VIKOSI vya usalama vimeimarisha ulinzi kila mahali, waombolezaji na watu mbalimbali wanaingia kwa kutumia mlango mmoja. Anaripoti Mwandishi Wetu Kila anayeingia eneo...
By Mwandishi WetuMarch 20, 2021MARA baada ya kuapishwa kuwa Rais wa sita wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, klabu mbalimbali za Ligi Kuu soka Tanzania Bara...
By Mwandishi WetuMarch 19, 2021MWENYEKITI wa chama kikuu cha upinzani Tanzania- Chadema, Freeman Mbowe amemtumia salamu Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan kufuatilia kifo cha Rais...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2021MKUU huyo wa mkoa wa Mbeya amesema, maombi hayo yatafanyika kesho Ijumaa tarehe 19 Machi 2021, katika Viwanja vya Sokoine jijini Mbeya....
By Mwandishi WetuMarch 18, 2021RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ametoa salamu za rambirambi kwa Mama Janeth Magufuli, familia...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2021CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimeitisha kikao cha dharula cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu, kufuatia kifo cha aliyekuwa...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2021RAIS wa Rwanda, Paul Kagame amesema, mchango uliotolewa na aliyekuwa Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli (61) kwa taifa hilo “hauwezi kusahaulika.”...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2021KUFUATIA kifo cha Rais wa Tanzania, Dk. John Magufuli, kilichotokea tarehe 17 Machi 2021 katika Hospitali ya Mzena jijini Dar es Salaam,...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2021DK. John Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, amehitimisha safari ya miaka 61 ya maisha yake hapa duniani. Anaripoti...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2021TIMU ya Simba ya Dar es Salaam, imeomboleza kifo cha Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli, kilichotokea jana Jumatano tarehe 17 Machi...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2021RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli, amefariki dunia jana Jumatano, tarehe 17 Machi 2021, saa 12:00, katika Hospitali ya Mzena, jijini Dar...
By Mwandishi WetuMarch 18, 2021NDIYO hivyo. Kikosi cha Namungo FC kimepoteza mchezo wa pili wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Pyramids kutoka nchini Misri kwa...
By Mwandishi WetuMarch 17, 2021MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassani amekitaka Chama Cha Mapinduzi (CCM), kusaidia serikali katika utekelezaji wa majukumu yake. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuMarch 17, 2021WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso ameonya tabia ya watumishi wa mamlaka za maji kuwabambikia bili za maji wananchi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Tanga …...
By Mwandishi WetuMarch 17, 2021KATI ya raia wanane walioshambuliwa na kupoteza maisha Atlanta, Georgia nchini Marekani, sita ni Wamarekani wenye asili ya Asia. Inaripoti mitandao ya...
By Mwandishi WetuMarch 17, 2021WANACHAMA watatu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamejitosa kusaka nafasi ya kukaimu nafasi ya mwenyekiti wa Baraza la Wanawane la...
By Mwandishi WetuMarch 17, 2021MAHAKAMA ya Wilaya ya Babati, mkoani Manayara, imemhukumu kifungo cha miezi mitatu jela au kulipa faini ya Sh.600,000, Silvester Kayani, Afisa Uhamiaji...
By Mwandishi WetuMarch 17, 2021SERIKALI ya Tanzania, amewaagiza wenye viwanda nchini humo, kuajiri wataalamu wa mazingira ili kukidhi matakwa ya kisheria. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Agizo hilo,...
By Mwandishi WetuMarch 16, 2021IDARA ya Uhamiaji nchini Tanzania imeeleza, ili mtu yeyote aweze kupewa hati ya kusafiria (paspoti), ni lazima awe na kusudio la kusafiri. Anaandika...
By Mwandishi WetuMarch 16, 2021SERIKALI na jamii wametakiwa kuhakikisha wanatenga bajeti yenye mlengo wa kijinsia, ili kutokomeza ukatili wa kijinsia. Anaandika Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea)....
By Mwandishi WetuMarch 16, 2021ZITTO Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, amesema kauli ya Mama Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Rais wa Tanzania na Waziri Mkuu,...
By Mwandishi WetuMarch 16, 2021WANAMGAMBO wa kundi la Al shabab wanatajwa kuchinja watoto kadhaa katika Mkoa wa Cabo Delgado, nchini Msumbiji. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa …...
By Mwandishi WetuMarch 16, 2021ALBER Chalamila, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya amesema, serikali haitaondoa bajaji wala pikipiki (bodaboda), kufanya biashara ya kusafirisha abiria katika barabara kuu....
By Mwandishi WetuMarch 15, 2021CHAMA cha upinzani nchini Tanzania – NCCR-Mageuzi – kimekoleza moto katika mjadala unaohusu mahali alipo Rais John Pombe Magufuli. Anaripoti Matrida Peter Dar...
By Mwandishi WetuMarch 14, 2021SERIKALI ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), imeahirisha kampeni ya kutoa chanjo ya AstraZeneca, ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya...
By Mwandishi WetuMarch 14, 2021KIONGOZI wa chama cha upinzani nchini Kenya cha Orange Democratic Movement (ODM), Raila Odinga, ameruhusiwa kutoka Hospitali ya Nairobi, alipokuwa amelazwa baada...
By Mwandishi WetuMarch 14, 2021WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima amewahimiza Watanzania kula lishe bora. Anaripoti Mwandishi Wetu, Katavi…(endelea)....
By Mwandishi WetuMarch 13, 2021JESHI la Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Dar es Salaam linamsaka mwanaharakati anayejiita jina la Kigogo katika mtandao wa Twitter. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Mwandishi WetuMarch 13, 2021DAKTARI Faustine Ndungulile, Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, ameitaka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kuthibiti ubora wa vifaa vya kielektroniki...
By Mwandishi WetuMarch 13, 2021SERIKALI ya Kenya, imepoteza jumla ya Ksh. 560 Bilioni (zaidi ya Tsh. 11 trilioni), tangu ilipokumbwa na mlipuko wa uonjwa wa corona...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2021CHAMA cha Demokrasia na Mandeleo (Chadema), kimeitaka serikali ya Tanzania kuvuja ukimya juu ya mahali alipo Rais John Magufuli. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2021MKUU wa Mkoa wa Mbeya (RC), Albert Chalamika amesema, Rais wa Tanzania, John Magufuli yuko salama na anaendelea na majukumu yake kama...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2021WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Phillip Mpango amesema, serikali iko mbioni kukamilisha utafiti kuhusu mwitikio mdogo wa walipakodi, kusajili biashara na uwazi...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2021SHULE ya Sekondari ya Kome, iliyopo Buchosa, Wilaya ya Sengerema, Mkoani Mwanza, iliyokuwa ikishika nafasi ya mwisho kwa matokeo mabovu ya katika...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2021KIONGOZI wa chama cha upinzani nchini Kenya cha ODM, Raila Odinga amepimwa na kukutwa na maambukvirusi vya corona (COVID-19). Anaripoti Mwandishi Wetu...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2021KATIBU Mkuu Kiongozi (CS) wa Tanzania, Dk. Bashiru Ally, ameibua utata mpya wa kisheria, kufuatia kuendelea kuhudumu katika wadhifa wake wa katibu...
By Mwandishi WetuMarch 10, 2021MAHAKAMA nchini Ujerumani, imemhukumu kifungo cha miaka minne na nusu gerezani, afisa wa zamani wa Idara ya Usalama wa taifa wa Syria....
By Mwandishi WetuMarch 10, 2021RAILA Odinga, kiongozi wa chama cha upinzani cha ODM, amefikishwa katika Hospitali ya Nairobi, Kenya na kuchukuliwa vipimo vya corona (COVID-19). Umeeleza...
By Mwandishi WetuMarch 10, 2021MKURUGENZI wa Itifaki na Mawasiliano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania John Mrema amesema, “mimi ni mzima wa afya.”...
By Mwandishi WetuMarch 10, 2021UJENZI wa reli ya kisasa ya (SGR), kutoka Mwanza kwenda Isaka, nchini Tanzania, unatarajiwa kuanza muda wowote kuanzia sasa. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Mwandishi WetuMarch 10, 2021TAASISI ya Munazzamat Dawa Al Islamiya (MDI) inayomiliki Shule ya Sekondari ya Kiislam ya Wasichana Kunduchi (Kunduchi Girls), inachunguzwa kwa tuhuma za...
By Mwandishi WetuMarch 9, 2021HALI ya wasiwasi nchini Senegal, imezidi kutanda baada ya Ousmane Sonko (46), kiongozi wa upinzani kutuhumiwa kubaka. Mtandao wa Aljazeera unaripoti …...
By Mwandishi WetuMarch 9, 2021BAADHI ya watu wanaokwenda kuzuru kaburi la Maalim Seif Sharif Hamad (77), aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, wanadaiwa kuchota mchanga...
By Mwandishi WetuMarch 9, 2021SERIKALI ya Tanzania, imeitaka Kenya kuacha upotoshaji kwamba mahindi ya Tanzania hayafai kwa matumizi ya binadamu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...
By Mwandishi WetuMarch 9, 2021MAHAMADOU Issoufou, Rais Mstaafu wa Niger, ametunukiwa tuzo ya Mo Ibrahimu inayoonesha Ufanisi katika Uongozi kwa Afrika. Inaripoti mitandao ya kimataifa…(endelea). Rais Issoufou...
By Mwandishi WetuMarch 9, 2021ZIARA ya siku nne ya Papa Francis, Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, nchini Iraq, zimehitimishwa leo Jumatatu tarehe 8 Machi 2021, huku...
By Mwandishi WetuMarch 8, 2021“NAOMBA unipeleke hospitali, nimechomwa kisu,” ni kauli ya kwanza ya Agatha Yohane Mbalalila (50), mtawa wa huduma katika Kituo cha Nazaret, Ifakara...
By Mwandishi WetuMarch 8, 2021KANDA ya video inayoonesha wakazi wa Bukavu, Kivu katika nchi ya Jamhuri ya Kidemokraia ya Kongo (DRC), wakiokota vipande vya dhabau, imesambaa...
By Mwandishi WetuMarch 7, 2021MANSOUR Yusuf Himid (53), mmoja wa wanasiasa machachari visiwani Zanzibar, ndiye aliyekuwa chaguo la kwanza la Maalim Seif Sharif Hamad, kutaka kurithi...
By Mwandishi WetuMarch 7, 2021CHAMA cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (Taboa), kimetoa siku tatu kwa mamlaka zinazohusika na mfumo wa mashine za kukatia tiketi kwa njia...
By Mwandishi WetuMarch 6, 2021