Wednesday , 24 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Alichokisema Kikwete baada ya Mwana FA kuzindua pafyumu
Habari Mchanganyiko

Alichokisema Kikwete baada ya Mwana FA kuzindua pafyumu

Spread the love

RAIS Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete amempongeza mwanamuziki mkongwe wa Bongo Fleva, Hamis Mwinjuma ‘MwanaFA’ kwa kuanzisha bidhaa yake ya mafuta ya kunyunyuzia mwilini ‘Body Spray’. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Kupitia ukurasa wake wa Twitter, Dk. Kikwete amempongeza kwa kuandika kuwa, amefarijika kutokana na mwanamuziki huyo kumtambulisha bidhaa yake hiyo mpya.

“Kuna siku nilimsihi @MwanaFA na wanamuziki wengine kufanya shughuli nyingine zaidi ya muziki pekee. Nimefarijika leo kunitembelea na kutambulisha bidhaa yake mpya ya “body spray.” Hii ni hatua kubwa na nzuri kwa vijana wetu. Tuwaungishe!” ameandika Dk. Kikwete.

MwanaFA leo amezindua bidhaa yake hiyo inayofahamika kwa jina la Fyn by Falsafa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

THRDC yaongeza mkataba wa ushirikiano na ABA

Spread the love  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC),...

Habari Mchanganyiko

Rufaa ya Equity Benki, State Oil yakwama

Spread the loveMAHAKAMA ya Rufani, jijini Dar es Salaam, imeshindwa kuendelea na...

Habari Mchanganyiko

Bodaboda waeleza mafanikio mafunzo usalama barabarani

Spread the loveMADEREVA bodaboda katika Jiji la Dodoma wameeleza jinsi mafunzo ya...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NBC yaahidi kuendelea kuunga mkono Serikali za Mitaa

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) imesisitiza dhamira yake ya...

error: Content is protected !!