NCHINI Burundi Mkulima mdogo wa zao la Mahindi ametoa mchango wa kilo 100 za mahindi kwa wale waliokimbia ghasia nchi Ukraine. Kijana...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2022BALOZI wa Marekani katika Umoja wa Mataifa , amesema kuwa mataifa ya Afrika hayawezi kubaki kutounga mkono upande wowote katika vita ya...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2022MWENYEKITI wa Chama cha Chadema, Freeman Mbowe, amesema siku 227 alizokaa kwenye mahabusu ya Gereza la Ukonga, jijini Dar es Salaam, amejifunza...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2022CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimedai kauli ya Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, iliyodai Halima Mdee na wenzake 18 wako...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2022WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameondoka nchini humo kwenda Qatar na Jordan kwa ziara ya kikazi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2022CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema hakuna mtu anayeweza kuiendesha taasisi ya urais “kwa rimoti” na kwamba watu wanaofikiria hivyo “ni kuwa na...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2022KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Mbowe amesema, Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Simon Sirro hapaswi kuwa...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2022KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanania cha Chadema, Freeman Mbowe anatoa maazimio ya kikoa cha kamati kuu ya chama hicho...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2022KATIBU Mkuu wa Chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo anazungumza na waandishi wa habari leo Ijumaa, tarehe 18...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2022MASHIRIKA yasiyo ya Kiserikali (NGO’s), yanayojishughulisha na masuala ya utetezi wa haki za binadamu, yameomba msaada wa kifedha kwa ajili ya kutekeleza...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2022CHUO cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere (MNMA) nchini Tanzania kimesema, Rais Samia Suluhu Hassan katika mambo aliyofanikiwa kuyafanya ndani ya kipindi cha...
By Mwandishi WetuMarch 17, 2022MAELFU ya Watu Wamenyanyaswa , kutishwa na kufunguliwa mashitaka kwa kuwa na maoni muhimu kuhusu Serikali ya Rwanda , Humani Raght Watch [HRW]...
By Mwandishi WetuMarch 17, 2022NCHINI Marekani kumeongezeka idadi kubwa ya maafisa wa Somalia , waliowekewa vikwazo vya usafiri kwa kuhujumu mchakato wa kidemokrasia nchini humo ....
By Mwandishi WetuMarch 17, 2022NAIBU Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Zungu ameishukuru Benki ya NMB kwa kuwakumbuka wamachinga na kuwasaidia kukua. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Zungu...
By Mwandishi WetuMarch 17, 2022WAKATI mtandao maarufu duniani wa Forbes ukimuorodhesha Mhandisi na Mjasiriamali Elon Reeve Musk kuwa na tajiri namba moja duniani kwa kuwa na...
By Mwandishi WetuMarch 17, 2022WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa anadaiwa kuwakimbia viongozi wa kimila wa Kimasai wanaoishi wilayani Ngorongoro na badala yake kufanya kazi na wenzao wa...
By Mwandishi WetuMarch 17, 2022MAUAJI ya raia mmoja yaliyofanywa na askari wa jeshi la polisi nchini, pamoja na kujeruhiwa kwa raia wawili, katika uwanja wa michezo...
By Mwandishi WetuMarch 16, 2022ZAIDI ya wanajeshi 10 wadaiwa kuuwawa na wengine watano kujeruhiwa katika shambulio la kilipuzi kilichotegwa kando ya barabara kusini mwa Somalia. Anaripoti...
By Mwandishi WetuMarch 16, 2022MJADALA wa nini kianze kupatikana kati ya Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi, umeendelea kutikisa vyama vya Chadema na ACT-Wazalendo. Anaripoti...
By Mwandishi WetuMarch 16, 2022KITUO cha Demokrasia Tanzania (TCD), kimemuita Mwenyekiti wa Chama cha Chadema, Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba...
By Mwandishi WetuMarch 16, 2022NCHI ya Urusi imemuwekea vikwazo vya kuingia nchini humo Rais wa Marekani, Joe Biden na maofisa wengine 12 wa Taifa hilo, ikiwa...
By Mwandishi WetuMarch 16, 2022KIKUNDI cha Thelathini kwa Thelathini/ Gashatu Omu Gashatu wamejipanga kubadili maisha ya wananchi wa Kagera kwa kumwezesha kitaalam kuujua mparachichi. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuMarch 16, 2022MKUU wa Mkoa wa Arusha, John Mongella amewataka watu wanaodai kuna majina ya kughushi katika orodha ya wananchi waliokubali kuhama kwenye Hifadhi...
By Mwandishi WetuMarch 15, 2022AWAMU ya Pili ya ‘shusha Tanga pandisha tanga’ ya Chama cha ACT-Wazalendo imetajwa kuwa na kishindo baada ya viongozi waandamizi kutoka chama...
By Mwandishi WetuMarch 15, 2022POLISI nchini Uganda imemkamata mshitukiwa Kiongozi Mkuu na Mratibu wa Kubdi la Waasi la Allied Democratic Forces (ADF) leo tarehe 15 machi...
By Mwandishi WetuMarch 15, 2022WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba amesema katika kipindi cha mwaka mmoja wa Rais Samia Suluhu Hassan madarakani amefanya mambo...
By Mwandishi WetuMarch 15, 2022KIWANDA cha kuunganisha na kutengeneza magari cha GFA Vehicle Assemblers, kimeiomba Serikali ya Tanzania kurekebisha sheria na kupunguza ushuru ili kuwalinda wawekezaji...
By Mwandishi WetuMarch 15, 2022WAFANYAKAZI wanawake wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), wamewalipia bima ya afya watoto 400 kutoka wilaya za Temeke, Ilala na Kigamboni jijini...
By Mwandishi WetuMarch 15, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemkabidhi majukumu matatu, Mkuu mpya wa Mkoa wa Njombe, Waziri Kindamba. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …...
By Mwandishi WetuMarch 15, 2022BALOZI mpya wa Tanzania nchini Malawi, Humphrey Polepole kabla ya kwenda kuanza majukumu yake mapya atakutana na mambo mawili muhimu ikiwemo kuteta...
By Mwandishi WetuMarch 15, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewaapisha Humphrey Polepole kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi na Waziri Kindamba kuwa Mkuu wa Mkoa...
By Mwandishi WetuMarch 15, 2022KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu nchini Tanzania, imeonesha wasiwasi wa kukamilika kwa wakati na kwa viwango vya ujenzi wa Reli...
By Mwandishi WetuMarch 15, 2022HAKUNA shaka kuwa Rais wa Jamhuri, Samia Suluhu Hassan, anaweza kulifanyika mabadiliko mengine baraza lake la mawaziri, muda wowote kutoka sasa. Anaripoti...
By Mwandishi WetuMarch 14, 2022RAIS Samia leo tarehe 14 Machi 2022 ameteua viongozi mbalimbali wa Serikali huku akimwondoa Humphrey Polepole bungeni na kumpeleka kuwa balozi wa Tanzania...
By Mwandishi WetuMarch 14, 2022MAKAMU wa Rais, Dk. Philip Mpango, amesema Serikali inandaa Mkakati wa Kitaifa wa kukifanya Kiswahili kuwa bidhaa utakaozinduliwa rasmi kwenye kilele cha siku...
By Mwandishi WetuMarch 14, 2022MAKAMU wa Rais Dk. Philip Mpango amewataka wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuachana na tabia ya kuchanganya lugha ya...
By Mwandishi WetuMarch 14, 2022JESHI la Polisi Tanzania, kupitia Kikosi cha Usalama Barabarani limepiga marufuku matumizi ya ving’ora na vimulimuli, kwa watumiaji wa magari binafsi. Anaripoti...
By Mwandishi WetuMarch 14, 2022MAJASUSI kutoka nchi tano za barani Ulaya, Australia na Amerika Kaskazini, wamedai Rais wa Urusi, Vladimir Putin anapatiwa matibabu ya saratani hali...
By Mwandishi WetuMarch 14, 2022KAMUSI Kuu ya Kiswahili, imeboreshwa kwa mara ya tatu, kwa kuongezewa maneno mapya 150, yakiwemo ya kiutamaduni, sayansi, teknolojia, siasa na ya...
By Mwandishi WetuMarch 14, 2022BASI la Kampuni ya Kilimanjaro linalofanya safari kutoka Tunduma kwenda Dar es Salaam asubuhi ya leo Jumatatu tarehe 14 Machi 2022, limepata...
By Mwandishi WetuMarch 14, 2022MFANYABISHARA Ghalib Said Mohamed maarufu GSM, ametoa vielelezo kadhaa vinavyoonesha kuhusika katika umiliki wa eneo lenye mgogoro baina yake na aliyekuwa Mkuu wa...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2022MSANII wa Bongofleva kutoka lebo ya Wasafi, Raymond Mwakyusa ‘ Rayvanny’ amezidi kuzikwea ngazi za kimuziki duniani baada ya kuangusha bonge la shoo...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2022BAADHI ya wanawake wanaofanya biashara haramu ya ngono katika Mji wa Mombasa nchini Kenya, wametangaza kusitisha kutoa huduma zao kwa waendesha bodaboda baada...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2022WAKATI mwaka mmoja wa kukamilisha bajeti yake, ukifikia ukingoni, Serikali ya awamu ya sita imelenga kuongeza zaidi ukuaji uchumi kwa mwaka wa...
By Mwandishi WetuMarch 11, 2022Mgodi wa Dhahabu wa North Mara, umeeleza mikakati mbalimbali iliyofanyika katika kuhakikisha hausababishi uchafuzi wa mazingira ikiwemo vyanzo vya maji. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuMarch 11, 2022VITA inayoendelea baina ya Ukreinia na Urusi, imetajwa miongoni mwa vihatarishi kwa utekelezaji wa bajeti ya Serikali 2022/23. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)....
By Mwandishi WetuMarch 11, 2022WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dk. Damas Ndumbaro amefanya mazungumzo na Uongozi wa vilabu vya Atletico Madrid na Getafe vinavyoshiriki ligi kuu...
By Mwandishi WetuMarch 11, 2022SERIKALI imetaja sababu nne za kuongezeka mfumuko wa bei hadi wastani wa asilimia 4 katika kipindi cha Julai 2021 hadi Januari 2022. Anaripoti...
By Mwandishi WetuMarch 11, 2022UCHUMI wa Tanzania umeongezeka kwa asilimia 0.1 kwa kipindi cha mwaka mmoja. Anaripoti Mwandishi Wetu Dodoma … (endelea). Uchumi wa Tanzania umeongezeka kwa...
By Mwandishi WetuMarch 11, 2022MAHAKAMA nchini Marekani imemuhukumu mwigizaji, Jussie Smollett, kifungo cha siku 150 jela ,baada ya jopo la majaji kugundua kuwa alidanganya polisi kuhusu...
By Mwandishi WetuMarch 11, 2022