Thursday , 25 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa ACT-Wazalendo waikaba Polisi
Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo waikaba Polisi

Spread the love

MAHAKAMA Kuu kanda ya Dar es Salaam imekiruhusu chama cha ACT-Wazalendo kulishtaki Jeshi la Polisi Tanzania kwa kuzuia ziara za chama hicho. Anaripoti Faki Sosi … (endelea).

Kesi hiyo namba 8 ya mwaka 2018 imepangwa kuanza kusikilizwa Aprili 4, mwaka huu mbele ya Jaji Ferdinand Wambari, Jaji Rehema Sameji, na Jaji Rose Teemba.

Chama hicho kimefunga shauri hilo kwa lengo la kulishtaki jeshi hilo kuacha kuingilia shughuli za chama hicho isivyo halali.

Frebruari 23 mwaka huu Kiongozi wa chama hicho Zitto Kabwe alitiwa mbaroni na jeshi la Polisi mkoani Morogoro kwa kudaiwa kufanya ziara kinyume na sheria.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

error: Content is protected !!