Thursday , 18 April 2024
Home christina
176 Articles20 Comments
Habari Mchanganyiko

Wadau wa misitu wataka mabadiliko ya sheria ya misitu

WADAU wa misitu wameomba mabadiliko ya Sheria na Sera za misitu ili ziwekwe vizuri, kusaidia kuondoa uharibifu wa misitu nchini. Anaripoti Christina Haule,...

Habari Mchanganyiko

Waitara aagiza wanafunzi kupanda miti Mil 12

MWITA Waitara, Naibu Waziri wa Nchi – Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), ameagiza wanafunzi milioni 12 wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mangula ‘awatupia mzigo’ wanasiasa

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) – Taifa, Philiph Mangula amesema, wasiasa ndio wamekuwa chanzo cha viashiria vya kuteteresha amani ya nchi. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Kamati ya Ukimwi Moro kutoa elimu ujasiriamali

WAJUMBE wa Kamati ya Ukimwi, Manispaa ya Morogoro, wanajipanga kutoa elimu ya ujasiriamali, kwa makundi mbalimbali wakiwemo vijana. Anaandika Christina Haule, Morogoro … (endelea)....

Habari Mchanganyiko

Uvunaji misitu hovyo wapoteza hekta laki nne kwa mwaka

UVUNAJI misitu kwa njia endelevu nchini unapaswa kuendelezwa ili kunusuru uharibifu wa misitu uliopo unaosababisha upotevu wa hekta zaidi ya 469,000 kila mwaka...

Habari Mchanganyiko

Ummy Mwalimu mgeni rasmi, kampeni ya linda ardhi ya mwanamke

WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa Kampeni ya Linda ardhi...

Habari Mchanganyiko

DC Mvomero awapa somo wavunaji misitu

MWALIMU Mohamed Utaly, Mkuu wa Wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro, amewataka wavunaji wa misitu, wabebaji na wauzaji wa mkaa kwenye pikipiki na fuso...

Habari Mchanganyiko

Atakayewarudisha kwenye mapigano wakulima, wafugaji kukiona

SERIKALI wilayani Mvomero mkoani Morogoro imesema, itashughulikia mtu yeyote ambaye atathubutu kuwarejesha nyuma kwenye mapigano ya wakulima na wafugaji ambayo wameshayasahau. Anaripoti Christina...

Habari Mchanganyiko

Maleria yaahirisha kesi ya wafugaji, askari

MAHAKAMA ya Mwanzo Mikongezi, Mvomero imelazimika kuahirisha kesi ya kujeruhi iliyowahusisha wafugaji watatu waliowajeruhi askari wanyamapori sehemu mbalimbali za miili yao baada ya...

Habari za Siasa

Kuelekea Uchaguzi Serikali za Mitaa, wanawake waaswa

MWENYEKITI wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro, Kibena Kingo amewataka Madiwani wanawake nchini kuzidisha upendo baina yao na kuacha unafiki jambo litakalowasaidia kushika...

Habari Mchanganyiko

JNHPP yahamasisha uhifadhi misitu endelevu

MRADI wa kuzalisha umeme wa Julius Nyerere (JNHPP), utaweza kuwa endelevu endapo uhifadhi na utunzaji wa misitu hasa ya vijiji utakuwa endelevu na...

Habari Mchanganyiko

‘Limeni kilimo kinachohimili mabadiliko tabia ya nchi’

WAKULIMA nchini wametakiwa kutumia ardhi ndogo ya kilimo waliyonayo, kuzalisha kwa tija na kufikia malengo ya kilimo kinachohimili mabadiliko ya tabia nchi (CSA). Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Wazee Morogoro waiangukia MORUWASA

WAZEE mkoani Morogoro wameiomba Mamlaka ya maji safi na maji taka mkoa (MORUWASA) kuhakikisha huduma ya maji inafika kila eneo ili kuwasaidia wazee...

Habari Mchanganyiko

Watendaji Kata wapewa rungu katika maeneo yao

MKUU wa Wilaya ya Kilosa, Morogoro, Adam Mgowi amewataka watendaji wa kata kufanya kazi ya kusimamia mambo yanayotolewa na Serikali ikiwemo rasilimali fedha,...

Habari Mchanganyiko

Wafanyabiashara watakiwa kufuata sheria za miji

SHIRIKA la kuwahudumia wakimbizi la Tanganyika (TCRS) lililopo mkoani hapa limewataka wafanyabiashara kutii sheria za miji na majiji zilizopo bila shuruti huku akiwaasa...

Habari Mchanganyiko

Kilosa wapewa elimu ya kusimamia rasilimani za umma

WAKAZI wilayani Kilosa wametakiwa kufuatilia na kusimamia kikamilifu matumizi ya rasilimali za Umma hasa kwenye sekta ya elimu ili kuboresha miundombinu ya shule...

Habari Mchanganyiko

Wafugaji kuku watakiwa kufuata maelekezo ya wataalam

WAFUGAJI wa kuku nchini wameshauriwa kufuata maelekezo ya wataalam na kuongeza uzalishaji ili bei ya kuku kuweza kushuka na jamii kununua na kula...

Habari Mchanganyiko

NIDA watakiwa kuongeza ofisi za kutoa vitambulisho

MKUU wa mkoa wa Morogoro Dk. Kebwe Steven Kebwe ameiagiza ofisi ya Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) mkoa, kuongeza vituo vya  kutolea...

Habari MchanganyikoTangulizi

Waziri Mkuu Majaliwa aunda tuwe kuchunguza ajali ya moto Morogoro

WAZIRI mkuu Kassim Majaliwa amesema serikali imeunda tume ya wataalam mbalimbali kuchunguza kama mamlaka za serikali ziliwajibika ipasavyo katika kudhibiti ajali ya moto...

Habari Mchanganyiko

Mtoto miaka nane amuua mwezake wa mwaka mmoja kwa panga

SAID Stephen na mtoto wake wa kike (jina linahifadhiwa), wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Morogoro kwa tuhuma za kuhusika kwenye mauaji ya mtoto...

Habari Mchanganyiko

Elimu ya mkaa endelevu kutolewa kutunza mazingira

MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Viwanda, Biashara na mazingira, Suleiman Sadiq ameshauri elimu zaidi kutolewa kuhusu Mradi wa Kuleta Mageuzi katika Sekta...

Habari Mchanganyiko

Morogoro watenga 25% za mapato kutunza misitu

MADIWANI wa Halmashauri ya wilaya ya Morogoro wameazimia kutenga asilimia 25 wanayokusanya kutoka vijiji vya mradi wa mkaa endelevu kila mwaka na kuanzisha...

Habari Mchanganyiko

Morogoro waomba kutosahauliwa mradi wa Mkaa Endelevu

MWENYEKITI wa Halmashauri ya wilaya ya Morogoro, Kibena Kingu ameuomba Mradi wa kuleta mageuzi katika Sekta ya mkaa Tanzania (TTCS) usiwasahau katika awamu...

Habari Mchanganyiko

Baba mbaroni kwa kumbaka na kumlawiti mwanae

MWANAUME mmoja Saidi Kasti (35) mkazi wa kitongoji cha Kimangakene Kijiji cha Diyovuva kata ya  Kiroka wilayani Morogoro anashikiliwa polisi kwa tuhuma za...

Afya

Wazee Ngerengere wapata za Bima ya Afya

JUMLA ya kaya za wazee 10 za kata ya Ngerengere wilayani Morogoro mkoani hapa zimekabidhiwa kadi za mfuko wa Bima ya Afya ya...

Habari Mchanganyiko

Wafugaji washauriwa kutumia hospitali ya mifugo SUA

WAFUGAJI wa mifugo mbalimbali nchini wameshauriwa kutumia hospitali ya Rufaa ya Magonjwa ya Mifugo Tanzania iliyopo Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)...

Habari Mchanganyiko

Wadau waombwa kusaidia taulo za kike kwa watoto yatima

SERIKALI na wadau mbalimbali wameombwa kutoa msaada taulo za kike (pedi) kwa mabinti waliopo kwenye vituo vya kulelea watoto yatima na walemavu kufuatia...

Habari za Siasa

NEC waombwa kupunguza gharama za fomu za uchaguzi

WANANCHI wa kata za tano za wilaya mbalimbali mkoani Morogoro wameiomba Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kupunguza gharama za fomu sambamba na...

Habari Mchanganyiko

Wanakijiji wachanga Mil 20 kujenga madarasa

JUMLA ya Sh. 20 milioni zimetenwa na wanakijiji wa kijiji cha Mlilingwa, Ngerengere mkoa wa  Morogoro walizokusanya kutokana na mapato ya mkaa endelevu...

Habari Mchanganyiko

Wizara yapongezwa kupitisha sera ya mkaa

MENEJA wa mradi wa kuleta maeuzi katika Sekta ya mkaa Tanzania (TTCS), Leonard Charles ameishukuru  Wizara ya Maliasili na Utalii kwa kuamua kuunda...

Habari Mchanganyiko

Wananchi wanufaika na mkaa endelevu

WANANCHI wa vijiji 22, wazalishaji mkaa maarufu kama mkaa endelevu na Halmashauri za wilaya wamenufaika kwa kupata fedha zaidi ya Sh. 3 bilioni...

Habari Mchanganyiko

Serikali kuboresha sera ya mbegu

SERIKALI imesema ina mpango wa kuboresha sera ya mbegu ili kuimarisha suala la upatikanaji wa mbegu kimfumo zitakazowasadia wakulima na kuleta tija katika...

Habari Mchanganyiko

Mke ashirkiana na mtoto kumuua mumewe

MWANAUME mmoja, Boniphace Agustino (46) mkazi wa Chamwino, Morogoro ameuawa na watu watatu akiwemo mke wake na mwanae kwa kumpiga kitu kizito kichwani...

Habari za Siasa

Wanawake wapigiwa debe kugombea nafasi Serikali za Mtaa

WANAWAKE mkoani Morogoro wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika kuchukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi wa Serikali za mitaa unaotarajiwa...

Habari Mchanganyiko

Serikali kutoa mafunzo ya stakabazi ghalani

HALMASHAURI ya wilaya ya Morogoro ina mpango wa kutoa elimu ya mfumo wa stakabadhi mazao ghalani kwa wakulima wilayani humo katika msimu wa...

Habari Mchanganyiko

Wachimba kokoto waomba soko la uhakika

KIKUNDI cha wanawake 36 kijulikanacho kama Loleni kilichopo Kijiji cha Mwarazi Kata ya Kibuko, Morogoro kinachojihusisha na uchimbaji wa kokoto aina ya “Doromate” kinaiomba...

Habari Mchanganyiko

Lugha tatizo utafiti wa kilimo cha umwagiliaji

WATAFITI kutoka Vyuo vikuu mbalimbali nchini wametakiwa kutafsiri tafiti zinazofanyika kwa lugha nyepesi ili kuweza kutumika na kutatua matatizo yanayopatikana kwenye maeneo mbalimbali...

Habari Mchanganyiko

URA Saccos watakiwa kuanzisha viwanda

SERIKALI imeushauri Ushirika wa Kuweka na kukopa cha Polisi Tanzania (URA-SACCOS) kuona haja ya kuingia katika uwekezaji kwa kuanzisha viwanda vidogo vitakavyosaidia mambo...

Habari Mchanganyiko

Mil 3.9 kujenga vyoo Morogoro

JUMLA ya Sh. 3.9 milioni zimekusanywa na wanavijiji wa vijiji vinne vya kata ya Tomondo wilayani Morogoro na kutatua tatizo la uhaba wa...

Habari Mchanganyiko

Dk. Bashiru azitamani kura za wakulima

KATIBU mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. Bashiru Ally amewataka wavuja jasho wakiwemo wakulima kutokata tamaa au kuwa na tamaa ya mabadiliko...

Habari Mchanganyiko

Waziri Mkuu mgeni rasmi Mviwata

WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Khasim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya miaka 25 ya Mtandao wa Vikundi...

Habari Mchanganyiko

Fedha za maendeleo yavuruga mkutano

MWENYEKITI wa kijiji cha Kikundi, kata ya Tomondo, Morogoro, Musa Muhongo ameahirisha mkutano mkuu wa kijiji mara baada ya wanakijiji kuchachamaa wakidai kuelezwa...

Habari Mchanganyiko

Kitengo cha kusaka masoko ya nje ya mazao chaanzishwa

SERIKALI imeanzisha kitengo maalum cha kitakachowezesha kupatikana kwa masoko sahihi ndani na nje ya nchi ili kuwafanya wakulima kutozalisha kwa mazoea bali kwa...

Habari Mchanganyiko

Taasisi za mbegu zatakiwa kuweka mikakati ya kuinua kilimo

NAIBU Waziri wa Kilimo Omari Mgumba amezitaka Taasisi zinazojihusisha na masuala ya mbegu nchini kuweka mipango mikakati wa miaka minne itakayoendana na mpango wa...

Habari Mchanganyiko

Chuo cha Mati Ilonga kusaidia vijana kujikwamua kiuchumi

VIJANA nchini wametakiwa kukitumia vyema Chuo cha Kilimo – Mati Ilonga ili kupata elimu mbalimbali ikiwemo ya usindikaji wa mazao itakayowasaidia kujikwamua kiuchumi...

Shamba la mpunga
Habari Mchanganyiko

Mwijage: Zalisheni mbegu za kunukia kuvutia soko

WAZIRI wa Viwanda, Biashara na Masoko Charles Mwijage amewataka wazalishaji wa mbegu ya Mpunga zinazotoa  harufu ya kunukia aina ya Aroma kuongeza uzalishaji...

Habari Mchanganyiko

Wadau wa kilimo washauriwa kuzalisha mbegu

WADAU wa kilimo na wakulima wakubwa kwa ujumla wameshauriwa kuanzisha makampuni ya mbegu ili kuifanya Sekta ya Mbegu kuwa na uzalishaji wa kutosha...

Habari Mchanganyiko

Wafugaji washauriwa kutumia dawa za mifugo

WAFUGAJI hapa nchini wameshauriwa kuzingatia matumizi ya dawa za mifugo wanayopewa na wataalamu ili kuongeza kipato na kuboresha uchumi wao na Taifa kwa...

Habari Mchanganyiko

TRA yapewa ushauri kuokoa makusanyo ya kodi

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imeshauriwa kuweka mikakati thabiti itakayowezesha kudhibiti upotevu wa makusanyo ya kodi yatokanayo na sekta madini kuanzia kwa wachimbaji...

Habari Mchanganyiko

Auawa kwa shoka, kisa wivu wa mapenzi

WATU watatu wamefariki dunia katika matukio tofauti akiwemo mwanamke mmoja Rose Mngwe (43) mkulima na mkazi Njage wilayani Kilombero kuuawa kwa kukatwa na...

error: Content is protected !!