Thursday , 28 March 2024
Home mwandishi
8556 Articles1223 Comments
Habari MchanganyikoTangulizi

Majaliwa akagua moto soko la Kariakoo, atoa siku 7

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kaasim Majaliwa ameipa siku saba za awali tume aliyoiunda kuchunguza chanzo cha moto katika soko la kimataifa la...

MichezoTangulizi

Argentina yaipiga Brazil, Messi ampiku Neymar

  HATIMAYE Lionel Messi wa Argentina, amenyakua taji la ubingwa wa kwanza la Copa America, akiwa na timu ya Taifa, baada ya kuifunga...

Habari Mchanganyiko

Haya hapa matokeo kidato cha sita, ualimu 2021

  BARAZA la Mitihani Tanzania (NACTE), limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha sita na ualimu, iliyofanyika Mei 2021. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari Mchanganyiko

Ongezeko wagonjwa wa Covid-19: Ma-RC, DC wapewa maagizo

  SERIKALI imewaagiza wakuu wa mikoa (RC) na wa wilaya (DC), waandae mikakati ya kudhibiti maambukizi ya wimbi la tatu, la ugonjwa wa...

Habari Mchanganyiko

Baraza la NGO’s lapata viongozi wapya, wakabidhiwa majukumu

  BARAZA la Taifa la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NACONGO), limepata viongozi wapya kupitia uchaguzi wake uliofanyika jana tarehe 8 Julai 2021, jijini...

Kimataifa

Jacob Zuma asotea dhamana

  MAHAKAMA Kuu nchini Afrika Kusini, imetupilia mbali maombi ya dhamana ya aliyekuwa Rais wa Taifa hilo, Jacob Zuma, anayetumikia kifungo cha miezi...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe apata pigo, kaka yake afariki kwa Covid-19

  MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amepata pigo baada ya kuondokewa na kaka yake, Charles Mbowe, aliyefariki dunia...

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia: Hatutarudi nyuma kudai katiba mpya

  MWENYEKITI wa Chama cha siasa cha upinzani nchini Tanzania- NCCR-Mageuzi, James Mbatia, amesema chama chake hakitarudi nyuma katika harakati za kudai Katiba...

Kimataifa

Jacob Zuma wa Afrika Kusini ajisalimisha gerezani

  JACOB Zuma (79), Aliyekuwa Rais wa Afrika Kusini, ameanza kutumikia kifungo cha miezi 15 gerezani. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …...

Tangulizi

Rais Samia: Ni vibaya kutumia dini kufanya siasa

  SAMIA Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania, amewaomba viongozi wa dini nchini humo, kutokutumia nafasi zao kufanya siasa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Morogoro…(endelea). Rais...

Habari za Siasa

Chongolo awataka wabunge CCM kurudi majimboni

  KATIBU Mkuu wa chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo amewaagiza wabunge wote wa Bunge wa chama hicho, kurejea...

Habari za Siasa

Rais Samia: Vichokochoko vimeanza, msiingizwe mkenge

  SAMIA Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania, amewataka wananchi kudumisha amani na kuwaepuka walioanzisha “vichokochoko” kuwapuuza kwani hawawatakii mema. Anaripoti Mwandishi Wetu, Morogoro...

Habari Mchanganyiko

Morogoro walilia jiji

  MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Martin Shigella, amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, aipandishe hadhi Manispaa ya Morogoro, ili iwe jiji. Anaripoti Mwandishi...

AfyaHabari Mchanganyiko

Rais Samia: Wimbi la tatu corona lipo Tanzania, Dar na Arusha…..

  SAMIA Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania amesema, wimbi la tatu la maambukizi ya virusi vya corona (COVID-19), limetua nchini humo. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa awa mbogo Tanzania kupigwa ‘bao’ uzalishaji Tanzanite

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, imeagiza Wizara ya Madini, ihakikishe taratibu za uuzaji madini ya Tanzanite, zinafanyika katika mgodi unaozalisha madini hayo, ili...

Kimataifa

Rais wa Haiti auawa katika shambulio

  JOVENEL Moise (53), Rais wa Haiti ameuawa leo Jumatano, tarehe 7 Julai 2021, katika shambulio akiwa katika makazi yake. Inaripoti mitandao ya...

Habari Mchanganyiko

Benki ya Dunia kuipa mabilioni tume ya umwagilijia kanda kaskazini

  BENKI ya Dunia (WB), imekubali kuipatia Serikali ya Tanzania, kiasi cha Sh. 108 bilioni, Tume ya Taifa ya Umwagiliaji Kanda ya Kaskazini....

Health

Covid-19: Uhaba mitungi ya Oxygen washtua watu, Zitto aiamsha Serikali

  TAARIFA ya upungufu wa mitungi ya kuhifadhia hewa ya Oksijeni ‘Oxygen’, jijini Mwanza,kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa wenye matatizo ya upumuaji, ikiwemo...

Habari za SiasaKimataifa

Rais Samia amwalika Rais wa Marekani

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemwalika Rais wa Marekani, Joseph Biden kutembelea nchini humo ili kuzidi kuimarisha uhusino uliopo kati ya...

Habari za Siasa

Kiongozi Uamsho apata kigugumizi suala la katiba mpya

  KIONGOZI wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI), Mselem Ali Mselem amesema hatoweza kujitosa katika mjadala wa Katiba mpya,...

Habari za Siasa

Askofu Bagonza aingilia kati mjadala Katiba mpya

  ASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe mkoani Kagera, Dk. Benson Bagonza, amewashauri watu wanaotaka au kupinga...

Michezo

Azam FC yashusha kifaa kutoka Zambia

  KLABU ya soka ya Azam FC, imekamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji, Charles Zulu raia wa Zambia, aliyekuwa anakipiga kwenye klabu ya Cape...

Makala & Uchambuzi

Malipo vipimo Covid-19 Tanzania, iwe huduma na siyo fursa

  NI takribani mwaka na nusu sasa, dunia inateseka kutokana na ugonjwa wa Covid-19, ambao historia inaonesha ulianzia katika mji wa Wuhan nchini...

Kimataifa

Mazishi ya TB Joshua kufanyika siku 7

  MWILI wa aliyekuwa Muasisi wa Kanisa la Synagogue Church of All Nations (SCOAN), Temitope Balogun Joshua ‘TB Joshua’ (57), unatarajiwa kuzikwa Jumapili...

Habari Mchanganyiko

Wenye maduka ya fedha wacharuka

  WAMILIKI wa maduka ya kubadilishia fedha ambao walikuwa wakisubiri kwa hamu majibu ya Bunge kuhusu hatima ya mali na mabilioni ya fedha...

Kimataifa

Wafuasi wa Zuma wamkingia kifua asipelekwe gerezani

  WAFUASI wa rais wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, wamezingira nyumba yake ili kuzuia kiongozi huyo asikamatwe. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa...

Habari za Siasa

Chadema wamkalia kooni Rais Samia

  BAADA ya Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bavicha), kuanza harakati za kudai katiba mpya, Baraza la Wanawake la...

AfyaHabari Mchanganyiko

Mabilioni yamwagwa taasisi za utafiti Tanzania

  SERIKALI ya Tanzania, kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imetoa zaidi ya shilingi bilioni tatu kwa taasisi mbalimbali zinazofanya utafiti katika...

Habari za Siasa

IGP Sirro awapa kibarua wenyeviti, watendaji Serikali za Mitaa

  INSPEKTA Jenerali wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amewataka wenyeviti na watendaji wa Serikali za Mitaa, kuibua vitendo vya uhalifu...

Habari Mchanganyiko

Simbachawene : Serikali imewadhibiti  majambazi 

  WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, amesema Jeshi la Polisi limefanikiwa kudhibiti vitendo vya uhalifu wa kutumia silaha ‘ujambazi’...

Michezo

TEF yamuonya Manara, kuisusia Simba

  JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), wameutaka uongozi wa Klabu ya Simba umwonye, msemaji wake, Haji Manara kwa udhalilishaji alioufanya dhidi ya Mwandishi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia: Tuishi kwa kuacha alama

  SAMIA Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania, amewataka wananchi kila mmoja kwenye nafasi yake, kuhakikisha anatumia muda alionao kufanya mambo yatakayoacha alama pindi...

Michezo

TAFCA zaweka hadharani kamati tano

  SHIRIKISHO la Sanaa za Ufundi Tanzania (TAFCA), limetangaza Kamati tano zitakazofanyakazi kama wizara za shirikisho hilo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...

Habari Mchanganyiko

Serikali: Mhandisi Mfugale alifariki ghafla

  WIZARA ya Ujenzi na Uchukuzi nchini Tanzania, imesema aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), Mhandisi Patrick Mfugale (67), alifariki...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia akabidhiwa ripoti BoT, CAG aweka wazi ‘madudu’

  MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, amemkabidhi Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ripoti ya matumizi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Viongozi wa siasa, dini, wanasheria wakataa subira ya Rais Samia

  KAULI ya Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kuweka kiporo suala la Katiba Mpya na kuendeleza zuio la mikutano ya hadhara ili...

Habari za SiasaTangulizi

NCCR-Mageuzi: Rais Samia atafakari upya uamuzi wake

  CHAMA cha siasa cha upinzani nchini Tanzania, NCCR-Mageuzi, kimemwomba Rais wa Taifa hilo, Samia Suluhu Hassan, kuufikilia upya uamuzi wake kuhusu suala...

Habari Mchanganyiko

Mhandisi Mfugale kuzikwa Julai 5 Iringa

  MWILI wa aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), Mhandisi Patrick Mfugale, unatarajiwa kuzikwa Jumatatu ya tarehe 5 Julai 2021,...

Habari za Siasa

Rais Samia ateta na bosi AfCFTA

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mtendaji wa Sekretarieti ya Eneo Huru la Biashara Afrika (AfCFTA)...

Habari Mchanganyiko

Kisa corona: Majaliwa atoa masharti saba, ndege kusitishwa

  KASSIM Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania, amebainisha mambo saba ambayo wananchi wanapaswa kuyazingatia ili kuchungua tahadhari ya kujikinga na maambukizi ya corona...

Habari za SiasaTangulizi

Spika Ndugai ‘aota’ Katiba Mpya

  WAKATI wanasiasa, wanaharakati na wasomi wa kada mbalimbali nchini Tanzania, wakitaka mchakato wa Katiba Mpya uendelee, Job Ndugai, Spika wa Bunge la...

Michezo

Simba: Tutawapiga Yanga 3, TFF leteni kombe uwanjani

  WAKATI joto la mtanange wa watani wa jadi Simba na Yanga za jijini Dar es Salaam, likizidi kupamba moto, Simba wameliomba Shirikisho...

Michezo

Robo fainali Euro kupigwa Ijumaa, Uingereza kuwavaa Ukraine

  MIAMBA nane itachuana katika hatua ya robo fainali ya michuano ya Euro 2020 kuanzia Ijumaa hii ya tarehe 2 na 3 Julai...

Habari Mchanganyiko

Joto kali lauwa watu 130 Canada

  WATU zaidi ya 130 wameripotiwa kufariki dunia nchini Canada, baada ya kuathiriwa na joto kali lililoikumba nchi hiyo tangu Jumatatu ya tarehe...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia amlilia Mhandisi Mfugale

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametoa salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), Mhandisi...

Habari za Siasa

Dk. Bashiru: Unafiki unakwamisha kufikia malengo

MBUNGE wa Kuteuliwa (CCM), Dk Bashiru Ally amesema, unafiki na kukosekana uzalendo kwa baadhi ya watu ni sababu ya mambo yanayokwamisha kufikia malengo....

AfyaHabari Mchanganyiko

IMF yaiahidi neema Tanzania

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Idara ya Afrika, Abebe Aemro Selassie kutoka Shirika la Fedha Duniani...

Tangulizi

Majaliwa aeleza siri yake na Kikwete “kanitoa darasani”

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amesema Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete, ana mchango mkubwa katika safari ya maisha...

Kimataifa

Jacob Zuma afungwa jela miezi 15

  MAHAKAMA nchini Afrika Kusini, leo Jumanne, tarehe 29 Juni 2021, imemhukumu kifungo cha miezi 15 gerezani aliyekuwa rais wa taifa hilo, Jacob...

Habari Mchanganyiko

Mama Salma Kikwete alilia maji jimboni mwake, waziri amjibu

  MBUNGE wa Mchinga mkoani Lindi (CCM), Mama Salma Kikwete,ameiomba Serikali ipeleke maji safi na salama kwa wananchi wa jimbo hilo. Anaripoti Mwandishi...

error: Content is protected !!