Sunday , 3 December 2023
Home Habari Mchanganyiko 900 inapendeza azitia ‘nuksi’ nyumba za Lugumi
Habari Mchanganyiko

900 inapendeza azitia ‘nuksi’ nyumba za Lugumi

Nyumba ya mfanyabiashara Lugumi iliyoshindwa kuuzwa leo
Spread the love

KWA mara nyingine mnada wa kuuza nyumba za mfanyabiashara Said Lugumi umeshindwa kufanikiwa baada ya wateja wengi kutofikia bei inayotakiwa, anaandika Mwandishi Wetu.

Katika mnada uliopita nyumba hizo hazikununuliwa baada ya mmoja wa wateja waliozitaka, Dk. Luis Shika kwa jina marufu ‘900 inapendeza’ kupandisha bei hadi Sh. 900 milioni, lakini alipotakiwa kulipa asimilia 25 kama sehemu ya malipo alishindwa kwa madai kwamba fedha zake nje ya nchi.

Hata hivyo, leo mnada huo umerudiwa tena na nyumba iliyopo kitalu 47 Mbweni JKT imeshindwa kununuliwa kutokana na wateja kuhsindwa kufikia bei elekezi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoTangulizi

20 wafariki dunia kwa mafuriko Manyara

Spread the loveMVUA za vuli zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini zimeleta madhara...

ElimuHabari Mchanganyiko

CEO NMB awataka vijana kunoa ujuzi wao

Spread the loveAfisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna, amewashauri...

Habari Mchanganyiko

TARURA kujenga madaraja 189 kwa teknolojia ya mawe

Spread the loveWakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imejipanga kujenga...

AfyaHabari Mchanganyiko

Majaliwa aipongeza GGML mapambano dhidi ya Ukimwi

Spread the loveWaziri Mkuu Kassim Majaliwa ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining...

error: Content is protected !!