Friday , 19 April 2024
Home kelvin
1174 Articles83 Comments
Michezo

Manara amtaka mchezaji Simba kuongeza mkataba

  Afisa Habari wa klabu ya Simba Haji Manara amemtaka beki wa kushoto wa Timu hiyo Mohammed Hussein kuongeza mkataba kutokana na uwezo...

Michezo

Simba yaishusha Yanga kileleni

Bao la dakika ya 28 lililofungwa na Mohammed Hussein kwenye mchezo dhidi ya Gwambina lilitosha kuipeleka Simba kileleni kwenye msimamo wa Ligi Kuu...

Habari Mchanganyiko

TMA: Kimbunga Jobo kimepungua nguvu

  MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imesema kimbunga ‘JOBO’ kipo umbali wa kilomita 200 mashariki mwa kisiwa cha Mafia. Kimbunga hicho...

Sports

Kisinda hati hati kuikosa Azam Fc

  Winga wa klabu ya Yanga Tuisila Kisinda huwenda akaukosa mchezo wa kesho wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Azam Fc mara...

Michezo

FIFA yaifungia Simba kusajili

  SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) limeifungia klabu ya Simba kusajili katika kipindi kimoja cha dirisha hilo kufuatia kutiwa hatiani kwa...

Habari za Siasa

Rais Samia: Mwendo ni ule ule

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema, wale wanaodhani usimamizi wa rasilimali za nchi, ukwepaji kodi, rushwa vimekwenda na Hayati John Magufuli,...

Habari za Siasa

Rais Samia amsifu Dk. Magufuli, amtaja Dk. Kikwete, Karume

  RAIS WA Tanzania, Samia Suluhu Hassa, amesifu uongozi wa kutukuka wa mtangulizi wake, Hayati John Magufuli huku akimtaja Rais Mstaafu wa Zanzibar,...

MichezoTangulizi

Simba bado pointi mbili kuishusha Yanga

  USHINDI wa mabao 2-0, ulitosha kuifanya Simba kuondoka na pointi tatu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Kagera Sugar....

Michezo

‘Europian Super League’ yaota mbawa baada ya timu sita kujitoa

  MICHUANO ya Europian Super League haitafanyika tena baada ya klabu sita kutoka nchini England kujitoa kushiriki kutokana na mashabiki na wadau wa...

Michezo

‘Europian Super League’ yaondoka na Ed Woodward Man United

  MTENDAJI Mkuu wa Manchester United, Ed Woodward ataachana na timu hiyo mwisho wa mwaka 2021, kufuatia kuhusishwa kwake na kuanzishwa kwa michuano...

Michezo

Nchimbi: Nilikuwa naumia kutofunga

  BAADA ya kupachika bao lake baada ya mwaka mmoja na siku 52 kupita, mshambuliaji wa klabu ya Yanga, Ditram Nchimbi amesema kuwa...

MichezoTangulizi

Yanga yaipiga Gwambina, yazidi kuikimbia Simba

  MABINGWA wa kihistoria Tanzania Bara, Yanga ya Dar es Salaam, imeendeleza vipigo kwenye ligi kuu nchini humo, kwa kuifunga 3-1, Gwambina FC...

Michezo

Kocha aliyekaa siku 41 Al Merreikh atua Yanga

  KLABU ya Soka ya Yanga leo imemtambulisha Mohamed Nasreddine Nabi aliyedumu kwenye kikosi cha Al Merreikh ya Sudan kwa siku 41, kuwa...

MichezoTangulizi

Nchimbi amefunga tena baada ya mwaka na siku 52

  BAADA ya kupita mwaka mmoja na siku 52, hatimaye mshambuliaji wa klabu ya Yanga, Ditram Nchimbi amefanikiwa kupachika bao kwenye mchezo wa...

Michezo

Simba, Vunja Bei waingia mkataba wa Bil. 2

  KLABU ya Simba leo imeingia mkataba wa kiasi cha Sh. bilioni mbili na kampuni ya Vunja Bei Group, ambapo watakuwa watengenezaji na...

Michezo

VPL: Yanga kutabasamu, Simba kuendeleza ubabe?

  MTIFUANO wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2020/21, inaendelea leo Jumamosi tarehe 17 Aprili 2021 na kesho Jumapili, katika viwanja mbalimbali nchini humo....

Michezo

Yanga yabanwa mbavu na KMC

  TIMU  ya KMC imewabana mbavu Yanga kwa kuwalazikisha  sare ya bao 1-1, katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa kwenye Uwanja...

Michezo

Simba kukutana na timu hizi Robo Fainali

  BAADA ya kukubali kichapo cha bao 1-0, dhidi ya Al Ahly na kumaliza nafasi ya kwanza kwenye kundi A, klabu ya Simba...

Habari

Mama mzazi wa IGP Sirro afariki dunia

MONICA Nyabyamari, mama mzazi wa Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) wa Tanzania, Simon Sirro, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumamosi, tarehe 10...

Michezo

Mbunge ataka wawekezaji kwenye soka walindwe

  MBUNGE wa Makete (CCM), Festo Sanga ametaka wawekezaji kwenye mpira wa miguu nchini walindwe na kutoruhusu watu kuwashambulia bila utaratibu wakati michakato...

Michezo

Nahodha Yanga: Kuondoka Kaze siyo mwisho wa mbio za ubingwa

  NAHODHA wa klabu ya Yanga, Lamine Moro amewashangaa wanaodai kuwa timu hiyo imekata tamaa na ubingwa wa Ligi kuu Tanzania Bara, baada...

Michezo

Okwi arejea Simba, aongeza mzuka

  MSHAMBULIAJI wa timu ya Taifa ya Uganda na klabu ya Al Ittihad Alexandria, Emmanuel Okwi  ameongeza mzuka kwenye kambi ya Simba iliyopo...

Michezo

Yanga: Hatujapokea hukumu ya Mwakalebela

  KLABU ya Yanga kupitia kwa Afisa Habari na Mawasiliano, Hassan Bumbuli, amesema mpaka sasa hawajapokea nakala ya hukumu ya Makamu Mwenyekiti wao,...

Michezo

Namungo, Ihefu hakuna mbabe, Mbeya City, Kagera Sugar sare

  MICHEZO miwili ya Ligi Kuu imemalizika kwa michezo yote miwili kutoka bila mbabe na kila timu kuondoka na pointi moja. Anaripoti Kelvin...

Habari

CAG: Nyaraka za kughushi zilitumika Jeshi la Zimamoto

MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere amesema, nyaraka za fedha za kughushi zimetumika katika Jeshi la Zimamoto na...

Michezo

Mabadiliko Yanga yanoga, kuitisha Mkutano Mkuu

  UONGOZI wa klabu ya Yanga upo mbioni kuitisha mkutano mkuu wa wanachama hivi karibuni huku moja ya ajenda ikiwa ni mabadiliko ya...

Michezo

Mwigulu: Rais anaimani na wana Yanga

  WAZIRI wa Fedha na Mipango, Mwigulu Nchemba amesema kuwa kuteuliwa kwake kuwa waziri wa wizara hiyo pamoja na uteuzi wa Makamu wa...

Michezo

Ligi Kuu Bara kuendelea leo, michezo miwili kupigwa

  LIGI Kuu Tanzania Bara inaendelea tena leo, ambapo michezo miwili itapigwa kwenye viwanja tofauti. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea)....

Michezo

Simba yawasili Cairo kukamilisha ratiba na Al Ahly

  KIKOSI cha wachezaji pamoja na viongozi wa klabu ya Simba umewasili salama jijini Cairo, Misri kwa ajili wa Ligi ya Mabingwa dhidi...

Michezo

Chama tishio Afrika

  KIUNGO wa klabu ya Simba, Clatous Chama amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa wiki barani Afrika mara baada ya kuwashinda, Ricardo Goss wa Mamelodi...

Michezo

Kufungiwa Mwakalebela, Yanga yaikomalia TFF

  UONGOZI wa klabu ya Yanga umesema kuwa haujaridhishwa kufungiwa kwa miaka mitano kwa Makamu Mwenyekiti wao, Fredrick Mwakalebela baada ya kukutwa na...

Michezo

Simba kuifuata Al Ahly jioni ya leo

  KIKOSI cha wachezaji pamoja na viongozi wa klabu ya Simba wataondoka jioni ya leo tarehe 6 Aprili, 2021, kuelekea nchini Misri kwa...

Michezo

Madrid, Liverpool vitani leo

  HATUA ya Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA0 inataendelea hii leo, ambapo Real Madrid itashuka dimbani kuikabili Liverpool kwenye Uwanja...

Michezo

Chama, Miquisone waingia kikosi bora cha wiki Afrika

  WACHEZAJI wawili wa kikosi cha Simba, Clatous Chama na Luis Miquisone wameingia kwenye kikosi cha kwanza cha wiki barani Afrika. Anaripoti Kelvin...

Habari

Rais Samia aanzisha salamu mpya

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameanzisha salamu mpya ambayo atakuwa akiitumia katika shughuli mbalimbali. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Samia...

Michezo

Ibenge: Siwezi kuogopa, tumekuja kucheza

KOCHA wa klabu ya As Vita Florent Ibenge amesema hawezi kuhofia wala kuogopa kucheza na Simba kutokana na ubora waliokuwa nao kwa sasa...

Michezo

Rais Samia amtwika mzigo Gekul

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemtaka Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Pauline Gekul, kutetea...

HabariTangulizi

Rais Samia: Hivi nina maradhi gani na katiba mpya

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amejishangaa jinsi ambavyo amekuwa akilitaja jina la Bunge la Katiba, badala ya Bunge la Bajeti. Anaripoti...

Habari

Rais Samia akemea kutumia nguvu kukusanya kodi, kuzifungia akaunti

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amekerwa na kitendo cha matumizi ya nguvu katika kukusanya kodi ikiwemo kuzifungia akaunti za wafanyabiashara na...

Michezo

AS Vita kutua leo usiku

  MSAFARA wa wachezaji 33 pamoja na viongozi wa klabu ya AS Vita kutoka Jamhuri ya Congo, utawasili jijini Dar es Salaama hii...

Michezo

Simba dhidi ya AS Vita, mashabiki ruksa

  SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeiruhusu klabu ya Simba kuingiza mashabiki kwenye mchezo wao dhidi ya AS Vita kutoka Jamhuri...

Habari

Serikali yatangaza neema makato mikopo ya elimu ya juu

  SERIKALI ya Tanzania, imeahidi kufanyia mapitio kanuni za sheria ya bodi ya mikopo ya elimu ya juu, ili kuondoa changamoto ya makato...

Michezo

Ligi Kuu Bara kurejea Aprili 8

  BAADA ya Ligi Kuu Tanzania Bara kusimama kupisha michezo ya kimataifa na maombolezo, sasa itaendelea tena Aprili 8, 2021 kwa michezo miwili...

HabariTangulizi

Takukuru tumekuta milioni 8.5 kwa bosi wa bandari

  TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) nchini Tanania, imesema imepekua nyumbani kwa aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Bandari Tanzania (TPA), Desdedit...

Michezo

Al Merreikh wamtengea Manula donge nono

  KLABU ya Al Merreikh inayoshiki Ligi Kuu nchini Sudan imeonekana kutaka saini ya mlinda mlango wa klabu ya Simba na Timu ya...

Michezo

Ishu ya Mukoko na Kaizer Chiefs iko hivi

  MARA baada ya tetesi za Mokoko Tonombe kutakiwa na klabu ya Kaizer Chiefs inayoshiriki Ligi Kuu Afrika Kusini uongozi wa klabu hiyo...

HabariTangulizi

Mambo 6 yajayo Bunge la Bajeti

  SAFARI ya siku zaidi ya 90 ya mkutano wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inaanza kesho Jumanne saa 3:00 asubuhi,...

HabariTangulizi

Toba ya UVCCM yaibua mjadala

  HATUA ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), kuwaomba radhi Watanzania, imewaibua wanasiasa na wanaharakati. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...

Habari Mchanganyiko

Zitto aongoza 40 ya Maalim Seif Pemba

  KIONGOZI wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amewaongoza wanachama na viongozi wa chama hicho kwenye arobaini ya Maalim Seif Sharif Hamad. Anaripoti Mwandishi Wetu…endelea....

Habari za Siasa

NEC: Uchaguzi jimbo la Muhambwe Mei 2

  TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania, imetangaza uchaguzi mdogo wa Jimbo la Muhambwe, mkoani Kigoma ambao utafanyika tarehe 2 Mei...

error: Content is protected !!