KUELEKEA kufungwa kwa dirisha dogo la usajili, klabu ya Yanga imefanikiwa kumsajili mshambuliaji wa kimataifa kutoka Burundi, Fiston Abdul Razak ili kuongeza nguvu...
By Kelvin MwaipunguJanuary 15, 2021KLABU ya FC Platinum inayoshiriku Ligi Kuu nchini Zimbabwe imethibitisha kuwa imefikia makuabaliano na Simba kuhusu uhamisho wa kiungo wao mshambuliani Perfect Chikwende....
By Kelvin MwaipunguJanuary 15, 2021MABAO ya Meddy Kagare na Miraji Athumani yalitosha kuipeleka Simba kwenye fainali ya kombe la Mapinduzi baada ya kuiondosha Namungo FC kwenye mchezo...
By Kelvin MwaipunguJanuary 12, 2021KLABU ya Yanga imefanikiwa kuingia fainali ya Kombe la Mapinduzi na kuwaondosha Azam FC kwa mikwaju ya penati 5-4, baada ya kutoshana nguvu...
By Kelvin MwaipunguJanuary 11, 2021BEKI wa Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ Dickson Job ataukosa mchezo wa kesho wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya DR Congo...
By Kelvin MwaipunguJanuary 11, 2021ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Simba, Sven Vandenbroeck amesema, ameondoka ndani ya timu hiyo ili kumwezesha kuwa na uwiano kati yake na kazi, familia...
By Kelvin MwaipunguJanuary 8, 2021KLABU ya Soka ya Simba imepangwa kundi A, kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika pamoja na klabu za Al Ahly kutoka nchini...
By Kelvin MwaipunguJanuary 8, 2021KLABU ya Soka ya Namungo imepangwa kucheza na CD 1 de Agosto kutoka nchini Angola kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika kwenye...
By Kelvin MwaipunguJanuary 8, 2021MABIGWA watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Simba imetangaza kuachana na kocha wake mkuu, Sven Vandenbroeck. Anaripoti Kelvin Mwaipungu…(endelea). Simba imetangaza...
By Kelvin MwaipunguJanuary 8, 2021Bunge limeBUNGE la Marekani, limemuidhinisha rasmi, Joe Biden, kuwa rais mpya wa taifa hilo kubwa kiuchumi ulimwenguni na Kamala Hariss, kuwa makamu wake...
By Kelvin MwaipunguJanuary 7, 2021MITANDAO ya Twitter na Facebook, imezifunga kwa muda akaunti za rais wa Marekani, Donald Trump, kufuatia kutuma ujumbe kwa wafuasi wake waliovamia Bunge....
By Kelvin MwaipunguJanuary 7, 2021BAADA ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya FC Platinum kwenye mchezo wa raundi ya kwanza ya Kombe la Ligi ya...
By Kelvin MwaipunguJanuary 6, 2021BEKI mwandamizi wa Azam FC, Aggrey Morris ametangaza rasmi kustaafu kuitumikia timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ akiwa na umri wa miaka...
By Kelvin MwaipunguJanuary 5, 2021WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dk. Damasi Ndumbaro, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mchezo wa klabu bingwa barani Afrika, kati wenyeji Simba Sport...
By Kelvin MwaipunguJanuary 5, 2021SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeridhia ombi la klabu ya Simba kuchezwa kwa mchezo wao dhidi ya FC Platinum kuchezwa majira...
By Kelvin MwaipunguJanuary 4, 2021NYOTA Carlos Carlinhos moja kati ya wachezaji waliopo kwenye kikosi cha wachezaji 20 watakaokwenda kuiwakilisha klabu ya Yanga katika michuano ya Kombe la...
By Kelvin MwaipunguJanuary 4, 2021MSHAMBULIAJI wa Yanga, Saidi Ntibanzokiza huenda akaukosa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Tanzania Prisons, kutokana na kuumia kwenye mchezo uliopita...
By Kelvin MwaipunguDecember 29, 2020UONGOZI wa klabu ya Simba umemsimamisha kiungo wake mkabaji, Jonas Mkude kwa muda wa siku zisizojulikana kutokana na utovu wa nidhamu mpaka atakaposilizwa...
By Kelvin MwaipunguDecember 28, 2020SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetoa ufanunuzi juu ya sakata la kudaiwa na klabu ya Lipuli FC kiasi cha Sh. 10,000,000...
By Kelvin MwaipunguDecember 28, 2020HATUA ya Halima James Mdee na wenzake 18, kushitaki Kamati Kuu (CC) ya (Chadema, mbele ya Baraza Kuu la taifa (BKT), yaweza kuwa...
By Kelvin MwaipunguDecember 28, 2020LIGI Kuu nchini Uingereza kuendelea tena hii leo, ambapo klabu ya Manchester City itashuka dimbani kuwakabili Everton, huku Chelsea ikiwa nyumbani itapata wakati...
By Kelvin MwaipunguDecember 28, 2020DAKIKA 78 zilitosha kuifanya Yanga kuibuka na pointi tatu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Dodoma Jiji, uliochezwa kwenye Uwanja...
By Kelvin MwaipunguDecember 19, 2020MWAMUZI wa kati, Hery Sasii aliyechezesha mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Simba dhidi ya KMC na kutoa penati iliyozua utata...
By Kelvin MwaipunguDecember 18, 2020WINGA raia wa Ghana anayekipiga klabu ya Simba, Bernard Morrison ameachwa kwenye kikosi cha wachezaji 24 kilichosafiri kwenda Harare Zimbabwe kucheza mchezo wa...
By Kelvin MwaipunguDecember 18, 2020KIKOSI cha Azam FC chini ya kocha, George Lwandamina kitashuka dimbani leo kuwakabili Ruvu Shooting kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara utakaochezwa...
By Kelvin MwaipunguDecember 18, 2020KIKOSI cha Simba, viongozi pamoja na benchi la ufundi wamesafiri leo saa 4:30 na shirika la ndege la Air Tanzania kuelekea nchini Zimbabwe...
By Kelvin MwaipunguDecember 18, 2020KLABU ya Yanga imewatoa wachezaji wake Juma Mahadhi na Abdulaziz Makame kwa mkopo ufuatia kutopata nafasi kwenye kikosi hicho kwa sasa, sambamba na...
By Kelvin MwaipunguDecember 15, 2020BAO la dakika ya 90 +4 la Steven Sey lilitosha kuipatia Namungo sare kwenye mchezo dhidi ya Azam FC, katika mchezo wa Ligi...
By Kelvin MwaipunguDecember 15, 2020DROO ya michuano ya Klabu Bingwa Ulaya (Uefa) imechezeshwa hii leo ambapo klabu ya Liverpool itawavaa vigogo wa Ujerumani RB Leipzing ambao waliwaondosha...
By Kelvin MwaipunguDecember 14, 2020KLABU ya Simba kupitia kamati ya uchaguzi imetangaza rasmi mchakato wa uchaguzi mdogo wa klabu hiyo wa kujaza nafasi ya Mwenyekiti iliyoachawa wazi...
By Kelvin MwaipunguDecember 13, 2020MABINGWA wa kihistoria nchini Tanzania, Yanga ya jijini Dar es Salaam, wameendelea kujikusanyia pointi katika michezo ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara...
By Kelvin MwaipunguDecember 12, 2020LIGI Kuu Tanzania Bara msimu wa 2020/21 inaendelea tena mwisho wa juma hili ambapo vinara wa ligi hiyo klabu ya Yanga watakuwa ugenini...
By Kelvin MwaipunguDecember 11, 2020MSHAMBULIAJI wa klabu ya Simba, John Bocco amechaguliwa kuwa mchezaji Bora wa Novemba, huku kocha wa Ruvu Shooting, Charles Mkwasa akichaguliwa kuwa kocha...
By Kelvin MwaipunguDecember 10, 2020MARA baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Polisi Tanzania, Kocha wa Simba, Sven amesema kuwa timu yake ilimiliki mpira...
By Kelvin MwaipunguDecember 9, 2020RAIS wa Tanzania, John Magufuli amesema wakati umefika kwa timu ya Taifa Tanzania (Taifa Stars) kuundwa bila ya kuwa na wahcezaji wanaotoka katika...
By Kelvin MwaipunguDecember 9, 2020MWENYEKITI wa klabu ya Yanga, Dk. Mshindo Msolla ameteua wanachama nane wa klabu hiyo akiwemo Wakili Iman Madega kuunda Kamati ya Mabadiliko ya...
By Kelvin MwaipunguDecember 8, 2020RB Leipzing inashiliki Ligi Kuu ya Ujerumani imeshikilia hatma ya klabu ya Manchester United kufuzu kwenye hatua ya 16 bora ya michuano ya...
By Kelvin MwaipunguDecember 8, 2020MAKOCHA vigogo katika Ligi Kuu England, Jose Mourinho, Frank Lampard na Ole Gunna Solskjaer ni miongoni mwa makocha wanne walio kwenye kinyang’anyiro cha...
By Kelvin MwaipunguDecember 8, 2020PROFESA Abdallah Safari, Makamu Mwenyekiti mstaafu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) amesema, Halima Mdee, aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la...
By Kelvin MwaipunguDecember 4, 2020MKUU wa Wilaya ya Hai Mkoa wa Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya, ameagiza kuvunjwa kwa mabaraza ya ardhi kata za Kia na Mnadani wilayani...
By Kelvin MwaipunguDecember 3, 2020SIKU moja tu kufuatia kauli ya Msemaji wa klabu ya Simba, Haji Manara ya kutotaka mashabiki wa timu pinzani kuingia Uwanjani kwenye mchezo...
By Kelvin MwaipunguDecember 3, 2020GEORGE Lwandamina, aliyewahi kuwa Kocha Mkuu wa Klabu ya Yanga nchini Tanzania kati ya mwaka 2016 hadi 2018, amewasili nchini humo kujiunga na Azam...
By Kelvin MwaipunguDecember 3, 2020KLABU ya Simba imefanikiwa kumsaini kiungo makabaji wa kimataifa kutoka nchini Uganda, Taddeo Lwanga ambaye amekuja kuziba pengo la Gerson Fraga ambaye amepata...
By Kelvin MwaipunguDecember 2, 2020‘TIKI Taka mpaka kwa Mkapa,’ ndio kauli mbiu wanayoingia nayo klabu ya Simba kwenye mchezo wa marudiano wa klabu bingwa barani Afrika hatua...
By Kelvin MwaipunguDecember 2, 2020SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeandaa bonanza kwa ajili ya vyombo vya Habari litakalofanyika tarehe 6 Desemba 2020 kwenye viwanja vya...
By Kelvin MwaipunguDecember 1, 2020LEO tarehe 27 Novemba, 2020 ndio siku inayopigwa fainali ya klabu bingwa Afrika inayozikutanisha miamba ya soka nchini Misri, klabu ya Al Ahly...
By Kelvin MwaipunguNovember 27, 2020MSHAMBULIAJI wa Azam FC na timu ya Taifa ya Zimbabwe, Price Dube ataondoka nchini Jumapili ya tarehe 29 Novemba, 2020, kuelekea Afrika Kusini...
By Kelvin MwaipunguNovember 26, 2020DIEGO Maradona mchezaji wa zamani na kocha wa Timu ya Taif ya Argentina amefariki Dunia siku chache baada ya kufanyiwa upasuaji wa kichwa...
By Kelvin MwaipunguNovember 25, 2020BAADA ya kufanikiwa kuondoka na pointi tatu dhidi ya Azam FC kwa bao 1-0, Yanga sasa inapanda mpaka nafasi ya kwanza, baada ya...
By Kelvin MwaipunguNovember 25, 2020KLABU ya Liverpool inayoshriki Ligi Kuu England imetoa wachezaji wanne kati ya 11 waliopo kwenye kinyang’anyiro cha tuzo ya mchezaji bora wa Dunia...
By Kelvin MwaipunguNovember 25, 2020