Friday , 19 April 2024
Home mwandishi
8670 Articles1239 Comments
Habari za Siasa

Mbunge ahoji alikozaliwa, zikwa Mwalimu Nyerere kukosa maji

  MBUNGE Viti Maalumu asiye na chama bungeni, Agnesta Lambart, amehoji lini Serikali itapeleka majisafi na salama katika Wilaya ya Butiama mkoani Mara,...

Habari za Siasa

Dk. Mpango kuendeleza miradi ya Magufuli

  MAKAMU wa Rais mteule wa Tanzania, Dk. Phillip Mpango, ameahidi kuiendeleza miradi ya aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati John Pombe Magufuli, ili...

Habari za Siasa

Spika Ndugai: Dk. Mpango amepoteza sifa ya ubunge, NEC…

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai ameitaarifu Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kuwa Jimbo la Buhigwe, mkoani Kigoma liko wazi...

Habari za Siasa

Dk. Mpango kuapishwa kesho Ikulu-Dodoma

  DAKTARI Philip Isdor Mpango, kesho Jumatano tarehe 31 Machi 2021, saa 9:00 alasiri, ataapishwa kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ampendekeza Dk. Mpango kuwa makamu wa Rais

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amempendekeza Dk. Philip Mpango kuwa Makamu wa Rais wa Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Jina hilo,...

Habari

Chadema kubadili msimamo Jimbo la Muhambwe? Mkosamali…

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kitaamua ndani ya saa 48, kuanzia leo Jumatatu, kama kitajitosa katika uchaguzi wa ubunge wa Muhambwe,...

Habari

Asasi za kiraia Tanzania zamwangukia Rais Samia

ASASI za kiraia (AZAKI) nchini Tanzania, zimeomba kukutana na Rais Samia Suluhu Hassan, kwa ajili ya kujadiliana nae masuala mbalimbali ikiwemo ufufuaji wa...

Kimataifa

Sarah Obama afariki dunia, kuzikwa leo

  SARAH Obama (99), Bibi wa Rais wa zamani wa Marekani, Barrack Obama, amefariki dunia leo Jumatatu tarehe 29 Machi 2021, katika Hospitali...

Habari Mchanganyiko

Mtangazaji ITV auwawa

  BLANDINA Sembu, Mtangazaji wa kipindi cha Jarida la Wanawake kinachorushwa na kituo cha runinga cha ITV, ameuawa na watu wasiojulikana. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Rais Samia amuibua Lissu

  HATUA ya Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kumsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Mhandisi Deusdedit Kakoko, ili...

Habari za Siasa

Maagizo ya JPM yamweka matatani Jafo, Rais Samia amtahadharisha

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemtaka Waziri Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Selemani Jafo kusema kama ameshindwa kudhibiti upotevu wa fedha kwenye wizara...

Habari Mchanganyiko

CAG: ATCL imetengeneza hasara ya bilioni 60

  SHIRIKA la Ndege Tanzania (ATCL), limetengeza hasara katika kipindi cha miaka mitano, ambapo mwaka huu, limetengeza hasara ya Sh. 60 bilioni. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia kupokea ripoti za CAG, Takukuru

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Jumapili tarehe 28 Machi 2021, atapokea taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za...

Habari

Mbatia: Ashauri Majaliwa ajiuzulu uwaziri mkuu

  JAMES Mbatia, Mwenyekiti wa chama cha upinzani cha NCCR-Mageuzi, ametoa ushauri kwa Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa kujiuzulu ili kumfanya Rais...

Habari za SiasaTangulizi

Mama Janeth Magufuli, ameonesha njia Ikulu

  JANETH, Mjane wa aliyekuwa Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli, amejiandikia historia yake. Haiba yake, haifanani na watangulizi wake, katika nafasi hiyo,...

Habari za Siasa

Mbatia amzungumzia Hayati Magufuli “alichangia harusi yangu”

  WAKATI maelfu ya wananchi wakishiriki mazishi ya aliyekuwa Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli, yaliyofanyika nyumbani kwao, Chato, mkoani Geita, viongozi mbambali...

Habari Mchanganyiko

Dawasa yatangaza upungufu wa maji

  MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (Dawasa), imetangaa saa 12 za upungufu wa huduma ya maji kwa wananchi...

Habari za Siasa

Mdee, Matiko walivyomzungumzia Hayati Magufuli

  WABUNGE viti maalumu, Halima Mdee na Esther Matiko wamemchambua aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dk. John Magufuli (61), wakisema alikuwa kiongozi wa...

Habari Mchanganyiko

Ujumbe alioacha Magufuli kwa Watanzania

  DAKTARI John Pombe Joseph Magufuli, amewaachia ujumbe Watanzania akiwataka wasitetereke na wamtumaini Mungu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Chato … (endelea). Dk. Magufuli, aliyekuwa...

Habari Mchanganyiko

Jinsi Magufuli alivyomuaga mama yake

  ALIYEKUWA Rais wa Tanzania, Hayati John Pombe Joseph Magufuli (61), alimuaga mama yake Suzan Magufuli, kwa kumuombea sala. Anaripoti Mwandishi Wetu, Chato...

Habari Mchanganyiko

Mama Janeth akabidhiwa bendera ya Tanzania

  JANETH, Mjane wa aliyekuwa Rais wa Tanania, John Pombe Joseph Magufuli, amekabidhiwa bendera ya Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu, Chato … (endelea). Bendera...

Habari Mchanganyiko

Mzee Mwinyi: Magufuli amefanya mambo yaliyotushinda watangulizi wake

  RAIS Mstaafu wa Tanzania, Mzee Ali Hassan Mwinyi amesema, Hayati Rais John Pombe Magufuli (61), atakumbukwa kwa utekelezaji wa masuala yaliyoshindwa kufanywa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Madaktari endeleeni kumhudumia Mama yake Magufuli

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema, madaktari wanaomhudumia Suzana, mama mzazi wa aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati John Pombe Magufuli, wataendelea...

Habari

Majaliwa: Madaktari endeleeni kumhudumia Mama yake Magufuli

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema, madaktari wanaomhudumia Suzana, mama mzazi wa aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati John Pombe Magufuli, wataendelea...

Habari

Mazishi ya Magufuli: Dk. Shein akumbusha machungu uchaguzi mkuu 2015

  RAIS Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein amesema, aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati John Pombe Magufuli (61), alikuwa...

Habari za SiasaTangulizi

Jenerali Mabeyo amhakikishia utii Rais Samia, kuitwa Amri Jeshi Mkuu

  VYOMBO vya ulinzi na usalama nchini Tanzania, vimemhakikishia ulinzi Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Spika Ndugai amkaribisha Rais Samia bungeni

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amemkaribisha bungeni, Rais mpya wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan. Anaripoti Mwandishi Wetu, Chato…(endelea). Spika Ndugai...

Habari za Siasa

Wazee Chato wamtwisha mzigo Rais Samia

  WAZEE wa Wilaya ya Chato, Mkoa wa Geita, wamemwomba Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kutekeleza ahadi waliyoahidiwa na Dk. John Pombe...

Habari Mchanganyiko

Askofu Nkwande amtahadharisha Rais Samia

  ASKOFU Mkuu wa Jimbo Katoliki la Mwanza, Renatus Nkwande ametahadharisha Taifa kuingia kwenye mapenzi ya jinsia moja – ushoga na usagaji. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Maaskofu 15, Mapadri 70 wamzika Magufuli

  MAASKOFU 15 na mapadri zaidi ya 70 wa Kanisa Katoliki, wanashiriki misa takatifu ya kumwombea Hayati John Pombe Joseph Magufuli. Anaripoti Regina...

Habari MchanganyikoTangulizi

Safari ya mwisho ya Hayati Magufuli Chato

  MWILI wa aliyekuwa Rais wa Tanzania, Dk. John Pombe Joseph Magufuli unazikwa leo Ijumaa tarehe 26 Machi 2021, katika makaburi ya nyumbani...

Habari za SiasaTangulizi

Mwili wa Hayati Magufuli kuzikwa leo, Rais Samia atoa shukrani

  WAKATI mwili wa Hayati John Pombe Joseph Magufuli, ukizikwa leo Ijumaa tarehe 26 Machi 2021, nyumbani kwao, Chato mkoani Geita, Rais wa...

Habari za Siasa

Zitto akumbushia sakata la Nape, yeye amjibu

  KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, ameliibua upya sakata la aliyekuwa waziri wa habari, utamaduni, sanaa na michezo, Nape Nnauye, kunyooshewa...

Habari za SiasaTangulizi

Z’bar wamtaka Rais Mwinyi aongoze kama Magufuli

  MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amesema, vijana wengi visiwani humo, wanataka Serikali ya Rais Hussein Mwinyi, iongoze...

Habari MchanganyikoTangulizi

Saa 48 za mwili wa Magufuli Chato

  WANANCHI wa Chato, mkoani Geita leo Alhamisi tarehe 25 Machi 2021, watauaga mwili wa mpendwa wao, Dk. John Pombe Joseph Magufuli. Anaripoti...

Habari MchanganyikoTangulizi

Chato walivyoupokea mwili wa Magufuli, kulazwa kwake

  MWILI wa aliyekuwa Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli, umewasili nyumbani kwao, Chato Mkoa wa Geita ukitokea Mwanza. Anaripoti Mwandishi Wetu, Chato...

Habari Mchanganyiko

Mwili wa Magufuli wasimamishwa ukweni kwake

  MSAFARA wenye mwili wa aliyekuwa Rais wa Tanzania, John Pombe Joseph Magufuli, umesimamishwa nyumbani kwa mke wake, Janeth eneo la Sengerema mkoani...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Dk. Magufuli ameacha alama hadi vijijini

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema, aliyekuwa Rais wa Tanzania Hayati John Pombe Magufuli, alikuwa kiongozi mahiri na ameacha alama Taifa...

Habari za Siasa

Zitto atoa sharti kumuunga mkono Rais Samia

  KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema, yuko tayari kumuunga mkono Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, endapo serikali yake itahakikisha...

Habari MchanganyikoTangulizi

Magufuli aisimamisha Mwanza, mwili wazungushwa mara 5 uwanjani

  MWILI wa Dk. John Pombe Magufuli, aliyekuwa Rais wa Tanzania, umezungushwa mara tano, ndani ya Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza. Anaripoti...

Habari MchanganyikoTangulizi

Tukio la Adhana: Uhuru awakosha Waislam Kenya

  BARAZA la Waislam la Kenya (SUPKEM), limempongeza Rais Uhuru Kenyatta wa nchi hiyo, kwa kusimamisha hotuba yake wakati Adhana iliposomwa. Anaripoti Mwandishi...

HabariTangulizi

Mwili wa Magufuli wapokea kishujaa Mwanza

  NYUMBANI ni nyumbani. Hivi ndivyo unaweza kuelezea, jinsi wakazi wa Jiji la Mwanza na maeneo jirani wameupokea kishujaa mwili wa Dk. John...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Mwinyi: Tumempoteza mtetezi wa wanyonge

  RAIS wa Zanzibar na Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Mwinyi amesema, Bara la Afrika limepoteza kiongozi mwanamapinduzi, kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais...

Habari Mchanganyiko

Mwili wa Magufuli kulazwa Ikulu Zanzibar

  MWILI wa aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati John Magufuli (61) utalazwa katika Ikulu ya Zanzibar, kisha kesho tarehe 24 Machi 2021, utasafirishwa...

Habari za SiasaTangulizi

Mwili Magufuli wawasili Z’bar, Uwanja wa Aman wafurika

  WANANCHI wa Zanzibar, wamejitokeza kwa wingi kuuaga mwili wa aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati John Pombe Magufuli, aliyefariki dunia tarehe 17 Machi...

Habari

Jinsi mkasa wa wanafamilia 5 kufa wakimuaja JPM ulivyokuwa

SAFARI ya miaka 10 ya ndoa ya Suzana Ndaga Mtuwa na Denis Mtuwa iliyofungwa katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT), Kimara jijini...

HabariTangulizi

Marais tisa wamuaga Dk. Magufuli

  MARAIS tisa katika nchi za Bara la Afrika, wameshiriki shughuli ya kitaifa ya mazishi ya aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati John Pombe...

Habari za Siasa

CCM yamkingia kifua Rais Samia

  CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimewatoa wasiwasi wanachama wake kwa ujumla kikisema mambo yatakwenda kama yalivyopangwa chini ya Rais...

Burudika

Kifo cha Magufuli, Majaliwa awashukuru wasanii

  WAZIRI mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa amewashukuru na kuwapongeza wasanii wote nchini waliojitoa kutunga nyimbo mbali mbali za...

error: Content is protected !!