Saturday , 10 June 2023
Home lukumbuja
17 Articles2 Comments
Michezo

Bishara united mguu sawa kuwavaa walibya, kumkosa nahodha wao

  UONGOZI wa klabu ya Soka ya Biashara United kutoka mkoani Mara, umesema kikosi chao kipo tayari kwa ajili ya mchezo wa kombe...

Habari za Siasa

Rais Samia akutana tena na Tony Blair

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu mstaafu wa Uingereza, Tony Blair. Anaripoti Wiston Josia, TUDARCo...

Michezo

Poulsen aita 25, Bocco na Mkude ndani

  KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Tanzania ‘Taifa Satrs’ Kim Poulsen amewaitaka kambini wachezaji 25 wawiwemo Jonas Mkude na John Bocco....

Michezo

Kipa wa Yanga atua Polisi Tanzania

  ALIYEKUWA golikipa namba moja wa mabingwa wa kihistoria Yanga ya jijini Dar es Salaam nchini Tanzania, Metacha Mnata amesajiliwa na maafande wa...

Michezo

La Liga yanoga, Benzema aweka rekodi Madrid

  LIGI kuu ya Hispania maarufu kama ‘La liga Santander’ jana tarehe 22 Septemba imeendelea kutimua vumbi katika viwanja mbalimbali huku mshambuliaji wa...

Michezo

Simba yaingia mkataba mnono, yavuta milioni 300

  KLABU ya soka ya Simba imeingia mkataba na kampuni ya Emirates Aluminium leo 21 septemba 2021 katika makao makuu ya Emirates Aluminium...

MichezoTangulizi

Kuziona Simba, Yanga buku 10

  JOTO la miamba ya soka nchini Tanzania maarufu Kariakoo Derby limeanza kushika kasi kwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kutangaza viingilio ambavyo...

Michezo

Yanga kama Simba, sasa kutangaza utalii Zanzibar na kilimanjaro

  KLABU ya soka ya Yanga leo imeingia makubaliano maalumu ya kutangaza vivutio vya utalii kwa viwani Zanzibar na Mlima wa Kilimanjoro kupitia...

Habari Mchanganyiko

Makamu mkuu mstaafu UDSM afariki dunia

  ALIYEKUWA Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) nchini Tanzania, kati ya mwaka 1991-2006, Profesa Matthew Luhanga (73), amefariki...

Michezo

Real Madrid yashusha mvua ya mabao

TIMU ya Real Madrid imeitandika Celta Virgo mabao 5-2, jana tarehe 12 Septemba, 2021 kwenye Uwanja wa Santiago Bernabeu liliopo jijini Madrid Hispania....

Michezo

Coastal Union yashusha kocha Mmarekani

  KLABU ya soka ya Coastal Union imemtambulisha Kocha wake mpya, Melis Medo kwa mkataba wa miaka miwili, leo tarehe 30 Agosti, 2021...

MichezoTangulizi

Yanga yafurika kwa Mkapa, burudani kama zote

YES ni siku kubwa. Kilele cha Wiki ya Wananchi. Hakuna ubishi hii ndiyo Yanga Afrika. Mabingwa wa Kihistoria nchini Tanzania. Anaripoti Wiston Josia,...

Michezo

Twiga Stars wamshukuru Rais Samia

  TIMU ya Taifa ya wanawake nchini ‘Twiga Stars’ imemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwa kukubali kudhamini...

Michezo

Aubameyang azinduka Arsenal ikishusha mvua ya magoli

  STAA wa Arsenal aliyekuwa na ukame wa magoli, Pierre-Emerick Aubameyang jana tarehe 25 Agosti, 2021 amezinduka na kuifungia timu yake magoli matatu...

Michezo

Azam FC yaanza kujinoa Zambia

  KLABU ya Azam imeanza mazoezi yake ya maandalizi ya msimu ujao 2021/22 katika kambi iliopo mji wa Ndola nchini  Zambia. Anaripoti Wiston...

Michezo

Yanga kutambulisha Benchi jipya la ufundi

  KLABU ya Soka ya Yanga itaweka wazi benchi lake la ufundi kwenye kilele cha siku ya Mwananchi, mara baada ya kuwepo kwa...

Michezo

Simba yashusha chuma kingine

  KLABU ya soka ya Simba imefanikiwa kunyaka saini ya kiungo mshambuliaji Jimmyson Mwanuke (18) kutoka klabu ya Gwambina FC yenye maskani yake...

error: Content is protected !!