Saturday , 20 April 2024
Home mguta
611 Articles79 Comments
Kimataifa

Kadinali ashtakiwa kuwanyanyasa watoto kingono

George Pell, Kadinali wa kanisa katholiki ameshitakiwa na Polisi nchini Australia kwa makosa kadhaa ya kuwanyanyasa watoto kingono, anaandika Hamis Mguta. Kadinali huyo...

Kimataifa

Marekani yahaha kuwasaka wadukuzi wa mitandao

BARAZA la Usalama la Taifa jijini Washington, Marekani limesema linachunguza shambulio kubwa la kimtandao ambalo limekumba mifumo ya kompyuta duniani kote, anaandika Hamis...

Habari za Siasa

Polisi yawagwaya “maninja” wa Lipumba

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema limekosa ushahidi kuhusu watu waliovamia mkutano wa Chama cha Wananchi – CUF, tarehe...

Habari MchanganyikoTangulizi

Trilioni 108/= za Acacia kitendawili

JUHUDI za serikali kutaka kampuni ya Acacia kulipa mabilioni ya shilingi inayodai imepunjwa, ziko hatarini kukwama, MwanaHALISI limeelezwa. Taarifa kutoka serikalini na makao...

Habari MchanganyikoTangulizi

Adhabu ya MAWIO yazidi kupingwa

ASASI mbili za kihabari na utetezi wa haki za binadamu zimesaini tamko la pamoja la kupinga uamuzi wa Serikali ya Tanzania wa kulifungia...

Habari za SiasaTangulizi

CCM ‘yawagwaya’ Chenge, Muhongo, Ngeleja

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema kwa sasa hakiwezi kuwachukulia hatua wabunge wa chama hicho ambao wamekuwa wakihusika mara kwa mara katika kashfa za...

Kimataifa

Rais Trump achunguzwa

Donald Trump, Rais wa Marekani anachunguzuwa na Robert Mueller, ambaye ni mwanasheria maalum kwa kile kinachotajwa kuwa alizuia sheria, kwa mujibu wa gazeti...

Habari za SiasaTangulizi

Magufuli awakingia kifua Mkapa, Kikwete sakata la madini

JOHN Magufuli, Rais wa Tanzania amevijia juu vyombo vya habari vinavyowataja na kuwahusisha marais wastaafu Benjamin Mkapa na Jakaya Kikwete kwenye ripoti ya...

Kimataifa

Marekani kuwawekea vikwazo washirika wa Korea Kaskazini

Marekani inasema itaziwekea vikwazo nchi ambazo zinafanya biashara haramu na Korea Kaskazini, anaandika Hamisi Mguta. Rex Tillerson, Waziri wa Mashauri ya nchi za...

Habari za SiasaTangulizi

Sumaye, Lowassa watajwa sakata la madini bungeni

WAKATI wabunge wa upinzani wakishinikiza marais waliopitisha mikataba mibovu kuhojiwa, Job Ndugai, Spika wa Bunge la Tanzania amewaibua Mawaziri wastaafu Edward Lowassa na...

Kimataifa

15 wafunikwa na kifusi cha ghorofa, Kenya

KARIBU watu 15 hawajulikani waliko baada ya jumba la ghorofa saba kuporomoka siku ya Jumatatu (jana) usiku, katika kitongoji kimoja cha mji mkuu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mchanga wa dhahabu kumng’oa mwingine?

RAIS John Magufuli anatarajia kupokea ripoti ya pili kuhusu usafirishaji wa mchanga wa dhahabau (maknikia) Jumatatu ya tarehe 12 Juni mwaka huu, ikiwa...

Kimataifa

Marekani yataka Qatar ilegezewe kamba

WAZIRI wa mashauri ya nchi za kigeni wa Marekani, Rex Tillerson anasema kuwa nchi za Ghuba ni lazima zilegeze hatua yao dhidi ya...

ElimuTangulizi

Majina ya waliopangiwa kidato cha tano, vyuo 2017 haya hapa

GEORGE Simbachawene, Waziri wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa jana alitangaza jumla ya wanafunzi 2,999 wamekosa fursa ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mfumo wa JPM wautibua ACT-Wazalendo

KAMATI ya Uongozi ya chama cha ACT-Wazalendo imeonesha kutofurahishwa na namna ya teuzi za John Magufuli, Rais wa Tanzania zinavyofanyika bila mashauriano na wahusika...

Habari za SiasaTangulizi

Anna Mghwira akabidhiwa Ilani CCM, ACT kumjadili

ANNA Mghwira, Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo amekabidhiwa Ilani ya CCM baada ya kuapishwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Ikulu leo, anaandika Hamisi Mguta....

Habari za SiasaTangulizi

Bulaya, Mdee wazuiwa kuingia bungeni mpaka mwakani

BUNGE la Tanzania limetoa hukumu kwa Wabunge Halima Mdee wa Kawe na Esther Bulaya wa Bunda kutohudhuria vikao vyote vya bunge vinavyoendelea mpaka...

Habari za Siasa

Anna Mgwira kumrithi Meck Sadick

JOHN Magufuli, Rais wa Tanzania amemteua Anna Mgwira, Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo kuwa Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, anaandika Hamisi Mguta. Mgwira ambaye alikuwa...

Habari za SiasaTangulizi

Bavicha wamlaani Ndugai

SIKU moja baada ya Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai, kumtoa kwa nguvu Waziri Kivuli wa Wizara ya Nishati na Madini, John...

Kimataifa

Chanjo yaua 15 Sudan Kusini

SERIKALI ya Sudan kusini imesema watoto wapatao 15 wamekufa ikiwa ni matokeo ya makosa yaliyofanyika katika jaribio la kuwakinga na surua, anaandika Hamisi...

Habari Mchanganyiko

IGP Sirro aanza na wauaji wa Pwani

SIMON Sirro, Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP) ameanza na kuwachimba mkwara mzito watu wanaoendesha mauaji ya viongozi wa serikali, chama na askari...

Habari MchanganyikoTangulizi

Tanzia: Mchoraji nembo ya Taifa afariki

HOSPITALI ya Taifa Muhimbili imetoa taarifa za kifo cha Mzee Fransis Maige (86) aliyechora Nembo ya Taifa ya Uhuru na Umoja ambayo inatumika...

Kimataifa

Korea Kaskazini yaelekeza kombora Japan

KOREA Kaskazini imerusha kombora la masafa mafupi, ambalo ni la tatu kurushwa na taifa hilo katika kipindi cha wiki tatu, anaandika Hamisi Mguta....

Habari MchanganyikoTangulizi

Mkude anusurika, mmoja afariki ajalini

Nahodha wa Simba, Jonas Mkude amepata ajali mbaya ya gari akiwa njiani kureje Dar es Salaam akitokea Dodoma, anaandika Hamisi Mguta. Mkude alikuwa...

Habari za Siasa

Mchanga wa madini waondoka na Prof. Muhongo

RAIS Rais John Magufuli ameanza kutekeleza ushauri aliopewa katika ripoti ya Kamati ya kuchunguza makontena ya mchanga wa madini yaliyokamatwa kwa kumtengua uteuzi...

Habari Mchanganyiko

Mwambe kumrithi Kairuki TIC

JOHN Magufuli, Rais wa Tanzania leo amefanya uteuzi mpya Geoffrey Idelphonce Mwambe kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), anaandika Hamisi...

Habari Mchanganyiko

Malima aachiwa huru

MAHAKAMA ya Mkazi Kisutu imemuachia huru Naibu Waziri wa Fedha wa awamu ya nne, Adam Malima leo kwa dhamana ya shilingi milioni tano,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mapya yaibuka mauaji ya jambazi

SHEIKH Ponda Issa Ponda, Katibu wa Taasisi za Kiislam Tanzania ameibuka na kumtetea anayeitwa jambazi aliyeuwawa katika tukio la uvamizi wa ATM, kuwa...

Habari za Siasa

Wabunge, Spika watoa Sh. 100 milioni kwa wafiwa

WABUNGE wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wameadhimia kutoa milioni 86 pesa za posho ya kikao cha siku kwa ajili ya...

Tangulizi

Arusha, Tanzania yazizima, kuaga miili 36

TAYARI zoezi la kuaga miili 36 ambayo ni ya wanafunzi 33, walimu 2 na dereva wao waliofariki katika ajali ya gari Karatu mkoani...

Habari Mchanganyiko

Vijana milioni 4 kupata mafunzo

SERIKALI imesema inatekeleza programu ya miaka mitano ya kukuza ujuzi inayolenga kuwezesha vijana 4,419,074 kupata ujuzi wa kuajiliwa au kujiajiri katika sekta mbalimbali,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Ajali Karatu, wanafunzi 32 wathibitishwa kupoteza maisha

KAMANDA wa Polisi, mkoani Arusha, Charles Mkumbo amethibitisha kuwa watu 32 wamefariki katika ajali iliyotokea wilayani Karatu, eneo la Rhotia Marera, anaandika Hamisi Mguta. Waliofariki...

Habari za SiasaTangulizi

Kubenea, Mdee huru kesi ya kumshika matiti RAS

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imewaachia huru wabunge wa Ukawa na madiwani wawili waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya kumjeruhi Katibu Tawala wa Mkoa...

Habari za Siasa

Mtatiro: Kambaya mimi sio ‘size’ yako

JULIUS Mtatiro, Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi CUF, amesema hawezi kukutana na Abdul Kambaya, Naibu Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano wa CUF,  kujadili...

Habari za SiasaTangulizi

Halima Mdee atupwa ‘jela,’ Mbowe asamehewa

KAMATI ya Haki na Maadili ya Bunge imetoa adhabu kwa Mbunge wa Kawe, Halima Mdee kutohudhuria vikao vya Bunge la Bajeti vilivyobaki baada...

Habari za SiasaTangulizi

CUF: Jaji Mutungi ndiye chanzo cha vurugu

CHAMA cha Wananchi ‘CUF’ kimemshutumu Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi kuwa  ndiye chanzo cha vurugu zinazoendelea ndani ya chama cha...

Habari za Siasa

TEF nao wamkaba koo Prof. Lipumba, wamtaka aombe radhi

JUKWAA la Wahariri Tanzania ‘TEF’ limemtaka Prof. Ibrahim Lipumba kutoa kauli kuhusu tukio la kupigwa kwa waandishi wa habari katika uvamizi wa mkutano...

Habari za SiasaTangulizi

CUF wamtaka Sirro kuchukua hatua ‘mazombi’ ya Prof. Lipumba

KAMATI ya Uongozi ya Chama cha Wananchi ‘CUF’ imemtaka Kamishna wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Simon Sirro kuchukua hatua dhidi ya...

ElimuHabari Mchanganyiko

Makamu wa Rais mgeni rasmi Kongamano ya Jinsia

SAMIA Suluhu, Makamo wa Rais wa Tanzania anatarajiwa kuwa mgeni rasmi wa Kongamano ya Jinsia kwa Taasisi za Elimu ya Juu lililoandaliwa na...

Habari Mchanganyiko

Wauaji wa Kibiti wahofiwa kujificha Dar

SIMON Sirro, Kamishna wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, amewataka wakazi wa jiji hilo kuwa makini hasa katika kipindi hiki uchunguzi dhidi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Isango azikwa kijijini kwao Kisasida

HATIMAYE mwili wa aliyekuwa mwandishi wa habari, Josephat Isango tayari umepumzishwa katika nyumba ya milele kijijini kwao Kisasida mkoani Singida, anaandika Hamisi Mguta....

Habari MchanganyikoTangulizi

Mwigulu avalia njuga, mauaji Kibiti

WAKATI hofu juu ya usalama wa maisha ya wananchi wa Kibiti, Pwani ikizidi kutanda baada ya tukio la mauaji ya askari Polisi nane yaliyotekelezwa...

Habari Mchanganyiko

Josephat Isango kuzikwa Jumanne

MWILI wa aliyekua Mwandishi wa habari Josephat Isango unatarajiwa kuzikwa siku ya Jumanne, saa nne asubuhi nyumbani kwao Kisasida mkoani Singida, anaandika Hamisi Mguta....

Habari Mchanganyiko

Polisi kusaka waliyoua Askari Kibiti

KAMISHNA wa Oparesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi, CP Nsato Marijani amesema Jeshi la Polisi linakwenda kufanya operation kali dhidi ya majambazi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Josephat Isango afariki dunia asubuhi hii

MWANDISHI wa habari Josephat Isango amefariki dunia mapema asububi leo, anaandika Hamisi Mguta. Taarifa za kifo chake zimethibitishwa na mdogo wake aitwae Christopher...

Habari MchanganyikoMichezo

Roma: Hatupo salama, aeleza mateso waliyopata

MSANII wa muziki wa Hip-Hop Ibrahim Mussa ‘Roma Mkatoliki’ aliyetekwa na watu wasiojulikana kisha kuachiwa akiwa na wenzie watatu amesema hawapo salama kwa...

Habari Mchanganyiko

Kamanda Sirro: Roma ‘kutekwa’ ni kawaida

IKIWA ni siku tatu tangu tukio la kupotea kwa msanii wa miondoko ya Hip Hop Ibrahim Mussa ‘Roma Mkatoliki’ na wenzake watatu Kamishna...

Habari MchanganyikoMichezoTangulizi

Wasanii wamvaa Sirro kumdai Roma

NI siku ya pili tangu msanii wa muziki wa Hip-Hop, Ibrahim Mussa ‘Roma’ na wenzake kukamatwa na watu wasiojulikana katika Studio za Tongwe...

ElimuHabari za SiasaTangulizi

HakiElimu yakosoa sera ya Rais Magufuli

UTAFITI wa taasisi inayoshughulikia masuala ya elimu ‘hakiElimu’ unaonesha kuwa serikali haijafikia lengo la sera ya kutoa elimu bure iliyoahidiwa mwaka 2015, anaandika...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli amwingiza Prof. Kitila serikalini

RAIS John Magufuri amemteua Prof. Kitila Mkumbo kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na kuwa mpinzani wa kwanza kuingia serikali ya Awamu...

error: Content is protected !!