Saturday , 20 April 2024
Home mwandishi
8680 Articles1237 Comments
Habari Mchanganyiko

Kodi ya mitandao ya simu ‘Mshikamano’ yazua mjadala

  KODI ya mitandao ya simu imeibua mjadala, baada ya kupingwa kila kona na baadhi ya watu, kwa maelezo kwamba itaumiza wananchi hasa...

Habari za SiasaTangulizi

Jaji Warioba akosoa viongozi kuingilia mikutano ya Rais Samia

  JOSEPH Sinde Warioba, Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania, amewataka viongozi kujenga utamaduni wa kusikiliza kero za wananchi wanapokwenda kwenye mikutano mbalimbali. Anaripoti...

Kimataifa

Ghasia za wafuasi wa Zuma zatishia usalama wagonjwa Covid-19

  USALAMA wa maisha ya wagonjwa wa homa kali ya mapafu, inayosababishwa na Virusi vya Corona (Covid-19), Afrika Kusini, uko rehani kufuatia ghasia...

Habari za SiasaTangulizi

Mdee na wenzake wajisalimisha kwa msajili

  ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Halima Mdee na wenzake 18, wametinga katika Ofisi ya...

AfyaHabari Mchanganyiko

COVID-19: The Legacy kugawa matenki ya maji shule K’ndoni

  WAKATI dunia ikiendeleza mapambano dhidi ya maambukizi ya virusi vya corona (COVID-19), Taasisi ya My Legacy nchini Tanzania, imetoa wito kwa wananchi...

Michezo

Bocco, Dube na Mugalu waingia kwenye Ligi Mpya

  KUFUATIA klabu ya Simba kutangazwa kuwa mabingwa wapya wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2020/21, washambuliaji Prince Dube wa Azam FC,...

Kimataifa

Mke wa rais aukataa mshahara kukwepa gubu la wananchi

  REBECCA Akufo-Ado, mke wa Rais wa Ghana, Nana Akufo-Ado, amegoma kupokea mshahara wa Dola za Marekani 3,500 (Sh. 8.1 milioni) kila mwezi,...

ElimuTangulizi

Mtaka akaidi agizo la Prof. Ndalichako hadharani

  MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Anthony Mtaka, amekaidi kutii agizo la Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako, la kuzuia...

Habari Mchanganyiko

NMB yachangia maendeleo Z’bar, Rais Mwinyi atoa neno

  RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameipongeza Benki ya NMB kwa kuchangia maendeleo visiwani humo....

Habari Mchanganyiko

Wanaotiririsha majitaka Mabibo wapewa siku 7

  MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) na Manispaa ya Ubungo, wametoa siku saba kwa wananchi wanaotiririsha majitaka...

Kimataifa

Jeshi kukabiliana na wafuasi wa Zuma

  SERIKALI ya Afrika Kusini imelazimika kuingiza Jeshi mtaani, ili kutuliza ghasia zilizoanzishwa na wafuasi wa rais mstaafu wa nchi hiyo, Jacob Zuma...

Habari Mchanganyiko

Mufti Zubeir: Eid El-Adh’aa Julai 21

  MUFTI wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir amesema, Sikukuu ya Eid El-Adh’haa itakuwa Jumatano ijayo tarehe 21 Julai 2021. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari za Siasa

TLS: Mjadala katiba mpya hauwezi kufa

  CHAMA cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), kimemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, aunde kamati ya kushughulikia marekebisho ya katiba, ili kutimiza dhumuni la...

Kimataifa

Kinara mauaji Rais wa Haiti adakwa

  CHRISTIAN Emmanuel Sanon (63), anayedaiwa kusuka mikakati ya mauaji ya aliyekuwa Rais wa Haiti, Jovenel Moise (53), amedakwa na Jeshi la Polisi...

Habari za Siasa

Rais Samia ateta kimtandao na bosi EU

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amezungumza kwa njia ya mtandao na Rais wa Baraza la Umoja wa Ulaya, Charles Michel. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Simbachawene: Jeshi la Zimamoto semeni matatizo yenu

  WAZIRI wa Mambo ya Ndani wa Tanzania, George Simbachawene, amelitaka Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, kueleza changamoto zinazokwamisha utekelezaji majukumu yake mapema,...

Kimataifa

Wafariki dunia wakijipiga ‘Selfie’ kwenye radi

  WATU 16 nchini India, wamefariki dunia kwa kupigwa na radi, wakati wakijipiga picha ‘Selfie’. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Kwa mujibu...

Habari za Siasa

Chongolo aagiza wanaCCM kushirikia vikao vya mashina

  KATIBU Mkuu wa chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo amewataka wanachama wa chama hicho, kuhakikisha wanahudhuria vikao vya...

Kimataifa

Mjane wa Rais Haiti ashtumu mauaji ya mmewe

  MARTINE, mjane wa Rais aliyeuawa wa Haiti, Jovenel Moise ameshutumu mauaji ya mumewe kwa kusema maadui walilenga kusitisha mabadiliko ya demokrasia. Inaripoti...

Habari Mchanganyiko

NMB yaanzisha utaratibu kuweka akiba

  BENKI ya NMB imeanzisha huduma maalum kwa wateja wao kujiwekea akiba kila wanapofanya mialama. Anaipoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Diallo aufyata, aomba radhi

  MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Mwanza, Dk. Anthony Diallo ameomba radhi ‘kiaina’ baada ya kauli yake kuzua mjadala ndani...

Habari za Siasa

Chadema, kina mdee vitani tena

  MKAKATI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania, kuwang’oa bungeni, waliokuwa wanachama wake 19, wakiongozwa na Halima James Mdee, umegeuka...

Habari za Siasa

CCM yawaweka kikaangano mawaziri sita

  KATIBU Mkuu wa chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo amesema, chama hicho kitaita mawaziri sita ili kujiridhisha juu...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia aagiza uchunguzi moto shule za dini

  SAMIA Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania ameviagiza vyombo vya ulinzi na usalama kwa kushirikiana na Jumuiya za Kiislamu Tanzania kutafuta chanzo cha...

Habari MchanganyikoTangulizi

Majaliwa akagua moto soko la Kariakoo, atoa siku 7

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kaasim Majaliwa ameipa siku saba za awali tume aliyoiunda kuchunguza chanzo cha moto katika soko la kimataifa la...

MichezoTangulizi

Argentina yaipiga Brazil, Messi ampiku Neymar

  HATIMAYE Lionel Messi wa Argentina, amenyakua taji la ubingwa wa kwanza la Copa America, akiwa na timu ya Taifa, baada ya kuifunga...

Habari Mchanganyiko

Haya hapa matokeo kidato cha sita, ualimu 2021

  BARAZA la Mitihani Tanzania (NACTE), limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha sita na ualimu, iliyofanyika Mei 2021. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari Mchanganyiko

Ongezeko wagonjwa wa Covid-19: Ma-RC, DC wapewa maagizo

  SERIKALI imewaagiza wakuu wa mikoa (RC) na wa wilaya (DC), waandae mikakati ya kudhibiti maambukizi ya wimbi la tatu, la ugonjwa wa...

Habari Mchanganyiko

Baraza la NGO’s lapata viongozi wapya, wakabidhiwa majukumu

  BARAZA la Taifa la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NACONGO), limepata viongozi wapya kupitia uchaguzi wake uliofanyika jana tarehe 8 Julai 2021, jijini...

Kimataifa

Jacob Zuma asotea dhamana

  MAHAKAMA Kuu nchini Afrika Kusini, imetupilia mbali maombi ya dhamana ya aliyekuwa Rais wa Taifa hilo, Jacob Zuma, anayetumikia kifungo cha miezi...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe apata pigo, kaka yake afariki kwa Covid-19

  MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amepata pigo baada ya kuondokewa na kaka yake, Charles Mbowe, aliyefariki dunia...

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia: Hatutarudi nyuma kudai katiba mpya

  MWENYEKITI wa Chama cha siasa cha upinzani nchini Tanzania- NCCR-Mageuzi, James Mbatia, amesema chama chake hakitarudi nyuma katika harakati za kudai Katiba...

Kimataifa

Jacob Zuma wa Afrika Kusini ajisalimisha gerezani

  JACOB Zuma (79), Aliyekuwa Rais wa Afrika Kusini, ameanza kutumikia kifungo cha miezi 15 gerezani. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …...

Tangulizi

Rais Samia: Ni vibaya kutumia dini kufanya siasa

  SAMIA Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania, amewaomba viongozi wa dini nchini humo, kutokutumia nafasi zao kufanya siasa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Morogoro…(endelea). Rais...

Habari za Siasa

Chongolo awataka wabunge CCM kurudi majimboni

  KATIBU Mkuu wa chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo amewaagiza wabunge wote wa Bunge wa chama hicho, kurejea...

Habari za Siasa

Rais Samia: Vichokochoko vimeanza, msiingizwe mkenge

  SAMIA Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania, amewataka wananchi kudumisha amani na kuwaepuka walioanzisha “vichokochoko” kuwapuuza kwani hawawatakii mema. Anaripoti Mwandishi Wetu, Morogoro...

Habari Mchanganyiko

Morogoro walilia jiji

  MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Martin Shigella, amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, aipandishe hadhi Manispaa ya Morogoro, ili iwe jiji. Anaripoti Mwandishi...

AfyaHabari Mchanganyiko

Rais Samia: Wimbi la tatu corona lipo Tanzania, Dar na Arusha…..

  SAMIA Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania amesema, wimbi la tatu la maambukizi ya virusi vya corona (COVID-19), limetua nchini humo. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa awa mbogo Tanzania kupigwa ‘bao’ uzalishaji Tanzanite

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, imeagiza Wizara ya Madini, ihakikishe taratibu za uuzaji madini ya Tanzanite, zinafanyika katika mgodi unaozalisha madini hayo, ili...

Kimataifa

Rais wa Haiti auawa katika shambulio

  JOVENEL Moise (53), Rais wa Haiti ameuawa leo Jumatano, tarehe 7 Julai 2021, katika shambulio akiwa katika makazi yake. Inaripoti mitandao ya...

Habari Mchanganyiko

Benki ya Dunia kuipa mabilioni tume ya umwagilijia kanda kaskazini

  BENKI ya Dunia (WB), imekubali kuipatia Serikali ya Tanzania, kiasi cha Sh. 108 bilioni, Tume ya Taifa ya Umwagiliaji Kanda ya Kaskazini....

Health

Covid-19: Uhaba mitungi ya Oxygen washtua watu, Zitto aiamsha Serikali

  TAARIFA ya upungufu wa mitungi ya kuhifadhia hewa ya Oksijeni ‘Oxygen’, jijini Mwanza,kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa wenye matatizo ya upumuaji, ikiwemo...

Habari za SiasaKimataifa

Rais Samia amwalika Rais wa Marekani

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemwalika Rais wa Marekani, Joseph Biden kutembelea nchini humo ili kuzidi kuimarisha uhusino uliopo kati ya...

Habari za Siasa

Kiongozi Uamsho apata kigugumizi suala la katiba mpya

  KIONGOZI wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI), Mselem Ali Mselem amesema hatoweza kujitosa katika mjadala wa Katiba mpya,...

Habari za Siasa

Askofu Bagonza aingilia kati mjadala Katiba mpya

  ASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe mkoani Kagera, Dk. Benson Bagonza, amewashauri watu wanaotaka au kupinga...

Michezo

Azam FC yashusha kifaa kutoka Zambia

  KLABU ya soka ya Azam FC, imekamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji, Charles Zulu raia wa Zambia, aliyekuwa anakipiga kwenye klabu ya Cape...

Makala & Uchambuzi

Malipo vipimo Covid-19 Tanzania, iwe huduma na siyo fursa

  NI takribani mwaka na nusu sasa, dunia inateseka kutokana na ugonjwa wa Covid-19, ambao historia inaonesha ulianzia katika mji wa Wuhan nchini...

Kimataifa

Mazishi ya TB Joshua kufanyika siku 7

  MWILI wa aliyekuwa Muasisi wa Kanisa la Synagogue Church of All Nations (SCOAN), Temitope Balogun Joshua ‘TB Joshua’ (57), unatarajiwa kuzikwa Jumapili...

Habari Mchanganyiko

Wenye maduka ya fedha wacharuka

  WAMILIKI wa maduka ya kubadilishia fedha ambao walikuwa wakisubiri kwa hamu majibu ya Bunge kuhusu hatima ya mali na mabilioni ya fedha...

Kimataifa

Wafuasi wa Zuma wamkingia kifua asipelekwe gerezani

  WAFUASI wa rais wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, wamezingira nyumba yake ili kuzuia kiongozi huyo asikamatwe. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa...

error: Content is protected !!