Friday , 19 April 2024
Home mwandishi
8670 Articles1244 Comments
Habari za Siasa

Msajili wa vyama aitwanga barua Chadema

  OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa Tanzania, imekiandikia barua Chama Kikuu cha Upinzani nchini humo, Chadema, ikikitaka kijieleze juu ya kauli...

Habari Mchanganyiko

Polisi Tanzania kuajiri askari wapya 3,000

  JESHI la Polisi nchini Tanzania, limeajiri askari polisi wapya zaidi ya 3,000. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar … (endelea). Taarifa hiyo imetolewa jana...

Habari Mchanganyiko

NGO’s 1,500 kushiriki wiki ya AZAKI Dodoma

  MASHIRIKA Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s) na Asasi za Kiraia (AZAKI) 1,500, zinatarajia kushiriki maonesho ya wiki ya asasi hizo, yanayotarajiwa kufanyika kuanzia...

Habari Mchanganyiko

Uzito uliopitiliza janga jipya kwa vijana

  UZITO wa mwili uliopitiliza umetajwa kuwa janga jipya kwa vijana, hasa wenye umri kati ya miaka 10 hadi 19. Anaripoti Danson Kaijage,...

Habari Mchanganyiko

Sh. 2.9 Tril. kufanya mageuzi mtandao wa barabara Tanzania

  SERIKALI ya Tanzania, imepanga kutumia Sh. 2.974 trilioni, kwa ajili kuongeza mtandao wa barabara za lami na changarawe, pamoja na ujenzi wa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kesi ya Sabaya na wenzake yaiva, kuanza kujitetea kesho

  ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wawili, wamekutwa na kesi ya kujibu katika mshtaka ya unyang’anyi wa...

Habari Mchanganyiko

Wanaharakati washtushwa gazeti la Uhuru kufungwa

  WANAHARAKATI nchini Tanzania, wameshtushwa na hatua ya Serikali kulifungia kwa muda wa siku 14, Gazeti la Uhuru linalomilikiwa na Chama Tawala nchini...

Habari Mchanganyiko

Serikali ya Tanzania yasimamisha gazeti la Uhuru siku 14 p

  SERIKALI ya Tanzania imetangaza kusitisha leseni ya uchapishaji na usambazaji wa Gazeti la kila siku la Uhuru kuanzia kesho Alhamisi tarehe 12...

Habari Mchanganyiko

THRDC yatinga Kanda ya Ziwa

  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umefanya ziara katika mikoa ya Kanda ya Ziwa, kwa ajili ya kuboresha mikakati...

Habari Mchanganyiko

Vyombo vya dola vyaombwa kuzipa kipaumbele kesi ukatili kijinsia

  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umeviomba vyombo vya dola kuzipa kipaumbele kesi za ukatili wa kijinsia, zinazoripotiwa na...

Kimataifa

Chakula cha sumu chauwa Watu 24 wa familia moja

  WATU 24 wa familia moja wamefariki dunia nchini Nigeria, baada ya kula chakula chenye sumu. Inaripoti BBC … (endelea). Taarifa ya tukio...

Kimataifa

Kesi ya Zuma: Rais Ramaphosa kuhojiwa mahakamani

  RAIS wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, amejumuishwa katika uchunguzi wa tuhuma za ufisadi, zinazomkabili kiongozi wa zamani wa Taifa hilo, Jacob Zuma....

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Sabaya: Shahidi amng’akia Wakili wa Sabaya

  MAHAKAMA ya Arusha imeelezwa jinsi mshitakiwa wa tatu, Daniel Bura kwenye kesi ya unyang’anyi inayomkabili, pamoja na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya...

Habari za Siasa

CCM yalia miradi ya maendeleo kukwama, yatoa siku 14

  Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimezipa siku 14 kamati za siasa za mikoa na wilaya, kuwasilisha taarifa za ukaguzi wa miradi ya maendeleo...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kumlalamikia Rais Samia mahakamani

  CHAMA kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, kimedai kauli ya Rais Samia Suluhu Hassan, dhidi ya mashtaka ya kula njama za...

Tangulizi

Sengerema yazidiwa wagonjwa Korona, mbunge aiangukia Serikali

  MBUNGE wa Sengerema mkoani Mwanza (CCM), Hamis Tabasam, ameiomba Serikali iipatie msaada wa dharura wa vifaa tiba vya kutibu Ugonjwa wa Korona...

Habari za SiasaTangulizi

Polepole, Askofu Gwajima njiapanda CCM

  WAKATI chanjo ya kinga ya ugonjwa wa korona (Uviko-19) ikiendelea kutolewa nchini Tanzanioa, wabunge wawili wa chama tawala- Chama Cha Mapinduzi (CCM),...

Michezo

Karia athibitishwa Rais TFF

  WAJUMBE wa mkutano mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), wamemuthibitisha Wallace Karia kuendelea kuwa Rais wa shirikisho hilo kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kuwafikisha kortini OCD Dodoma, Kigoma

  CHAMA kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, kimepanga kiwafikisha mahakamani kwa majina yao, Mkuu wa Polisi wa Wilaya (OCD) wa Dodoma...

Habari za Siasa

Rais Samia ateua viongozi

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali akiwemo, Athumani Mbuttuka kuwa Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikali. Anaripoti...

Tangulizi

Tozo miamala ya simu yapingwa mahakamani

  KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu nchini Tanzania (LHRC), kimefungua kesi katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam,...

Tangulizi

Chanjo ya corona yawaponza 2 Arusha, wasimamishwa

  WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais- Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Ummy Mwalimu, ameagiza kuchukuliwa hatua watumishi wawili wa...

Michezo

Lulu atambulisha jina la mwanae, amwandikia ujumbe

  MSANII wa maigizo nchini Tanzania, Elizabeth Michael maarufu Lulu amemwandikia ujumbe mwaanae mwenye siku 21 akichambua jina alilompa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari Mchanganyiko

Askofu Bagonza atoa sababu tatu za kuchanjwa

  ASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe Mkoa wa Kagera, Dk. Benson Bagonza ametoa sababu kuu tatu,...

Michezo

Diamond amuaga Maulid Kitenge, arejea EFM

  MTANGAZAJI maarufu nchini Tanzania wa vipindi vya michezo, Maulid Kitenge leo Ijumaa, tarehe 6 Agosti 2021, amerejea kituo cha Redio cha EFM,...

Habari Mchanganyiko

Simba wauwa Wanafunzi watatu Arusha

  WANAFUNZI watatu wa Shule ya Msingi Ngoile wilayani Ngorongoro, Mkoa wa Arusha, wameuawa kwa kushambuliwa na Simba, walipokuwa wanatafuta mifugo yao iliyopotea...

Habari za SiasaTangulizi

EU, Marekani, Canada, Uswisi zajitosa kesi ya Mbowe

  JUMUIYA za Kimataifa zimejitosa katika kesi ya ugaidi, inayomkabili kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Mbowe na...

Habari za Siasa

Diwani CCM Dar afariki dunia, kuzikwa Kisarawe

  DIWANI wa Buyuni (CCM), Wilaya ya Ilala, Mkoa wa Dar es Salaam, Karimu Madenge amefariki dunia jana Jumatano, tarehe 4 Agosti 2021,...

Habari za Siasa

Rais Samia ateua TCAA

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemteua, Mtumwa Khatib Ameir kuwa Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania...

Habari Mchanganyiko

Watu wanne mbaroni kwa tuhuma za mauaji Dar

  WATU wanne wanashikiliwa na Jeshi la Polisi, Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kwa tuhuma za mauaji ya Shaban Amiri Mbalali (20),...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mgeja: Wapotoshaji wa chanjo “ni sawa na magaidi”

  MWENYEKITI mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Shinyanga, Khamis Mgeja amewafananisha wanaopinga chanjo ya korna (UVIKO-19) na magaidi na kuitaka...

Kimataifa

Rais wa zamani Sudan, al-Bashir kufikishwa ICC

  ALIYEKUWA Rais wa Sudan, Omar al-Bashir, anayesota rumande tangu 2019, kwa tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka, yuko mbioni kufikishwa katika Mahakama...

HabariHabari Mchanganyiko

Waziri Ummy: Ma DED njooni na CV, kitambulisho

  WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais-Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Ummy Mwalimu amewataka wakurugenzi (DED) wapya 69 walioteuliwa kufika...

HabariSiasa

Wazee Hai wamwangukia Rais Samia, waomba Mbowe aachiwe huru

  WAZEE wa Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, wameiomba Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, imuache huru Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe,...

Habari Mchanganyiko

Maafisa wa Serikali wafundwa ulinzi wa haki za binadamu

  MAAFISA wa Taasisi za Serikali zinazoshughulika na masuala ya haki za binadamu, wametakiwa kushrikiana na Asasi za Kiraia na Mashirika Yasiyo ya...

Habari za Siasa

Bunge: Wabunge Tanzania wanalipa kodi

  OFISI ya Bunge la Tanzania imesema, wabunge kama ilivyo kwa watumishi wengine wa umma na viongozi wa kisiasa nchini humo, wanakatwa kodi...

Afya

Mbatia ataka vituo chanjo ya Korona viongezwe

  MWENYEKITI wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia, ameiomba Serikali iongeze vituo vya kutolea huduma ya chanjo ya Ugonjwa wa Korona (UVIKO-19). Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Bavicha wamjibu IGP Sirro kwa hoja

  BARAZA la Vijana la chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania- Chadema (Bavicha), limedai kauli ya Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Simon Sirro,...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo watoa neno kujiuzulu Mbunge wa CCM

  CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimesema kinasubiri taarifa rasmi kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kuhusu kujiuzulu kwa Mbunge mteule wa Konde, visiwani...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia aomboleza kifo cha Waziri Kwandikwa

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za pole kwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini, Jenerali Venance Mabeyo, kufuatia kifo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Waziri wa Ulinzi Tanzania afariki dunia

  ELIAS Kwandikwa, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) nchini Tanzania, amefariki dunia. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …...

Habari Mchanganyiko

RC Dar azuia wasiovaa barakoa kupanda daladala, mwendokasi

  MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC), Amos Makalla amewataka madereva na makodakta wa vyombo vya usafiri jijini kutowabeba abiria wasiovaa...

Habari za SiasaTangulizi

IGP Sirro azungumzia tuhuma za Mbowe, atoa onyo

  INSPEKTA Jenerali wa Polisi nchini Tanzania (IGP), Simon Sirro amekitaka chama kikuu cha upinzani nchini humo, Chadema na wadau wengine, kuiachia mahakamana...

Elimu

Majaliwa atoa maagizo wanufaika mafunzo ya ufundi

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewataka vijana waliopata ufadhili wa Serikali kupitia programu maalum ya kupata mafunzo ya ufundi stadi watumie...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge CCM atangaza kujizulu

  SHEHA Mpemba Faki, Mbunge mteule wa Konde Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), amejiuzulu nafasi hiyo ikiwa ni siku 15, tangu alipotangazwa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ateua Ma- DED

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri za Jiji, Manispaa,Miji na Wilaya. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Michezo

Rais Samia awapongeza vijana U23, atoa maagizo

  SAMIA Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania ameipongeza timu ya taifa ya vijana chini ya miaka 23 (U23), kwa kutwaa ubingwa wa mashindano...

Habari za Siasa

Mapendekezo mapya tozo za simu yamfikia Majaliwa

  HATIMA ya kufutwa au kupunguzwa kwa tozo ya miaka ya mitandao ya simu itajulikana wakati wowote kuanzia sasa, baada ya kamati iliyoundwa...

Elimu

Vyuo vikuu Tanzania vyatakiwa kupitia mitaala

  WIZARA ya Elimu, Sayansi na Teknolojia nchini Tanzania, imevitaka vyuo vikuu na taasisi zingine za elimu kufanya mapitio ya mitalaa ili iweze...

Habari Mchanganyiko

Dk. Ndugulile aitaka TCRA isikwamishe usajili vyombo vya habari

  WAZIRI wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dk. Faustine Ndugulile, ameiagiza Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), isikwamishe utoaji leseni za usajili kwa...

error: Content is protected !!