Saturday , 20 April 2024
Home mwandishi
8680 Articles1237 Comments
Habari za Siasa

Samia ampa mwaka mmoja Makamba

  RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa muda wa mwaka mmoja (2023) kwa Waziri wa Nishati, Januari Makamba kuhakikisha taasisi zote kubwa nchini ikiwamo...

Habari Mchanganyiko

Mfuko wa nishati safi ya kupikia kuanzishwa

  RAIS Samia Suluhu Hassan mesema kuanzia bajeti ijayo Serikali itatenga fedha nzuri kuanzia mfuko wa nishati safi ya kupikia lengo likiwa ni...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa kuongoza kikosi kazi cha nishati safi ya kupikia

  RAIS Samia Suluhu Hassan ameagiza kuanzishwe kikosi kazi ambacho kitashughulikia nishati safi ya kupikia kitakachotoa mapendekezo pamoja na dira ya miaka 10...

Habari za Siasa

CUF yalia na Rais Samia kuhusu tume huru ya uchaguzi, katiba mpya

CHAMA cha Wananchi (CUF), kimemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, atembee katika maneno yake kuhusu upatikanaji wa maridhiano ya kitaifa Kwa kuhakikisha Tume Huru...

Habari Mchanganyiko

RC Makala: Lita milioni 70 zinaingizwa mjini kupunguza mgawo wa maji

  MKUU wa mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla leo Jumanne ametangaza kwamba leo usiku lita milioni 70 za maji zitaingizwa katika...

Habari za SiasaTangulizi

Matokeo ya Sensa 2022: Idadi ya watu Tanzania yafikia Mil. 61.7

  RAIS wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ametangaza kuwa idadi ya Watanzania imefikia milioni 61.7 kufikia tarehe 31 Oktoba 2022. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za Siasa

Shaka: Rais Samia aungwe mkono bila kujali itikadi za kisiasa

  KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema ni jukumu la Watanzania wote kumuunga...

Habari za Siasa

 Takwimu za sensa zitaondoa masharti magumu ya mikopo

  MKURUGENZI wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Daktari Albina Chuwa, amesema takwimu za sensa ya watu na makazi za 2022, zitasaidia...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto: Nilimwombea mama asife hadi aone naapishwa kuwa Rais

  KIONGOZI wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, ameoneshwa shahuku na ndoto aliyonayo ya kuwa Rais wa Tanzania, baada kusimulia alivyokuwa akimfariji mama yake kuwa...

Habari Mchanganyiko

Mkurugenzi wa Bodi TMA aipongeza kwa kutekeleza mikataba ya Baraza la Wafanyakazi

  MWENYEKITI  wa Bodi ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dk. Buruhani Nyenzi ameipongeza TMA kwa kutekeleza Mkataba waBaraza kwa kuhakikisha wajumbe wa Baraza wanakutana mara...

Kimataifa

Ripoti: Chanjo za Corona zinaweza kuathiri hedhi

  WATAALAM kutoka Mamlaka ya Udhibiti wa Madawa ya barani Ulaya (EMA) wameonya kuwa baadhi ya chanjo za Covid 19 zinaweza kusababisha akina...

Kimataifa

Mumewe Spika avamiwa, atwangwa nyundo

  IMEELEZWA kuwa Paul Pelosi, mume wa Spika wa Baraza la Wawakilishi la Marekani, Nancy Pelosi, amepata nafuu kutokana na upasuaji baada ya...

Habari za Siasa

Majaliwa awafunda Watanzania ughaibuni

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewasihi Watanzania wanaoishi ughaibuni kuwa mabalozi wazuri kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za nchi wanazoishi ili kujenga taswira...

Afya

Watumishi 139 kada ya afya kusomeshwa ubingwa, ubobezi

  JUMLA ya watumishi wa afya 139 wamechaguliwa kwaajili ya kupewa ufadhili wa masomo ya ubingwa na ubingwa bobezi katika fani zao. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto aeleza tume huru uchaguzi ilivyogonga mwamba kikosi kazi cha Rais

KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema baadhi ya mapendekezo yaliyotolewa na wanasiasa wa vyama vya upinzani katika Kikosi Kazi cha Rais...

AfyaHabari

Hospitali KAM Musika yapima bure saratani tezi dume

KATIKA jitihada za kuunga mkono serikali ya awamu ya sita katika kukabiliana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza, Hospitali ya KAM Musika ya Kimara...

Kimataifa

Mtoto wa Museveni aandaa kongamano la mapinduzi, aalika viongozi kimataifa

  LUTENI Jenerali, Muhoozi Kainerugaba, mtoto wa Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, amesema baba yake ameruhusu kufanyika kwa kongamano la vijana wazalendo, lenye...

Habari MchanganyikoTangulizi

Daraja jipya la Wami laanza kutumika

  WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa ameruhusu Magari kuanza kutumia daraja jipya la wami kufuatia Ujenzi wake kukamilika kwa asilimia...

Tangulizi

CRB yawanoa makandarasi kuhusu biashara na fedha

MAKANDARASI nchini wametakiwa kuacha tabia ya kulalamika badala yake waweke juhudi ili wapate kazi kubwa zinazotangazwa ndani ya nje nchi. Na Mwandishi Wetu,...

Habari Mchanganyiko

Watanzania sasa kutuma na kupokea Pesa nchi za SADC

  KAMPUNI ya simu za Mkononi ya Vodacom imezindua huduma  ya Vodacom M-Pesa inayoitwa “Dunia Kijiji, Afrika ni M-Pesa” ambayo inawawezesha Watanzania kutuma...

Habari Mchanganyiko

Huduma za fedha za simu za mkononi zinaweza kukuza kiwango cha uchumi wa taifa

UTAFITI mpya umeonesha kuwa matumizi fanisi ya huduma za fedha za simu za mkononi yana mchango wa moja kwa moja katika ukuaji wa...

Kimataifa

Kukutana kwangu na baba wa Xi Jinping nimejifunza haya

  KHEDROOB Thondup mtoto wa Mwanadiplomasia Gyalo Thondup, kaka mkubwa wa Dalai Lama na mwakilishi wake wa kibinafsi wa zamani nchini China, amepata...

Michezo

Nyota wanne Simba kuikosa Azam kesho

KLABU ya Soka ya Simba inatarajiwa kuwakosa nyota wake wanne kuelekea mchezo wa kesho tarehe 27 Oktoba 2022 ambapo Simba watakuwa wageni wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge CCM ashauri kuondoshwa Tozo kwenye Korosho

  MBUNGE wa Ndanda Cecil Mwambe ameishauri Serikali kufuta tozo zilizokuwepo kwenye utaratibu za maozo ya kurosho ghafi ili kunusuru bei ya korosho...

Habari Mchanganyiko

Waliofukuzwa kwa vyeti feki kuanza kurejeshewa michango ya hifadhi ya jamii Novemba Mosi

  KUANZIA Novemba Mosi, 2022 utekelezaji wa ahadi ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kuwarejeshea michango yao wale wote waliofukuzwa kazi kwasababu ya...

Habari Mchanganyiko

Waziri Ndumbaro: Wanahabari wakati ni huu

  WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk. Damas Ndumbaro amewataka wadau wa habari nchini kupambana ili kubadili sheria za habari nchini huku akieleza...

Kimataifa

Aliyekaa nusu karne bila kuoga afariki baada ya kuoga

  MTU mchafu zaidi duniani Amou Haji aliyekaa zaidi ya miaka 50 bila kuoga amefariki duniani miezi michache baada ya kuogeshwa kwa lazima....

Tangulizi

Kamati ya Makamu Wakuu wa Vyuo yataka mikopo iongezwe

KAMATI ya Makamu Wakuu wa Vyuo Vikuu nchini (CVCPT), imeishauri serikali kuongeza wigo wa kutoa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu ili...

Habari Mchanganyiko

Kesi ya madiwani Ngorongoro: Mahakama yaipa siku 14 Jamhuri

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha, imeuamrisha upande wa Jamhuri katika kesi ya mauaji inayowakabili baadhi ya madiwani wa Wilaya ya Ngorongoro mkoani...

ElimuTangulizi

Waziri awafuta kazi walimu waliombadilishia namba ya mtihani mwanafunzi la 7

  SERIKALI imeifungia Shule ya Awali na Msingi ya Chalinze Modern Islamic kuwa kituo cha Mitihani pamoja na kuwafuta kazi wasimamizi wa mtihani...

Elimu

Waziri Mkenda aionya Bodi ya Mikopo ‘nitakula kichwa cha mtu’

  WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda ametuma salamu kwa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) kwamba ‘atakula...

ElimuMakala & UchambuziTangulizi

Mwanachuo aliyepasuliwa korodani na Polisi afichua mazito

  MWANACHUO wa Chuo Kikuu cha SAUT mkoani Mwanza, Warren Lyimo anayedaiwa kupigwa na kuteswa  na Polisi hadi kupasuka korodani, amesimulia mambo mazito na...

KimataifaTangulizi

Mwanasiasa mwenye asili ya Tanzania, Kenya aukwaa uwaziri mkuu Uingereza

  MWANASIASA wa Uingereza Rishi Sunak amechaguliwa jana tarehe 24 Oktoba, 2022 kuwa kiongozi wa chama cha Conservative na atakuwa waziri mkuu ajaye,...

Habari Mchanganyiko

Wafanyabishara washauriwa kutumia kituo jumuishi

  WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Jenista Mhagama amewashauri na kuwataka wafanyabiashara wadogowadogo mkoani...

Tangulizi

Mkuu wa Magereza akemea mimba za utotoni

  MKUU wa Jeshi la Magereza nchini Kamishna Jenerali Mzee Ramadhani Nyamka amewataka wahitimu wa kidato cha nne wa Shule ya Sekondari Bwawani...

Michezo

Benki ya NBC ilivyoipamba Derby ya Kariakoo

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) ambae ni mdhamini Mkuu wa Ligi Kuu ya Soka ya Tanzania Bara, NBC Premiere League jana iliipamba...

Habari Mchanganyiko

IGP awasimamisha kazi askari waliohusika mauji Kilombero kupisha uchunguzi

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini Tanzania, IGP Camillus Wambura, amewasimamisha kazi askari wote waliohusika na tukio la mauji ya raia wawili yaliyotokea...

ElimuHabari

Mbunge aipongeza shule ya Brilliant kwa kutopandisha ada

  MBUNGE wa Viti Maalum, (CCM), Dk. Thea Ntara, ameipongeza shule ya Brilliant kwa kutopandisha ada kwa miaka mine mfululizo na amezitaka shule...

Michezo

Breaking news! Azam FC yamtimua Kocha Mkuu

  BODI ya Klabu ya Azam FC imesitisha mkataba na Denis Lavagne, kama kocha mkuu, kuanzia leo tarehe 22 Oktoba, 2022. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Rais Samia ateua wenyeviti wa bodi, Mganga Mkuu wa Serikali

RAIS Samia Suluhu Hassan leo Jumamosi amefanya uteuzi wa wenyeviti wa bodi wawili, wajumbe wa bodi hizo pamoja na watendaji watatu wa serikali...

Afya

Wakufunzi wa mikoa wapatiwa mafunzo ya kujikinga na Ebola

  WAKUFUNZI wa mikoa nchini ambao ni wataalamu wa afya kutoka katika hospitali ya Taifa, hospitali za kanda, hospitali maalumu na hospitali za...

Kimataifa

Borris Johnson arejea kumrithi Liz Truss

  WAZIRI Mkuu wa zamani wa Uingereza, Boris Johnson na aliyekuwa waziri wake wa fedha, Rishi Sunak wanaongoza katika kinyang’anyiro cha kuwania wadhifa...

Habari Mchanganyiko

Taharuki! Moto Mlima Kilimanjaro

  Moto umezuka katika mlima Kilimanjaro, karibu na eneo la Karanga Camp lililopo urefu wa meta 3,963 kutoka usawa wa bahari kupitia njia...

Habari za Siasa

Wana Musoma waipongeza Serikali kwa kuwapiga ‘jeki’ wavuvi

WAVUVI katika Ziwa Victoria upande wa  Halmashauri ya Wilayani Musoma, mkoani Mara, wamepongeza hatua ya Serikali kutoa mikopo isiyokuwa na riba kwa ajili...

Habari za Siasa

Rais Samia: Mapendekezo ya kikosi kazi si amri kwa Serikali

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema mapendekezo ya kikosi kazi cha kukusanya na kuchakata maoni ya wadau wa demokrasia ya vyama vingi ...

Habari Mchanganyiko

Waislamu wataka sheria mpya ya ndoa isiwatambue

JUMUIYA na Taasisi za Kiislamu Tanzania, imetoa msimamo wake kuhusu marekebisho ya Sheria ya Ndoa ya 1971, ikitaka isiwatambue waumini wake kwa kuwa...

Habari za Siasa

Ugonjwa wa shahidi wakwamisha kesi ya kina Mdee, Chadema

MAHAKAMA Kuu, Masjala Kuu ya Dar es Salaam, imeahirisha usikilizwaji wa kesi iliyofunguliwa na wabunge viti maalum 19, kupinga kufukuzwa Chadema, kutokana na...

Habari za Siasa

Majaliwa atoa siku 15 mkandarasi kukamilisha barabara Ukerewe

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa siku 15 kuanzia Oktoba 20, 2022 kwa kampuni ya Inter Country Contractors kuhakikisha inakamilisha ujenzi wa miradi...

Habari za Siasa

Wateule wa Rais wapendekezwa kuteua wajumbe Tume ya Taifa ya Uchaguzi

KIKOSI Kazi cha kukusanya maoni ya wadau wa demokrasia ya vyama vingi vya siasa nchini Tanzania, wamependekeza kuwepo kwa kamati maalumu itakayoteua wajumbe...

Habari za SiasaTangulizi

Kikosi Kazi chapendekeza hatua sita kupata Katiba Mpya

KIKOSI kazi cha kukusanya maoni ya wadau wa demokrasia ya vyama vingi nchini Tanzania,  kimependekeza hatua sita zitakazosaidia mchakato wa kupata Katiba mpya...

error: Content is protected !!