ALIYEKUWA kuwa Mbunge wa Mbeya mjini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ amempongeza Rais Samia Suluhu...
By Mwandishi WetuJanuary 21, 2023Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) leo tarehe 21 Januari, 2023 imetangaza nafasi 320 za ajira kwa vijana wa Kitanzania...
By Mwandishi WetuJanuary 21, 2023TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) leo tarehe 21 Januari, 2023 imetangaza nafasi 320 za ajira kwa vijana wa Kitanzania wenye...
By Mwandishi WetuJanuary 21, 2023WAGOMBEA urais nchini Nigeria wamemaliza kampeni zao huku kila mmoja akitoa wito wa kukamatwa kwa mwenzio na wakishtumiana kwa kashfa za zamani...
By Mwandishi WetuJanuary 21, 2023ZAIDI ya wanawake na watoto 60 waliotekwa nyara wiki iliopita na watu wanaoshukiwa kuwa ni wanajihadi, huko kaskazini mwa Burkina Faso wameachiliwa...
By Mwandishi WetuJanuary 21, 2023MSHINDI wa kampeni la NMB MastaBata Kote-Kote inayoendeshwa na Benki ya NMB, Emmanuel Marumbo kutoka mkoani Tabora amekabidhiwa rasmi Pikipiki yake aina ya...
By Mwandishi WetuJanuary 21, 2023KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Sophia Mjema, ametoa wiki moja kwa Wizara ya Elimu, Sayansi na...
By Mwandishi WetuJanuary 20, 2023WAKAZI wa Jimbo la Musoma Vijijini, wakiongozwa na Mbunge wao, Profesa Sospeter Muhongo, wamefanya harambee ya kuchangisha fedha za kukamilisha ujenzi wa...
By Mwandishi WetuJanuary 20, 2023WINFRIDA Mandindile (17), amejinyonga kwa madai ya mzazi mwenzie kugoma kutoa fedha za matumizi ya mtoto wao mwenye umri wa mwaka mmoja....
By Mwandishi WetuJanuary 20, 2023MUFTI na Sheikh Mkuu wa Tzania, Sheikh Dk. Abubakar Zubeir, ameunda tume ya watu saba kwaajili ya maboresho ya Baraza Kuu la...
By Mwandishi WetuJanuary 20, 2023MKANDARASI Kampuni ya NAMIS Corporate Ltd anayejenga soko la Tandale ameelezea changamoto za kutokamilika kwa wakati kwa soko hilo ikiwemo kutokulipwa kwa wakati....
By Mwandishi WetuJanuary 20, 2023MWITIKIO wa wanachama na Watanzania wanaojitokeza kuchangia gharama za mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu, umezidi kuongezeka ambapo hadi...
By Mwandishi WetuJanuary 20, 2023BINGWA wa Olimpiki Usain Bolt analenga kurejesha zaidi ya $12.7m sawa na zaidi ya Tsh 27 Bilioni ambazo wakili wake anasema amepoteza baada...
By Mwandishi WetuJanuary 20, 2023MAKAMU wa Rais Dk. Philip Mpango amezitaka Mamlaka za Maji pamoja na wadau wengine wa sekta hiyo kuongeza weledi katika usimamizi wa...
By Mwandishi WetuJanuary 19, 2023KWA kipindi cha miezi sita kuanzia mwezi Julai hadi Desemba 2022 Wizara ya Afya kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya afya...
By Mwandishi WetuJanuary 19, 2023MCHEZAJI na kapteni wa timu ya vijana ya Singida Big Star (U17), Mohammed Banda leo tarehe 19 Januari, 2023 amefariki dunia baada...
By Mwandishi WetuJanuary 19, 2023WAZIRI wa Madini Dkt. Doto Biteko amesema ushirikiano uliopo kati ya Tanzania na Canada katika sekta ya madini umeendelea kuimarika hususan katika...
By Mwandishi WetuJanuary 19, 2023MAMLAKA ya Kudhibiti Ununuzi wa Umma nchni (PPRA) imeeleza kuwa utumiaji wa utaratibu wa kikosi kazi “ Force Account “katika utekelezaji wa miradi...
By Mwandishi WetuJanuary 19, 2023Huawei has demonstrated its commitment to Africa’s energy transition, while also showcasing the full range of its latest solar PV and green home...
By Mwandishi WetuJanuary 19, 2023CHAMA cha Wananchi (CUF), kimeeleza kuwa kimejipanga kurejesha heshima yake visiwani Zanzibar, ifikapo 2025 kwa kuunda Serikali au kushiriki Serikali ya Umoja...
By Mwandishi WetuJanuary 19, 2023CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema kiko tayari kuchukua fedha za ruzuku kutoka Serikalini, kutokana na maridhiano yanayofanywa na Rais Samia...
By Mwandishi WetuJanuary 19, 2023MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Bara, Tundu Lissu, amesema usalama wake pindi atakaporejea Tanzania akitokea nchini Ubelgiji, utakuwa...
By Mwandishi WetuJanuary 19, 2023RAIS wa Mexico, Andres Manuel Lopez Obrador amesema atazingatia ombi la mlanguzi wa dawa za kulevya Joaquin ‘El Chapo’ Guzman, anayetumikia kifungo...
By Mwandishi WetuJanuary 19, 2023CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimedai kuwa uhaba wa mbolea nchini umesababishwa na Serikali kushindwa kulipa deni la Sh. 325 bililioni,...
By Mwandishi WetuJanuary 19, 2023RAIA wa Tanzania, mwanachama mwandamizi na kada mashuhuri wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tarimo Nemes Raymond, amefariki dunia akiwa vitani...
By Mwandishi WetuJanuary 18, 2023RAIS wa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Felix Tshisekedi amesema waasi wa M23 bado hawajaondoka kikamilifu katika maeneo wanayoshikilia mashariki mwa...
By Mwandishi WetuJanuary 18, 2023MKUU wa Jeshi la Polisi IGP Camilus Wambura leo tarehe 17 Januari, 2023 amewatangazia vijana walioomba kuajiriwa na Jeshi la Polisi usaili...
By Mwandishi WetuJanuary 17, 2023BAADHI ya waumini wa Kanisa la KKKT Usharika wa Kijitonyama jijini Dar es Salaam wamejitokeza mbele ya kanisa hilo wakiwa na mabango...
By Mwandishi WetuJanuary 17, 2023SERIKALI ya Tanzania kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, imetuma timu maalum kwenda mkoani Kilimanjaro kuchunguza tuhuma za wanafunzi kufundishwa vitendo...
By Mwandishi WetuJanuary 17, 2023TAARIFA ya likizo ya siku 60 ya Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Mashariki na Pwani,...
By Mwandishi WetuJanuary 17, 2023BOSI wa kikundi cha mafia maarufu kama Cosa Nostra anayesakwa zaidi nchini Italia, Matteo Messina Denaro amekamatwa huko Sicily baada ya kutoroka...
By Mwandishi WetuJanuary 17, 2023SERIKALI ya Tanzania kupitia Wizara ya Fedha na Mipango imejipanga kuchukua hatua stahiki katika kuhakikisha uchumi unaendelea kukukua kwa kusimamia urekebishwaji wa baadhi...
By Mwandishi WetuJanuary 16, 2023WATU karibu 60,000 wamefariki dunia nchini China kwa Ugonjwa wa Virusi vya Korona (UVIKO-19), kati ya tarehe 8 Desemba 2022 hadi tarehe...
By Mwandishi WetuJanuary 16, 2023SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson amewataka Majaji wa Mahakama nchini kuzingatia weledi, kufuata misingi ya...
By Mwandishi WetuJanuary 16, 2023MKURUGENZI wa Kampuni ya Agricultural Pharm, Khamis Mgeja, ameiomba Serikali kutatua changamoto ya huduma za pembejeo vijijini ili kuwaondolea wakulima adha ya kutembea...
By Mwandishi WetuJanuary 16, 2023RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amemkabidhi Afisa mkuu wa Teknolojia na mabadiliko ya kidigitali wa...
By Mwandishi WetuJanuary 16, 2023KATIBU Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Yahya Samamba amesema kuwa uchimbaji wa makaa ya mawe hususan katika mkoa wa Ruvuma umeendelea...
By Mwandishi WetuJanuary 16, 2023HISTORIA ya uhaba wa maji kwa baadhi ya wananchi wa Jimbo la Musoma Vijijini, Mkoa wa Mara, inatarajia kufutika ifikapo Juni 2023,...
By Mwandishi WetuJanuary 16, 2023RAIS wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy amesema idadi ya vifo kutokana na shambulio la kombora la Urusi kwenye jengo la ghorofa tisa katika...
By Mwandishi WetuJanuary 16, 2023CHAMA cha ACT Wazalendo kimesema Chama cha Wananchi – CUF sio kwamba ushawishi wake kwa Watanzania umeshuka bali sasa umekwisha baada ya...
By Mwandishi WetuJanuary 16, 2023SERIKALI ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imewalaumu waasi ADF wenye mfungamano na kundi la Islamic State kwa shambulio la bomu katika...
By Mwandishi WetuJanuary 16, 2023CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema kitapigania marekebisho ya Sheria ya Huduma za Habari ya 2016 ili vifungu vinavyodhoofisha uhuru wa...
By Mwandishi WetuJanuary 16, 2023CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza safu mpya уа Wajumbe Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa (CC) na Wajumbe wa Sekretarieti ya...
By Mwandishi WetuJanuary 14, 2023KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, ameahidi kutoa ushirikiano katika kesi ya jinai iliyofunguliwa na Mwandishi wa Habari Luqman Maloto, dhidi...
By Mwandishi WetuJanuary 14, 2023Serikali ya Irani, imemnyonga aliyekuwa Naibu Waziri wa Ulinzi wa Irani,Alireza Akbari, kwa kosa la kutoa siri za nchi hiyo na kufanya...
By Mwandishi WetuJanuary 14, 2023WIZARA ya Afya imesema maoni yaliyotolewa na Chama cha Wauguzi Tanzania (TANNA), kuhusu sakata la watumishi wa afya katika Zahanati ya Ishihimulwa...
By Mwandishi WetuJanuary 14, 2023VIONGOZI wa kundi la waasi la M23 wamekutana na msuluhishi wa kanda rais wa zamani wa Kenya, Uhuru Kenyatta, mjini Mombasa, ambapo...
By Mwandishi WetuJanuary 14, 2023MWANAHABARI Luqman Maloto, amefungua kesi ya jinai dhidi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) na Mkurugenzi wa Mashtaka nchini...
By Mwandishi WetuJanuary 14, 2023MAKAMU Mweneykiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu amesema siku zijazo hazitakuwa rahisi licha ya ahadi ya Rais Samia Suluhu Hassan na utayari...
By Mwandishi WetuJanuary 13, 2023MAKAMU Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu ametangaza kurejea nchi rasmi tarehe 25, Januari, 2023 ikiwa ni zaidi ya miaka mitano ya...
By Mwandishi WetuJanuary 13, 2023