Friday , 29 March 2024
Home kelvin
1173 Articles83 Comments
Michezo

Mo Dewji akubali yaishe kwa Dk. Kigwangalla

MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya timu ya Simba, Mohamed Dewji ‘Mo’ amemwomba radhi Mbunge wa Nzega Vijijini (CCM), Dk. Hamis Kigwangalla kwa...

Habari za Siasa

Chadema yawakana Mdee na wenzake

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania, kimekana kutambua wabunge wake 19 wa viti maalum walioapishwa jijini Dodoma. Anaripoti Kelvin Mwaipungu…(endelea). Wabunge...

Michezo

Sakata la kufungiwa Rais CAF, lawaibua TFF

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetoa ufafanuzi juu ya kiasi cha dola za kimarekani 20, 000 (zaidi ya Tsh 43 milioni),...

Michezo

Kocha Yanga atimkia Mamelodi Sundowns

KLABU ya Mamelodi Sundowns inayoshiriki Ligi Kuu Afrika Kusini inatarajia kumtambulisha Riedoh Berdien aliyekuwa kocha wa viungo wa Yanga kujiunga na timu hiyo...

Michezo

Tulia mgeni rasmi fainali Miss Tanzania

NAIBU Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Mbeya Mjini, Tulia Akson atakuwa mgeni rasmi kwenye fainali ya...

Michezo

FIFA ‘yamtupa jela’ Rais wa CAF miaka mitano

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Duniani (Fifa) limemfungia kujihusisha na shughuli za moita wa miguu kwa miaka mtano, Rais wa Shirikisho la Mpira...

Michezo

Simba yaipiga Coastal 7-0, Azam yapigwa kimoja

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), Simba imetoa kipigo cha ‘mbwa koko’ cha 7-0 dhidi ya Coastal Union. Anaripoti...

Michezo

Kigwangalla aomba suruhu kwa MO Dewji

ALIYEKUWA Waziri wa Maliasili na Utalii kwenye Serikali ya awamu ya Tano, Dk. Hamis Kigwangallah ameomba kumaliza tofauti zake na mfanyabiashara maarufu nchini...

Michezo

Yanga waliamsha tena sakata la Morrison

MAKAMU Mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Frederick Mwakalebela ameibuka tena na sakata la mchezaji Bernard Morrison katika kesi walizowasilisha mbele ya Shirikisho la...

Michezo

FCC yaikana Simba, kuifanyia uchunguzi

TUME ya Taifa ya Ushindani (FCC) imeleza kuwa haihusiki na kucheleshwa kwa mfumo wa mabadiliko wa uendeshaji wa klabu ya Simba bali kuchelewa...

Michezo

Tunisia yachungulia fainali za AFCON, Stars njia panda

TIMU ya Taifa wa Tunisia imejiweka pazuri kueleka katika Fainali za Mataifa Afrika (AFCON) baada ya kutoka sare katika mchezo wake wa ugenini...

Michezo

CECAFA vijana kupigwa 22 Novemba

MICHUANO ya Baraza la mashirikisho ya soka Afrika mashariki na kati ‘CECAFA’ kwa vijana chini ya umri wa miaka 20 yatafanyika 22 Novemba...

Michezo

TFF yaeleza sababu Stars Vs Tunisia kucheza saa 4 usiku

KATIBU Mkuu wa Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania, (TFF) Wilfred Kidao amesema, haki za matangazo ya Televisheni ndio iliyosababisha mchezo kati ya...

Michezo

UEFA yapanga makundi Euro 2021

SHIRIKISHO la soka Barani Ulaya UEFA imeendesha droo kwa timu 24 ili kupata makundi kwa ajili ya michuano ya kombe la EURO ambayo...

Habari za Siasa

JPM: Utumbuaji utaendelea

RAIS wa Tanzania, John Magufuli amesema, utumbuaji kwa watumishi wa umma wazembe, wala rushwa, wezi na wabadhirifu, utaendelea katika miaka mitano ijayo. Anaripoti Kelvin...

Michezo

Magufuli kuitengea fedha Taifa Stars, aitakia heri dhidi ya Tunisia

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Magufuli amesema katika kipindi cha miaka mitano ijayo serikali itajitahidi kutenga kiasi cha fedha kwa...

Habari za Siasa

Magufuli ‘aziita’ mezani sekta binafsi

RAIS wa Tanzania, John Magufuli amesema, amefungua milango kwa sekta binafsi kuwekeza nchini huku akiahidi kuwashughulikia watendaji watakaokwamisha wawekezaji hao. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es...

Michezo

Yanga yasikitishwa kushilikiwa Senzo, Polisi yanena

KLABU ya Soka ya Yanga imesikitishwa na kushtushwa na tukio la kushikiliwa na kuhojiwa kwa mshauli wao mkuu, Senzo Masingiza jana kwenye kituo...

Michezo

Stars, Tunisia mashabiki ruksa

SHIRIKISHO la mpira wa miguu barani Afrika (CAF) limeruhusu mashabiki kuingia uwanjani kwenye mchezo kati ya timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars)...

Michezo

Klabu Bingwa Afrika, Simba kuivaa Plateau United ya Nigeria

MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba itaivaa klabu ya Plateau United kutoka nchini Nigeria kwenye michezo ya awali ya michuano ya klabu...

Michezo

Mpinzani wa Simba Klabu Bingwa Afrika kujulikana leo

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), leo 9 Novemba 2020, linatarajia kupanga droo ya michezo ya awali ya michuano ya Klabu Bingwa...

Michezo

Kocha Simba: Yanga walikuwa wanazuia

KOCHA wa Simba, Sven Vandebroeck amesema “kuLikuwa  na timu moja inacheza mpira na nyingine inazuia, nawapongeza wachezaji wangu kwa kucheza vizuri na ninafuraha...

Michezo

Kocha Yanga:Matokeo yametuachia kitu cha kujutia

BAADA ya kutoka sare ya bao 1-1 dhidi ya Simba kocha wa klabu ya Yanga, Cedric Kaze amesema kuwa matokeo haya yamewaachia kitu...

Michezo

Nahodha Yanga: Tupo tayari

LAMINE Moro, Nahodha wa klabu ya Yanga amesema kuwa wako tayari kwa ajili ya kuwakabili klabu ya Simba kwenye mchezo wa kesho ikiwa...

Michezo

Bocco: Kuifunga Yanga ni kazi ngumu

KUELEKEA mchezo wa kesho Jumamosi dhidi ya Yanga, Nahodha wa klabu ya Simba, John Bocco amesema wamejipanga vizuri kwa ajili ya mchezo huo,...

Michezo

Chama, Kagere, Niyonzima Carlinhos waikosa Yanga vs Simba  

MABINGWA watetesi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Simba imesema katika mchezo wa kesho Jumamosi dhidi ya watani zao Yanga watakosa huduma...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli aanza kuteua, amteua AG

RAIS wa Tanzania, John Magufuli ameanza kuunda Serikali atakayoiongoza kwa miaka mitano ijayo 2020-2025 kwa kumteua Profesa Adelardus Kilangi kuwa Mwanasheria Mkuu wa...

Michezo

Simba yaipiga Kagera Sugar, yatuma salamu Jangwani

MABINGWA watetezi wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Simba imeibuka na ushindi wa 2-0 dhidi ya Kagera Sugar. Anaripoti Kelvin Mwaipunga, Dar...

Michezo

Simba kuivaa Kagera, Yanga yarejea Dar

KLABU ya Simba leo Jumatano tarehe 4 Novemba 2020 itashuka dimbani kwenye mchezo wa Ligi Kuu soka Tanzania Bara 2020/21 dhidi ya Kagera...

Michezo

Sh. 7,000 kuziona Simba na Yanga

BODI inayosimamia Ligi Kuu Tanzania Bara imetangaza viingilio kwenye mchezo utakaowakutanisha Yanga dhidi ya Simba ambapo kiingilio cha chini kitakuwa Tsh. 7,000 kwa...

Michezo

Bodi ya Ligi yafungia viwanja saba

BODI ya Ligi imevifungia viwanja vya Majimaji (songea), Mkwakwani (Tanga), Sabasaba (Njombe), Ali Hassan Mwinyi (Tabora), Kipija (Mbeya), Nagwanda Sijaona (Mtwara) na Jamhuri...

Michezo

Morrison apigwa rungu, kuikosa mechi ya Simba na Yanga

KAMATI ya uendeshaji na usimamizi wa Ligi (kamati ya Saa 72) imemfungia michezo mitatu mchezaji wa klabu ya Simba, Bernad Morrison na kumpiga...

Habari za Siasa

Kubenea: Tume ifute uchaguzi Kinondoni

MGOMBEA Ubunge wa Kinondoni kupitia ACT-Wazalendo, Saed Kubenea ameitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kufuta uchaguzi katika jimbo hilo kwa madai ya...

Habari Mchanganyiko

TCRA yafunda waandishi, Polisi yawaonya

KUELEKEA uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imendesha semina kwa waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali...

Habari za SiasaTangulizi

Kubenea ashinda rufaa, kurejea kwa kushindo

KAMATI ya Maadili ya Kitaifa ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania, imetengua uamuzi wa kamati ya maadili Jimbo la Kinondoni...

Michezo

Cavani kuiongoza Man Utd dhidi ya Chelsea

MSHAMBULIAJI mpya wa klabu ya Manchester United Edson Cavani ataiongoza safu ya ushambuliaji ya Manchester United kwa mara ya kwanza dhidi ya Cheksea...

Michezo

Yanga vs Simba kuchezwa Uwanja wa Uhuru

MCHEZO wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Yanga dhidi ya Simba rasmi utachezwa kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam mara...

Michezo

Kaze: kupata matokeo ndani ya siku tano sio kitu rahisi

BAADA ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Polisi Tanzania kocha wa klabu ya Yanga, Cedric Kaze amesema kupata matokeo ndani...

Michezo

Azam FC yajikita kileleni

KLABU ya Azam Fc imejikita kileleni kwenye msimamo wa Ligi Bara baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Ihefu FC...

Michezo

Epl yalejea Arsenal, Liverpool, Man City vitani

BAADA ya kupoteza kwa mchezo kwa mabao 7-2 klabu ya Liverpool kesho watakuwa ugenini kwenye Uwanja wa Goodson Park kujiuliza dhidi ya majirani...

Michezo

Pitso Mosimane katika mtihani wa kwanza kwa Al Ahly

KOCHA mpya wa klabu ya Al Ahly, Pitso Mosimane atakuwa na kibarua kigumu kesho kwenye mchezo wa nusu fainali ya kombe la klabu...

Michezo

Kaze: Nimekuja kurudisha ukubwa, heshima Yanga

KOCHA mpya wa Klabu ya Yanga, Cedric Kaze amesema, amekuja nchini Tanzania kuwatumikia mabingwa hao wa kihistoria nchini humo na kuirudishia hadhi na...

Habari Mchanganyiko

Mvua Dar: 12 wapoteza maisha

WATU 12 wamefariki dunia jijini Dar es Salaam kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa  iliyonyesha tarehe 13 Oktoba 2020. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...

Michezo

Azam Fc, Mwadui Dimbani leo

LIGI kuu Tanzania Bara itaendelea tena leo kwa jumla ya michezo miwili kupigwa kwenye viwanja tofauti ambapo klabu ya Azam Fc itashuka dimbani...

Michezo

Ligi Kuu VPL kurejea tena leo

LIGI kuu soka Tanzania Bara inaendelea tena leo kwa kupigwa jumla ya michezo minne katika viwanja tofauti mara baada ya mapumziko ya michezo...

Michezo

Bosi GSM kuongoza kamati ya ushindi Taifa Stars

RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia amemteuwa Ghalib Said Mohammed kuwa Mwenyekiti wa kamati ya ushindi ya Timu...

Michezo

Bocco awekwa nje kikosi cha Taifa Stars

KOCHA wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ Etiene Ndayilagije amemuweka nje ya kikosi mshambuliaji wa klabu ya Simba John Bocco kutokana...

Michezo

KMC yaipeleka Yanga CCM Kirumba

TIMU ya KMC inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara imehamishia mchezo wake wa nyumbani dhidi ya klabu ya Yanga kwenye Uwanja wa CCM Kirumba,...

Michezo

Simba na Yanga yaota Mbaya, sasa kupigwa Novemba 7

BODI ya Ligi imehailisha mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, kati ya Yanga dhidi ya Simba uliokuwa uchezwe 18 Oktaba, 2020 na sasa...

Michezo

Pitso Mosimane aibwaga Mamelodi, atimkia Al Ahly

ALIYEKUWA kocha mkuu wa klabu ya Mamelody Sundown inayoshiriki Ligi Kuu nchini Afrika Kusini Pitso Mosimane ameachana na klabu hiyo hii leo 30...

error: Content is protected !!