LEO Jumatatu tarehe 5 Septemba, 2022 Mahakama ya Juu ya Milimani ya Kenya inatarajiwa kutoa maamuzi yake kuhusu kesi ya urais iliyosikilizwa...
By Mwandishi WetuSeptember 5, 2022WAWEKEZAJI na wananchi wa kata ya Themi, Halmashauri ya Jiji la Arusha wamempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwajali na kuwajengea kwa kiwango...
By Mwandishi WetuSeptember 2, 2022UBALOZI wa Marekani nchini Kenya umewataka raia wake kuchukua tahadhari kubwa nchini humo wakati huu ambapo , mahakama ya juu inatarajiwa kutoa...
By Mwandishi WetuSeptember 2, 2022KESI ya kupinga uchaguzi wa rais mteule William Ruto katika mahakama ya Juu nchini Kenya leo Ijumaa tarehe 2 Septemba, 2022, imeingia...
By Mwandishi WetuSeptember 2, 2022WAZIRI wa Afya Ummy Mwalimu ameagiza wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya nchini kusimamia kikamilifu utekelezaji wa kampeni ya chanjo ya...
By Mwandishi WetuSeptember 1, 2022WAZIRI wa Fedha na Mipango nchini Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba ametetea tozo zinazotozwa kwenye miamala ya kielekroniki licha ya kukiri kuwa anatambua...
By Mwandishi WetuSeptember 1, 2022MFANYABIASHARA Patrick Christopher Kamwelwe mkazi wa New York nchini Marekani ameshusha tuhuma nzito dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,...
By Mwandishi WetuAugust 31, 2022MJANE wa Marehemu Agustino Mrema amesema hadi sasa ameshapokea watoto watatu wa nje ya ndoa wa mume wake ambao walikuwa hawajapokewa na...
By Mwandishi WetuAugust 31, 2022MKUU wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Camillius Wambura amesema takwimu zinaonesha makosa ya jinai pamoja na ajali za barabara zimeongezeka katika kipindi...
By Mwandishi WetuAugust 30, 2022MAHAKAMA ya Juu nchini Kenya leo Jumanne tarehe 30, Agosti, 2022, imeamuru Tume ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kumpa mgombea urais wa Muungano...
By Mwandishi WetuAugust 30, 2022MAHAKAMA ya Juu nchini Kenya leo Jumanne tarehe 30, Agosti, 2022 imeanza kusikiliza kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa urais uliofanyika...
By Mwandishi WetuAugust 30, 2022JAJI Mkuu wa Kenya, Martha Koome leo mchana ameahirisha kesi ya kupinga matokeo ya urais nchini humo baada ya kuibuka mabishano ya...
By Mwandishi WetuAugust 30, 2022ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne wataendelea kusota gerezani baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi, Mkoa...
By Mwandishi WetuAugust 29, 2022JENGO la makao makuu ya chama cha Jubilee lililopo katika mtaa wa Pangani, kaunti ya Nairobi nchini Kenya linatarajiwa kupigwa mnada Septemba...
By Mwandishi WetuAugust 29, 2022MKUU wa Mkoa wa Arusha, John Mongella amezindua mradi wa uhifadhi wa mazingira kwa kutumia maarifa ya asili ambao utatekelezwa na Shirika la...
By Mwandishi WetuAugust 29, 2022WAZIRI Mkuu wa Japan, Fumio Kishida amepimwa na kukutwa na maambukizi Covid-19 wakati akiwasili nchini Tunisia kushiriki mkutano wa nane wa Kimataifa...
By Mwandishi WetuAugust 27, 2022MJI mdogo wa Mirerani uliopo katika wilaya Simanjiro mkoani Manyara umeongeza bilione mpya wa madini ya Tanzanite baada ya mchimbaji mdogo Anselim...
By Mwandishi WetuAugust 27, 2022MKE wa marehemu Augustine Mrema, mwanasisasa mashuhuri nchini aliyefariki dunia 21 Agosti na kuzikwa juzi Alahmisi, Doreen Kimbi Mrema, ameanza kuonja joto ya...
By Mwandishi WetuAugust 27, 2022WAKALA wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) wametakiwa kuachana na ujenzi wa barabara za kiwango cha lami zenye uwezo wa kubeba...
By Mwandishi WetuAugust 26, 2022TAARIFA zilizotufikia hivi punde Jeshi la Polisi kanda maalum ya Dar es Salaam limemkamata aliyekuwa Meneja wa TRC mkoa wa Dar es Salaam...
By Mwandishi WetuAugust 26, 2022MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) imetangaza kuanza rasmi kutumia mfumo wa malipo ya Serikali kuanzia malipo...
By Mwandishi WetuAugust 26, 2022SHIRIKISHO la Kimataifa la kufuatilia utakatishaji fedha haramu na Ugaidi (FATF) linarajia kufika nchini Pakistani Mwezi ujao ili kuhakikisha kuwa nchi hiyo...
By Mwandishi WetuAugust 26, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Wenyeviti nane wa Bodi za Mazao na Taasisi zinazosimamiwa na Wizara ya Kilimo pamoja na Mkurugenzi...
By Mwandishi WetuAugust 25, 2022NYUMBA ya mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania, marehemu James Mapalala imebomelewa kwa amri ya mahakama baada ya Mahakama Kuu Tanzania kutupilia mbali kesi...
By Mwandishi WetuAugust 25, 2022RAIS wa Ukraine, Volodymyr Zelenskiy, ameeleza kuwa taifa lake limezaliwa upya wakati Urusi ilipoamua kuivamia kijeshi, Februari mwaka huu na kamwe haliwezi...
By Mwandishi WetuAugust 24, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa wananchi ambao hawatafikiwa kesho tarehe 23 Agosti, 2022 na makarani wa sensa kuhakikisha wanatunza kumbukumbu...
By Mwandishi WetuAugust 22, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan amesema taarifa zitakazokusanywa na makarani wa sensa nchi nzima ni taarifa za siri kwa mujibu wa sheria ya...
By Mwandishi WetuAugust 22, 2022HATIMAYE Baba yake Hellen Kemunto, binti muuguzi raia wa Kenya aliyefariki wiki iliyopita nchini Canada, amejitokeza kuelezea maisha ya mwanaye. Binti huyo...
By Mwandishi WetuAugust 22, 2022MGOMBEA wa urais nchini Kenya, kupitia Muungano wa Azimio, Raila Odinga, hatimaye amewasilisha rasmi ombi la kupinga uchaguzi wa William Ruto kuwa...
By Mwandishi WetuAugust 22, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi kutokana na msiba wa Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), Agustino Mrema kilichotokea...
By Mwandishi WetuAugust 21, 2022MWENYEKITI wa chama cha TLP, Augustino Lyatonga Mrema (77) amefariki duninia leo tarehe 21 Agosti, 2022, saa 12.15 asubuhi, katika Hospitali ya Taifa...
By Mwandishi WetuAugust 21, 2022Jina la Juliana Cherera ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Tume huru ya Uchaguzi na Mipaka kutoka nchini Kenya (IEBC), limepata umaarufu mkubwa baada...
By Mwandishi WetuAugust 20, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa shilingi bilioni 20 kwa ajili ya kuwezesha vijana kufuga samaki kama njia ya kuwanufaisha na uchumi wa...
By Mwandishi WetuAugust 20, 2022WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolph Mkenda anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye mahafali ya tatu ya wanafunzi waliosoma vyuo vikuu...
By Mwandishi WetuAugust 18, 2022ALIYEKUWA Mgombea urais katika uchaguzi mkuu wa Kenya kupitia muungano wa Azimio la Umoja, Raila Odinga leo Jumanne amekataa kuyatambua matokeo ya...
By Mwandishi WetuAugust 16, 2022MAKAMISHNA wanne wa Tume Huru ya Mipaka na Uchaguzi ya Kenya (IEBC), wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti, Juliana Cherera, wametaja sababu za kutokukubaliana...
By Mwandishi WetuAugust 16, 2022KAMPENI za wafuasi wengi zilizoegemezwa katika simulizi kali za ma-hustlers (watafutaji) sambamba na uungwaji mkono kutoka kwa maeneo yenye utajiri wa kura...
By Mwandishi WetuAugust 16, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan ameungana na viongozi wengine wa Bara la Afrika kwa kumpongea mshindi wa nafasi ya urais pamoja na kuwapongeza...
By Mwandishi WetuAugust 16, 2022YAPO masuala ya kijiografia, kihistoria, kijamii na kiuchumi yanayofanya nchi mbili za Afrika Mashariki; Kenya na Tanzania zifanane na kuwa na udugu...
By Mwandishi WetuAugust 16, 2022OFISA wa uchaguzi wa Embakasi Mashariki kutoka nchini Kenya, Daniel Mbolu Musyoka (53) aliyetoweka tarehe 11 Agosti, 2022 amepatikana akiwa amefariki. Inaripoti Mitandao...
By Mwandishi WetuAugust 16, 2022BENKI ya Exim Tanzania imeadhimisha miaka 25 tangu kuanzishwa kwa hafla fupi iliyolenga kutambua jitihada na mchango wa wafanyakazi wa benki hiyo katika...
By Mwandishi WetuAugust 16, 2022RAIS Mteule wa Jamhuri ya Kenya, William Ruto amewahakikishia wananchi kuwa ataongoza Serikali kwa uwazi na demokrasia ya hali ya juu huku...
By Mwandishi WetuAugust 15, 2022MGOMBEA Urais wa Muungano wa Kenya Kwanza na Chama cha UDA, William Ruto ametangazwa kuwa mshindi wa uchaguzi mkuu kwa kura 7,176,141...
By Mwandishi WetuAugust 15, 2022RAIS wa Jamhurii ya uungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemuagiza Kamishna Jenerali wa Jeshi La Uhamiaji, Dk. Anna Makakala, “kuwashughulikia” maofisa...
By Mwandishi WetuAugust 15, 2022WAKATI matokeo ya kura za urais zilizothibishwa na Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka nchini Kenya (IEBC) zikionesha mchuano mkali katika kinyang’anyiro...
By Mwandishi WetuAugust 15, 2022WAANDISHI wa habari wamelazimika kutolewa katika kituo kikuu cha majumuisho ya kura za urais cha Bomas kupisha majadilino ya maafisa wa Tume Huru...
By Mwandishi WetuAugust 12, 2022MAHAKAMA Kuu ya Tanzania leo tarehe 12 Agosti, 2022, imesoma Hukumu ya Kesi namba 143 ya Mwaka 2017 iliyofunguliwa na Miza Bakari...
By Mwandishi WetuAugust 12, 2022WAKATI matokeo ya uchaguzi wa urais yakiendelea kutolewa jana na Tume Huru na Mipaka ya Uchaguzi (IEBC), mwelekeo umehamia kwenye vita vya Bunge,...
By Mwandishi WetuAugust 12, 2022GHADHABU zilipanda katika kituo cha kitaifa cha kuhesabia kura cha Bomas of Kenya usiku wa Alhamisi wakati tume ya uchaguzi ilipoanza kuhakiki...
By Mwandishi WetuAugust 12, 2022TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) hatimaye ilianza kutiririsha matokeo ya urais yaliyothibitishwa mwishoni mwa siku Alhamisi kwa ajili ya kutangaza...
By Mwandishi WetuAugust 12, 2022