Friday , 2 June 2023
Home Habari Mchanganyiko Alichokisema Kikwete baada ya Mwana FA kuzindua pafyumu
Habari Mchanganyiko

Alichokisema Kikwete baada ya Mwana FA kuzindua pafyumu

Spread the love

RAIS Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete amempongeza mwanamuziki mkongwe wa Bongo Fleva, Hamis Mwinjuma ‘MwanaFA’ kwa kuanzisha bidhaa yake ya mafuta ya kunyunyuzia mwilini ‘Body Spray’. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Kupitia ukurasa wake wa Twitter, Dk. Kikwete amempongeza kwa kuandika kuwa, amefarijika kutokana na mwanamuziki huyo kumtambulisha bidhaa yake hiyo mpya.

“Kuna siku nilimsihi @MwanaFA na wanamuziki wengine kufanya shughuli nyingine zaidi ya muziki pekee. Nimefarijika leo kunitembelea na kutambulisha bidhaa yake mpya ya “body spray.” Hii ni hatua kubwa na nzuri kwa vijana wetu. Tuwaungishe!” ameandika Dk. Kikwete.

MwanaFA leo amezindua bidhaa yake hiyo inayofahamika kwa jina la Fyn by Falsafa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Serikali yakabidhi eneo la mahakama ya Afrika ya haki za binadamu

Spread the loveSerikali kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...

Habari Mchanganyiko

Udhamini wa NMB mikutano ya ALAT wafikia 1.2 bilioni

Spread the loveBENKI ya NMB imeendelea kufanya kazi kwa karibu na Asasi...

Habari Mchanganyiko

Dk. Gwajima atoa maelekezo kwa maofisa maendeleo nchini

Spread the love  WAZIRI wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia Watoto,...

Habari Mchanganyiko

Kairuki awaweka mtegoni wakurugenzi watakaoshindwa kufikia malengo ya makusanyo

Spread the loveWAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na...

error: Content is protected !!