Saturday , 20 April 2024
Home mwandishi
8681 Articles1237 Comments
Habari za SiasaTangulizi

Magufuli asimulia alivyonusurika kifo, atua Chato

RAIS wa Tanzania, John Magufuli, amekagua maendeleo ya ujenzi wa daraja la Kigongo – Busisi, lililopo jijini Mwanza, litakalokuwa na urefu wa 3.2...

Makala & Uchambuzi

Kifo cha Baloch, Canada katikati ya shinikizo zito

JUSTIN Trudeau, Waziri Mkuu wa Canada anatakiwa kuchunguza kifo tatanishi cha mwanaharakati Karima Baloch. Anaandika Mwandishi Wetu … (endelea). Ni kutokana na shinikizo...

Habari za Siasa

Rais Magufuli amtumbua DED

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga Mkoani Tabora, Revocatus Kuuli. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Majengo chakavu Z’bar kufungwa, Dk. Mwinyi atoa maagizo  

RAIS wa Zanzibar, Hussein Mwinyi ameagiza Tume ya Uchunguzi wa Majengo ya Kihistoria yaliyoko katika Mji Mkongwe, atakayoiunda, kuwahi kutoa orodha ya majengo...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kisa bando la intaneti, TCRA yapewa siku 90

WAZIRI wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari (Tehama) nchini Tanzania, Dk. Faustine Ndugulile, ameipa miezi mitatu (siku 90), Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA),...

Habari za SiasaTangulizi

Vigogo TPA wasimamishwa, bandari tano kuchunguzwa na CAG

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amemuagiza Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kufanya ukaguzi maalum Bandari za Dar es Salaam, Mwanza,...

Habari Mchanganyiko

Uswizi yaeleza wasiwasi juu ya mawakala wa haki za Watibeti

KRYSTYNA Marty, Katibu Mkuu Kiongozi wa Serikali Uswizi amefanya mazungumzo na Qin Gang, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa China kuhusu mahusiano...

Habari za Siasa

Rais Magufuli amwokoa Sugu

RAIS John Magufuli ameagiza Hoteli ya Desderia inayomilikiwa na aliyekuwa Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, isivunjwe. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Taarifa hiyo...

Habari za Siasa

Mauaji mkesha wa Krismas

WATU kadhaa wameuawa Kaskazini Mashariki mwa Nigeria baada ya wanamgambo wa Boko Haram kushambulia vijiji vya Wakristo na kuteketeza Kanisa wakati wa Mkesha...

Habari za Siasa

Zitto, Mdee washinda tuzo ya mwanasiasa bora mtandaoni

KIONGOZI wa Chama Cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe na aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha), Halima Mdee,  wameshinda tuzo za...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yaibwaga CCM, ACT-Wazalendo

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeshinda Tuzo ya Watu, Taasisi na Chapa, zinazoongoza mtandaoni (Tanzania Digital Awards), kwenye kipengele cha chama bora cha...

Habari za Siasa

Rais Magufuli awatakia Watanzania Heri ya Krismas

RAIS wa Tanzania, Dk. John Magufuli ameungana na Watanzania kuadhimisha siku ya kuzaliwa Yesu Kristo, kwa kusali Misa Takatifu ya Krismasi. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Lissu aeleza machungu ya 2020

TUNDU Lissu, aliyekuwa Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika tarehe 28 Oktoba 2020, amesema...

Habari Mchanganyiko

Waliomuua Mawazo wa Chadema, nao kunyongwa

MAHAKAMA Kuu, Kanda ya Mwanza, imewahukumu kunyongwa hadi kufa, kwa  washitakiwa wanne waliotuhumiwa na Jamhuri, kumuua kwa makusudi,  Alphonce Mawazo. Anaripoti Faki Sosi,...

Habari Mchanganyiko

Japan, Australia kusaini ushirikiano wa ulinzi dhidi ya China

KATIKA juhudi za kudhibiti kukua kwa ushawishi wa China katika Pwani ya Kusini mwa nchi hiyo, Waziri Mkuu wa Japan, Yoshihidi Suga na mshirika...

Habari za Siasa

Polepole arusha vijembe upinzani

HUMPHREY Polepole, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameeleza kuwashangaa wapinzani kwa kudhani kampeni nzuri zinaweza kuwapa ushindi. Hamis Mguta,...

Habari Mchanganyiko

Wizara Katiba na Sheria wamwangukia Rais Magufuli

WIZARA ya Katiba na Sheria Tanzania, imemuomba Rais John Magufuli aongeze idadi ya majaji wa Mahakama ya Rufani na Mahakama Kuu, ili kuimarisha mfumo...

Habari za Siasa

Jecha aibuka, amtuhumu Maalim Seif kuiba kura

JECHA Salim Jecha, aliyekuwa mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), ameibuka upya. Safari hii anasema, aliyekuwa mgombea urais wa Zanzibar, katika uchaguzi...

Habari za Siasa

Rais Magufuli ahofia udukuzi nyaraka za Serikali

RAIS wa Tanzania, Dk. John Magufuli ameiagiza Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, kutoendesha shughuli zake kwa njia ya mtandao, ili kudhibiti...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Bagonza: Amani hailetwi kwa majeshi

ASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania  (KKKT), Dayosisi ya Karagwe mkoani Kagera, Dk. Benson Bagonza, amani hailetwi kwa majeshi, itikadi yoyote...

Habari za Siasa

Miradi inayofadhiliwa na China, yayumba Pakistan 

VURUGU za kisiasa, kukua kwa deni la nje na mlipuko wa ugonjwa wa COVID-19, vimesababisha kupunguza uwekezaji wa China nchini Pakistan, ambapo Beijing...

Habari za Siasa

Rais Mwinyi awasimamisha kazi vigogo Wizara ya Fedha

RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi amemsimamisha kazi, Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii visiwani humo(ZSSF), Sabra Issa Machano na watendaji...

Habari Mchanganyiko

Malalamiko wizi wa data, vifurushi yatua Serikalini

SERIKALI ya Tanzania imeagiza Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kuchunguza madai ya wananchi kuhusu wizi wa data na vifurushi, unaodaiwa kufanywa na baadhi...

Habari za Siasa

Rekodi  inayowaumiza Chadema

MWAKA 2020 unaelekea ukingoni, hata hivyo umeacha jambo ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Ndani ya...

Habari Mchanganyiko

Serikali kujenga Shule 1,000 za Sekondari

SERIKALI inatarajia kujenga shule mpya za Sekondari 1,000, kupitia Mradi wa Kuimarisha Elimu ya Sekondari (SEQUIP), ili kuondoa changamoto ya upungufu wa madarasa...

Habari Mchanganyiko

Waziri Majaliwa akagua ujenzi daraja la Salander, atoa maagizo

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amekagua ujenzi wa daraja jipya la Tanzanite (Salander), lililoko jijini Dar es Salaam. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari Mchanganyiko

Mo Salah aitikisa Liverpool

KAULI ya Mohamed Salah, mshambuliaji wa Klabu ya Liverpool kwamba, alifedheheshwa kwa kutopewa nafasi ya unahodha wakati wa mechi yao na Midtjylland, Klabu Bingwa...

Habari Mchanganyiko

Vituo vya afya vya serikali vyapewa tahadhari

VIONGOZI wa vituo vya huduma za afya vya umma, wametakiwa kuchukua tahadhari ya matumizi ya fedha kulingana na bajeti ya serikali. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Mahakama Rufaa yabatilisha hukumu ya Mwalimu kunyongwa

MAHAKAMA ya Rufani nchini, imezuia utekelezaji wa hukumu ya kunyongwa hadi kufa, iliyokuwa imetolewa kwa Mwalimu wa Shule ya Msingi Kibeta, iliyopo wilayani...

Habari Mchanganyiko

Kilichomtoa uhai Askofu Banzi chatajwa

CHANZO cha kifo cha Antony Banzi, aliyekuwa Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Tanga kimetejwa kuwa ni ugonjwa wa koo. Anaripoti Hamis Mguta, Dar es...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ampa mtihani mzito JPM

PROFESA Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), amekitaka Chama Cha Mapinduzi (CCM), kufuta mfumo wa vyama vingi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

ElimuHabari MchanganyikoTangulizi

Majina ya wanafunzi waliochaguliwa kidato cha kwanza haya hapa

ORODHA ya majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza Tanzania Bara kwa mwaka 2021 yametangazwa. Anaripoti Mwaindishi Wetu, Dodoma … (endelea)....

Kimataifa

Wavulana 344 waliotekwa Nigeria waokolewa

BAADHI ya vijana wa kiume 344 waliotekwa nyara na kundi la Boko Haram nchini Nigeria wameanza kuokolewa na vikosi vya usalama nchini humo. Inaripoti...

Habari Mchanganyiko

Rwanda yaridhishwa utendaji Bandari ya Dar es Salaam

SERIKALI ya Rwanda imeridhishwa na utoaji huduma katika Bandari ya Dar es Salaam nchini Tanzania na kuahidi kuendelea kuitumia bandari hiyo ambayo imekuwa...

Kimataifa

Corona yamuua Rais wa zamani Burundi

RAIS wa zamani wa Burundi, Pierre Buyoya (71) amefariki dunia akiwa jijini Paris nchini Ufaransa kwa ugonjwa wa COVID-19. Inaripoti mitandao ya Kimataifa...

Habari za Siasa

Majaliwa akagua ujenzi daraja la JPM, MV Mwanza

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amekagua ujenzi wa daraja la JPM lenye urefu wa kilomita 3.2 linalojengwa ziwa Victoria kwa gharama ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Gavana Sonko ang’olewa rasmi madarakani

BUNGE la Seneti nchini Kenya, limepiga kura kumuondoa malakani aliyekuwa Gavana wa Nairobi, Mike Mubuvi Sonko, kufutia kupatikana na matumizi mabaya ya ofisi. Anaripoti...

Habari za Siasa

Walionunua magari ya kifahari serikalini matumbo joto

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ametoa siku saba kwa katibu mkuu ofisi ya waziri mkuu, maofisa wanaochambua maombi ya ununuzi wa magari...

Habari za Siasa

Dk. Mwinyi: Sitofukua makaburi, lakini…

RAIS wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar (SUK), Dk. Hussein Mwinyi amesema, hatojali mtoto wa mtu katika maamuzi magumu atakayochukua ingawa hatofukua...

Habari MchanganyikoTangulizi

Jafo atangaza waliochaguliwa kidato cha kwanza 2021

SERIKALI ya Tanzania imesema, wanafunzi 759,706 sawa na asilimia 91.1 ya wanafunzi waliofaulu mtihani wa darasa la saba 2020, wamechaguliwa kujiunga na masomo ya...

Habari za Siasa

Rais Magufuli asifu baraza lake

SIKU saba baada ya mawaziri na manaibu waziri kuapishwa kutumikia nafasi hizo, Rais John Magufuli amewasifu kwamba wameanza kazi vizuri. Anaripoti Regina Mkonde,...

Habari za Siasa

Rais wa China alivyompigia simu Magufuli

RAIS wa China, Xi Jinping amempigia simu Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli na kuzungumza masuala mbalimbali ikiwemo kuimarisha zaidi uhusiano na ushirikiano...

Habari za Siasa

Rais Mwinyi aivunja bodi ya shirika la meli na uwakala

RAIS wa Zanzibar, Hussein Mwinyi amevunja Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Meli na Uwakala, Zanzibar. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …...

Habari za Siasa

Waziri Aweso awasimamisha watatu DDCA, atoa maagizo Dawasa

WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso amewasimamisha kazi watumishi watatu wa Wakala wa Uchimbani Visima (DDCA) kutokana na tuhuma za ubadhilifu na kuagiza uchunguzi...

Habari za Siasa

RC Chalamila: Tulipashwa kujipeleka polisi kufungwa

ALBART Chalamila, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya (RC) nchini Tanzania amesema, viongozi wa mkoa huo wamedhalilika kutokana na kumea kwa wizi wa dhahabu....

Habari za Siasa

Agizo la Magufuli lamng’oa kigogo wa madini

DOTTO Biteko, Waziri wa Madini nchini amemvua madaraka Paul Gagala, Mwenyekiti wa Soko la Madini Wilaya ya Chunya sambamba na kuwasimamisha kazi watumishi watatu...

Kimataifa

Waziri Mkuu Uswatini afariki dunia

WAZIRI Mkuu wa Uswatini, Ambrose Dlamini, amefariki dunia jana Jumapili tarehe 13 Desemba 2020, hospitalini nchini Afrika Kusini alikokuwa akipatiwa matibabu. Inaripoti Mitandao...

Habari

Dk. Kalemani aipa maagizo TANESCO

WAZIRI wa Nishati, Dk. Medard Kalemani ameliagiza Shirika la Umeme wa Ugavi nchini (TANESCO), kuhakikisha umeme haukatiki. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Pia amelitaka shirika...

Habari MchanganyikoTangulizi

Askofu Bagonza: Niko salama, nitawashtaki kwa Mungu

ASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe mkoani Kagera amesema, “mimi niko salama, naendelea na majukumu yangu kama...

Habari za Siasa

Diwani wa Chadema aliyeuwawa atunukiwa tuzo

ALIYEKUWA Diwani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika Kata ya Namwawala, jimbo la Mlimba, mkoani Morogoro, Godfrey Luena, ametunukiwa “Tuzo ya...

error: Content is protected !!