Thursday , 23 March 2023
Home buguye
31 Articles3 Comments
BurudikaHabari

Harmonize kuwakutanisha jukwaa moja wasanii 50 wa Afrika Mashariki Dar

  WASANII zaidi ya 50 kutoka Afrika Mashariki wanatarajiwa kupanda jukwaa moja kwenye tamasha la ‘Afro East Carnival’ litakalofanyika Uwanja wa Tabata Shule,...

Michezo

Mastaa wamlilia mama yake Lulu Diva

  MSANII wa Bongo fleva na muigizaji katika tamthilia ya jua kali, Lulu Abasi maarufu kama Lulu Diva amepata msiba wa kuondokewa na...

Michezo

Kisa dili la Mondi; Steve Nyerere, Aristote wamvaa Mwijaku

MTANGAZAJI ambaye pia ni mwigizaji wa Bongo Movies, Burton Mwamba ‘Mwijaku’ ameingia kwenye anga za mastaa wenziwe ambao wamejipachika majina maarufu ya ‘chawa’...

HabariTangulizi

Rais Samia: Machinga tuendelee kuvumiliana

RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa rai kwa wafanya biashara wadogo wadogo ‘machinga’ kuwa wavumilivu katika kipindi hiki kwa kuwa kazi ya kuwaondoa barabarani...

Michezo

Kisa viza, Miss Tanzania agonga mwamba kushiriki Miss World

  MWAKILISHI Tanzania (Miss Tanzania) katika mashindano ya urembo duniani – Miss World, Juliana Rugumisa ameshindwa kwenda kushiriki katika mashindano hayo mwaka huu...

Michezo

Hamisa Mabetto, Rick Ross wajiachia Dubai

  MWANAMITINDO wa Tanzania, Hamisa Mobetto kwa mara ya kwanza amekutana na mwanamuziki wa Kimataifa kutoka Marekani, Rick Ross huko Dubai. Anaripoti Matilda...

Michezo

Diamond Platnumz amfanyia kufuru Aristotle

  NI kufuru! Ndicho alichokifanya Staa wa Bongofleva, Naseeb Abdul maarufu Diamond Platnumz katika harusi ya mpambaji maarufu wa wasanii wa kike, Aris...

Michezo

Mahaba ya Zari kwa Mondi usipime

  UKWELI ni kwamba penzi ni kama pembe la ng’ombe, kulificha huwezi! ndivyo mahaba ya Mwanamama Zarina Hassan kwa mkali wa Bongofleva, Naseeb...

Michezo

Rais Samia: Watanzania tusikate tamaa matokeo Taifa Stars

  RAIS Samia Suluhu Hassan amewasihi Watanzania na wadau wote wa soka nchini kutokata tamaa kutokana na matokeo ya Timu ya Taifa (Taifa...

Michezo

Diamond kuwania tuzo za MTV EMA

  KIOO wa Bongofleva, Naseeb Abdul maarufu kama Diamond platnumz amechaguliwa kuwania tuzo za MTV EMA, akiwa ni msanii pekee kutokea Afrika mashariki...

Makala & Uchambuzi

Rais mtata wa Ufilipino, Rodrigo Duterte, tangaza kujiuzulu siasa

RAIS wa Ufilipino, Rodrigo Duterte amesema, tofauti na ambavyo alieleza huko nyuma, ameamua kujiuzulu siasa na hivyo, hatajitosa katika kinyang’anyiro cha urais katika...

Michezo

Fahyvanny aanika mazito kuhusu Rayvanny

  MWANAMITINDO na mzazi mwenza wa Staa wa Bongofleva, Raymond Mwakyusa ‘Rayvanny’, Faima Msenga ‘Fahyma au Fahyvanny’ ameweka wazi kuwa hana matatizo na...

Michezo

Diamond, Harmonize, Alikiba wachomoza tuzo Afrimma

  WAANDAAJI wa tuzo za Afrimma (Afrian Music Magazine Awards) wametoa orodha mpya ya wasanii watakaowania tuzo hizo kwa mwaka 2021 huku Tanzania...

Michezo

Corona yatibua dili la Harmonize Ulaya

  MSANII wa Bongofleva, Rajabu Abdul maarufu kama Harmonize au Kondeboy amewaomba radhi mashabiki wake baada ya kubadili ratiba ya ‘tour’ (ziara) yake...

Michezo

Diamond atoa ujumbe wa sensa, awapagawisha wananchi

  MSANII wa muziki nchini Tanzania, Diamond Platinum ametumia jukwaa la burudani kuwasisitiza wananchi wa Taifa hilo, kujiandaa kuandikishwa katika sensa ya watu...

Michezo

Dakika 3 za Ali Kiba mbele ya Rais Samia

  ALI Kiba, msanii wa muziki nchini Tanzania, ametumia takribani dakika tatu kutumbuiza mbele ya mamia ya wananchi wakiongozwa na Rais wa Taifa...

Burudika

Msimu wa 12 BSS wazinduliwa, Salama Jabir arejea

  SHINDANO la Bongo Star Search (BSS) msimu wa 12 umezinduliwa huku jaji maarufu Salama Jabir akirejea ulingoni. Anaripoti Matilda Buguye (endelea). Salama...

Michezo

Zuchu aonesha jumba la kifahari, asema…

  MSANII wa muziki wa bongo fleva nchini Tanzania, Zuhura Othman maarufu Zuchu ameonesha jumba la kifahari analoishi kwa sasa. Anaripoti Matilda Buguye,...

Burudika

Naddy kuwapandisha jukwaani wasanii Dar

MSANII wa muziki wa bongo fleva Nandela Charles Mfinanga maarufu Nandy leo Jumamosi tarehe 4 Septemba 2021 anahitimisha kilele cha tamasha lake ‘Nandy...

Tangulizi

Waandishi 59 wapenya tuzo za EJAT 2020

  KAMATI ya maandalizi ya Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari Tanzania (EJAT) imesema jumla ya waandishi 59 wameteuliwa kuwania tuzo hizo...

Michezo

Serikali kurudisha tuzo za wasanii, kujenga arena Dar, Dodoma

  KATIBU Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Hassan Abbas amesema serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa sanaa...

Michezo

Giggy Money amaliza kifungo ‘Zanzibar nakuja kivingine’

  MSANII wa muziki wa bongo fleva nchini Tanzania, Gift Stanford maarufu Giggy Money ameahidi mashabiki zake kwamba hatofanya makosa tena kamak kama...

Burudika

Mrembo Mobetto atisha tena, apata dili nono

  MWANAMITINDO na msanii wa muziki wa bongo fleva Hamisa Mobetto, nyota yake imeendelea ku’ngaa baada ya kusaini mkataba mpya na kampuni ya...

Michezo

Mambo 6 yamponza Miss Tanzania 2020

  KAMATI ya Miss Tanzania imebainisha makosa sita yaliyosababisha Miss Tanzania 2020, Rose Manfere kuvuliwa uwakilishi wa nchi katika mashindano ya urembo duniani....

Michezo

Ali Kiba akwaa ubalozi wa kinywaji

  MSANII wa muziki nchini Tanzania, Ali Kiba amesaini mkataba wa kinywaji cha “Power Horse” kuwa balozi wa kinywaji hicho. Anaripoti Matlida Peter,...

Habari za Siasa

Kasi ya Rais Samia kwenye muziki yamkosha Wakazi

  HATUA ya Rais Samia Suluhu Hassan, kuagiza wanamuziki waanze kulipwa mirabaha kutokana na nyimbo zao kupigwa kwenye redio, imemkosha msanii wa muziki...

MichezoTangulizi

Tuzo BET: Elfu 19 wampinga Dimaond

  KAMPENI ya kuhakikisha msanii wa muziki nchini Tanzania, Nasibu Abdul maarufu ‘Diamond Platnumz’ anaondolewa kwenye mbio za kuwania tuzo za Black Entertainment...

Habari za Siasa

Rais Samia ateta na bosi TRC

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Jumamosi, tarehe 22 Mei 2021, amezungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC),...

Habari za SiasaTangulizi

Chongolo aonya wanaopanga uongozi CCM 2022

  KATIBU Mkuu wa chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo, amewaonya wanachama wa chama hicho, walioanza kupanga safu za...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa ataka Hayati Magufuli aenziwe

  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, ameshauri aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati John Magufuli, aenziwe kwa kutimiza ndoto yake ya uanzishwaji somo...

Habari za Siasa

Rais Samia, Spika Ndugai wateta Ikulu

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya mazungumzo na Spika wa Bunge la nchi hiyo, Job Ndugai. Anaripoti Matilda Peter, Dodoma …...

error: Content is protected !!