Archive 4 Columns
Phasellus tellus tellus, imperdiet ut imperdiet eu, iaculis a sem Donec vehicula luctus nunc in laoreet
JPM amfuata Rais Ramaphosa Afrika Kusini
RAIS John Magufuli anatarajiwa kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais Mteule wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa zinazotarajiwa kufanyika kesho tarehe 25 Mei 2019. Anaripoti...
By Regina MkondeMay 24, 2019Chadema wahoji alipo Rais Magufuli, Majaliwa awajibu
CHAMA cha Demokrasia na Mandeleo (Chadema), kimeitaka serikali ya Tanzania kuvuja ukimya juu ya mahali alipo Rais John Magufuli. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...
By Mwandishi WetuMarch 12, 2021Trump agonga mwamba, wahamiaji wapeta
ZUIO la wahamiaji kuingia nchini Marekani lililotolewa na Donald Trump, rais wa nchi hiyo limefutwa, anaandika Wolfram Mwalongo. Hatua hiyo imetajwa kuwa kigingi cha kwanza...
By Masalu ErastoFebruary 4, 2017Kanisa lanufaisha vijana 6,000 Arusha
KANISA Katoliki Jimbo Kuu la Arusha, limewanufaisha kwa elimu ya malezi ya maadili mema zaidi ya vijana 6,000 itakayowawezesha kuwa na utu na...
By Mwandishi WetuJuly 31, 2017Kesi ya Mbowe: Mrajisi leseni za bunduki aanza kutoa ushahidi
ASKARI Polisi, SSP Sebastian Madembwe (46), ambaye ni Mrajisi wa leseni za bunduki wa Jeshi la Polisi anatoa ushahidi wake katika kesi...
By Regina MkondeNovember 4, 2021DC atangaza vita na askari waliopiga raia
MKUU wa wilaya ya Ilala, Sophia Mjema ameagiza kuchukuliwa hatua askari wanaodaiwa kuwapiga wananchi katika eneo la Gongo la mboto Jijini Dar es...
By Hamisi MgutaOctober 24, 2017Epl yalejea Arsenal, Liverpool, Man City vitani
BAADA ya kupoteza kwa mchezo kwa mabao 7-2 klabu ya Liverpool kesho watakuwa ugenini kwenye Uwanja wa Goodson Park kujiuliza dhidi ya majirani...
By Kelvin MwaipunguOctober 16, 2020Baada ya kuiadhibu Real Madrid, Tuchel awamwagia sifa wachezaji wake
BAADA ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Real Madrid, kocha wa kikosi cha Chelsea, Thomas Tuchel ametoa pongezi kwa...
By Kelvin MwaipunguMay 6, 2021Vichwa vya treni vilivyotelekezwa TPA vyapata mwenyewe
WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi nchini Tanzania, Profesa Makame Mbarawa amemaliza utata uliodumu kwa zaidi ya miaka mitatu juu ya vichwa 11...
By Danson KaijageNovember 12, 2021Washindi saba safarini Dubai NMB MastaBata ‘Kote Kote’
KAMPENI ya kuhamasisha matumizi ya Mastercard na QR Code ‘Lipa Mkononi’ iitwayo NMB MastaBata ‘Kote Kote’, imefikia ukomo jana Jumanne tarehe 7 Februari...
By Mwandishi WetuFebruary 8, 2023Miaka 30 ya Vyama Vingi: Changamoto na Mustakabali kusonga mbele
LEO Tanzania inatimiza miaka 30 tangu turejee rasmi katika siasa za mfumo wa vyama vingi. Katika kipindi hicho, taifa letu limepitia katika kipindi...
By Gabriel MushiJuly 1, 2022Dk. Bashiru: Unafiki unakwamisha kufikia malengo
MBUNGE wa Kuteuliwa (CCM), Dk Bashiru Ally amesema, unafiki na kukosekana uzalendo kwa baadhi ya watu ni sababu ya mambo yanayokwamisha kufikia malengo....
By Mwandishi WetuJune 30, 2021