Tuesday , 23 April 2024
Home christina
176 Articles20 Comments
Habari Mchanganyiko

Jamii yashauriwa usimamizi shirikishi wa misitu

JAMII imeshauriwa kuzingatia dhana ya usimamizi shirikishi wa misitu kibiashara yenye kulenga kuwapatia kipato kufuatia utunzaji wa misitu na uvunaji endelevu. Anaripoti Christina Haule,...

Habari Mchanganyiko

Watakaobadili matumizi ya kanisa kulaaniwa

WAUMINI wa Kanisa la Mama Maria Mkuu wa Kanisa la Kigurunyembe Manispaa ya Morogoro mkoani hapo wameaswa kutobadili matumizi ya kanisa hilo na...

Habari Mchanganyiko

Mil 46 zatengwa kusimamia misitu

JUMLA ya shilingi mil 46 zimetengwa na Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa mkoani hapa kwa mwaka wa fedha 2018/19 kwa ajili ya Usimamizi...

Habari Mchanganyiko

Kiwanda cha nguo chapongezwa kuzuia uchafuzi wa mazingira

KIONGOZI wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Charles Francis kabeho amezingdua mradi wa kuchakata maji taka kwenye kiwanda cha nguo 21st Century...

Habari Mchanganyiko

Wakuliwa wanaoishi karibu ya vituo vya Utafiti kufaidika

WATAFITI wa mbegu waliopo kwenye vituo 16 vya Utafiti wa mazao mbalimbali hapa nchini wameshauriwa kuhakikisha mbegu wanazozalisha kwanza zinatumiwa na wakulima wanaozunguka...

Habari Mchanganyiko

Bil 2 zatengwa kukuza Kilimo Biashara

TAASISI binafsi ya kusaidia Sekta ya kilimo Tanzania (PASS) imetenga kiasi cha Sh. 2 bilionikwa ajili ya kuwawezesha Wahitimu 100 kila mwaka kutoka Chuo Kikuu cha...

Habari Mchanganyiko

Matumizi ya mbegu bora yaongezeka kwa kasi

MATUMIZI ya mbegu bora za mazao mbalimbali hapa nchini yameongezeka kwa sasa kutoka asilimia 20 iliyokuwa miaka ya nyuma  hadi kufikia asilimia 85...

Habari Mchanganyiko

TARI kuwaondolea wakulima mbegu za zamani

TAASISI ya Utafiti wa kilimo Tanzania (TARI) kupitia kitengo cha Uhawilishaji teknolojia na mahusiano ina mpango wa kuzalisha mbegu za aina mbalimbali kwa...

Afya

Watoto wenye ulemavu waomba Bima ya Afya bure

WAZAZI na walezi wenye watoto walemavu wa akili na viungo nchini wameiomba Serikali kuwakatia Bima ya Afya kwa ajili ya matibabu ya watoto...

Habari za SiasaTangulizi

Waajiliwa wa CCM wajilipa Mil 270 kabla ya wakati

JUMUIYA ya Wazazi Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Morogoro imewasimamisha kazi mwalimu mkuu wa shule ya sekondari Mkono wa Mara, Rajabu Vindili...

Habari za SiasaTangulizi

Madiwani Moro wachunguza upotevu wa Mil 350

BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro limeunda Kamati maalum ya kuchunguza upotevu wa kiasi cha Sh. 353 milioni ambazo hazikuingizwa...

Habari Mchanganyiko

Wakuliwa watakiwa kulima pilipili kichaa

WAKULIMA Mkoani Morogoro wametakiwa kuchangamkia fursa ya kilimo cha pilipili kichaa kutokana na zao hilo kuwa na soko huku likiwa na sifa ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Watoto watakiwa kujenga ujasiri dhidi ya unyanyasaji

WATOTO nchini wametakiwa kujenga ujasiri kwa kupaza sauti pindi wanapoona kuna viashiria vya unyanyasaji na vitendo vya ukatili dhidi yao kutoka kwa baadhi...

Habari Mchanganyiko

Wakulima Moro waondokana na adha ya masoko

JUMLA ya vikundi 46 vya wakulima wa mazao mbalimbali mkoani Morogoro wameanza kuondokana na adha ya kukosa masoko ya bidhaa zao kufuatia kukutanishwa...

Habari Mchanganyiko

Wakulima wapewa dawa na mbegu feki

JUMLA ya Maofisa Kilimo kutoka katika Wilaya mbalimbali na mikoa ya Nyanda za Juu Kusini wamepatiwa mafunzo na kuwa wakaguzi walioidhinishwa ili kudhibiti matukio...

Habari Mchanganyiko

Watumishi Manispaa Morogoro mbaroni kwa rushwa

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa mkoani Morogoro (TAKUKURU) imewapandisha kizimbani watuhumiwa wawili wa Serikali kwa makosa ya kujihusisha na vitendo vya...

Habari Mchanganyiko

Wafanyabiashara Moro wapigwa marufuku kupanga biashara ardhini

WAFANYABIASHARA ndogondogo wanaopanga biashara zao chini katika maeneo mbalimbali Mkoa wa Morogoro wamepewa siku 14 kuhakikisha wanaweka bidhaa zao kwenye meza ili kuepuka...

Habari Mchanganyiko

Wakulima Morogoro watoa kilio chao kwa Serikali

WAKULIMA wadogo mkoani Morogoro wameiomba Serikali kuangalia uwezekano wa kuyashauri makampuni ya mbolea kupunguza kipimo cha mifuko ya mbolea ambacho watamudu kununua ili...

Habari Mchanganyiko

Wafanyakazi watakiwa kupeleka vilio vyao Mei Mosi

WAFANYAKAZI nchini wametakiwa kuendelea kuhamasika kujitokeza kwa wingi wakati wa maandamano kwenye siku ya maadhimisho ya Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi ili...

Habari Mchanganyiko

Wakulima wadogo wapigiwa debe kuhudhuria 88

MKUU wa Idara ya mazao ya Utafiti wa kilimo Kanda ya Mashariki, Salvatory Kundi ameiomba Serikali kutafuta njia mbadala ya kuwawezesha wakulima wadogo...

Habari Mchanganyiko

ATCL watakiwa kubadilika

WATUMISHI wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) wamewashauriwa kuchukua hatua ya kubadilika kuendana na mabadiliko yaliyopo katika usafiri wa ndege kwa sasa ili...

Habari Mchanganyiko

Wafanyabiashara wa ng’ombe watishia kugoma

WAFANYABISHARA wa mifugo wanaopeleka katika machinjio ya kisasa ya Kizota mkoani Dodoma wametishia kuacha biashara hiyo baada ya kuibuka kwa faini kubwa mbalimbali...

Habari Mchanganyiko

Ukikamatwa na mzani feki faini 50 mil

WAFANYABIASHARA wametakiwa kufuata utaratibu na kutumia mizani iliyohakikiwa na Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA) ili waweze kuuza bidhaa kihalali na kuepuka kuwapunja wateja...

Habari Mchanganyiko

Wanahabari Moro watoa mafunzo kwa wakulima

WAKULIMA wa bonde la mpunga la Mgongola lililopo wilayani Mvomero mkoani Morogoro wameiomba serikali kuwapatia hatimiliki za mashamba yao ili waweze kuyaendeleza bila...

Afya

Vyeti Feki vyafagia wafanyakazi TUGHE

CHAMA cha wafanyanyakazi wa Serikali na Afya (TUGHE) kimepoteza zaidi ya wanachama 9,000 kufuatia hatua ya kuwaondoa watumishi wenye vyeti feki na walioajiliwa...

Habari Mchanganyiko

Wataafu TRL walilia mafao yao

WAFANYAKAZI wastaafu zaidi ya 100 wa kampuni ya Reli Tanzania (TRL) kuanzia mwaka 2012 hadi  2017 wamemuomba Rais John Magufuli kuingilia kati kitendo...

Habari Mchanganyiko

Ujenzi soko la Sabasaba Morogoro wageuka kitendawili

HALMASHAURI  ya Manispaa ya Morogoro imeombwa kuweka wazi na kuanza mapema ujenzi wa soko kuu jipya la kisasa, anaandika Christina Haule. Soko hilo...

Habari Mchanganyiko

Mkandarasi wa barabara ‘awachefua’ Madiwani Morogoro

MWENYEKITI  wa  Kamati ya Mipango Miji katika Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro,  Amir Nondo ameiomba iundwe kamati maalum kwa...

Habari Mchanganyiko

Wauzaji kuku Singida wapaza sauti

WAFANYABIASHARA wa soko la kuku mkoani Singida wameiomba Serikali kuangalia na kuboresha upatikanaji wa masoko ya uhakika hapa nchini, anaandika Christina Haule. Ombi...

Habari Mchanganyiko

Albino wakimbilia kwa Rais Magufuli

CHAMA cha wenye Ulemavu wa Ngozi Tanzania (TAS) kimemuomba Rais Dk. John Magufuli kutoa tamko la kukemea vikali vitendo vya ukatili kwa watu...

Habari Mchanganyiko

Wafugaji chanzo cha migogoro ya ardhi

WAFUGAJI katika wilaya ya Mvomero Mkoani hapa wametakiwa kufuata maelekezo wanayopewa na maofisa kilimo na mifugo juu ya ufugaji wa kisasa ili kupunguza...

Habari Mchanganyiko

Wanaswa wakisafirisha dawa za kulevya

WATU watatu wanashikiliwa na jeshi la polisi mkoani hapa kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo la dawa ya kuleya aina ya bangi, anaandika Christina Haule....

Habari Mchanganyiko

Mbaroni kwa kumkata mkono albino

JESHI la polisi mkoa wa Morogoro linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kumkata mkono mlemavu wa ngozi /albino katika kijiji cha Nyarutanga kata...

Habari Mchanganyiko

Serikali yafanya msako uuzaji mbolea

MAMLAKA ya Udhibiti wa Mbolea nchini (TFRA) imewataka wafanyabiashara wakubwa na wa kati kuzingatia bei elekezi ya uuzaji wa mbolea na uhifadhi wake...

Habari Mchanganyiko

Migogoro ya ardhi yavuruga vijiji

SERIKALI imeombwa kutoa elimu kwa viongozi wa ngazi za vijiji  ili waweze kusimamia na kuzitumia sheria ndogo za ardhi zilizopo kwa ajili ya ...

Habari Mchanganyiko

Mashishanga atoa neno migogoro wakulima, wafugaji

WAKAZI wa kata mbalimbali wilayani Mvomero mkoani Morogoro wametakiwa kutoa ushirikiano kwa Chama cha Waandishi wa Habari (MOROPC), ili kuboresha shughuli za kupambana...

Habari Mchanganyiko

Wadau washauri kufufuliwa chuo cha Tetemeko

SERIKALI  imetakiwa kufufua chuo cha elimu ya tetemeko la ardhi kilichowepo mkoani Dodoma ili kuwafanya Watanzania kutambua na kujikinga mapema na madhara ya...

Habari Mchanganyiko

Diwani aililia serikali ya Rais Magufuli

WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imeombwa kuangalia uwezekano wa kuipa usajili shule ya sekondari ya Matuli iliyopo wilayani Morogoro vijijini ili...

Habari za Siasa

CCM yambomoa Zitto Kabwe Morogoro

WANACHAMA watatu wa Chama cha ACT -Wazalendo akiwemo aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo la Morogoro kusini Mashariki mwaka 2015 na Mwenyekiti wa jimbo...

Habari Mchanganyiko

Serikali yashauriwa kutenga maeneo ya wafugaji

SERIKALI imeombwa kuangalia uwezekano wa kutenga maeneo kwa ajili ya ufugaji mkubwa kwa kutumia mashamba pori yaliyotaifishwa kutoka kwa wakulima walioshindwa kuyaendeleza ili...

Habari Mchanganyiko

Sh. bilioni 1.5 zanufaisha wakulima

TAASISI ya kifedha ya inayohusika na kukopesha mashine mbalimbali ikiwemo matrekta (EFTA), imeahidi kuendelea kuboresha huduma hizo ili kuongeza nguvu za kukuza uchumi...

Afya

Ukosefu wa huduma za afya wazua taharuki Kilosa

UKOSEFU wa Zahanati na ubovu wa miundombinu katika kata ya Mabula wilayani Kilosa mkoani Morogoro imesababisha wanawake watatu kupoteza maisha wakati wakiwahishwa kujifungua...

Habari Mchanganyiko

Wilaya ya Kilosa kujenga maabara kila shule

MWENYEKITI wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa, Hassan Mkopi amesema Wilaya ina mpango wa kujenga chumba kimoja cha Maabara katika kila shule ya...

Habari Mchanganyiko

Wakulima waiomba serikali mashamba ya kulima

SERIKALI kupitia wizara ya kilimo na mifugo imeombwa kuangalia uwezekano wa kuwapatia mashamba wakulima wanaotoa elimu kwenye maonesho ya wakulima ya imo nane...

Habari Mchanganyiko

Lake Oil ‘wapigwa kufuli’ Morogoro

SERIKALI mkoani Morogoro kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imevifungia vituo vinne vya kuuza mafuta, kwa kosa la kukiuka agizo la...

Habari Mchanganyiko

Profesa Maghembe atoa neno Morogoro

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe amewahimiza viongozi kuanzia ngazi ya mkoa, wilaya hadi vijiji kuhakikisha wanasimamia uwepo wa bei nzuri...

Habari Mchanganyiko

Vijana 40 wakumbukwa kiuchumi Morogoro

MAKUNDI mawili ya vijana wapatao 40 kutoka wilaya ya Kilosa mkoani hapa wamepatiwa msaada wa vifaa mbalimbali vyenye thamani ya Sh. 10 milioni...

Habari Mchanganyiko

NSSF kukusanya Sh. trilioni 1.3 kwa mwaka

SHIRIKA la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) linatarajia kukusanya kiasi cha Sh.trilioni 1.3 kwa mwaka wa fedha 2018/2019, anaadika Christina Haule. Mkurugenzi...

Habari Mchanganyiko

Bonde la Wami Ruvu kutangazwa hifadhi

WIZARA ya Maji na Umwagiliaji kupitia Bonde la Wami Ruvu inakusudia kutangaza  eneo hilo kama  hifadhi ya vyanzo vikuu vya maji nchini, anaandika...

Habari Mchanganyiko

Watafiti watakiwa kusaka mbegu ya miwa milimani

CLIFFORD Tandari, Katibu Tawala Mkoa wa Morogoro amewataka watafiti wa zao la miwa kuhakikisha wanapata mbegu zinazostahimili kilimo cha milimani ili kuachana na...

error: Content is protected !!