Saturday , 10 June 2023
Home massamu
26 Articles3 Comments
Michezo

Mastaa Kylie, Travis Scott wapata mtoto wa pili

Mwanamitindo na mfanyabiashara kutoka Marekani, Kylie Jenner (24) pamoja na mpenzi wake ambaye ni Msanii wa rap, Jacques Bermon Webster maarufu kama Travis...

Kimataifa

Denti Chuo Kikuu auawa kikatili na mpenzi wake

  HALI ya majonzi imetanda katika Chuo kikuu cha Laikipia nchini Kenya baada ya mwanafunzi mmoja wa kike kuuawa kinyama kwa kuchomwa kisu...

Kimataifa

Vikosi vya Israel vyawaua Wapalestina 2

  WAPALESTINA wawili wauawa na vikosi vya Israel kwenye matukio tofauti huko Palestina. Anaripoti Glory Massamu TUDARCo kwa msaada wa mitandao ya kimataifa...

Habari za Siasa

Serikali yakamilisha muongozo wa misamaha ya kodi kwa NGO’s

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imeshakamilisha kitini kinachotoa muongozo wa namna mashirika yasiyo ya kiserikali (NGO’s) yatanufaika na misamaha ya kodi....

Kimataifa

Rais ‘Kiduku’ aibipu UN

RAIS wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un maarufu kama ‘Kiduku’ kutokana na staili yake ya nywele, amesimamia urushwaji wa kombora la masafa mafupi...

Tangulizi

Waziri Ndalichako ateta na ujumbe wa WB, atoa ahadi

  PROFESA Joyce Ndalichako, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia nchini Tanzania amesema, Serikali itahakikisha fedha zinazotolewa na wadau mbalimbali wa maendeleo kwa...

HabariTangulizi

Rais Samia aonya migogoro Kanisa Anglikana

  RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa viongozi wa dini wa Kanisa la Anglikana Tanzania kurudi kwenye misingi ya kimaadili ya kanisa...

Michezo

Rayvanny atibua party Harmonize

  KITENDO cha msanii wa Bongofleva kutoka lebo Wasafi Classic Baby (WCB) na mwanzilishi wa lebo Next Level Music, Raymond Mwakyusa ‘Rayvanny’ kutangaza...

Michezo

Nabi: Yanga itakuwa tishio Afrika, kesho tunachukua kombe

  KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi ametamba kuwa Yanga itakuwa tishio ndani ya Tanzania na Afrika kwa ujumla kutokana na wachezaji wazuri...

Afya

Ukusanyaji damu wabadilisha mwelekeo

  MPANGO wa Taifa wa Damu Salama umebadilisha mwelekeo wake wa kuigeukia jamii ili kukusanya damu kwa ajiri ya kukabiliana na changamoto ya...

Habari Mchanganyiko

Waziri Mkuu aipongeza GGML kuajiri Watanzania 5,000

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameipongeza Kampuni ya Uchimbaji Dhahabu Geita (GGML) kwa kutoa ajira zaidi ya 5000 kwa Watanzania huku asilimia zaidi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Waziri Simbachawene: Hakuna umuhimu wa katiba mpya

  WAZIRI wa Mambo ya Ndani wa Tanzania, George Simbachawene amesema, kwa sasa hakuna umuhimu wa Katiba mpya kwani iliyopo inajitosheleza na imeivusha...

Kimataifa

Marekani kuwarejesha wahamiaji wa Haiti

  SERIKALI ya Marekani chini ya utawala wa Rais Joe Biden inaendelea na mpango wake wa kuwarudisha nyumbani wahamiaji kutoka Haiti. Anaripoti Glory...

Kimataifa

Wabunge Uganda washtakiwa kwa ugaidi

  WAENDESHA mashtaka nchini Uganda wamewaongezea mashtaka ya ugaidi wabunge wawili wa chama cha upinzani nchini humo – National Unity Party (NUP). Anaripoti...

Kimataifa

Kimbunga chatikisa Texas, Louisiana

  KIMBUNGA Nicholas kimetokea Texas nchini Marekani na kusababisha mvua kubwa, kuharibu miundobinu ya barabara na majengo. Anaripoti Glory Massamu, TUDARCo … (endelea)....

Habari za Siasa

Serikali yawaweka wananchi mguu sawa sensa ya 2022

  SERIKALI ya Tanzania, imewaomba wananchi waachane na mila potofu wasikwamishe zoezi la sensa ya watu na makazi, litakaoiwezesha Serikali kuweka mipango bora...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia: Zoezi la sensa sio geni, viongozi wa dini tusaidinieni

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema kwa kuwa zoezi la sensa sio geni… muda utakapofika kila Mtanzania ajitokeze kuhesabiwa kwani sensa...

Habari za Siasa

Makinda: Ni aibu kutohesabiwa

  KAMISAA wa Sensa upande wa Tanzania Bara, Anne Makinda amewataka Watanzania wajione fahari kuhesabiwa kwa kuwa ni aibu kutohesabiwa katika sensa ya...

Elimu

Serikali kupanua shule 100 zipokee wanafunzi wa kidato cha 5, 6

  SERIKALI imepanga wa kuongeza upanuzi wa shule 100 ili ziwe na uwezo wa kupokea wanafunzi wa kidato cha tano na sita. Anaripoti...

Kimataifa

Trump ataka pambano na Biden

  RAIS wa zamani wa Marekani, Donald Trump ameahidi kumpiga Joe Biden ambaye ni Rais wa sasa, kama itatokea likaandaliwa pambano litakalowakutanisha ulingoni...

AfyaHabari za Siasa

Mbunge alilia hospitali ya Tunduma, Serikali yamjibu

  MBUNGE wa Viti Maalumu (CCM), Juliana Shonza ameitaka Serikali ieleze ni lini jingo la Hospitali ya Tunduma, Mkoa wa Songwe litafunguliwa. Anaripoti...

Habari za Siasa

Dk. Samizi akumbusha ahadi ya Hayati Magufuli bungeni

  MBUNGE wa Muhambwe mkoani Kigoma (CCM), Dk. Florence Samizi, ameihoji Serikali lini itatekeleza ahadi ya ujenzi wa Kituo cha Afya, cha Kata...

Habari za Siasa

Mafao ya wastaafu, vitambulisho vya NIDA vyaibuliwa bungeni

  WABUNGE wa chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), wamehoji mikakati ya Serikali kutokomeza changamoto ya ucheleweshaji wa mafao ya wastaafu...

Michezo

Lil Baby kumsaidia Jack Boy ujenzi wa hospitali Haiti

  RAPA kutoka Marekani, Dominique Jones ‘Lil Baby’ amejitolea kumsaidia Msanii Pierre Delince (Jack Boy) katika ujenzi wa hospitali huko nchini Haiti. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Utafiti wa vinasaba (DNA) kwa makabila yote waja

  WATAFITI na wanataaluma wa vinasaba nchini  wamesema kuna uhitaji mkubwa ufanyikaji wa utafiti za vinasaba vya binadamu ili kubaini vyanzo mbalimbali vya...

Michezo

Wizkid aachia Deluxe Edition ya albamu ya Made in Lagos

  MSANII wa muziki kutoka Nigeria, Ayodeji Ibrahim Balogum ‘Wizkid’, leo ameachia Deluxe Edition ya albamu yake ya ‘’Made in Lagos.’’ Anaripoti Glory...

error: Content is protected !!