageuzi

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), amevitaka vyama vya siasa vikubali kushiriki mikutano inayoitishwa kwa ajili ya kujadili masuala ya demokrasia,...

Habari za Siasa

Zitto kukabidhi kwa Kinana uenyekiti TCD

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, Abdulrahman Kinana, anatarajiwa kupokea kijiti cha uongozi wa kituo cha demokrasia Tanzania (TCD). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma...

Habari za SiasaTangulizi

TCD yaomba mabadiliko Sheria Vyama vya Siasa kufikia Julai

  MWENYEKITI wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), Zitto Kabwe ameiomba Serikali kuhakikisha mabadiliko ya Sheria ya Vyama vya Siasa yanafanyika kufikia Julai...

Habari za SiasaTangulizi

Mkituletea mazito hatutayatekeleza: Samia aionya TCD

RAIS Samia Suluhu Hassan amekitaka kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) kujadili na kutoa kwa Serikali mapendekezo yanayotekelezeka. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea)....

Habari

Maofisa Ughani kumilikishwa pikipiki baada ya miaka miwili

MAOFISA Ughani nchini watamilikishwa pikipiki zinazotolewa na Serikali baada ya kuzitumia kwa miaka miwili katika kutoa huduma kwa wakulima. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea) Hatua...

Habari Mchanganyiko

Kilimo kuwa uti wa mgongo wa uchumi

  Rais Samia Suluhu Hassan, ametaja mafanikio kadhaa yaliyopatikana katika sekta ya kilimo baada ya Serikali kuweka mikakati mbalimbali na kusema sekta hiyo...

Habari

Maafisa ughani zaidi ya 7000 kupewa pikipiki

WAZIRI wa Kilimo Hussein Bashe amesema zaid ya pikipiki 7000 zitagawiwa kwa maafisa ughani kote nchini ili kuwawezesha kuwafikia wakulima kwa urahisi. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

NCCR-Mageuzi yaungana na Chadema kususia kongamano la TCD

CHAMA cha siasa cha upinzani cha NCCR-Mageuzi, kimesema hakitashiriki kongamano la haki, amani na maridhiano, lililoandaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), kikidai...

Kimataifa

Wabunge 2 mbaroni kwa kupiga mawe helkopta ya Odinga

  WABUNGE wawili kutoka nchini Kenya wanatarajiwa kuhojiwa na Ofisi ya Mlelezi wa Makosa ya Jinai kutokana na tuhuma za kuipiga mawe helkopta...

Kimataifa

Kisa Kombe la Dunia, Rais Shirikisho la Soka Algeria ajiuzulu

  RAIS wa Shirikisho la Soka nchini Algeria (FAF) Charafeddine Amara pamoja na bodi nzima ya shirikisho hilo, amejiuzulu baada ya timu ya...

Kimataifa

Ukraine yakomboa jiji la Kyiv kutoka Urusi

  WAKATI mazungumzo ya kusitisha vita kati ya Urusi na Ukraine yakiendelea kwa kusuasua, Serikali ya Ukraine imesema imechukua udhibiti wa eneo zima...

Habari Mchanganyiko

Dk. Mpango awaomba viongozi wa dini kuliombea Taifa

  MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Philip Mpango amewaomba viongozi wa dini na waumini kwa ujumla kuendelea kuliombea...

Makala & Uchambuzi

Viapo dhidi ya rushwa: Tatizo lipo hapa…

  WENGINE tunaapa mdomoni tu, wengine tunaapa ndani ya moyo. Heshimuni viapo vyenu.” Mwisho wa kunukuu. Ni kauli ya Rais wa Jamhuri ya...

Habari za Siasa

Dk. Mpango awataka wakimbiza Mwenge kufichua ubadhirifu

  MAKAMU wa Rais Dk. Philip Mpango amewataka viongozi wa kukimbiza Mwenge wa Uhuru kuhakikisha miradi inayozinduliwa inaendana na thamani ya fedha zilizotumika....

Kimataifa

Wafu 250,000 waandikishwa kupiga kura

  WAKATI mchakato wa Uchaguzi Mkuu nchini Kenya ukizidi kupamba moto, imebainika kuwa wafu 250,000 wameandikishwa katika orodha ya wapiga kura katika vitabu...

Habari za Siasa

Samia: Sijaumbwa kufokafoka

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema atafanya kazi kwa kalamu na hata siku moja hatomfokea mtu kwasababu hajaumbwa kufokafoka. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia asema utumishi ulijengewa heshima ya woga

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema heshima ya utumishi wa umma iliyokuzwa katika awamu ya tano ilikuwa ya woga. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …...

Habari za SiasaTangulizi

Kinana: Nitaimarisha demokrasia, haki kwenye chama

  MAKAMU mpya Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amesema katika uongozi wake atahakikisha haki na demokrasia inaimarika ndani na nje...

Habari za Siasa

Katiba ya CCM yarekebishwa, Samia atoa neno

  WAJUMBE wa Mkutano Mkuu Maalumu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wamepitisha mapendekezo ya Halmashauri Kuu ya chama hicho Taifa (NEC), kuhusu marekebisho...

Habari za Siasa

Mangula amkabidhi Kinana mafaili wanaoanza harakati Uchaguzi 2025

  ALIYEKUWA Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mzee Phillip Mangula, amemtaka mrithi wake, Abdulrahman Kinana, kuwashughulikia WanaCCM wanaokiuka maadili kwa kuanza...

Habari Mchanganyiko

Bandarini kwapanguliwa, vigogo wahamishiwa wizarani

  MAGEUZI makubwa ya kimfumo na kiutawala yameanza kufanyika ndani ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kwa vigogo kadhaa kuondolewa kwenye...

Habari za SiasaTangulizi

Kinana akemea ukanda, ukabila CCM

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana, amekemea vitendo vya ukabila, udini na ukanda, ndani ya chama hicho,...

Habari za Siasa

Mzee Makamba amtaka Kinana asamehe waliompiga madongo

  KATIBU Mkuu Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mzee Yusuph Makamba, amemtaka Abdulrahman Kinana, atakapopitishwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Bara,...

Habari za Siasa

Hizi hapa sababu Mangula kung’atuta CCM

RAIS Samia Suluhu Hassan na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) amesoma barua ya kujiuzulu kwa aliyekuwa Makamu Mwenyekiti Bara, Philip Mangula, katika...

Habari za SiasaTangulizi

Mzee Makamba amsafishia njia Samia Uchaguzi 2025

  KATIBU Mkuu Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mzee Yusuph Makamba, amevitaka vyama vya upinzani nchini, vijitayarishe kuchuana na Rais Samia Suluhu...

Habari za SiasaTangulizi

Mrema, mkewe wakatisha hotuba ya Rais Samia Mkutano Mkuu CCM

  MWENYEKITI wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), Augustino Mrema na mkewe Doreen Kimbi, wameibua shangwe walipoingia katika Mkutano Mkuu Maalumu wa...

Habari za Siasa

#LIVE: Mkutano Mkuu Maalum wa CCM, Kinana…

  CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinafanya mkutano mkuu maalum leo Ijumaa tarehe 1 Aprili 2022 katika ukumbi wa Jakaya...

error: Content is protected !!